×

Habari

Mradi wa Makazi Wakaribisha Wawekezaji Visiwani Zanzibar

Februari 2023-Wakati ujenzi wa mradi wa majengo mapya ya ya kisasa ya makazi ukiendelea katika eneo la Nungwi Mashariki mjini...

READ MORE

Watumiaji Wenye Tiki za Blue Instagram, Facebook Kuanza Kulipia kila Mwezi

KAMPUNI ya Meta inayomiliki Mitandao ya Instagram na Facebook imetangaza watu wenye tiki za Blue wataanza kulipia malipo yatakuwa Dola...

READ MORE

Mwanamuziki Maarufu Morocco Akabiliwa na Kesi ya Ubakaji Nchini Ufaransa

Mwanamuziki nyota wa Morocco Saad Lamjarred, anatuhumiwa na kesi ya ubakaji na unyanyasaji, ambayo imeanza kusikilizwa katika mji mkuu wa...

READ MORE

PASS TRUST Yazindua Kampeni Ya Kijani Maisha

Dar es salaam, Februari 21, 2023: Taasisi binafsi ya kusaidia sekta ya kilimo (PASS), leo imezindua kampeni ya KIJANISHA MAISHA...

READ MORE

Bosi Alitaka Nimpe Penzi Anipe Ajira, Nikaapa Kamwe Siwezi Kutoa Mwili Wangu

  Ni wanawake wengi sana duniani wametoa rushwa ya ngono ili waweza kupewa kazi, kupandishwa cheo na kuongezewa mshahara, licha...

READ MORE

Pilsner ‘Kapu la Wana’ Yafanya Droo Ya Kwanza

Dar es Salaam, Jumatatu Februari 13, 2023: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Pilsner Lager imefanya...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Mwinyi  Afungua Ubalozi Mdogo wa UAE

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi  amefungua Ubalozi mdogo wa Umoja wa Nchi ya...

READ MORE

CRDB Yaingia Mkataba wa Makubaliano na ICTC na COSTECH Kuwezesha Biashara Changa

    Katika mwendelezo wa kusaidia jitihada za Serikali kukuza ujumuishi wa kiuchumi nchini, Benki ya CRDB leo imeingia mkataba...

READ MORE

Mwezi Februari Umekuwa Mtamu Sana kwa Washindi Hawa wa Meridianbet

  Mwezi wa Pili umekuwa mwezi mzuri sana, ambapo Meridianbet imetangaza na kuwapongeza washindi wawili (2) waliojishindia mamilioni ya pesa...

READ MORE

Rais Dk. Mwinyi Akutana na Askofu Mkuu wa Kanisa La Waadventista Wasabato Tanzania

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi  amekutana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Waadventista...

READ MORE

CBE Yatamba Kuzalisha Wahitimu Walio Tayari Kwa Soko la Ajira

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesema mpango wa kuwasaidia wanafunzi wajasiriamali kuendeleza biashara zao au kuatamia mawazo ya...

READ MORE

Kili International Marathon Watangaza Barabara Zitakazofungwa Jumapili

ZIKIWA zimebakia siku chache kabla ya kufanyika mbio maarufu za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon kwa mwaka wa 2023, waandaaji...

READ MORE

Mama Mariam Mwinyi Apongezwa Na UVCCM, Kujipanga Na Matembezi Ya Miaka 60 ya Mapinduzi ZNZ Mwakani

Mlezi wa Matembezi ya  UVCCM ya  Mapinduzi  ya Zanzibar,  Mke wa Rais Zanzibar, Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora...

READ MORE

AU yaendelea kuzitenga nchi nne za Afrika zinazotawaliwa na jeshi

Umoja wa Afrika Jumapili umesisitiza kuwa una sera ya kutovumilia mabadiliko yanayokiuka katiba, huku ukiendelea kusimamisha uanachama wa nchi nne...

READ MORE

Marekani yatoa dola milioni 100 kuzisaidia Uturuki na Syria kukabiliana na athari za tetemeko la ardhi

Marekani inatoa dola zingine milioni 100 kama msaada wa kibinadamu kwa Uturuki na Syria kuzisaidia nchi hizo mbili kukabiliana na...

READ MORE

Benki Absa Yaboresha Mkopo wa Nyumba, Yaingia Makubaliano na NHC

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angeline Mabula amefika katika jengo la Morocco Square kuzindua Huduma ya...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Mchumba Wangu Alivyotupiwa Jini na Ndugu Zake ili Nisimuoe

  JINA langu ni Ally kutokea Dodoma, Tanzania, nina mchumba wangu ambaye tupo kwenye mahusiano kwa mwaka wa nane huu,...

READ MORE

Waziri Aweso Atua London Kwenye Mkutano Maalum wa Maji Duniani

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso amefika London Uingereza na kuanza kwa kusaini kitabu cha wageni na kutoa salam katika...

READ MORE

Benki Ya NCBA Tanzania Yajipanga Kupanua Wigo Katika Sekta Muhimu Za Kiuchumi

Dar es Salaam: Benki ya NCBA Tanzania, taasisi ya kifedha inayoongoza nchini, imetangaza mipango yake ya kutanua shughuli zake ili...

READ MORE

Bodi ya Wakurugenzi ya Akiba Commercial Bank PLC (ACB) Yapata Mwenyekiti Mpya

Bodi ya Wakurugenzi ya Akiba Commercial Bank Pic (ACB) inapenda kutangaza uteuzi wa Mwenyekiti wake mpya, Bi. Catherine N. Kimaryo....

READ MORE

Korea Kaskazini Yarusha Kombora la Masafa Marefu Karibu na Ufukwe wake wa Mashariki

Korea Kusini na Japan zimesema Jumamosi kwamba Korea kaskazini imerusha kombora la masafa marefu karibu na ufukwe wake wa mashariki,...

READ MORE

Watoto Wenye Ulemavu Na Wasiojiweza Bagamoyo Wafutwa Machozi Na Tete Foundation

18 Februari 2023:Watoto wenye ulemavu na wasiojiweza wa Kituo cha Hopes kilichopo Miono Bagamoyo Pwani, wamefutwa machozi na Taasisi ya...

READ MORE

Biden Kutoa Hotuba ya Maadhimisho ya Mwaka Mmoja Tangu Vita vya Ukraine, Akiwa Poland, Jumanne

Rais wa Marekani, Joe Biden anajitayarisha kwa maadhimisho ya mwaka mmoja wa uvamizi wa Russia nchini Ukraine kwa hotuba katika...

READ MORE

Maelfu Wajitokeza Kuchukua Namba Na Vest Za Kukimbilia, Tigo Half International Marathon

Februari, 18 – 19 , 2023 Maelfu ya wakazi wa Dar Es Salaam , wamejitokeza kwa wingi katika viwanja vya...

READ MORE

Video: Bango La Mchungaji Kimaro Lililowekwa Dar Lazua Taharuki, Polisi Watinga, Waumini Waelezea..

WAUMINI wa Mchungaji Eliona Kimaro, wameweka bango lenye picha ya mchungaji huyo kama ishara ya kumuonesha upendo kwa kumkumbuka. ⚫️...

READ MORE

Kijana Aokolewa Akiwa hai Baada ya saa 260 za Tetemeko la Ardhi huko Uturuki

Waokoaji wa Uturuki walifanikiwa kumtoa kijana mdogo akiwa hai kutoka kwenye vifusi vya jengo lililoporomoka saa 260 baada ya tetemeko...

READ MORE

Viongozi wa Afrika wanakutana Addis Ababa Kwenye Mkutano wa 36 Umoja wa Afrika (AU)

Wakuu wa nchi za Afrika wameanza mkutano wao wa kila mwaka katika mji mkuu wa Ethiopia, Addis Ababa. Mkutano wa...

READ MORE

Naibu Waziri Kundo Ampongeza Rais Samia Uboreshaji Mazingira ya Tasnia ya Habari

Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Utafiti Wabaini Kukithiri Kwa Rushwa ya Ngono Kwenye Vyombo vya Habari

  Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) Februari 17, 2023  kimeendesha mjadala na wahariri wa vyombo vya habari kujadili...

READ MORE

Mwili wa Mchezaji Christian Atsu Wakutwa Kwenye Kifusi Baada ya Tetemeko

  Mchezaji soka wa Ghana aliyewahi kuichezea Klabu ya Chelsea, Christian Atsu amefariki dunia na mwili wake kukutwa ukiwa umefukiwa...

READ MORE

RC Mgumba Akabidhi Vyandarua Kwa Shule Zote za Mkoa wa Tanga, Ni Vilivyotolewa na Rais Samia

Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dk Samia Suluhu Hassan imegawa vyandarua kwa Shule zote za msingi Mkoani...

READ MORE

Mamia Wajitokeza Kuchukua Namba Za Kili Marathon Dar

Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani wamejitokeza katika zoezi la utoaji namba za kukimbilia kwa ajili...

READ MORE

Wateja Ni Wengi Katika Biashara Yangu Mpaka Nakosa Muda wa Kula Wala Kupumzika

  Kila mfanyabiashara kiu yake ni kupata wateja wengi na kuweza kutengeneza faida kubwa katika biashara  yake, sidhani kama mtu...

READ MORE

The Coca-Cola Foundation Supports Tanzanian Women in Recycling Through Grant Award

Saturday 18 February 2023 Dar es Salaam – Over 30 women in the local recycling industry in Dar es Salaam are...

READ MORE

Serikali ya Somalia Yaua Wapiganaji 350 wa Al Shabab Katika Operesheni Tofauti

Serekali ya Somalia Alhamisi imesema wanajeshi wake wanaoungwa mkono na washirika wake wa kimataifa, na wanamgambo wa kikoo wamewaua takriban...

READ MORE

Mwigizaji Bruce Willis Ana Tatizo la Akili, Familia yake Yatangaza

Mwigizaji Bruce Willis ana shida ya kiakili inayofahamika kama frontotemporal, familia yake imetangaza. Katika taarifa kwenye mitandao ya kijamii, walisema...

READ MORE

Vijana Wanufaika Na Mafunzo Ya EACOP Ya Mradi Ujenzi Wa Bomba La Mafuta

Serikali imepongeza  mradi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuwapatia mafunzo yenye hadhi ya kimataifa Watanzania...

READ MORE

Rais wa Kenya William Ruto Atangaza Nafasi za Kazi Sita, IEBC Utata Waibuka

Rais wa Kenya William Ruto ametangaza wazi nafasi sita katika Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, wakati bado jopo...

READ MORE

Idadi ya Vifo vya Tetemeko la Ardhi Syria na Uturuki Yafikia Zaidi ya 41,000

  Idadi ya jumla ya vifo katika tetemeko kubwa la ardhi nchini Uturuki na Syria wiki iliyopita imeongezeka na kufikia...

READ MORE