×

Habari

Kisa Mbeya Kwanza, Kocha Yanga Awaonya Wachezaji Wake Wasiwachukulie Poa

KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema kuwa amewaambia wachezaji wake wasiwachukulie poa Mbeya Kwanza ili yasije yakajitokeza kama yaliyotokea...

READ MORE

Watumishi wa Sekta Binafsi Nao Kucheka Kabla ya Julai – Mwenyekiti TUGHE

MWENYEKITI wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya (TUGHE) Taifa bwana Joel Kaminyoge amesema watumishi wa sekta binafsi...

READ MORE

Nape Nnauye Awasilisha Hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Wizara Bungeni -Video

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye akiwasilisha Hotuba ya Makadirio na Matumizi ya Wizara hiyo...

READ MORE

Gerald Mdamu Mchezaji wa Polisi Tanzania Afunguka Kurudi Uwanjani Msimu Ujao

  GERALD Mathias Mdamu, ni mchezaji wa Polisi Tanzania ambaye msimu huu hajafanikiwa kucheza kwenye timu hiyo kutokana na ajali...

READ MORE

TECNO Phantom X na CAMON 19 Pro Kunyakuwa Tuzo ya Kifahari ya iF Design Award 2022

Hongkong, 13 Aprili 2022 – Hivi majuzi, washindi wa Tuzo maarufu duniani ya iF Design wametangazwa. TECNO ilishinda tuzo ya...

READ MORE

Vikosi vya Urusi Vyadaiwa Kuharibu Kabisa Eneo la Viwanda la Donbas, Ukraine

  RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema usiku wa kuamkia leo Mei 20, 2021 amesema kuwa vikosi vya Urusi vimeharibu...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Mei 20, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 20, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Rais Samia Asema Serikali Imeweka Mkazo Kwenye Sekta za Kilimo, Uvuvi na Ufugaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imeweka mkazo mkubwa katika sekta za kilimo, uvuvi...

READ MORE

Waziri Mkuu: Timu ya Mawaziri Wanne Inahusika na Migogoro Mikubwa Tu

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema timu ya mawaziri wanane kutoka wizara shiriki inashughulikia migogoro mikubwa tu ya ardhi ambayo hulazimu...

READ MORE

Rais Samia Awataka Wananchi wa Tabora Kulinda Miundombinu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ambaye yupo ziarani mkoani Tabora amewaasa wananchi wa mkoa huo...

READ MORE

Mzozo Kati ya Ukraine na Urusi Kusababisha Balaa la Njaa Duniani – UN

Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine huenda ukasababisha baa la njaa kote duniani katika kipindi cha miezi michache ijayo, Umoja wa...

READ MORE

Wateja wa Halotel Kujipatia Zawadi Kupitia Matumizi ya Mtandao

  Kampuni ya Halotel Tanzania imeendelea kuwahakikishia wateja ubora na kasi ya mtandao wake kwa kuwapa huduma zenye ubunifu na...

READ MORE

Nmb Foundation Yatangaza Ufadhili wa Masomo Kwa Wanafunzi

  Taasisi ya NMB Foundation imetangaza kuanza rasmi utaratibu wa kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa kidato cha tano,...

READ MORE

Waziri Nape: Hakuna eneo Litaachwa Kwenye Zoezi la Uwekaji wa Anwani za Makazi

  Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye, amesema hakuna maeneo yatakayoachwa kwenye zoezi la uwekaji...

READ MORE

Tarura Tanganyika Wapewa Siku 30 Kukamilisha Ukarabati Daraja la Ifume

MTENDAJI MKUU wa Mamlaka ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) Eng. Victor Seff ametoa mwezi mmoja kwa TARURA Wilaya ya...

READ MORE

Florian Valerian Massawe Ashinda Bilioni Moja JackPot ya Sportpesa

Mshindi wa Jackpot ya SportPesa Tzs.1,255,316,060 Florian Valerian Massawe akishikilia mfano wa hindi baada ya hafla ya kukabidhiwa rasmi na...

READ MORE

Rais Samia Atoa Rai kwa Wizara ya Kilimo Kuanzisha Kilimo cha Kisasa (Picha +Video)

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa Wizara ya Kilimo kuanzisha na kuendeleza...

READ MORE

Finland na Sweden Zawasilisha Rasmi Maombi ya Kujiunga na Nato

Mataifa ya Sweden na Finland yamewasilisha rasmi maombi yake ya kujiunga na Jumuiya ya Kujihami (NATO) asubuhi ya leo Mei...

READ MORE

Mbunge wa Kibiti Aendeleza Kufuru, Ajitolea Mifuko 300 ya Sementi Kujenga Ofisi za Chama

    MBUNGE wa Jimbo la Kibiti mkoani Pwani, Twaha Mpembenwe ambaye hivi karibuni alishusha tani kadhaa za mifuko ya...

READ MORE

Fahamu Ubabe wa Simu ya Infinix HOT 12, Kwa Kugusisha tu Kwenye Nishati ya Umeme Inakupa 25% Papo Hapo

Moja ya simu janja ambayo mapokezi yake ni makubwa sana ni Infinix HOT 12, simu mpya hii ilizinduliwa tarehe 10...

READ MORE

SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 21

MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: “Tunapoingia kazini, lazima mjue kwamba lengo letu siyo kuua watu wasio na hatia, kama...

READ MORE

Benki ya Exim Yazindua ‘Wajasiriamali Akaunti’

Dar es Salaam: Mei 18, 2022; Benki ya Exim imezindua huduma maalum kwa ajili ya wafanya biashara wadogo wadogo na wajasiriamali...

READ MORE

Mapacha Wenye Miaka 9 Mkoani Arusha Wanaishi kwa Kula Magodoro

Mapacha wenye umri wa miaka 9 mkoani Arusha wanaoishi huku wanakula magodoro, wanaomba msaada ili wakatibiwe.   Mama mzazi wa...

READ MORE

RC Kafulila Atoa siku 7 Mkataba na Mkandarasi Didia Co. Ltd Uvunjwe

MKUU wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila ametoa muda wa siku saba kwa wakala wa Barabara mjini na vijijini (Tarula)...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Atia Saini Kitabu cha Maombolezo Ubalozi wa UAE

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,  ametia saini Kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa...

READ MORE

Rais Samia Azindua Barabara ya Nyahua – Chaya, Tabora Yenye Urefu wa KM 85.4 (Picha +Video)

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali ya awamu ya Sita inaendelea kukamilisha miradi yote ya maendeleo iliyoanza wakati...

READ MORE

Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma Ahimiza Wadau Kusoma Hukumu za Mahakama

  Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amewahimiza Wadau wa mnyororo wa utoaji haki nchini kusoma hukumu...

READ MORE

Spika Tulia Ataka Mashangingi ya Serikali Yazimwe Kuokoa Fedha za Umma – Video

  SPIKA wa Bunge Dk Tulia Ackson ametaka serikali kuwaelekeza madereva wa viongozi wakiwemo mawaziri kuzima magari na kushuka mara...

READ MORE

Binti Ampeleka Baba Mkwe Mahakamani Kwa kumzuia Kuolewa na Mpenzi Wake

Halima Yunusa amempeleka baba mkwe katika Mahakama ya Kiislamu Islamic (Sharia Court) katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria kwa madai...

READ MORE

RC Makalla: Serikali ya Rais Samia Imedhamilia Kuweka Mazingira Bora ya Wafanyabiashara

  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla leo ameitisha kikao kazi na Jumuiya ya Wafanyabiashara na...

READ MORE

Mariupol: Mamia ya Wanajeshi wa Ukraine Waliozingirwa na Urusi Waokolewa

UKRAINE imethibitisha kwamba mamia ya wapiganaji wake waliokuwa wamekwama kwa zaidi ya miezi miwili katika mji wa shughuli za viwanda...

READ MORE

Benki ya NMB Yashiriki na Kudhamini Wiki ya Ubunifu Dodoma

Waziri wa Elimu, Sayansi  na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda ameishukuru Benki ya NMB kwa kushiriki na kudhamini maonesho  ya Kitaifa...

READ MORE

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Zanzibar Kuendeleza Ushirikiano na Zantel

    SERIKALI ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimesema zitaendelea kushirikiana kwa ukaribu...

READ MORE

Mahakama: Yaamuru Mdee na Wenzake Bado ni Wabunge

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeridhia wabunge 19 wa Viti Maalum ambao wamevuliwa uanachama na Chadema kuendelea na...

READ MORE

Harmonize: Usikubali Mtu Akukatishe Tamaa, Pambania Ndoto Zako

HARMONIZE au Teacher Konde; ni staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania ambaye anasema kuwa wakati anahaso kutoka kimuziki alikatishwa tamaa...

READ MORE

SIMULIZI YA KUSISIMUA: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 19

MTUNZI: Hashim Aziz (Hashpower) 0719401968 ILIPOISHIA: Baada ya ‘shopping’ ya nguo kadhaa na viatu, nilimalizia na simu, kwa mara ya...

READ MORE

Rais Samia Atoa Milioni 10 Kila Mkoa Kuendesha Ofisi za Machinga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amepiga simu live katika Kongamano la Mafunzo ya Uongozi na...

READ MORE

Spika Tulia Awakingia Kifua Wabunge 19 waliovuliwa Uanachama na CHADEMA

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tulia Ackson amewakingia kifua wabunge 19 wa kuteuliwa kutoka Chama Cha...

READ MORE

Sweden Mbioni Kujiunga na Umoja wa NATO Licha ya Onyo Kali Kutoka Urusi

SWEDEN imethibitisha kuwa itawasilisha maombi ya kuwa mwanachama wa NATO katika mabadiliko makubwa ya kihistoria kutokana na uvamizi wa Urusi...

READ MORE