×

Habari

Pata Mgao wa Bil 2 Kutoka Meridianbet Kasino Ukicheza Michezo ya Pragmatic Play!!

Hii habari njema kwa wapenzi wote wa michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet ambao tayari wamejisajili na hata wasiojisajili,...

READ MORE

Baa Ya Kitambaa Cheupe Tabata Yateketea Kwa Moto – Video

BAA maarufu ya Kitambaa Cheupe iliyopo Tabata jijini Dar es Salaam inateketea moto. Kwa mujibu wa mashuhuda walipo eneo la...

READ MORE

REA Yasambaza Umemem Vijijini Iringa Kwa Asilima 100

Serikali imesema usambazaji umeme Vijijini Mkoani Iringa umefanyika kwa asilimia 100 ambapo Vijini vyote 360 Mkoani humo vimesambaziwa umeme kupitia...

READ MORE

Esma Platnumz Afunga Ndoa na Mpenzi wake Rashid Shaibu ‘Jembe One’ – Video

Mwanamama maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholati) na dada wa staa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz, ESMA Khan au...

READ MORE

Nilijua Nimepata Mwanamke Mwema Kumbe Tapeli Mkubwa

Jina langu ni Musa kutokea Moshi, Tanzania, kazi yangu mimi ni dereva wa Lori, kuna dada nilikutana nae club nikabadilishana...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Hassan Wakasuvi Afariki

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Ndugu Hassan Wakasuvi amefariki Dunia. Chama Cha Mapiduzi...

READ MORE

Makamu Wa Rais Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi wa Chuo cha VETA Wilaya ya Mkinga, Tanga

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango ameweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Chuo cha...

READ MORE

Waziri wa Ujenzi Amtimua Mkandarasi Kiwanda cha sukari cha Mkulazi, Morogoro

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, ameuagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kumuondoa Mkandarasi wa kampuni ya Kay Bouvet Engineering Ltd ya...

READ MORE

Kamati Ya Bunge Yaridhishwa Na Utekelezaji Mradi Wa Boost Shule Ya Igima

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi wa...

READ MORE

Uhusiano wa Tanzania na Urusi Kuboreshwa Kunufaisha Pande Zote

Dkt. Nchi: UHUSIANO WA TANZANIA NA URUSI KUBORESHWA KUNUFAISHA PANDE ZOTE – NCHIMBI Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

READ MORE

Halotel yazindua kampeni mpya kwa wateja wao inayoitwa “VUNA POINT”.

Kampuni ya simu ya Halotel leo imezindua kampeni nyingine mpya kwa wateja wake inayokwenda kwa jina la Vuna Point. Vuna...

READ MORE

Exim Yaunga Mkono Jitihada za Rais Mwinyi, Wadau Kuchochea Kasi ya Utalii Zanzibar

  Benki ya Exim Tanzania imesisitiza dhamira yake kuhudumia wadau mbalimbali wa sekta ya utalii ndani na nje ya nchi ...

READ MORE

Utekelezaji wa Mradi wa Tanzania ya Kidijitali Wafikia 70%, Aeleza Katibu Mkuu Habari

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Mohammed Khamis Abdulla amesema utekelezaji wa mradi wa...

READ MORE

Bashe Atoa Kauli Nzito Sakata La Sukari – ”Wafanyabiashara 28 Tumewakamata -Tumeshawabeba Sana” – Video

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema licha ya tatizo la uhaba nchini lililosababishwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kunyesha kwa mvua...

READ MORE

Meli Yagonga Daraja na Kutumbukiza Magari kwenye mto Guangzhou, China – Video

MELI ya mizigo iligonga daraja katika mji wa kusini wa China wa Guangzhou mapema Alhamisi, na kutumbukiza magari matano likiwemo...

READ MORE

Kamati Yataka Ushirikishwaji Wa Wananchi Maeneo Ya Miradi Ya Elimu

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imewashauri watendaji wa Halmashauri kuwashirikisha wananchi...

READ MORE

RC Chalamila Akamata shehena ya bidhaa za magendo, madumu ya mafuta ya kupikia

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila Februari 21, 2024 ameueleza umma kupitia vyombo vya habari kukamatwa kwa...

READ MORE

Rais Dkt.Samia Ateta na Uhuru Kenyatta Ikulu Tunguu Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya mazungumzo na Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta wakati...

READ MORE

Rais Dkt. Samia Amemteua Dkt. James Peter Mataragio kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. James Peter Mataragio kuwa Naibu Katibu Mkuu...

READ MORE

Bolt Yaruhusu Abiria Kusitisha Safari za Nje ya Mtandao kwa Kuimarisha Usalama

Kampuni inayoongoza kwa mahitaji ya usafiri barani Afrika Bolt, imeanzisha chaguo jipya la kusitisha safari  katika mtandao wake, utakaolenga kuwazuia...

READ MORE

Makamu wa Rais Mpango: Mitambo Miwili ya Kuzalisha umeme katika Bwawa la JNHPP Itawashwa

  Makamu wa Rais Dk Philip Mpango, amesema mwezi Machi mwaka huu itawashwa mitambo miwili ya kuzalisha umeme katika Bwawa...

READ MORE

Waziri Mkenda Atoa Rai Alumni Kushiriki Uboreshaji Shule Walizosoma

Haijalishi ni mwaka gani umemaliza Shule Msingi au Sekondari unayo nafasi kuchangia kuboresha shule uliyosoma. Haya yamedhihirishwa na Alumni wa...

READ MORE

Wachawi Walinikimbiza Hadi Nikapoteza Fahamu na Kulazwa Hospitali

Jina langu ni Halima kutoka Tanga, Tanzania, wakati nikiwa kidato cha pili siku moja alfajiri ya saa 11 na nusu...

READ MORE

Mbunge Abood Atoa Sh. Milioni 2 Kununua Vifaa vya Muziki Kanisa la Mt. Karoli Lwanga

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Dokta Abdulaziz Abood ametoa milioni mbili kwa Kanisa la Parokia ya Mtakatifu Karoli Lwanga,...

READ MORE

Majaliwa: Shilingi Milioni 920 Kujenga Shule Mbili Za Sekondari Ruangwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa sh milioni 920 kwa ajili ya ujenzi wa...

READ MORE

Breaking: Waziri Mkuu DR Congo Sama Lukonde Ajiuzulu

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jean-Michel Sama Lukonde amejiuzulu, ametangaza hatua hiyo katika video iliyosambazwa kwenye...

READ MORE

Benki ya NMB Yatajwa Benki Bora ya Biashara Tanzania na Jarida la Global Finance

Benki ya NMB imetunukiwa Tuzo ya Benki Bora ya Biashara Ndogo na za Kati Tanzania kutoka Jarida la Kimataifa la...

READ MORE

Serikari Ya Mapinduzi Zanzibar Yaishukuru Puma Kukarabati Majengo Na Ujenzi Wa Matundu Ya Vyoo Shule Ya Kisiwandui

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeishukuru Kampuni ya Mafuta ya Puma Tanzania kwa kuamua kufanya ukarabati mkubwa wa majengo ya...

READ MORE

Dkt. Nchimbi: Wasiotimiza Wajibu Wao, Wabinafsi, Siku zao Zinahesabika

Awataka wanaosuasua kukaza buti Asema anaweza kula kiapo, Kamala alichukia rushwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk....

READ MORE

Waziri Kairuki Azindua Vitendea Kazi Vya Doria Misituni Vyenye Thamani Ya Tsh bILIONI 6

• Asisitiza lengo ni kuboresha utendaji kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amezindua vitendea kazi vya...

READ MORE

Rais Samia Awapongeza Ramadhani Brothers kwa Kuibuka washindi katika shindano la America’s Got Talent

Rais Samia Suluhu Hassan leo Februari 20, 2024 amewapongeza The Ramadhani Brothers kwa kuibuka washindi katika shindano la America’s Got...

READ MORE

Ripoti Benki Kuu ya funga mwaka 2023; Sekta ya Maliasili Yapata Mafanikio

Ripoti mpya ya Benki Kuu ya funga mwaka 2023 katika sekta mbalimbali iliyotolewa Februari 16, 2024, inaonesha mafanikio ya kihistoria...

READ MORE

Katibu Mkuu CCM Balozi Dkt. Nchimbi Atua Kagera, Mazishi ya Balozi Dkt. Deodorus Kamala

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akiwa katika mazungumzo na baadhi ya viongozi wa...

READ MORE

Familia ya Navalny yadai kuzuiliwa kuuona mwili wake

Mke wa kiongozi wa upinzani wa Russia Alexei Navalny amemtuhumu Rais Vladimir Putin kwa mauwaji ya mumewe na ameahidi kutaja...

READ MORE

Waziri wa Maliasili na Utalii Azindua mkakati mpya wa kuendeleza miti ya mianzi

Februari 19, 2024, Angellah Kairuki, Waziri wa Maliasili na Utalii, amezindua mkakati mpya wa kuendeleza miti ya mianzi nchini. Kwa...

READ MORE

Sikia Hii! Washiriki Wa Mbio Za Tigo Kilimanjaro International Half Marathon Watakavyohudumiwa

Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, Henry Kinabo akizungumza na Waandishi wa Habari, namna walivyojipanga kuwahudumia wateja wa Tigo watakaoshiriki...

READ MORE

Harrith Misonge, Mtoto wa Kitanzania Aliyegeuka Gumzo Nchini Urusi

Anaripoti mwandishi na mchambuzi mkongwe wa michezo kutoka Global TV, Saleh Ally @iamsalehjembe kutoka Kazan, Tatarstan nchini Urusi. “Yes imeng’ara...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Nilivyoumia Mume Wangu Aliponitambulisha Kwa Mchepuko Wake

Jina langu naitwa Sarah kutokea Dar es Salaam, Tanzania, siku moja akiwa safarini kikazi nilipokea simu kutoka kwa mwanamke mmoja...

READ MORE

Serikali, Benki ya Dunia wakutana kujadili mradi wa Tanzania ya Kidijitali

Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia-WB, wanaendelea na majadiliano ya namna ya utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya kidijitali,...

READ MORE

Mbunge Ole Lekaita Akabidhi Magari Mawili ya Wagonjwa Kituo cha Afya Sunya-Kiteto

MBUNGE OLE LEKAITA AKABIDHI MAGARI MAWILI YA WAGONJWA KITUO CHA AFYA SUNYA-KITETO

READ MORE