×

Habari

Waya wa Umeme Waua Watu 26 Sokoni

TAKRIBAN watu 26 wamefariki baada ya waya wa Umeme kukatika na na kuanguka sokoni katika wilaya ya Matadi – Kibala...

READ MORE

Misri Yaitungua Cameroon, Sasa Kucheza Fainali na Senegal

TIMU ya taifa ya Misri Pharaos imeingia tena katka fainali za kombe la mataifa ya Afrika 2021 baada ya kuwafunga...

READ MORE

Live: Mambo Magumu Kesi Ya Sabaya, Vigogo CCM Mtegoni, Kikwete Atoa Neno Utendaji Wa Samia…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Mchengerwa Aahidi Kukutana Na Wadau Wa Sanaa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mohamed Mchengerwa amesema anatarajia kukutana na wasanii wa makundi yote katika kipindi kifupi kijacho...

READ MORE

Kimbunga Ana Chaua Zimbabwe

Watu kumi wamefariki dunia nchini Zimbabwe baada ya kusombwa na maji walipokuwa wakijaribu kuvuka mto uliokuwa umejaa karibu na mpaka...

READ MORE

Kitabu cha Rais Weah Chazua Balaa, Asifia Uwezo wa Mkewe Chumbani

MAKUNDI ya wanawake nchini Liberia yameghadhabishwa na sehemu ya chapisho katika kitabu cha wasifu wa Rais wa nchi hiyo George...

READ MORE

Mbaroni kwa Kuiba Biblia Mbili

Mwanamume ambaye amekamatwa na kushtakiwa kwa kuiba biblia mbili kwenye duka kubwa jijini Nairobi anasema alichokuwa akitaka ni kumjua Mungu...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa IFC, Ikulu Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Februari 3, 2021 amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mtendaji...

READ MORE

Aliyeua kwa Kisu Vingunguti Akiri Kosa, Aachiwa Mahakamani

Mahakama ya Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemwachia huru mfanyabiashara Steven Aloyce mkazi wa Vingunguti kwa masharti ya kutotenda...

READ MORE

Mtoto Aliyepotea Kimaajabu Apatikana, Hakumbuki Chochote

IDRISSA Mkenge (16), mkazi wa Magomeni, mkoani Dar es Salaam, ambaye alikuwa anatafutwa na wazazi wake baada ya kutoripoti shuleni...

READ MORE

Mvuvi Apambana na Mamba Kuokoa Nyavu Zake

MTU mmoja amepigana vita vikali dhidi ya mamba katika harakati za kuokoa wavu wake wa kuvulia samaki nchini Msumbiji.  ...

READ MORE

Makonda Kusakwa

MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Naibu Spika wa Bunge Kuchaguliwa Februari 11

Katibu wa Bunge, Nenelwa Mwihambi ametangaza nafasi ya Naibu Spika wa Bunge kuwa wazi akivitaka vyama vyenye uwakilishi bungeni kuteua...

READ MORE

Kichwa cha Mlinzi Aliyeuawa Chapatikana, Muuaji Naye Mbaroni

JESHI la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Raymond Mollel ammbaya amekamatwa kwa tuhuma za mauaji...

READ MORE

Rais Mwinyi Atumbua Watano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa viongozi watano wa idara...

READ MORE

Mradi wa Maji Kichefuchefu Wamchefua Shigongo

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo ametaka majibu ya Serikali kuhusu mradi mkubwa wa maji Lumeya, Nayakaliro, Kalebezo hadi Nyehunge...

READ MORE

Boss Cnn Ajiuzulu Kwa Skendo ya Mapenzi

RAIS wa Televisioni maarufu duniani ya CNN Jeff Zucker ambaye pia ni Mtendaji Mkuu wa habari mwenye mchango mkubwa katika...

READ MORE

Live: Bunge La 12, Mkutano Wa 6, Kikao Cha 3, Kipindi Cha Maswali Na Majibu| Bungeni – Dodoma..

Leo Februari 03, 2022 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea Jijini Dodoma ambapo ni Bunge la 12, Mkutano...

READ MORE

Live: Samia Asema Pesa Zinatembea Kortini, Akemea Ujanja Ujanja Utoaji Haki | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Rais wa MasterCard International Ashuhudia Droo Ya Tano Ya Nmb

Rais mpya wa MasterCard International- Sub Sahara Africa, Mark Elliott, ameshuhudia droo ya wiki ya tano ya Kampeni ya NMB...

READ MORE

Mlinzi wa Shule Auawa, Wauaji Wakata Kichwa, Waondoka Nacho

MLINZI wa shule ya Winnings Spirit iliyopo eneo la Terati jijini Arusha, Issa Dinaiah (57) amekutwa ameuawa kwa kuchinjwa huku...

READ MORE

Mtoto Achomwa Moto Sehemu za Siri na Mjomba Aake

MTOTO wa miaka 10 (jina limehifadhi) katika Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la...

READ MORE

Wauza Jezi Feki za Yanga Wanaswa Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam limewakamata watu 17 kwa tuhuma za kuuza jezi bandia za timu ya...

READ MORE

Suala la Anuani za Makazi Litakamilika Kabla ya Sensa

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema suala la anuani ya makazi zitakamilika kabla ya...

READ MORE

Mwanamke Anyongwa Nyumbani Kwake

Jeshi la Polisi mkoa wa Geita linaendelea na uchunguzi kufuatia tukio la mauaji ya mke wa mfanyakazi wa mgodi wa...

READ MORE

Silaa Atamani Aweso Apewe PhD

Mbunge wa jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam, Jerry Silaa, amempongeza Waziri wa Maji Jumaa Aweso, kwa utendaji wake...

READ MORE

Mwanafunzi Auawa Kinyama, Anyofolewa Viungo vys Siri

WATU wasiojulikana wamemuua kikatili mwanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Tutuo, Sikonge mkoani Tabora, Maria Kazungu (13)...

READ MORE

IGP Sirro: Tukio Mtwara Lisiwafanye Watanzania Lutoliamini Jeshi Lenu

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro, amewaambia wananchi kuwa tukio la Mtwara lililowahusisha Maofisa wa Jeshi la...

READ MORE

Vodacom Foundation na African Child Project Waunganisha Shule Katika Mikoa 10 Kidijitali

      Dar es Salaam, 2 Februari, 2022 Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation ambayo inajishughulisha na masuala ya kijamii kwa...

READ MORE

Hawa ndio Mapacha Waliokula Chumvi Mpaka Baasi

Comfort Akosua Nyarkoa na Grace Akosua Nyarkoa, 87, wanasemekana kuwa pacha wenye umri mkubwa zaidi kuwahi kuishi kwa muda mrefu...

READ MORE

Rais Samia: Jukumu la Mahakama ni Kutoa Haki – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema jukumu la msingi la mahakama ni kutoa haki na katika utekelezaji wa jukumu hilo, mahakama...

READ MORE

Live: DK Tulia Aahidi Mambo Matatu, Lissu, Lema, Ben Saanane Watajwa Kesi Ya Mbowe | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Luteni Urio Awa Mbogo kwa Kibatala Baada ya Kudai Yuko Kizuizini

SHAHIDI wa 12 wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Luteni Denis...

READ MORE

Ndege ya Umeme Kuanza Majaribio, Hakuna cha Mafuta

TEKNOLOJIA na masuala ya usafirishaji inazidi kuwa kubwa, wakati wengine wakibuni magari mapya yanayotumia umeme badala ya mafuta, Israel Eviation...

READ MORE

Rais Samia Uledi Mussa Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TRA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Uledi Abbas Mussa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kipindi...

READ MORE

Amuua Mama Yake Mzazi Kisa Anamdai Laki 3

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma linamshikilia kijana Herman John kwa tuhuma za kumuua mama yake kwa kumpiga na mpini...

READ MORE

Mwanza: Dereva Tax Auawa na Kutobolewa Macho

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za mauaji ya dereva taksi aliyekuwa anajulikana kwa jina la...

READ MORE

Mtia Nia Uspika: Nitawanunulia Wabunge Magari Mazuri, Nitaongeza Posho

Mgombea wa Kiti cha Spika katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kunje Ngombale Mwiru kutoka chama cha Sauti...

READ MORE

Dkt. Tulia: Bunge ‘Halitamezwa’ na Serikali

ALIYEKUWA Naibu Spika Dk Tulia Ackson na mgombea wa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika kiti cha Uspika wa Bunge la...

READ MORE

Hawa ndio Maspika Waliowahi Kuliongoza Bunge la Tanzania

Aloyekuwa Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson ameapa kuwa spika wa nane wa Bunge hilo tangu uhuru...

READ MORE