Klabu ya Al Ahly ya Misri imemtoza kiungo wao nyota, Emam Ashour, faini kubwa zaidi kuwahi kutolewa katika historia ya...
READ MORESerikali ya kijeshi ya Burkina Faso imefuta vyama vyote vya siasa na kubatilisha mfumo wa kisheria uliokuwa unasimamia uendeshaji wake,...
READ MOREWaziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na...
READ MOREToyota Land Cruiser 300 (LC300) imekuwa gumzo barani Afrika tangu kuingia sokoni, ikiwa imebeba jina kubwa la uimara na uwezo...
READ MOREDAR-Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kumekuwepo taarifa za upotoshaji zinazosambazwa na watu wasiokitakia mema chama hicho zikiwahusisha viongozi...
READ MORENchini Tanzania, hatua inayodhihirisha dhamira ya kampuni hiyo ya kuhakikisha teknolojia bunifu inawafikia watu wengi zaidi hususan familia, wanafunzi na...
READ MORESerikali ya China imetekeleza adhabu ya kunyongwa ya wanachama 11 wa familia maarufu ya Ming, iliyokuwa ikiendesha mitandao mikubwa ya...
READ MOREShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo Dar es Salaam kutumika kwa michezo ya Ligi,...
READ MORERwanda imeishitaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya wahamiaji ambayo...
READ MORELeo ndio leo asemaye kesho muongo, hii ni kauli ya waswahili ambayo ina maana kuwa jambo ambalo linawezekana leo lifanyike...
READ MORE📱✨ Maisha yamerahisishwa #Kidigitali! Kuwa mjanja kwa kuishi kijanja! 😎 Sasa pata habari zote kiganjani ukiwa na simu yako 📲 kuanzia...
READ MOREVidonda vya tumbo ( kitaalam Peptic Ulcer) ni majeraha au vidonda vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa tumbo au sehemu...
READ MORENilihisi moyo wangu umevunjika. Aliondoka ghafla, bila kueleza sababu yoyote. Kila siku niliamka nikihisi huzuni na upweke. Nilijaribu kuwasiliana, kumwambia...
READ MOREWaziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo January 28,2026 ameongoza Mkutano wa Kamati ya Katiba, Sheria na Bunge ya Baraza la...
READ MOREHatari ya kuzuka kwa vita kati ya Marekani na Iran inaonekana kuongezeka, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kuonya...
READ MOREWaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amesema Nchi ya Tanzania iko salama huku akigusia uimara wa Jeshi...
READ MOREHii ni updates kutoka mahakama ya hakimu mkazi kisutu inaelezwa kuwa Shahidi ambaye ni Mkulima Sophia Watson (66) ameilezea jinsi...
READ MOREWaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wazi kuwa hajawasiliana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff...
READ MORENilipoteza kazi yangu ghafla. Hakukuwa na onyo, na hakuna kilichokuwa tayari. Kila njia niliyojaribu kupata pesa ili kuendesha maisha ilishindikana....
READ MOREMke wa Rais wa zamani wa Korea Kusini, Kim Koen Hee, amehukumiwa kifungo cha miezi 20 jela kwa kupokea hongo...
READ MORENaibu Waziri Mkuu wa jimbo la Maharashtra, India, Ajit Pawar, amefariki dunia kufuatia ajali ya ndege aliyokuwa akisafiria karibu na...
READ MORELeo, Januari 28, 2026, Bungeni Jijini Dodoma, wabunge wa Tanzania wamewathibitisha Cecilia Paresso, Najma Giga, na Deodatus Mwanyika kuwa Wenyeviti...
READ MOREMorocco haitakuwa tena mwenyeji wa mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2030, kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati wa...
READ MOREAirtel Yazindua Minara 5 Mpya ya Mawasiliano Tanga, Iringa, Ruvuma, Sumbawanga na Mwanza. Tanzania, 16 Januari 2026. Airtel Tanzania imezindua...
READ MOREBenki ya Absa Tanzania Tanzania imezindua rasmi ripoti ya Absa ya Viashiria vya Masoko ya Fedha Afrika 2025 kwa Tanzania...
READ MOREUbongo wa mwanadamu ni kiungo muhimu ambacho kinategemea usambazaji wa damu unaoendelea. Kutatizika kwa mtiririko wa damu kunaweza kukata oksijeni...
READ MOREWAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kufanya mageuzi ya sera zinazogusa moja kwa moja maslahi na ustawi wa...
READ MOREKamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bukoba Mjini imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali kwa vituo viwili...
READ MOREMarais wa zamani wa Marekani, Barack Obama na Bill Clinton, wamewahimiza Wamarekani kusimama na kutetea kile walichokiita “maadili ya msingi...
READ MOREMsajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu (wa pili kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari nane ya Bank on Wheels (Matawi...
READ MOREKampuni inayoongoza ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imeingia rasmi ushirikiano wa kipekee na kampuni ya mtandao wa simu wa Yas...
READ MOREAirtel Africa imepata faida baada ya kodi ya Dola za Marekani 586 milioni kwa kipindi cha miezi tisa kilichoisha Desemba...
READ MOREMbunge wa Momba (CCM), Condester Sichalwe kwa mara nyingine ameibua suala la gharama kubwa za mabando na intaneti, zinazosababisha ugumu...
READ MOREUtata umeibuka kufuatia kifo cha Diwani wa Kata ya Nyamugali, Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe, Majaliwa Abbas Hamis, baada ya...
READ MOREMtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha roli na basi, iliyotokea leo Januari majira...
READ MOREWaziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 27, 2026 ameshiriki zoezi la upandaji miti, mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu...
READ MOREJeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi wa tukio la kifo cha cha Gidion Ebenezeri Mbwambo (34). Tukio hilo...
READ MORELeo hii una nafasi ya kumiliki simu ya ndoto zako na Meridianbet ambapo kwa kubashiri mechi za mpira wa miguu...
READ MOREWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali imetoa Shilingi Milioni 675 kutekeleza mradi...
READ MOREMwanadada Rita Norbert amezua mjadala mpana mitandaoni baada ya kudai kuwa, kwa hapa nchini, haoni mwanamke anayeweza kumfunika kwa mvuto...
READ MORE