Jaji Mustapha Siyani aliyekuwa akiendesha kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake amejitoka kuendesha kesi hiyo leo Jumatano,...
READ MOREAskofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa...
READ MOREMahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 imetoa hukumu ya kesi ndogo...
READ MOREKAMANDA wa vikosi vya ardhi nchini Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ameweka kwenye Twitter picha ya kile anachosema kuwa gari la...
READ MORENaibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema Serikali ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Mifugo...
READ MOREMshindi mara 18 wa Tuzo za Grammy, Tony Bennett ameweka rekodi mpya ya Dunia ya Guinness ya kuwa mwanamuziki mwenye...
READ MOREKatika robo ya tatu ya mwaka iliyoishia Septemba 2021, Benki ya NMB imeonesha ufanisi mkubwa na mafanikio katika maeneo mbalimbali...
READ MOREKampuni ya Uber na Boeing ambao wamejikita katika utengenezaji wa magari yanayopaa maarufu kama eVTOL (electric vertical take-off and landing),...
READ MOREHII tuite laana ama nini? Mamia ya watu wamejitolea kuvua nguo zao na kubaki uchi ili kupigwa picha zinazoelezea namna...
READ MOREMKUU wa mkoa wa Dar, Amoss Makala, amezungumzia vurugu zilizotokea mitaa ya Msimbazi Kariakoo wakati zoezi la kuwapanga wamachinga likiendelea....
READ MOREKijana wa Kitanzania aliyekuwa akiishi nchini Marekani na wazazi wake, Humphrey Magwira amepigwa risasi na kuuawa katika eneo la Fort...
READ MOREMchawi Mkuu wa Serikali ya New Zealand, Ian Brackenbury Channell ambaye ndiye mchawi pekee duniani aliyekuwa akilipwa mshahara na serikali,...
READ MOREKAMPUNI inayoongoza ya teknolojia na mawasiliano nchini, Vodacom Tanzania Plc leo imefanya mkutano mkuu wa mwaka wa wanahisa ambapo...
READ MOREMAOFISA wa magereza Kaunti ya Kakamega walikuwa na wakati mgumu kumtuliza mfungwa mmoja aliyekwea juu ya ukuta ya gereza hilo...
READ MOREKWA kawaida tumezoea kuona ama kusikia mwanamke akijifungua mtoto mmoja, mapaha wawili na mara chache sana mapacha watatu au wanne,...
READ MOREShirika la Huduma za Sheria (LSF) linatimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Ni muongo mmoja ambao umewanufaisha mamilioni ya Watanzania...
READ MORE“BABY wangu, hakuna asubuhi isiyokuwa na usiku na ukiona usiku umeingia ujue mchana unakaribia…”Haya ni maneno ya mwanamama wa Bongo...
READ MOREKOCHA Mkuu wa Simba Mfaransa Didier Gomes amesema kuwa ameshindwa kufanya maandalizi mazuri ya mchezo wa hatua ya pili ya...
READ MOREWakazi wa Kata ya Kitangiri katika Manispaa ya Shinyanga wamewaomba viongozi wa ngazi zote kuchukua hatua za haraka za kukabiliana...
READ MORERadi iliyoambatana na mvua imeuwa ng’ombe 15 usiku wa kuamkia leo Oktoba 18, 2021, katika Kijiji cha Zaire kilichopo Kata...
READ MOREWANAWAKE wa Mikoa ya Kilimanjaro, Mbeya na Arusha wanaongoza kwa kuwa na unene uliopitiliza na kupata viribatumbo maarufu kitambi. ...
READ MORESerikali ya mkoa wa Dar es Salaam imewaongezea siku 12 wafanyabiashara ndogo ndogo (wamachinga) kuanzia leo wahame katika maeneo yasiyo...
READ MOREAbiria waliokuwa wanasafiri kutoka Mpanda mkoani Katavi kwenda Kasulu mkoani Kigoma, wamenusurika kifo baada ya Basi la Kampuni ya Adventure...
READ MORETume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), leo Jumatatu, Oktoba 18, 2021 imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ukorofi na kukosekana kwa nidhamu ndiyo kulikopelekea kumhamisha...
READ MOREIKIWA ni siku tatu tangu alipohukumiwa kwenda jela miaka 30, yeye na wenzake wawili kwa makosa ya nunyang’anyi wa kutumia...
READ MOREJESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia mwanamke aitwaye Amina Hamis (32) kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumchoma kitu chenye...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kufanya kazi kwa weredi na kuacha malumbano...
READ MOREWAKAZI wa Kijiji cha Mbogo kilichopo Pongwe mkoani Tanga wamelia kubomolewa nyumba zao na kuondolewa kwa nguvu eneo...
READ MORERapa maarufu wa pande za Joe Biden namaanisha Marekani, Jeffery Lamar Williams almaarufu kama Young Thug anayetamba na albamu yake...
READ MOREMKAZI wa Kitongoji cha Mabatini, wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Kennedy Fumpa (37), amekamatwa kwa tuhuma za kumuoa mwanafunzi wa darasa...
READ MOREjipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema ziara anazofanya nchi mbalimbali zinafaida kubwa kwa nchi...
READ MOREALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha...
READ MOREOFISI ya mtendaji wa kijiji cha Mwabagalu kata ya Nyabubinza wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu imechomwa moto alfajiri ya leo...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Oktoba, 2021 amezindua rasmi Hospitali ya Jiji...
READ MOREMsemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema leo Oktoba 17, 2021 kuwa katika kipindi cha Miezi 6, Serikali ya...
READ MOREAliyekuwa Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Diwani wa Kata ya Sombetini aliyemaliza muda wake, Ally Bananga...
READ MOREWAZIRI wa maliasili na utalii, Dkt Damas Ndumbaro, leo Oktoba 17, amezungumza na wanahabari kuhusiana na Mabilioni ya fedha yaliyotolewa...
READ MOREMBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amekabidhi Magodoro 70 yenye thamani ya Sh milioni tatu kwa ajili ya wanafunzi...
READ MORE