×

Habari

Makubaliano Ya Marekani na Iran Yaleta Amani Lebanon, Hezbollah Wafunguka

Kundi la Hezbollah limetangaza kuwa makubaliano yaliyofikiwa kati ya Marekani na Iran ya kumaliza mzozo wa Mashariki ya Kati yamechangia...

READ MORE

Exim na Africarriers Waungana Kurahisisha Umiliki wa Magari Tanzania

Dar es Salaam, Juni 16, 2026 – Benki ya EximTanzania leo imeingia katika ushirikiano wa kimkakati na kampuni ya Africarriers...

READ MORE

Nmb Yazindua Super App, Elimu ya Fedha Yapewa Kipaumbele

Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Ruth Zaipuna (katikati), akiwa na Menejimenti Kuu ya benki hiyo...

READ MORE

Kutoka Marekani: Patricia Asimulia Kifo Kilivyomsogelea – Video

Mtanzania anayeishi nchini Marekani, Ajuna Ishemo (Patricia), amefunguka kuhusu maisha yake na mtoto wake, akieleza jambo la kushangaza la kiimani...

READ MORE

Mtoto Aliyetekwa kwa Siku 13 Apatikana Katikati ya Hifadhi ya Kitula

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kumpata mtoto Razaki Damas Mwakatundu (5), mwanafunzi wa chekechea katika Shule ya Mwakikome...

READ MORE

Mmoja Akamatwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Arusha, Atupa Mwili Kwenye Chemba Ya Maji Taka

Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja aitwaye Lameck Jonathan Mlay (30) mfanya usafi na mkazi wa Maji ya...

READ MORE

Watu Sita Wafariki Baada ya Helikopta Mbili Kugongana Angani Brazil

Watu sita wamepoteza maisha baada ya helikopta mbili kugongana zikiwa angani na kisha kuanguka katika eneo la maegesho ya magari...

READ MORE

RC Chalamila Aagiza Gereji Pembezoni mwa Barabara Dar Ziondolewe

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameagiza kuondolewa kwa gereji zote zilizo pembezoni mwa barabara kuu ndani...

READ MORE

Israel Yatangaza Kubaki Lebanon, Syria na Gaza kwa Muda Usiojulikana

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz, amesema majeshi ya nchi hiyo yataendelea kuwepo katika maeneo ya Lebanon, Syria na...

READ MORE

Marekani na Iran Wafikia Makubaliano ya Kumaliza Vita, Hormuz Kufunguliwa Tena – Video

Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kumaliza vita vilivyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu, hatua inayotarajiwa kuleta nafuu...

READ MORE

Israel Yapinga Makubaliano ya Marekani na Iran, Waziri wa Usalama Afunguka

Waziri wa Usalama wa Taifa wa Israel, Itamar Ben Gvir, ameonyesha wazi kutoridhishwa na makubaliano yaliyofikiwa kati ya Marekani na...

READ MORE

Kampuni ya Ujenzi Yatangaza Nafasi za Kazi kwa Wahandisi Waliosajiliwa

JOB VACANCY – REGISTERED ENGINEERS A reputable construction company is looking for qualified and motivated *Registered Engineers* to join our...

READ MORE

Mama Ntilie Wa Kariakoo Anayetrendi Kujaza Wateja, Afunguka Mazito – Video

Siku chache zilizopita, video ilianza kusambaa mitandaoni ikimuonesha mama lishe mmoja akihudumia wateja wengi waliomzunguka katika eneo la Kariakoo, jijini...

READ MORE

Oryx Yazindua Kituo Kipya Wazo, Yaleta Huduma za Mafuta na Gesi Karibu na Wananchi

KAMPUNI ya Oryx Energies Tanzania imezindua kituo kipya cha mafuta eneo la Wazo jijini Dar es Salaam huku mkakati wake...

READ MORE

Kombe la Dunia Lapamba Moto, Mechi Mbili Kubwa Kuteka Hisia za Mashabiki leo

Nyasi kuwaka moto leo kwenye mechi za michuano mikubwa Duniani ambapo mataifa makubwa uanatarajiwa kushuka dimbani kuoneshana mbavu. Je nani...

READ MORE

Waziri wa TAMISEMI Aielekeza Kampuni ya CRBC Kukamilisha Ujenzi wa Barabara

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ametaka...

READ MORE

Rais Dkt. Mwinyi Alivyoongoza Mazishi Ya Msanii Mkongwe Mzee Onyango

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, jana tarehe 13 Juni 2026, amejumuika...

READ MORE

Iran Yatangaza Ratiba ya Mazishi ya Kiongozi Mkuu Ayatollah Ali Khamenei

Iran imetangaza rasmi ratiba ya mazishi ya Kiongozi Mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Ayatollah Ali Khamenei, ambaye alifariki dunia...

READ MORE

Golden Goal Rewards Yaanza Rasmi, Washindi Kusaka Milioni 450

Kama unapenda michezo ya kasino yenye msisimko, Golden Goal Rewards ni nafasi yako ya kugeuza burudani kuwa ushindi. Meridianbet imeandaa...

READ MORE

Trump Atoa Tarehe ya Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani na Iran

Viongozi wa Marekani na Pakistan wametangaza matarajio ya kusainiwa kwa makubaliano ya awali ya amani kati ya Marekani na Iran...

READ MORE

Tanzania Yajipanga Kuwa Kitovu cha Uwekezaji Afrika Mashariki

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo, amesema serikali imehakikisha kuna mazingira tulivu ya uwekezaji, kwa kuweka masharti ya...

READ MORE

Washindi Wa Droo Ya Tatu Ya Kampeni Ya “Kila Muamala Ni Bao La Ushindi” Wakabidhiwa Zawadi Zao

Kampuni ya Mixx imewakabidhi zawadi washindi wa droo ya tatu ya kampeni ya “Kila Muamala ni Bao la Ushindi”, hatua...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 14, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Maelfu ya Vijana Wapewa Elimu ya Fedha Kutoka Nmb

  Benki ya NMB imesisitiza umuhimu wa kupeleka elimu ya fedha kwa umma sambamba na kupanua huduma rasmi za kifedha,...

READ MORE

Vinicius Jr. Abeba Matumaini ya Brazil Dhidi ya Morocco Kombe la Dunia

Nyota wa timu ya Taifa ya Brazil, Vinicius Junior, anatarajiwa kuwa mtu wa kuangaliwa zaidi wakati Brazil itakapofungua kampeni yake...

READ MORE

Tazama Baby Shower ya Wema Sepetu Kabla ya Kujifungua Mtoto wa Kiume – Video

Staa wa filamu nchini, Wema Sepetu, amefanikiwa kupata mtoto wa kiume baada ya kujifungua jana, jambo lililopokelewa kwa furaha kubwa...

READ MORE

Mastaa Wampongeza Wema Sepetu Baada ya Kupata Mtoto wa Kiume

Mastaa mbalimbali wamefurika kwenye ukurasa wa Instagram wa msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, kumpongeza baada ya kuthibitisha kuwa amejifungua...

READ MORE

Marekani Yamuua Kiongozi wa Genge Hatari la Tren de Aragua Nchini Venezuela

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema vikosi vya kijeshi vya Marekani vimemuua Héctor Rusthenford Guerrero Flores maarufu kama Niño Guerrero,...

READ MORE

Sakata la Mikopo Vyuo Vikuu ya HESLB, Wanafunzi 17 Wapandishwa Kisutu

Wanafunzi17 na mhitimu mmoja kutoka vyuo nane hapa nchini wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kupata mkopo kwa njia ya udanganyifu...

READ MORE

Rais Samia Amteua Dkt. John Jingu Kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. John Antony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama...

READ MORE

Video: Mume Aliyetuhumiwa Kumuua Mkewe Goba Aachiwa Huru na Mahakama

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo Kanda ya Dar es Salaam, imewaachia huru watuhumiwa watatu waliokuwa wakikabiliwa na shtaka la mauaji ya...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Korea Kusini Ahukumiwa Miaka 30 Jela

Mahakama ya Seoul imemhukumu Rais wa zamani wa Korea Kusini, Yoon Suk-yeol, kifungo cha miaka 30 gerezani kufuatia tuhuma za...

READ MORE

Zari Athibitisha Kuvunjika kwa Ndoa Yake na Shakib Cham Baada ya Miaka Mitano

Mwanamitindo na mfanyabiashara maarufu, Zari Hassan, ametangaza rasmi kuachana na mume wake, Shakib Cham, baada ya kuwa pamoja kwa takribani...

READ MORE

DC Mapunda Aridhishwa na Maandalizi ya Sabasaba, Awaomba Wananchi Kujitokeza kwa Wingi

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amesema ameridhishwa na maandalizi ya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es...

READ MORE

Trump Asitisha Mashambulizi Dhidi ya Iran Baada ya Hatua Kubwa ya Mazungumzo – Video

DUBAI – Marekani na Iran zinatajwa kuwa karibu kufikia makubaliano muhimu baada ya ripoti ya Axios kueleza kuwa pande hizo...

READ MORE

Coca-Cola Yazindua Kampeni Ya Kombe La Dunia La FIFA 2026 Kuwaunganisha Watanzania Kupitia Soka

Dar es Salaam, Juni 11, 2026 – Kampuni ya Coca-Cola Tanzania imezindua rasmi kampeni ya Kombe la Dunia la FIFA...

READ MORE

Trump Aongeza Vitisho vya Kuteka Kisiwa Muhimu cha Mafuta cha Iran

Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza kauli zake kali kuhusu uwezekano wa kukiteka Kisiwa cha Kharg cha Iran, akisema Marekani...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Kisima cha Mungu Babati Kinachovutia Watalii

Kisima cha Mungu ni moja ya vivutio vya asili vinavyovutia zaidi katika eneo la Babati, mkoani Manyara, Tanzania. Eneo hili...

READ MORE

Serikali Yapendekeza Mgao Mpya wa Mapato ya Kodi ya Pango la Ardhi

Serikali imependekeza kufanya marekebisho katika Sheria ya Ardhi, Sura ya 113, kwa lengo la kuweka utaratibu mpya wa mgawanyo wa...

READ MORE

Rais Samia Afuatilia Bajeti ya Serikali 2026/2027 Kutoka Ikulu Dar – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefuatilia kwa karibu Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya...

READ MORE