×

Habari

TBA Yaupiga Mwingi, Yakarabati Nyumba za Wapangaji na Viongozi – Video

UONGOZI wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) umefanya ziara katika maeneo ambayo wanafanya ukarabati mkubwa wa majengo yakiwemo yale ya...

READ MORE

Video: Dada Aliyenyongwa Na Mganga Wa Kienyeji, Mfanyakazi Wake Aanika Ukweli

 MOJA kati ya matukio ambayo yalitawaliwa na utata mzito hivi karibuni ni pamoja na tukio la kifo cha Bi...

READ MORE

Waziri Dkt Gwajima Awatunuku Tuzo Wanawake 35

    JUMLA ya  wanawake 35 wamepewa tuzo ya umahiri kwenye biashara zilizotolewa na Chama cha Wanawake Wafanyabiashara (TWCC) . Walikabidhiwa...

READ MORE

Urusi Yashambulia Hospitali Tatu Ukraine

Hospitali ya wanawake wajawazito katika Mji wa Mariupol nchini Ukraine, Jumatano ya Machi 9, 2022 imepigwa makombora na majeshi ya...

READ MORE

Wizara ya Ardhi Yaanzisha Oparesheni Ya Mtaa Kwa Mtaa Kuwafikia Walipa Kodi

Serikali kupitia Wizara Ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanzisha oparesheni maalumu ya ufatiliaji wa wadaiwa wa Kodi ya...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi wa UN Women Ikulu Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa UN Women Ukanda...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Wake wa Viongozi Ikulu, Zanzibar

Rais Samia Suluhu Hassan leo Machi 8, 2022 amekutana na wake wa viongozi mbalimbali wa Serikali Ikulu Tunguu, Zanzibar mara...

READ MORE

Rais Samia, Majaliwa wafanya jambo usiku

Viongozi wakuu wa nchi usiku wa Machi 8, 2022, wamekuwa miongoni mwa watanzania walioadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kushiriki...

READ MORE

Prof. Mkenda Aeleza Mafanikio ya Mwaka 1 ya Rais Samia

  Serikali ya Awamu ya Sita imetoa kipaumbele katika Sekta ya Elimu kwa kuhakikisha mindombinu ya shule za msingi na...

READ MORE

Rais Zelensky Alihutubia Bunge La Uingereza

RAIS Volodomyr Zelensky, amelihutubia Bunge la Uingereza (House of Commons) kwa njia ya mtandao na kuahidi kwamba watapambana mpaka kumshinda...

READ MORE

Poland Yatangaza Kuipa Ukraine Ndege Za Kivita, Marekani Yakataa

 Serikali ya Poland imetangaza kuipa msaada Ukraine wa ndege za kisasa za kivita, MiG-29 ili kukabiliana na mashambulizi ya...

READ MORE

Liverpool Yachapwa Anfield, Yatinga Robo Fainali

LAUTARO Martinez nyota wa kikosi cha Inter Milan alivunja rekodi ya Klabu ya Liverpool kutopoteza mchezo wa ushindani katika mechi...

READ MORE

Yasome Hapa Magazeti ya Leo Jumatano, Machi 9, 2022

Hapa tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 9, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Rais Mwinyi afanya mabadiliko Baraza la Mawaziri, Ateua wapya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo Machi 8, 2022 amefanya mabadiliko katika...

READ MORE

Rais Samia Atahadharisha Mfumuko Wa Bei

Rais Samia Suluhu Hassan amesema minong’ono ya maisha kuwa magumu na vitu kupanda bei, ni kutokana na athari zinazotokana na...

READ MORE

Wanafunzi 11 wa Kitanzania Waliokwama Sumy Wafika Moscow

Kundi la wanafunzi 11 waliokuwa wamekwama Sumy nchini Ukraine wameokolewa na kufikishwa salama katika Ubalozi wa Tanzania jijini Moscow, Urusi....

READ MORE

Mzee wa Miaka 69 Hatiani kwa Mauaji

  Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, imemhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja, Marima Mazengo (69)...

READ MORE

Siku ya Wanawake Duniani Yanogeshwa na Meridianbet

Kama ilivyodesturi ya Meridianbet kurudisha kwenye jamii inayoizunguka, safari hii, kampuni ya Meridianbet Tanzania imetoa mkono wa pongezi kwa kina...

READ MORE

Muna Adorishia Wowowo Lake

  MUNA Love; ni mwigizaji ambaye hajaonekana lokesheni kwa muda mrefu, lakini amekuwa akisikika zaidi kwa mambo ya upasuaji (sajari)....

READ MORE

Rais Samia: Hakuna Kuulizana Dini Wakati wa Sensa – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mtu atakayeulizwa dini yake wakati wa sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti...

READ MORE

Rais Putin Aliwahi Kuishi Kaole Bagamoyo

WAKATI Urusi ikiendeleza vita dhidi ya Ukraine, rais wa nchi hiyo anayelalamikiwa kwa uvamizi, Vladimir Vladimirovich Putin ametajwa kuishi nchini...

READ MORE

Hii Kali: Wanajeshi Ukraine Wafunga Ndoa Vitani

Ni muendelezo wa Habari za Kimataifa kutokea Bara la Ulaya ambapo tunaangazia mzozo wa Kivita baina ya Ukraine na Urusi....

READ MORE

Binti wa Umri wa Miaka 7 Afariki Ukraine

Watu sita akiwemo binti mwenye umri wa miaka 7, Alisa Hlans wamefariki dunia baada ya majeshi ya Urusi kurusha makombora...

READ MORE

Exim Yaungana na Dunia Kuadhamisha Siku ya Wanawake Duniani

Benki ya Exim Tanzania hii leo imeungana na Dunia kwa ujumla katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani. Katika kuadhimisha siku...

READ MORE

Urusi Yaionya Ujerumani Usambazaji wa Mafuta Ulaya

Urusi imesema huenda ikafunga bomba lake kuu la gesi hadi Ujerumani ikiwa nchi za Magharibi zitaendelea na kupiga marufuku mafuta...

READ MORE

Live; Kiongozi wa Kijeshi wa Urusi Auawa Vitani, Yasema Ukraine

Kamanda wa ngazi za juu katika jeshi la Urusi ameuawa wakati wa mapigano karibu na Kharkiv, kulingana na wizara ya...

READ MORE

SBL Yaadhimisha Siku ya Wanawake kwa Kuhamasisha Usawa na Haki za Kijinsia

    KAMPUNI ya bia ya Serengeti (SBL) inaendelea kuonyesha njia kwenye masuala ya kijinsia kwa kutoa fursa sawa kwa...

READ MORE

Video: Kishindo Cha Mbowe Leo Kutangaza Mwelekeo Wa Chama, Mamlaka Yatua Kwa Wanawake | Front Page..

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…...

READ MORE

Konyagi Yazindua Chupa Yenye Chapa Maalumu Na Kuwatambua Wanawake

    Jumatano Machi 8, 2022: Katika Kusherekea siku ya Wanawake Duniani 2022, Kampuni ya Tanzania Distilleries Limited, kupitia kinywaji...

READ MORE

Rais Samia Alivyokabidhiwa na Nmb Vifaa vya Elimu kwa Wenye Uhitaji

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameishukuru na kuipongeza Benki ya NMB kwa mchango unaoenda...

READ MORE

Zungu amtoa hofu Rais Samia kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025

NAIBU Spika wa Bunge, Mussa Azan Zungu amemtaka Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, asiwe na hofu kuhusu Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Waziri Ndumbaro Aitembelea Klabu ya Ajax

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa Klabu ya Soka ya Ajax ya Uholanzi...

READ MORE

Staa wa filamu Ukraine auawa Vitani

Staa mkubwa wa filamu nchini Ukraine, Pasha Lee aliyeamua kuweka sanaa pembeni na kuingia vitani kuipigania nchi yake, ameuawa baada...

READ MORE

Samia akutana Live na kijana Emmanuel, aomba apishwe wazungumze – Video

Rais Samia Suluhu ametembelea Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa leo ambapo akiwa Shuleni hapo ametimiza ahadi ya kukutana na Mwanafunzi...

READ MORE

Bilionea Mturuki Anaitaka Chelsea

MFANYABIASHARA na bilionea kutoka Uturuki, Muhsin Bayrak, amepokea ofa ya kutaka kuinunua Klabu ya Chelsea na muda wowote atatua London...

READ MORE