×

Habari

Wakulima Wapigwa Jeki Kwa Mikopo ya Trekta na Benki ya NBC

    RUVUMA. Julai Mosi, 2022. Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi huduma ya utoaji  wa mkopo wa treka...

READ MORE

Wasanii wa Bongo Muvi Sasa Waja na Dawa za Kulevya

    WASANII wa kike wa Bongo Muvi wanaounda kundi la Binti Filamu Foundation sasa wameamua kuja na kongamano la...

READ MORE

Tazama Hapa Majina ya Waombaji Walioitwa Kazini Ajira za Kada ya Afya

WIZARA ya Afya imetoa orodha ya watumishi walioitwa kazini kufuatia waombaji wa ajira za kada za afya zilizotangazwa kwenye tovuti...

READ MORE

Rais Mwinyi Amuwakilisha Rais Samia Kwenye Sherehe za Uhuru Nchini Burundi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mariam Mwinyi wamejumuika na Viongozi...

READ MORE

Airtel Yaondoa Tozo Kwa Watumiaji wa Airtel Money

Mkurugenzi wa huduma za Airtel Money, Isack Nchunda akiielezea huduma hiyo mpya kushoto ni Meneja uhusiano wa Airtel, Jenipher Mbuya....

READ MORE

Kesi Waliyoifungua Akina Halima Mdee Kutolewa Uamuzi Julai 9

Mahakama Kuu imesikiliza sababu za Halima Mdee na wenzake 18 za kuomba ridhaa ya kufungua kesi kupinga kuvuliwa uanachama wa...

READ MORE

Rais Samia Amuapisha Mkuu wa Majeshi Mpya na Mnadhimu Mkuu, Ikulu – Dar (Picha +Video)

  LEO Juni 30, 2022 Rais Samia amefanya uapisho wa Mkuu wa Majeshi mpya aliyemteua jana Juni 29, 2022 Jenerali...

READ MORE

Jeff Haran, Msanii wa Gospel Aachia Wimbo Mpya Uitwao Unastahili Bwana

MSANII wa nyimbo za injili, Jeff Haran @jeffharan ameachia kazi yake mpya iitwayo Unastahili Bwana ambayo tayari inapatikana kwenye ‘digital...

READ MORE

Zaidi ya Wanafunzi 70 Wanusurika Kifo Baada ya Bweni Lao Kuteketea kwa Moto

ZAIDI ya wanafunzi 70 katika shule ya wavulana ya Bwiru Sekondari iliyopo manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wamenusurika kifo baada...

READ MORE

CRDB, USAID na DFC Kutoa Shilingi Bilioni 100 Kwenye Sekta Ya Elimu, Afya na Biashara

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) kwa pamoja na Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dkt. Donald Wright...

READ MORE

Morrison Asimulia Sakata Zima Kuondolewa Simba, Ugomvi na CEO, Try Again -Video

 GLOBAL TV imefanya mahojiano maalum na mchezaji Benard Morrison, kuhusiana na masuala mbalimbali yanayomhusu, ikiwemo sababu za kuondoka Simba...

READ MORE

Kongamano la USAGM/VOA 2022 Lilivyowakutanisha Viongozi wa Vyombo vya Habari Nchini Afrika Kusini

SHIRIKA la Habari la Sauti ya America (VOA) kwa kushirikiana na bodi ya Utangazaji ya Marekani (USAGM) na Shirika la...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yakabidhi Vifaa kwa Shule ya Wasichana Yatima

    VODACOM  Tanzania Foundation leo imekabidhi vifaa na samani kwa Shule ya Wasichana ya Bethsaida mjini Dar es Salaam...

READ MORE

NMB Yadhamini Mkutano Mkuu wa Kitaifa wa Wafanyakazi Wenye Ulemavu

Sababu kuu tatu zimetajwa kuwa changamoto ya kuwakosesha ajira watu wenye ulemavu nchini licha ya kuwa wanakuwa na sifa zinazotastahili....

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Mkuu Mpya wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amempandisha Cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na...

READ MORE

Uongozi wa Mabingwa wa Ligi Kuu Bara Watoa Tamko Zito CAF Wataka Rekodi

  KUELEKEA mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao, uongozi wa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, Yanga...

READ MORE

Wamiliki Chelsea Waanza Kuzingua Mashabiki Wafumua Bodi, Wamtimua Petr Cech

WAMILIKI wapya wa Chelsea wakiongozwa na bilionea Todd Boehly, wameifumua bodi ya timu hiyo wakifukuza kazi vichwa kibao akiwemo gwiji...

READ MORE

Yanga Yategua Mitego ya Simba Kwa Nabi, Walipeleka Ofa Babu Kukwa Kwa Meneja Wake

MABOSI wa Yanga leo Jumatano jioni wanatarajiwa kufanya kikao kizito na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mtunisia, Nasreddine Nabi kwa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Viongozi Mbalimbali, Akiwemo Mhariri wa Magazeti ya TSN

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Tuma Abdallah kuwa Mhariri Mkuu wa Kampuni...

READ MORE

Video: ‘Mawaziri’ Waitesa Serikali ya Samia, CCM Kwafukuta, Majaliwa Aonya Vigogo Wapigaji…

 Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi...

READ MORE

Kocha wa Viwango Atua Simba Alifundisha Wydad Athletic Club ya Morocco na Al Hilal ya Sudan

SIMBA msimu ujao itakuwa chini ya Kocha Mserbia, Zoran Manojlović, 59, ambaye anarekodi ya kufundisha klabu kubwa barani Afrika.  ...

READ MORE

Esma Khan: Hatujui Penzi la Diamond Platnumz na Zuchu, Amtaja Aaliyah

  UKISIKIA jina la Esma Khan, kama wewe si mdau wa mitandao ya kijamii Bongo, unaweza kusitasita kidogo na kudhani...

READ MORE

Vodacom Tanzania Plc Yapeleka Huduma Zake Sabasaba

    KAMPUNI ya teknolojia na Mawasiliano nchini Vodacom Tanzania Plc, Leo imezindua rasmi banda lake kwenye maonesho ya 46...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Wenyeviti wa Taasisi Mbalimbali za Kiserikali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amefanya Uteuzi wa Wenyeviti wa Taasisi mbalimbali za kiserikali.

READ MORE

Rais Samia Akutana na Kuzungumza na Viongozi wa ACT- Wazalendo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Chama cha ACT...

READ MORE

SGA Security Yazidi Kung’ara Katika Viwango vya ISO

    KAMPUNI ya SGA Security imedhihirisha umahiri wake na umakini katika masuala ya ulinzi kwa kukabidhiwa tena cheti cha...

READ MORE

Jenerali Mabeyo Atoa Rai kwa Makamanda Wakati wa Uzinduzi wa Suma JKT House

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF) Jenerali Venance Salvatory Mabeyo amewataka Viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa kutoa mawazo...

READ MORE

Bodi ya Ligi Yatangaza Ratiba ya Mchezo wa Ngao ya Hisani na Ligi Kuu Bara -Video

MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi TPLB, Almasi Kasongo leo Juni 28, 2022 ametangaza ratiba ya mchezo wa Ngao ya...

READ MORE

Gumzo! Wavulana Wanaovaa Sare Kama Sketi, Mkuu wa Shule Akanusha

NYAKASURA ni shule ya mchanganyiko ya bweni, ya kata ya upili iliyopo huko magharibi mwa nchi ya Uganda ambayo wanafunzi...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Zamani wa Tunisia Hamadi Jebali Aachiwa Huru Kuendelea Kuchunguzwa

  WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tunisia na afisa mkuu wa chama cha Ennahdha chenye kufuata misingi ya kiislam, Hamadi...

READ MORE

Vifaa Vipya Yanga Kuanza Kutua Julai Aziz Ki, Bernard Morrison, Adriano Ndani

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa wachezaji wao wapya waliowasajili kwa ajili ya msimu ujao, rasmi wataanza kutua nchini Julai...

READ MORE

Miss Brazil Afariki Dunia Akifanyiwa Upasuaji Kutoa Mafindofindo, Apata Kiharusi

  Gleycy Correia; ni aliyekuwa Miss Brazil mwaka 2018 ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 27 baada kufanyiwa...

READ MORE

Kiungo wa Kazi Ngumu Ndani ya Kikosi cha Simba Ajifunga Miaka Miwili Kuvaa uzi Mwekundu

  KIUNGO wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba SC, Mzamiru Yassin, amejifunga miaka miwili kuendelea kuvaa uzi mwekundu....

READ MORE

Bodi Mpya ya Wadhamini Ocean Road Yatakiwa Kusimamia Ubora wa Huduma

WAZIRI wa Afya Mheshimiwa Ummy Mwalimu ameitaka Bodi mpya ya wadhamini katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road kusimamia ubora...

READ MORE

Diaspora Watanzania Waipongeza CRDB na CPS kwa Kuwashirikisha Fursa

    UFARANSA, Juni 28, 2022 – Kwa takribani wiki mbili maafisa wa Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha...

READ MORE

Selcom na NALA Wanaungana Kurahisha na Kuleta Unafuu Miamala ya Pesa Tanzania

    DAR ES SALAAM, 28 Juni 2022: Selcom na NALA zimeingia makubaliano ya kushirikiana ya kuongeza nguvu ya kutuma...

READ MORE

NBC Kuboresha Malipo na Makusanyo ya Serikali Zanzibar

  Jumanne, Juni 28, 2022, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imesaini Mkataba wa Maradhiano na Wakala wa Serikali Mtandao...

READ MORE

Rais Samia Awaasa Wanawake Kutotelekeza Watoto, Atoa Maagizo kwa RC Makalla

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hssan ametoa rai kwa kina mama kutotelekeza watoto wao licha ya...

READ MORE

Ajali ya Gari Yaua 6 Wakienda Msibani, Wanne Kati Yao ni wa Familia Moja

WATU sita wamefariki ambapo wanne kati yao ni wa familia moja, watu hao wamefariki dunia kwa ajali ya gari dogo...

READ MORE

Mbunge Kibiti Sasa Avalia Njuga Kuing’arisha CCM Wilayani Humo

    MBUNGE wa Jimbo la Kibiti mkoani Pwani, Mh. Twaha Mpembenwe baada ya kusaidia shughuli mbalimbali za kijamii kwa...

READ MORE