×

Habari

Mwanamke kutoka Rwanda Afikisha Miaka 26 Akiwa na Maambukizi ya Ukimwi

Mwanamke kutoka Rwanda, Muneza Sylivie mwanzilishi wa shirika la RRP+ la wenye virusi vya ugonjwa wa Ukimwi, amefahamisha kuwa amemaliza...

READ MORE

Waziri Jafo Akutana Na Naibu Katibu Mkuu Mndeme, Dodoma

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo akiwa katika picha ya pamoja na...

READ MORE

VodaBima Kupanua Wigo Wa Bima Kidijitali

Kupatikana kwakutumia ya simu ya mkononi Kuongeza uharaka wa upatikanaji wa bima nchini Dar es Salaam – Machi20, 2024.Katika jitahada...

READ MORE

Hifadhi ya Taifa Saadani Yatakiwa Kuwa na Mpango Mahususi wa Maeneo ya Uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeielekeza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Saadani kuandaa mpango mahususi...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Ateta na Mwenyekiti Mpya wa Mkutano wa Makatibu Wakuu wa FLMS

Mkutano wa 11 wa Vyama Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika (FLMS), unaowakutanisha wajumbe wake, ambao ni pamoja na Katibu...

READ MORE

Dkt. Biteko Ashiriki Sherehe Ya Kuwekwa Wakfu Na Kusimikwa Askofu Mpya Jimbo La Mafinga

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko leo anashiriki Sherehe ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwa Askofu...

READ MORE

Watuhumiwa Wa Uhalifu Pamoja Na Dawa Za Kulevya Wakamatwa Arusha

Jeshi la Polisi mkoani Arusha limesema hali ya ulinzi na usalama mkoani humo kwa mwezi Februari hadi sasa ni shwari...

READ MORE

Dk. Nchimbi Awasili Zimbabwe Mkutano Wa Vyama Vya Ukombozi Kusini Mwa Afrika

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi, akiambatana na baadhi ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu...

READ MORE

Rais Putin Ashinda uchaguzi nchini Mwake kwa Asilimia 87 ya kura

Putin aliwaambia wafuasi wake anauchukulia uchaguzi huo ni wa kidemokrasia na kuwafuta kazi walioupinga Rais wa Russia Vladimir Putin alisherehekea...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Atoa Miezi Saba Kwa DART Kumpata Mwekezaji

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa ameielekeza Wakala wa Mabasi...

READ MORE

Rais Samia Amteua Christine Gideon Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa AICC

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Christine Gideon Mwakatobe kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo...

READ MORE

Majaliwa: Andaeni Mpango Wa Ufadhili Wataalamu Wa Kiswahili

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Elimu, Sayansi, na Teknolojia, iandae mpango maalum wa ufadhili wa wataalam wa lugha...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Ashiriki Mkutano wa 11wa Makatibu Wakuu wa Vyama Rafiki Vya Ukombozi Kusini Mwa Afrika

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akizungumza wakati wa kutoa salaam za CCM za...

READ MORE

Serikali Kupitia TANROADS Yaigusa Miundombinu ya Barabara, Madaraja Ruvuma

Serikali ya awamu ya sita kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) inaendelea na jitihada za kuhakikisha kuwa miundombinu ya barabara...

READ MORE

GGML Yawapa Mbinu Wanafunzi Geita Boys Kufikia Malengo ya Kitaaluma

Na Mwandishi Wetu Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa mafunzo maalumu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya...

READ MORE

Silaa Atoa Gari Lake Kumuwezesha Kikongwe Wa Miaka 98 Kulipwa Fidia Aliyodai Kwa Muda Mrefu – Video

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  Jerry Silaa amempa gari lake Bibi Mariam kikongwe ili limpeleke kwa Mkurugenzi...

READ MORE

Dkt. Biteko Ashiriki Misa Takatifu Ya Kumwombea Hayati Dkt. John Pombe Magufuli Chato

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Machi 17, 2024 amejumuika na viongozi na wananchi mbalimbali katika...

READ MORE

TBS: Chakula cha Msaada Kutoka Marekani ni Salama Kwa Matumizi

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesema Mchele, Mafuta ya kupikia ya Alizeti na Maharage ambavyo vimeongezwa Virutubisho vilivyotolewa na Wizara...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 18, 2024

Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako...

READ MORE

Benki ya Exim Yaandaa Futari Kwa Ajili ya Wadau Wake Hoteli ya Serena

Benki ya Exim imeandaa futari ya pamoja kwa wateja wake katika hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es...

READ MORE

Video: Ajali Arusha Yaua Watu 5 Wakitoka Kwenye Mnada – Daladala Iliigonga Gari Ya Mbao

Kufuatia ajali iliyohusisha daladala iliyokuwa inatoka mnadani na lori la magogo jijini Arusha na kusababisha vifo vya watu takribanmi watano,...

READ MORE

Serikali Kupitia TANROADS Yakamilisha Miradi Mitatu ya Barabara za Km 111.4 Mara

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imekamilisha miradi mitatu...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Ashinda Tuzo Ya Kiongozi Wa Amani Na Usalama Wa Mwaka 2023 Ya Jarida La Uongozi Wa Afrika

Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais William Ruto wa Kenya, na Rais wa zamani wa Liberia George Weah wameibuka...

READ MORE

Ligi Kuu: Yanga Kucheza dhidi ya Azam leo Uwanja wa Mkapa

Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Machi 17, 2024 ambapo vinara wa Ligi hiyo, Yanga watakuwa na...

READ MORE

Mama Mjane Asimulia Mumewe Kulawiti Mabinti Zake Wawili, Atupwa Jela Miaka 60 – Video

Maisha yana siri nzito nyuma ya pazia Global TV inakuletea kisa kizito cha mwanamke ambaye mabinti zake wawili wamelawitiwa na...

READ MORE

Jenerali Mabeyo Afunguka A To Z Kifo Cha Rais Magufuli – Video

LEO Machi 17, mwaka huu Tanzania tunaidhimisha miaka mitatu tangu kifo cha Rais John Magufuli. Rais wa Kwanza kufariki Dunia...

READ MORE

Kamati Ya LAAC Yawahoji Kondoa Ujibuji Wa Hoja Za CAG

Kamati ya Bunge ya LAAC imehoji Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa kuhusu hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

READ MORE

Jaji Mkuu wa Kenya ashinda tuzo ya kiongozi bora wa kike wa Mwaka barani Afrika 2023

Jaji Mkuu wa Kenya Martha Koome ametunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora wa Kike wa Mwaka wa Afrika 2023 wakati wa...

READ MORE

Sakata la mchele wa Marekani lamuibua Waziri Bashe, Afunguka Mazito

Serikali ya Tanzania imeitaka Taasisi inayofanya mradi wa kutoa misaada ya chakula ikiwemo mchele ulioongezewa virutubisho katika Shule mbalimbali Nchini,...

READ MORE

Tamasha La Utamaduni Na Utalii Lazinduliwa Bariadi

Tamasha kubwa la kimataifa la utamaduni na utalii linalojulikana kama Lake Zone Cultural and Tourism Festival limezinduliwa Bariadi Mkoani Simiyu....

READ MORE

Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii Yaridhishwa na Mradi wa UVIKO-19 Pugu Kizimzumbwi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na matumizi ya fedha za mradi wa UVIKO-19 za...

READ MORE

NIRC Yawahakikishia Watanzania Kukamilika Kwa Mradi Wa BBT – Video

TUME ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imewahakikishia Watanzania kuwa inaendelea kukamilisha ujenzi wa miundombinu, hususani katika miradi ya umwagiliaji nchini,ikiwemo...

READ MORE

Rais Samia Atengua uteuzi wa viongozi watatu, Ateua Wengine

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi watatu. Waliotenguliwa ni Prof Jamal Katundu aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji...

READ MORE

Rais Dk.Mwinyi Apokea Pole Kutoka Kwa Hafidh Ameir Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea salamu za pole Ikulu Zanzibar kutoka...

READ MORE

Rais Samia Awaandalia Futari viongozi pamoja na wageni mbalimbali Ikulu Tunguu Zanzibar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Machi 15, 2024 aliwaandalia Futari viongozi pamoja na wageni...

READ MORE

Balozi Dk. Nchimbi Aendesha Kikao Cha Sekreterieti Ya Halmashauri Kuu CCM Taifa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi akiendesha Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya...

READ MORE

Serikali ya Awamu ya Sita Ilivyodhamiria Kuufungua Mkoa wa Shinyanga Kwa Miradi ya Barabara

Katika kipindi cha Miaka mitatu, Serikali  ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeunga Mkoa...

READ MORE

Viongozi wa upinzani Senegal waachiwa huru siku chache kabla ya uchaguzi

Kiongozi wa upinzani nchini Senegal Ousmane Sonko na mgombea urais anayemuunga mkono katika uchaguzi uliocheleweshwa mwezi huu,Bassirou Diomaye Faye, wameachiwa...

READ MORE

Dkt. Biteko Ateua wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la TANESCO

Kufuatia uteuzi wa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho uliofanywa...

READ MORE