×

Habari

Stanbic Yaandaa Futari Kuimarisha Mahusiano na Wadau

Benki ya Stanbic imeandaa futari maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana, ikiwa ni sehemu ya kushiriki baraka za mwezi...

READ MORE

Trump Afichua Taarifa za Mashambulizi ya Siri ya Iran Ndani ya Marekani

Donald Trump amesema mamlaka za usalama nchini Marekani zinachunguza taarifa za uwezekano wa mashambulizi ya ndege zisizo na rubani (drone)...

READ MORE

Airtel Tanzania Yazindua Maduka 17 Mapya Jijini Dar es Salaam

Machi 12, 2026. Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza huduma za mawasiliano nchini, imezindua maduka mapya 17 ya Airtel Smart Shops jijini...

READ MORE

Israel Yaapa Kuendeleza Mashambulizi Hadi Malengo Dhidi ya Iran Yatimizwe

Israel Defense Forces imesema iko tayari kuendelea na vita dhidi ya Iran kwa muda mrefu kadri itakavyohitajika hadi malengo ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 12, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Afunga Mkutano Wa Uhakiki Wa Rasimu Ya Mpango Wa Mkumbi-Ii

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba Machi 11, 2026 amefunga mkutano wa uhakiki wa rasimu ya Mpango wa Pili wa Kuboresha...

READ MORE

Vodacom Wakabidhi Matundu 10 ya Vyoo Shule ya Mkata

Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Twende Butiama pamoja na Stanbic Bank wamejenga matundu 10 ya kisasa ya vyoo katika...

READ MORE

Ladha za Sasa: Ukali Wenye Tabaka na Athari za Vinywaji

Dar es saalam, Tanzania – Kampuni ya Kerry Group imezindua ripoti ya Kenya Taste Charts 2026, ikionyesha mabadiliko makubwa katika...

READ MORE

Ubalozi wa Uingereza Waipongeza Tanzania kwa Kukabiliana na Marburg

Ubalozi wa Uingereza nchini umeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mkakati na juhudi kubwa zilizowekwa katika kukabiliana na magonjwa ya mlipuko,...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation Yazindua Kambi ya Afya Bure Morogoro

Magonjwa yasiyoambukiza kama shinikizo la damu, kisukari na magonjwa ya moyo yanaongezeka nchini Tanzania, yakichangia takribani asilimia 34 ya vifo...

READ MORE

Rais Samia Amuasili Mtoto Mchanga Aliyetelekezwa Tabora – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi,...

READ MORE

Kihongosi Akagua Mradi wa Soko la Milioni 577 Buchosa

Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Cha Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema uwekezaji katika miundombinu ya masoko...

READ MORE

Prof. Kitila Awasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2026/27

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Kitila Alexander Mkumbo amewasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, amekutana na Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja...

READ MORE

Mojtaba Khamenei Yuko Salama Licha ya Ripoti za Kuumia Wakati wa Vita

Kiongozi Mpya Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, ameripotiwa kuwa salama na mwenye afya njema, licha ya taarifa zilizoibuka zikidai kuwa...

READ MORE

Trump Aamuru Iran Iondoe Mabomu Hormuz, Marekani Yashambulia Boti 16

Jeshi la Marekani limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya boti za kijeshi za Iran zilizokuwa zikidaiwa kuweka mabomu ya majini...

READ MORE

Rostam Aziz Anunua Hisa za Nation Media Group kutoka AKFED

Aga Khan Fund for Economic Development imetangaza kufikia makubaliano ya kuuza hisa zake zote katika Nation Media Group kwa mfanyabiashara...

READ MORE

Ssebo wa EFM Afariki Dunia Akipatiwa Matibabu Muhimbili

Mkurugenzi wa Uzalishaji na Biashara wa Kituo cha Redio cha EFM na TVE, Denis Busulwa almaarufu Ssebo, amefariki dunia usiku...

READ MORE

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa...

READ MORE

Wanawake wa Kilombero Sugar Wakutana Kusherehekea Siku ya Wanawake 2026

Wafanyakazi wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give...

READ MORE

Hizi Hapa Sababu 7 Zinazofanya Mazda Verisa Kuwa Bora Zaidi ya IST

Katika miaka ya karibuni, Mazda Verisa imekuwa moja ya magari yanayouzwa kwa kasi kwenye soko la magari yaliyotumika nchini Tanzania....

READ MORE

Waziri wa Fedha Zanzibar Aipongeza NCBA kwa Uwekezaji wa Kijamii

Jua lilipokuwa linazama Zanzibar na wito wa sala ukashangaza kugawa saa ya kufungua njaa, viongozi wa biashara, wajasiriamali, na wadau...

READ MORE

Kamati Ya Bunge Yapokea Wasilisho La Miradi Ya Wizara Ya Habari

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imepokea taarifa ya miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara ya Habari,...

READ MORE

Mzee Bichuka Apokea Shilingi Milioni 10 Kutoka kwa Rais Samia Kupitia Naibu Waziri

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, amemtembelea na kumjulia hali mwanamuziki nguli Mzee Hassan Rehani Bichuka...

READ MORE

Mo Dewji Atangazwa na Forbes Kuwa Tajiri Namba Moja Afrika Mashariki na Kati

Orodha ya mabilionea duniani iliyotolewa na Forbes imeonyesha kuwa utajiri wa mabilionea barani Afrika unaendelea kuongezeka kwa kasi. Kwa sasa,...

READ MORE

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote...

READ MORE

Marekani Yatangaza Mafanikio Mapya Dhidi ya Iran, Yadai Kuangamiza Meli 50 – Video

Jeshi la Marekani limesema limepiga hatua kubwa katika kudhoofisha uwezo wa kijeshi wa Iran tangu kuanza kwa operesheni za kijeshi...

READ MORE

Kiongozi wa Usalama Iran Amjibu Trump ‘Awe Makini Asije Akaondolewa’

Mvutano kati ya Iran na Marekani umeongezeka baada ya viongozi wa Iran kutoa onyo kali kwa Rais wa Marekani, Donald...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Aagiza Takukuru Kuchunguza Ujenzi Wa Hospitali Ya Wilaya Ya Kalambo

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kufanya uchunguzi wa kina kuhusu makadirio...

READ MORE

Viongozi wa Ulaya Walalamikia Vita vya Marekani na Israel Dhidi ya Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, Yvette Cooper amesema kuwa London haitajiunga katika vita vya Marekani na utawala wa...

READ MORE

ALAF Yatoa Viti 10 vya Magurudumu kwa Watoto Wenye Mahitaji Maalumu

Kampuni ya ALAF, inayoongoza katika suluhisho la paa na vifaa vya ujenzi Tanzania, imezindua Kundi la 5 la Mpango wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya Ziara ya Kikazi Bandari ya Kasanga, Aangalia Utendaji na Huduma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumanne (Machi 10, 2026) amekagua miundombinu na utendaji kazi wa Bandari ya Kasanga iliyopo...

READ MORE

Dkt. Mwigulu: Wanafunzi Bora Kusomeshwa Nje Kupitia Samia Scholarship

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema wanafunzi watakaofaulu kwa viwango vya juu watanufaika na ufadhili wa masomo kupitia mpango wa...

READ MORE

SBL Yazungumza na Waziri Mkumbo Kuhusu Kuimarisha Ushirikiano na Sekta Binafsi

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imekutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila...

READ MORE

Bei ya Mafuta Yashuka Baada ya Trump Kusema Vita vya Iran Vinaelekea Mwisho – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amesema vita dhidi ya Iran vimekaribia kukamilika kabisa, akidai kuwa Iran ilikuwa inapanga kuishambulia Marekani...

READ MORE

Ijue Historia ya Mwanamke Mbaya Zaidi Duniani

Katika historia ya dunia kuna hadithi nyingi ambazo zinaonyesha jinsi binadamu wanaweza kuvumilia maumivu makubwa kwa ajili ya wale wanaowapenda....

READ MORE

Profesa wa Sheria, Mwanadiplomasia Costa Mahalu Afariki Dunia Akiwa na Umri wa Miaka 77

  Profesa wa sheria na mwanadiplomasia, Costa Mahalu (77), amefariki dunia. Taarifa kutoka kwa familia yake imethibitisha kuwa Profesa Mahalu...

READ MORE

Wabunge Wawili wa CCM Chato Wafikishwa Mahakamani, Tuhuma Nzito za Rushwa – Video

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini, Cornel...

READ MORE

Rais Samia Amkabidhi Msaada wa Shilingi Milioni 10 Mzee Zahir Zorro

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma, Machi 8, 2026, amemtembelea na kumjulia hali mwanamuziki mkongwe wa...

READ MORE

Shule Ya Msingi Kiromo Yakarabatiwa Kwa Ufadhili Wa Airtel

Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, ametembelea Shule ya Msingi Kiromo kukagua maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na...

READ MORE