×

Habari

Video: Morrison Awaomba Simba Akacheze Yanga, Kuna Mido Imeitaja Simba | Krosi Dongo

  MCHEZAJI wa Simba, Benard Morrison, ameuomba uongozi wake umpe Barua ya kumuachia ‘Release Letter’ ili aweze kucheza michuano ya...

READ MORE

Serikali kukiwezesha Chuo cha Bahari Vifaa vya Kisasa na Majengo

  SERIKALI imeahidi kukiwezesha Chuo cha Bahari (DMI), cha jijini Dar es Salaam kwa miundombinu bora na vifaa vya kisasa...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Israel, Naftali Bennett, Kuvunja Serikali na Kuitisha Uchaguzi Mpya

  OFISI ya Waziri Mkuu wa Israel Naftali Bennett imetangaza kwamba serikali ya muungano ya nchi hiyo itavunjwa, na hivyo...

READ MORE

DMI Yapigia Chapuo Mafunzo ya Ubaharia

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, leo anatarajiwa kufungua kongamano kubwa na la kwanza la uchumi wa...

READ MORE

Samia: Aibu Mkoa Wangu Kuwa wa Mwisho kwa Ufaulu

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema hafurahishwi na matokeo ya mitihani ya taifa ya kidato cha nne na sita ya Shule...

READ MORE

Rais Samia Aipongeza Mwanamke Initiative Foundation kwa Juhudi za Kumkomboa Mwanamke

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa...

READ MORE

ZIC: Miaka 53 ya Huduma, Ubunifu na Mafanikio

  NA MWANDISHI WETU SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) limehitimisha maadhimisho ya miaka 53 tangu kuanzishwa kwake kwa kuzindua program...

READ MORE

Sababu za Ndege Kumwaga Mafuta Ikiwa Angani Kupitia Nozzle… Soma Hapa Kujifunza

Kunapotokea hitilafu yoyote ya ndege ikiwa angani, hususan ikiwa ni muda mfupi baada ya kuruka, rubani huwa hana uwezo wa...

READ MORE

Dada Anyongwa na Mpenzi Wake Hotelini, Kaka wa Marehemu, Wafanyakazi Wasimulia – Video

 MATUKIO ya wanawake kuuawa kikatili na wapenzi au waume zao yameendelea kutikisa, baada ya mwanamke mmoja mmiliki wa saluni...

READ MORE

Marioo Afunguka Mazito “Mimi na Mondi Tunaliamsha Muda Wowote”

  MUZIKI ni ajira, lakini pia ni biashara kubwa ndiyo maana nchini Nigeria wanaichukulia serious tofauti na wengi wanavyoiona!  ...

READ MORE

CRDB Yawezesha Utengenezwaji Mfumo wa Kutunza Taarifa za Diaspora kwa udhamini wa Mil 100

  SERIKALI kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imetiliana saini hati ya makubaliano kutengeneza mfumo...

READ MORE

Makamu wa Rais Atoa Onyo kwa Mkandarasi Daraja la Pugu-Chanika

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amewaasa wakandarasi wazawa kutumia vema na kwa ufanisi...

READ MORE

DC Jokate Atoa Tamko Zito, Aahidi Ni Kufa ama Kupona Ndani ya Wilaya Yake

JOKATE Urban Mwegelo; ni Mkuu wa Wilaya ya Temeke (DC) jijini Dar es Salaam ambaye ametoa tamko zito juu ya...

READ MORE

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha na Wenzake Wapandishwa Kizimbani

MKURUGENZI wa zamani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Dk John Pima na wenzake wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Kiongozi Mabohora Duniani Atua kufanya “Royal Tour” Tanzania

Kiongozi Mkuu wa madhehebu ya Kiislamu ya Mabohora (Dawoodi Bohoras); Sheikh Syedna Mufaddal Saifuddin, ametua nchini Alhamisi Juni 16, 2022,...

READ MORE

Wizara ya Elimu Kupitia Mradi wa EASTRIP Yakipatia Chuo cha (NIT) Zaidi ya Bilioni 49

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia mradi wa EASTRIP imekipatia Chuo cha Usafirishaji (NIT) zaidi ya Shilingi bilioni 49...

READ MORE

Watumiaji wa Daraja la Tanzanite na Barabara Nyingine za Haraka Kibaha – Morogoro

  SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya...

READ MORE

Karsan: Nastaafu Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania

BAADA ya kuitumikia taasisi ya UTPC – Union of Tanzania Press Clubs (Umoja wa Klabu za waandishi wa habari Tanzania)...

READ MORE

Profesa Sedoyeka Ateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Eliamani Sedoyeka kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya...

READ MORE

Juhudi za Rais Samia Kufanikisha Mradi wa Gesi Asilia Nchini wa Sh70 Trilioni

Juni 11, 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, alishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya awali...

READ MORE

Watanzania Kuiwakilisha Afrika Mashindano ya TEHAMA ya Huawei Duniani

WANAFUNZI kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni miongoni mwa washiriki wa fainali za...

READ MORE

TCB Yatangaza Kupata Faida ya Shilingi Bilioni 19.7

  Tanzania Commercial Bank TCB imetangaza kupata faida ya shilingi Bilioni 19.7 kwa mwakaulioishiaDesemba 31 2021 hatua inayotajwa kuwa ya...

READ MORE

Jamaa Ajirambia zake Milioni 10 za “Tigo Chemsha Bongo”

    KAMPUNI namba moja nchini Tanzania kwa Utoaji wa huduma za Kidigitali Tigo , Imekabidhi Hundi ya Milioni 10...

READ MORE

Rais Samia Awasili Zanzibar Baada ya Kuhitimisha Ziara Yake Nchini Oman na Saudi Arabia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewasili Visiwani Zanzibar mara baada ya kumaliza ziara yake ya...

READ MORE

Bilioni 6 Zimetengwa Kuboresha Miundombunu ya Kutolea Huduma za Afya

KATIKA mwaka ujao wa fedha 2022/23 Serikali imetenga shilingi Bilioni 6 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma...

READ MORE

Waziri Mchengerwa Ajiunga Bungeni na Timu ya Taifa ya Walemavu, Tembo Worriors

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa ameingia Bungeni akiwa pamoja na Timu ya Taifa ya Walemavu Tembo Worriors...

READ MORE

Simba Kuvunja Benki, Yamvuta Beki Mbishi wa Kagera Sugar, Dickson Mhilu

  SIMBA imepanga kuvunja benki kumununua beki wa kulia wa Kagera Sugar, Dickson Mhilu atakayekuja kuwa mbadala wa mkongwe Shomari...

READ MORE

Video: Hapatoshi Bungeni, Mijadala ya Bajeti, Wabunge Watoa Hoja Zenye Ujazo….

 Bunge la 12 mkutano wa saba kikao cha 45 kimeendelea leo bungeni, ambapo wabunge wamepata nafasi ya kuuliza maswali...

READ MORE

RC Mtaka Apokea Vifaa vya Kuhifadhia Taka Vilivyotolewa na Benki ya NMB

  Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka ameagiza Jiji la Dodoma kuharakisha sheria ndogo ndogo za mazingira ili kuweka...

READ MORE

Taasisi ya IIA Yapongeza Serikali Kuimarisha Vitengo Vya Ukaguzi wa Ndani

  TAASISI ya Ukaguzi wa ndani nchini Tanzania (IIA) imeipongeza Serikali ya Tanzania dhidi ya mabadiliko makubwa iliyopanga kuyafanya kupitia...

READ MORE

Clouds Yaiomba Serikali Kuingiza Elimu ya Ustawi wa Jamii Katika Mtaala

MKUU wa Kipindi Cha Leo Tena Husna Abdul ambaye pia ni Muongozaji wa kipindi hicho ameiomba Serikali kuingiza mtaala wa...

READ MORE

Mila na Desturi Zetu Zinampa Nguvu Sana Mwanamke Kuliko Mwanaume

KITENDO cha wanaume kunyanyaswa na wake zao halafu wanashindwa kusema kinatokana na ile hali au kasumba ya kuamini mwanaume katika...

READ MORE

Basi la Zuberi Lapata Ajali na Kutumbukia Kwenye Daraja Eneo la Mwigumbi

Basi la Zuberi linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Kahama mkoani Shinyanga leo Juni 15, 2022 limepata ajali na...

READ MORE

NMB Yakabidhi Bilioni 30.7 Gawio Kwa Serikali

    Benki ya NMB leo wamekabidhi Sh. Bilioni 30.7 kwa Serikali huku Makamu wa Rais, Mhe.Dkt Philip Isdor Mpango...

READ MORE

Kijana Akamatwa kwa Kujifanya Mkuu wa Mkoa, Awalaghai Wananchi

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Warren Max Mwinuka (20) Mkazi wa Makondeko, Mbeya Mjini kwa tuhuma za kujifanya...

READ MORE

Alikiba, Samata na Manara Wazungumza na Waandishi Wanabari – Video

 KUELEKEA mechi ya Samakiba itakayochezwa Juni 18, katika dimba la Mkapa jijini Dar, Mwanamuziki Alikiba, msakata kabumbu Mbwana Samatta...

READ MORE

Serikali Kumuongezea Nguvu CAG Kutekeleza Majukumu Yake kwa Ufanisi -Video

  SERIKALI ya Tanzania, imesema itaongeza fedha katika Ofisi ya mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ili...

READ MORE

NBC Yatoa Darasa kwa Wafanyabiashara Mwanza Kukuza Mitaji Yao

MKUU wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel hivi karibuni aliungana maofisa waandamizi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC)...

READ MORE