×

Habari

Waziri Mkuu Aagiza Uchunguzi wa Mfumo Wa Upatikanaji wa Dawa Hospitalini

  WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kufanyika kwa uchunguzi kuhusu mfumo wa upatikanaji wa dawa katika hospitali na vituo...

READ MORE

Makamu wa Rais Ashiriki Misa Takatifu Ya Jumapili ya Nne ya Kwaresma Songea

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ameungana na Waumini mbalimbali katika Misa...

READ MORE

Benki ya Absa Tanzania Yadumisha Ushirikiano na Wateja Wake

Benki ya Absa Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na wateja kwa kuandaa hafla ya futari iliyowakutanisha viongozi wa benki, viongozi...

READ MORE

Waziri Mkuu Asisitiza Amani, Maadili Na Ushirikiano Na Taasisi Za Dini – (Picha +Video)

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na taasisi za dini nchini katika kulinda amani, kuimarisha...

READ MORE

Trump Aitaka Uingereza Kutuma Meli za Kivita Kulinda Mlango wa Bahari wa Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump ameitaka Uingereza na mataifa mengine kutuma meli za kivita katika mlango bahari wa Strait of...

READ MORE

Mwalimu wa Kiingereza wa Diamond na Harmonize, Allen Ngonyani Afariki

Mwalimu aliyewasaidia mastaa wakubwa wa muziki wa Bongo Fleva, akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize na Rayvanny, kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha, Allen...

READ MORE

Prof. Shemdoe, Balozi wa Tanzania Ufaransa, Wajadili Mikakati Kuvutia Uwekezaji Bonde la Msimbazi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa,...

READ MORE

Trump Atangaza Mpango wa Kufungua Strait of Hormuz kwa Nguvu za Kijeshi

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani inapanga kuhakikisha kuwa Strait of Hormuz inafunguliwa na kubaki salama kwa usafirishaji...

READ MORE

Meneja wa Global Azungumzia Umuhimu wa Kuishi Kwa Maadili Baada ya Kifo cha Ssebo – Video

Meneja Mkuu wa Global Group, Abdallah Mrisho leo Machi 14, 2026 amesema kuwa kifo ni fumbo na kila mwanadamu anapaswa kujiandaa...

READ MORE

Marekani kushirikiana na Tanzania kuimarisha ulinzi

Serikali ya Marekani imesaini makubaliano ya ushirikiano na Tanzania katika masuala ya kuimarisha jeshi, ulinzi wa amani na usalama wa...

READ MORE

Shigongo Aungana na Wananchi Buchosa Kumuaga Juma Maanda

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa pole kwa familia ya marehemu Juma Maanda aliyefariki dunia, alipofika kuwafariji ndugu...

READ MORE

#Live Kanisani: Ibada Ya Kuaga Mwili Wa Ssebo Parokia ya Mtakatifu Martha Mikocheni

Misa ya kuombea mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Uendeshaji na Biashara wa EFM Tanzania na TVE Tanzania, marehemu Dennis Busulwa...

READ MORE

Heri ya Ramadhani Yaja Na Msaada wa Vyakula Kutoka Meridianbet

Katika kuadhimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa vitendo, Meridianbet imeleta tabasamu kwa wakazi wa Dar es Salaam kwa msaada wa...

READ MORE

Ndoa ya Gigy Money Yafanyika Lugalo, Mastaa Wahudhuria

Msanii mwenye hekaheka zake mjini asiyeishiwa vibwanga Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye kwa sasa amebadili dini na kutumia jina la...

READ MORE

Kili Marathon Yatangaza barabara zitakazofungwa siku ya mbio

  Wiki moja tu kabla ya kuanza kwa Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, waandaaji wa mbio hizi zenye hadhi ya...

READ MORE

Gharama za Vipimo vya DNA Zapanda, Serikali Yazungumzia Changamoto

Mkemia Mkuu wa Serikali, Dkt. Fidelice Mafumiko, amesema kuwa gharama za kufanya vipimo vya vinasaba vya binadamu (Human DNA) zimeongezeka...

READ MORE

Kihongosi Ampongeza Mbunge Shigongo Kwa Utendaji Mzuri Buchosa – Video

Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amempongeza Mbunge wa Jimbo la Buchosa,...

READ MORE

Trump: Marekani Haijalenga Kuchukua Uranium ya Iran ‘Kwa Sasa’

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa kwa sasa Marekani haijalenga kufanya operesheni ya kuchukua uranium ya Iran, ingawa alionyesha...

READ MORE

Uganda na Tanzania Kuondoa vikwazo Vyote vya Biashara Ifikapo Juni

Uganda na Tanzania zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote vya biashara kati ya nchi hizo mbili ifikapo mwezi Juni mwaka huu, hatua...

READ MORE

Rais Samia Atoa Pole Vifo, Ajali Ziwa Tanganyika Mkoani Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Nyakoro Sirro, kufuatia vifo vilivyotokana...

READ MORE

Wairani Washiriki Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds Wakati Mashambulizi

Tehran, Iran — Leo Machi 13, 2026 Wairani wamejitokeza katika miji mikubwa ya nchi hiyo kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya...

READ MORE

Video: Marekani Yaeleza Kwa Nini Haisindikizi Meli Mlango wa Hormuz

WAZIRI wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth ameeleza sababu ya kwa nini jeshi la Marekani bado halijaanza kusindikiza meli zinazopita...

READ MORE

Hali Ya Hofu Dubai, Watalii Waondoka Baada ya Mashambulizi

Jiji la Dubai limeanza kuonekana kama mji uliotelekezwa baada ya maelfu ya wakazi na wageni kuondoka kufuatia mashambulizi ya makombora...

READ MORE

Ajali ya Ndege Iraq Yawaua Wafanyakazi 6 wa Marekani

Jeshi la Marekani limesema kuwa wanajeshi wote sita waliokuwa ndani ya ndege ya kijeshi ya kujaza mafuta angani walifariki dunia...

READ MORE

Mojtaba Khamenei Aripotiwa Kuwa Katika Koma Baada ya Mashambulizi Tehran

Ripoti mpya imeeleza kuwa Kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, anadaiwa kuwa katika hali ya koma hospitalini na hajui kinachoendelea...

READ MORE

Video: Boti Yapinduka na Kuua Watumishi 6, Miili 3 Haijapatikana Kigoma

Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amrmetoa pole kwa uongozi wa Wilaya ya Kigoma mkoani hapa kufuatia tukio...

READ MORE

Waziri Mkuu Aweka Jiwe La Msingi Mradi Wa Maji Wa Miji 28 Katavi

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Machi 13, 2026 ameweka jiwe la msingi la Mradi wa Maji wa Miji 28...

READ MORE

Zoezi la Pamoja Kati ya JWTZ na Jeshi la Marekani Lahitimishwa Msata

Zoezi la pamoja la medani Justified Accord 2026 lililohusisha Kikosi Maalumu cha Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)...

READ MORE

Ndege ya Kujaza Mafuta ya Marekani Yaanguka Magharibi mwa Iraq

Jeshi la Marekani limethibitisha kuwa ndege yake ya kijeshi imeanguka nchini Iraq. Kwa mujibu wa taarifa ya U.S. Central Command,...

READ MORE

Haji Manara Azungumzia Mchango wa Ssebo Kwenye Tasnia ya Habari ‘Tumepoteza Mtu Muhimu’ – Video

Diwani wa Kata ya Kariakoo, Haji Manara, amezungumzia kuhusu marehemu Denis Busulwa almaarufu Ssebo, akimwelezea kama mtu aliyekuwa na moyo...

READ MORE

Wanafunzi Hatarini Kuzama Kwenye Daraja la Mbao, Wakazi Wafunguka Mazito – Video

BABATI, MANYARA — Wakazi wa mitaa ya Mruki na Msasani katika Halmashauri ya Mji wa Babati wamesihi Serikali kuingilia kati...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Toyota Prius na Namna Inavyotumia Teknolojia ya Umeme (EV Mode) – Video

Toyota Prius imekuwa mfano wa ubunifu katika sekta ya magari duniani kutokana na mfumo wake wa Hybrid Synergy Drive, unaounganisha...

READ MORE

Swala ya Eid Kufanyika Msikiti wa Msikiti wa Mfalme Mohamed VI

Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata) limetangaza rasmi Sikukuu ya Eid El-Fitri mwaka huu itasherehekewa Machi 20 au 21,...

READ MORE

Meridianbet Kuinua Kiwango cha Burudani Na Naga Games

Soko la burudani ya kasino mtandaoni linaendelea kupata sura mpya baada ya Meridianbet kuileta Naga Games, mtoa huduma anayekuja na...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti ya Matumizi ya Ardhi Ngorongoro Chamwino – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema eneo la Ngorongoro Conservation Area ni urithi wa kipekee...

READ MORE

Kauli ya Mojtaba Khamenei Yazua Taharuki Mashariki ya Kati, Taarifa yake Yasomwa Runingani

Taarifa inayodaiwa kutolewa kwa niaba ya kiongozi mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, imesomwa kupitia televisheni ya taifa huku kukiwa na...

READ MORE

Sudan: Mashambulizi ya Ndege Zisizo na Rubani Yaendelea, Raia Wauawa

Mapigano yanayoendelea nchini Sudan tangu Aprili 2023 kati ya jeshi la serikali lenye makao Port Sudan na vikosi vya upinzani...

READ MORE

Iran Yatuhumiwa Kushambulia Meli za Mafuta Katika Ghuba ya Uajemi – Video

Iran imetuhumiwa kushambulia meli mbili kubwa za mafuta katika Ghuba ya Uajemi kwa kutumia boti zilizokuwa zimebeba vilipuzi, tukio lililosababisha...

READ MORE

Abdulrazak Salum Aeleza Jinsi Ndoa Ilivyomvuruga Maishani – Video

Msanii wa filamu nchini Tanzania, Abdulrazak Salum, amefunguka na kueleza kuwa ndoa iliwahi kuchanganya maisha yake kwa kiasi kikubwa hadi...

READ MORE

Mahakama Kuu Yaamuru Kufungwa kwa Sahara Media Group Limited

Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara imeamuru kufungwa kwa kampuni ya Sahara Media Group Limited, iliyojishughulisha na vyombo vya habari, matangazo...

READ MORE