×

Habari

Director Khalfani Afariki Hospitali ya Muhimbili, Kuzikwa leo Makaburi ya Kisutu

Muongozaji wa video za muziki nchini Tanzania ‘Director Khalfani Khalmandro’ amefariki Dunia leo asubuhi  Mei 5, 2024 katika Hospitali ya...

READ MORE

Mawaziri Eac Waazimia Kuongeza Ushirikiano Katika Sekta Ya Afya

Mawaziri wanaosimamia Sekta ya Afya katika Nchi Wanachama wa Jumuiya Afrika Mashariki wameweka mikakati na kukubaliana kuongeza ushirikiano zaidi katika...

READ MORE

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Yatangaza mwisho wa Kimbunga Hidaya

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)  Mei 4, 2024 imetangaza mwisho wa Kimbunga Hidaya baada ya vipimo kuonesha kuwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 5, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Absa Dar City Marathon 2024 Zatimua Vumbi jijini Dar es Salaam

Benki ya Absa yaahidi kuendeleza udhamini wake MBIO za Absa Dar City Marathon 2024 zimetimua vumbi lake jijini Dar es...

READ MORE

Uzinduzi wa Sinza Kwa Wajanja Marathon watikisa Dar

*Kusaidia wodi ya wazazi ya Hospitali ya Palestina Uzinduzi wa mbio za Sinza Kwa Wajanja Marathon umefanyika jijini Dar es...

READ MORE

Exim Bank Yaendeleza Malipo ya Kidijitali kwa Kushirikiana na Chef’s Pride Dodoma

Katika kuendeleza ushirikiano na wateja wake, Exim Bank imeingia makubaliano na Mgahawa wa Chef’s Pride ikiwa ni pamoja na kutoa...

READ MORE

Shigongo, Chatanda Washiriki Mazishi ya Aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Sengerema

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) Taifa, Mary Chatanda amemwaga machozi alipokuwa akiaga mwili wa Jane Msoga aliyekuwa Mwenyekiti wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Matembezi Kuhamasisha Ufanyaji wa Mazoezi Kuzuia Magonjwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 4, 2024 ameongoza matembezi ya kuhamasisha ufanyaji wa mazoezi ill kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza....

READ MORE

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilosa na Waziri wa Fedha Mustafa Mkulo Afariki

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilosa na Waziri wa Fedha katika serikali ya awamu ya nne, Mustafa Mkulo amefariki dunia usiku...

READ MORE

TANESCO Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Hitilafu ya Umeme Iliyojitokeza leo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa ufafanuzi umma kuhusu hitilafu ya umeme kwenye Gridi ya Taifa iliyojitokeza leo Mei 4,...

READ MORE

TMA: Mwenendo wa kimbunga “HIDAYA”, Wananchi wanaojihusisha na shughuli baharini wanashauriwa kuchukua hatua

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo karibu na maeneo ya...

READ MORE

Wanajeshi DRC wahukumiwa kifo kwa kukimbia vita

Mahakama ya kijeshi katika mji wa Goma huko Kivu Kaskazini Mashariki mwa Congo imewahukumu kifo maafisa nane wa jeshi la...

READ MORE

Filamu Mpya ya “Amazing Tanzania” Ft. Rais Samia, Dkt. Mwinyi Kuzinduliwa China

Filamu mpya ya kuitangaza Tanzania iitwayo “Amazing Tanzania” sasa itazinduliwa rasmi Mei 15 mwaka huu jijini Beijing, China ikiwa imewashirikisha...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 4, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi; Kazi Kubwa za Samia Zinaipa CCM Ujasiri

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, amesema kazi kubwa inayofanywa na Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Ally Hapi Awataka viongozi Chama na Jumuiya zake Kudhibiti watendaji wa Serikali Wanaotoka Kwenye Misingi

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi amewataka viongozi Chama na Jumuiya zake Kudhibiti...

READ MORE

Waziri Ummy Atangaza Tanzania Kuwa Kitovu cha Utalii Tiba

  Na Mwandishi Wetu SERIKALI imesema imedhamiria kuifanya Tanzania kuwa kitovu cha matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi katika Bara...

READ MORE

Rais Samia Atoa Bil5 Kurejesha Miundombinu ya Barabara na Madaraja, Lindi

Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa...

READ MORE

Taarifa Mpya: Mwenendo Wa Kimbunga Hidaya Kilichopo Katika Bahari Ya Hindi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “HIDAYA” kilichopo katika Bahari ya Hindi...

READ MORE

Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani Komoro Akamatwa

Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani Komoro na Kiongozi wa chama cha Orange, Daoudou Abdallah Mohamed, amewekwa kizuizini, Mwendesha...

READ MORE

Shahidi Aeleza Namna Nathwani Alivyomjeruhi Jirani Yake

  MSIMAMIZI wa Msikiti wa Wahindi Lohana aitwae, Ankit Dawda (32) ameileza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam...

READ MORE

Dkt. Biteko: Serikali Kuendelea Kuboresha Huduma Za Saratani Nchini

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya utoaji wa huduma za...

READ MORE

Mamamkwe Wa Barnaba Balaa! Amrarua Live Barnaba “Hana Heshima” – Video

  Mama mkwe wa msanii wa Bongo Fleva Barnaba aitwaye Mamakimbo amegeuka Mbogo kwa mkwewe baada ya picha na video...

READ MORE

Benki ya NMB Yazindua Akaunti ya Kikundi

Benki ya NMB imezindua akaunti ya kikundi, inayokuja na maboresho makubwa kwa wanakikundi wote kufurahia huduma kidijitali. Kupitia akaunti hii,...

READ MORE

Tapeli Aliyejifanya Kipofu Ashambuliwa na Kundi la Nyuki

Mwanaume mmoja wa umri wa makamo, Ino Bosire huamka kila asubuhi, si kwenda kazini, bali kuvizia kando ya barabara kwenye...

READ MORE

Serikali Kuendelea Kuboresha Miundo Mbinu Ya Elimu

Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI anayeshughulikia Elimu Mhe. Zainabu Katimba (Mb)...

READ MORE

Sina Mahusiano na Jirani Yangu Kwasababu Ya Kugombania Mipaka ya Kiwanja-Masahi

Mfanyabiashara, Ibrahim Masahi (40) ameieleza mahakama kuwa hana mahusiano mazuri na jirani yake Deogratus Minja kwa sababu ya kugombania mpaka...

READ MORE

Vita ya Urais Kati ya Lissu na Mbowe Yaipasua CHADEMA

* Mgogoro mkubwa wa madaraka waibuka kuwania ugombea urais 2025 * Lissu akianika chama chake hadharani, asema CHADEMA imekithiri rushwa...

READ MORE

Transfoma Tano Kuwasha Umeme Muriet Arusha – Video

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Makao Makuu, limekabidhi transformer kwa kata ya Muriet jijini Arusha kwa ajili ya kuwasha umeme...

READ MORE

Serikali Yaanika Mikakati ya Kukabiliana na Changamoto za Wanyamapoli Wakali

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeainisha mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu katika...

READ MORE

Mwanachuo St. Augustine Mwanza Afariki Dunia kwa Kuzama Maji Ziwa Victoria

Mwanachuo wa mwaka wa kwanza wa Chuo cha St. Augustine (SAUT), Mwanza, Boaz Sanga amefariki dunia baada ya kuzama wakati...

READ MORE

Mradi wa BBT Kutekelezwa Katika Halmashauri 100 Nchini

MRADI WA BBT KUTEKELEZWA KATIKA HALMASHAURI 100 NCHINI   Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio...

READ MORE

Kada wa Chadema Atimukia CCM Buchosa

MCHUNGAJI wa Kanisa la yesu Milango la uzima  na kada wa Chadema, Stephano Msabila amekihama chama hicho na kujiunga na...

READ MORE

Alinikamata Nikimuibia Ajabu Akanichukua na Kunipeleka Nyumbani

Naitwa Sele kutoka Mombasa, Kenya. Kusema kweli baaada ya kuingia katia matumizi ya dawa za kulevya, ni kama nilikuwa nimepoteza...

READ MORE

Bolt Business Yazindua Huduma ya Kuponi kwa Makampuni

Kampuni inayoongoza kwa mahitaji ya usafiri kwa makampuni kwa njia ya mtandao barani Afrika Bolt, Bolt Business, imetangaza huduma yake...

READ MORE

NMB Yabeba Tuzo ya Kampuni Bora Kwenye Sekta ya Fedha Zilizotolewa na OSHA

Benki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta ya fedha na bima kama mshindi wa pili (first runner...

READ MORE

Mamlaka ya hali ya hewa nchini Yaonya Kuhusu Kimbunga

Mamlaka ya hali ya hewa nchini Tanzania (TMA) imatangaza kuwepo kwa mgandamizo mdogo wa hewa ambao unatarajiwa kutawala na kusababisha...

READ MORE

SMZ Yatenga Bilioni 34 Posho Ya Nauli Kwa Wafanyakazi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa wafanyakazi wa SMZ wataongezewa posho ya...

READ MORE

Pretty Kind Aachia Video Mpya ya Hawakujua

 Mwimbaji wa Gospel na muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Suzan Michael maarufu kama Pretty Kind amesema anawakaribisha mashabiki wake...

READ MORE