×

Habari

Jaji Siyani Ajitoa Kesi ya Mbowe

Jaji Mustapha Siyani aliyekuwa akiendesha kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake  amejitoka kuendesha kesi hiyo leo Jumatano,...

READ MORE

Askofu Mwamakula Alivyoangusha Maombi Mahakamani Kesi ya Mbowe

Askofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Pingamizi la Mbowe

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 imetoa hukumu ya kesi ndogo...

READ MORE

Uganda Yazindua Gari la Kivita Lililoundwa Nchini Humo

KAMANDA wa vikosi vya ardhi nchini Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ameweka kwenye Twitter picha ya kile anachosema kuwa gari la...

READ MORE

Naibu Waziri Ulega “Tumedhamiria Kuinua Biashara Ya Dagaa Kigoma”-Video

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema Serikali ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kupitia Wizara ya Mifugo...

READ MORE

Tony Bennett Ameweka Rekodi Mpya ya Dunia ya Guinness

Mshindi mara 18 wa Tuzo za Grammy, Tony Bennett ameweka rekodi mpya ya Dunia ya Guinness ya kuwa mwanamuziki mwenye...

READ MORE

Nmb Yavunja Rekodi, Yatangaza Faida Ya Kihistoria Ya Bil 211

Katika robo ya tatu ya mwaka iliyoishia Septemba 2021, Benki ya NMB imeonesha ufanisi mkubwa na mafanikio katika maeneo mbalimbali...

READ MORE

Gari Inayopaa Kuanza Kutumika

Kampuni ya Uber na Boeing ambao wamejikita katika utengenezaji wa magari yanayopaa maarufu kama eVTOL (electric vertical take-off and landing),...

READ MORE

Mamia Wajitolea Kuvua Nguo na Kubaki Uchi Kupigwa Picha

HII tuite laana ama nini? Mamia ya watu wamejitolea kuvua nguo zao na kubaki uchi ili kupigwa picha zinazoelezea namna...

READ MORE

Vurugu Kariakoo: Wamachinga Wagoma Kupangwa-Video

MKUU wa mkoa wa Dar, Amoss Makala, amezungumzia vurugu zilizotokea mitaa ya Msimbazi Kariakoo wakati zoezi la kuwapanga wamachinga likiendelea....

READ MORE

Mwanafunzi wa Kitanzania Auawa kwa Risasi Marekani

Kijana wa Kitanzania aliyekuwa akiishi nchini Marekani na wazazi wake, Humphrey Magwira amepigwa risasi na kuuawa katika eneo la Fort...

READ MORE

Mchawi Mkuu wa Serikali Afukuzwa Kazi

Mchawi Mkuu wa Serikali ya New Zealand, Ian Brackenbury Channell ambaye ndiye mchawi pekee duniani aliyekuwa akilipwa mshahara na serikali,...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yaongeza Idadi ya Matumizi ya Mawasiliano Nchi Ikipitia Mabadiliko ya Kidijitali

    KAMPUNI inayoongoza ya teknolojia na mawasiliano nchini, Vodacom Tanzania Plc leo  imefanya mkutano mkuu wa mwaka wa wanahisa ambapo...

READ MORE

Mfungwa Avua Nguo Kisa Chakula

MAOFISA wa magereza Kaunti ya Kakamega walikuwa na wakati mgumu kumtuliza mfungwa mmoja aliyekwea juu ya ukuta ya gereza hilo...

READ MORE

Mwanamke Ajifungua Watoto Saba

KWA kawaida tumezoea kuona ama kusikia mwanamke akijifungua mtoto mmoja, mapaha wawili na mara chache sana mapacha watatu au wanne,...

READ MORE

Miaka 10 ya LSF: Watu Milioni 6.4 Wapata Msaada, Elimu ya Kisheria

Shirika la Huduma za Sheria (LSF) linatimiza miaka 10 tangu kuanzishwa kwake. Ni muongo mmoja ambao umewanufaisha mamilioni ya Watanzania...

READ MORE

Wastara: Natamani Diamond Awe Mume Wangu

“BABY wangu, hakuna asubuhi isiyokuwa na usiku na ukiona usiku umeingia ujue mchana unakaribia…”Haya ni maneno ya mwanamama wa Bongo...

READ MORE

Nyoni, Banda Wamtibua Gomes Simba

KOCHA Mkuu wa Simba Mfaransa Didier Gomes amesema kuwa ameshindwa kufanya maandalizi mazuri ya mchezo wa hatua ya pili ya...

READ MORE

Fisi Aua Mtoto Tena Shinyanga, Wazee wa Mila Wacharuka

Wakazi wa Kata ya Kitangiri katika Manispaa ya Shinyanga wamewaomba viongozi wa ngazi zote kuchukua hatua za haraka za kukabiliana...

READ MORE

Radi Yaua Ng’ombe 15

Radi iliyoambatana na mvua imeuwa ng’ombe 15 usiku wa kuamkia leo Oktoba 18, 2021, katika Kijiji cha Zaire kilichopo Kata...

READ MORE

Mbeya, Kilimanjaro Waongoza kwa Wanawake Wenye Vitambi

WANAWAKE wa Mikoa ya Kilimanjaro, Mbeya na Arusha wanaongoza kwa kuwa na unene uliopitiliza na kupata viribatumbo maarufu kitambi.  ...

READ MORE

Machinga Dar Waongezewa Siku 12

Serikali ya mkoa wa Dar es Salaam imewaongezea siku 12 wafanyabiashara ndogo ndogo (wamachinga) kuanzia leo wahame katika maeneo yasiyo...

READ MORE

Basi la Adventure Lapata Ajali Mlima Kamba

Abiria waliokuwa wanasafiri kutoka Mpanda mkoani Katavi kwenda Kasulu mkoani Kigoma, wamenusurika kifo baada ya Basi la Kampuni ya Adventure...

READ MORE

Kifo cha Ole Nasha, NEC Yatangaza Uchaguzi Ngorongoro

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), leo Jumatatu, Oktoba 18, 2021 imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo...

READ MORE

Huyu Ndo DED Mkorofi Aliyetajwa na Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ukorofi na kukosekana kwa nidhamu ndiyo kulikopelekea kumhamisha...

READ MORE

Sabaya Anyolewa, Afikishwa Mahakamani Kesi Nyingine Tena

IKIWA ni siku tatu tangu alipohukumiwa kwenda jela miaka 30, yeye na wenzake wawili kwa makosa ya nunyang’anyi wa kutumia...

READ MORE

Mke Amchoma Kisu Mumewe

JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia mwanamke aitwaye Amina Hamis (32) kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kumchoma kitu chenye...

READ MORE

Samia: Longido Kulikuwa na DED Mkorofi, Nilimuondoa – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kufanya kazi kwa weredi na kuacha malumbano...

READ MORE

Wanakijiji Walia Kubomolewa Nyumba Zao, na Kufukuzwa Kwenye Makazi, Naibu Meya Azungumza

    WAKAZI wa Kijiji cha Mbogo kilichopo Pongwe mkoani Tanga wamelia kubomolewa nyumba zao na kuondolewa kwa nguvu eneo...

READ MORE

Young Thug Aiharibu Rolls-Royce ya Tsh Mil 600

Rapa maarufu wa pande za Joe Biden namaanisha Marekani, Jeffery Lamar Williams almaarufu kama Young Thug anayetamba na albamu yake...

READ MORE

Mwanafunzi Aozeshwa kwa Mahari ya Tsh. 330,000 na Nguruwe

MKAZI wa Kitongoji cha Mabatini, wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Kennedy Fumpa (37), amekamatwa kwa tuhuma za kumuoa mwanafunzi wa darasa...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Rais Samia: Msiseme Mama Anazunguka tu – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema ziara anazofanya nchi mbalimbali zinafaida kubwa kwa nchi...

READ MORE

Kada wa Chadema Arudi CCM, Amuomba Kazi Rais Samia

ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha...

READ MORE

Ofisi ya Mtendaji wa Kijiji Yachomwa Moto

OFISI ya mtendaji wa kijiji cha Mwabagalu kata ya Nyabubinza wilayani Maswa Mkoa wa Simiyu imechomwa moto alfajiri ya leo...

READ MORE

Rais Samia Azindua Hospitali Ya Jiji La Arusha – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 17 Oktoba, 2021 amezindua rasmi Hospitali ya Jiji...

READ MORE

Serikali Yaipa Mwanza Bilioni 344 Kutekeleza Miradi Ya Maendeleo

  Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema leo Oktoba 17, 2021 kuwa katika kipindi cha Miezi 6, Serikali ya...

READ MORE

Ally Bananga Atimka Chadema Ajiunga CCM

Aliyekuwa Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Diwani wa Kata ya Sombetini aliyemaliza muda wake, Ally Bananga...

READ MORE

Rais Samia Amwaga Bilioni 90 Wizara Ya Utalii-Video

WAZIRI wa maliasili na utalii, Dkt Damas Ndumbaro, leo Oktoba 17, amezungumza na wanahabari kuhusiana na Mabilioni ya fedha yaliyotolewa...

READ MORE

Shigongo Akabidhi Magodoro 70 ya Mil. 3 Nyehunge Sekondari – Video

MBUNGE wa Jimbo la  Buchosa, Eric Shigongo, amekabidhi Magodoro 70 yenye thamani ya Sh milioni tatu kwa ajili ya wanafunzi...

READ MORE