×

Habari

Wanajeshi Urusi Waishiwa Mahitaji Muhimu

KAMPUNI ya kijasusi ya ShadowBreak ya nchini Uingereza, imedai kwamba imenasa mawasiliano kati ya wanajeshi wa Urusi waliopo uwanja wa...

READ MORE

Wakili: Makonda Hakupewa Taarifa Kuitwa Mahakamani

WAKILI wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, Goodchance Reginald amesema mteja wake hakuwa amepewa wito...

READ MORE

Watu 21 Wauawa Katika Shambulizi la Makombora Kharkiv

Takriban watu 21 wameuawa na wengine 112 kujeruhiwa katika shambulio la makombora katika mji wa pili kwa ukubwa nchini Ukraine,...

READ MORE

Meli Iliyobeba Magari Ya Kifahari 4,000 Yazama Ureno

Meli ya mizigo iliyokuwa imebeba magari ya kifahari takribani 4,000, imezama katika Visiwa vya Azores nchini Ureno, zikiwa zimepita wiki...

READ MORE

Baba Askofu Ludovic Minde Ahudhuria Mkutano wa Sinodi ya Maaskofu 2021-2023

    LEO Machi 2 katika nyumba ya mapadri lenguo Halmashauri ya Moshi mkoa wa Kilimanjaro, Baba Askofu Ludovic Minde...

READ MORE

Urusi Yatoa Vitisho; Kimbieni Au Bakini Mfe

Maelfu ya wakazi wa Jiji la Kyiv ambalo ndiyo Mji Mkuu wa Ukraine, wanaendelea kuukimbia mji huo ikiwa ni muda...

READ MORE

Ajali ya Ndege Comoro: Hakuna Miili Iliyopatikana

Serikali ya Comoro imesema bado hakuna mwili wowote uliopatikana baada ya kuanguka kwa ndege inayofanya safari zake visiwani humo.  ...

READ MORE

Mazishi Ya Baba Wa GSM: Makamu Wa Pili Wa Rais, Mbunge Zungu, Washiriki -Video

 Mzee Said Mohamed ambaye ni Baba Mzazi wa Mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) amezikwa leo jioni kwenye makaburi ya...

READ MORE

GGML yabeba tuzo kampuni bora ya madini 2021

  KAMPUNI ya uchimbaji madini ya dhahabu Geita (GGML) imetunukiwa tuzo ya kuwa kampuni bora inayoendesha shughuli za uchimbaji wa...

READ MORE

Video: Rais wa Ukraine Akataliwa Kujiunga Umoja wa Ulaya

 Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, mchana wa leo Jumanne Machi 01, 2022 amezungunza kwa hisia kali na Bunge la...

READ MORE

Itakuliza! Ujumbe Wa Mwanajeshi Wa Urusi Kwa Mama Yake – Video

 Balozi wa Ukraine katika Baraza la Umoja wa Mataifa (UN), Sergei Kyslytsya amesoma ujumbe wa mwanajeshi wa Urusi aliyeuawa...

READ MORE

Mtoto wa Museveni Aunga Mkono Uvamizi wa Urusi

Shirika la Habari la Uingereza, BBC limeripoti kuwa mtoto wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni aitwaye Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba,...

READ MORE

Belarus Waungana Na Urusi Kuishambulia Ukraine

Jeshi la Ukraine limedai kwamba wanajeshi wan chi jirani la Belarus, wamevuka mipaka wakiwa na vifaru na silaha nyingine nzito...

READ MORE

Taleban Yawazuia Wananchi Kusafiri Afghanistan

Serikali ya Taleban inayoongoza nchini Afghanistan, imewapiga marufuku wananchi wa nchi hiyo kusafiri kwenda nje ya nchi bila kuwa na...

READ MORE

Pele Aruhusiwa Kutoka Hospitali

Nguli wa soka ulimwenguni, Pele ameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupata matibabu ya uvimbe na maambukizi ya mfumo wa mkojo....

READ MORE

Makombora ya Urusi Yaua Wanajeshi 70 Ukraine

SERIKALI ya Ukraine wamethibitisha kuwa wanajeshi wasiopungua 70 waliuawa katika shambulio la makombora ya Urusi katika kambi yao ya kijeshi...

READ MORE

Vita Ukrain Yaiweka Afrika Mtegoni

Vita inayoendelea kati ya Urusi na Ukraine inayaweka mataifa ya Afrika katika msemo wa kimakonde ‘ukisimama nchale, ukikimbia nchale’.  ...

READ MORE

Jinsi Waukraine Wanavyolinda Nchi Yao – Picha

Vimiminika vinavyoweza kuwaka moto kama vile petroli na vilevi vinamwagwa ndani ya glasi na kuongezwa mafuta ya injini. Mchanganyiko huu...

READ MORE

Vita Ya Ukraine, Tozo Za Mafuta, Serikali Yapoteza Bil 30 Kwa Mwezi… Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Video Ya Sonia Ukraine..

  WAKATI Serikali ya Tanzania ikiwa imeanza kuchukua hatua za kuwarejesha nchini Watanzania takriban 300 waliopo nchini Ukraine kutokana na...

READ MORE

Ukraine: Mapigano Lazima Yakomeshwe- Katibu Mkuu wa UN

  Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres anatarajiwa kutoa wito wa kusitisha mapigano nchini Ukraine. Mapigano yanavuma kote...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Machi 1, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 1, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Droo ya Mwezi wa Pili wa MastaBata kuwazawadia Wateja wake Tsh Milioni 25

Benki ya NMB imechezesha Droo ya mwezi wa pili wa MastaBata kivyakovyako jijini Dodoma na kuwazawadia Wateja wao jumla la...

READ MORE

Rais Mwinyi Afunguka Watalii Wa Ukraine Waliokwama Zanzibar

Rais Mwinyi afunguka kuhusu watalii wa Ukraine waliokwama hotelini Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt....

READ MORE

Vivo Wazindua Rasmi Simu Mpya Vivo 23 5G

  HATIMAYE Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vivo Smartphones ya Tanzania, imefanikiwa  kuzindua rasmi simu mpya aina ya V23...

READ MORE

Redcross Mkoa wa Kilimanjaro Wamwagiwa Sifa kwa huduma Zao Kili Marathon 2022

    JANA Jumapili ilikuwa ni siku ya kipekee Moshi mkoani Kilimanjaro kutokana na tamasha kubwa la mbio za Kilimanjaro...

READ MORE

Ukraine: Tumeua wanajeshi 5,300 wa Urusi

Wizara ya ulinzi ya Kyiv inadai kuwa takribani wanajeshi 5,300 wa Urusi wameuawa katika siku nne za kwanza za mapigano...

READ MORE

Google Yazuia Matangazo Vyombo vya Habari Urusi

Google haitaruhusu tena vyombo vya habari vya serikali ya Urusi kuonyesha matangazo, kufuatia uamuzi kama huo uliofanywa Jumamosi na kampuni...

READ MORE

Ramli Chonganishi Zinavyomaliza Raia

JESHI la Polisi mkoani Morogoro inawashikilia watu wanane kwa tuhuma za mauaji na kujihusisha kupiga ramli chonganishi ambazo kwa kiwango...

READ MORE

Wimbo wa Taifa Urusi hautapigwa

Shirikisho la Soka Duniani ( FIFA ) jana lilijibu shinikizo la kimataifa linaloongezeka kuhusiana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine...

READ MORE

Muna: Waislam Mtanipokea?

Muna Love; ni mwigizaji wa Bongo Movies japo kwa muda mrefu hajaonekana lokesheni ambaye hivi karibuni alizua kizaazaa baada ya...

READ MORE

Mzee Dalali Awataka Yanga SC Nusu Fainali ASFC

MWENYEKITI wa Baraza la Wazee la Simba, Hassan Dalali amefunguka kuwa anatamani kikosi chao kikutane na Yanga kwenye mchezo wa...

READ MORE

Mambo Ni Moto! VIVO Wazindua Simu Mpya Aina ya V23 5G, ni Nzuri Balaa- VIDEO

Kampuni ya simu ya VIVO, leo 28 Februari  2022, wamezindua simu mpya aina ya V23 5G. 

READ MORE

Amir Khan Apewa Wiki Tatu

  OFISA Mtendaji Mkuu wa taasisi ya ngumi ya Boxxer, Ben Shalom, amesema Muingereza Amir Khan ana wiki tatu tu...

READ MORE

Mdee, Wenzake Kung’oka Bungeni, Dk. Slaa Ajadili Kesi..Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Bolt na Mpango wa Kuwawezesha Madereva Kiuchumi

AMRI ni  dereva wa Bolt nchini Tanzania ambaye kwa miaka miwili sasa, amekuwa akitumia gesi  iliyochakatwa kwa mfumo asilia ‘Compressed...

READ MORE

Putin Aamuru Kikosi cha Nyuklia Cha Urusi Kuwa Tayari

Rais wa Urusi Vladimir Putin leo Feb 27, 2022 ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika “tahadhari...

READ MORE