×

Habari

Korea Kaskazini: Marufuku Wananchi Kucheka kwa Siku 11

Serikali ya Korea Kaskazini imepiga marufuku Wananchi wake kucheka, kunywa pombe na kufanya sherehe yoyote kwa muda wa Siku 11...

READ MORE

Zitto Kabwe Akutwa na Covid-19

Kiongozi Mkuu wa ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe amesema alipimwa na kukutwa Virusi vya Corona (COVID 19) baada ya kupatwa...

READ MORE

Polepole Baada ya Kufungiwa na TCRA “Kazi ya Kusema Ukweli ina Safari” – Video

  MBUNGE Humphrey Polepole amesema kazi ya kusema ukweli ina safari kidogo lakini hatokatishwa tamaa na uamuzi wa Kamati ya...

READ MORE

Mtoto Aliyefariki 2017, Apatikana Akiwa Hai, Kaburi Lafukuliwa

JESHI la Polisi mkoani Geita limelazimika kufukua kaburi la mtoto aliyefariki dunia katika Hospitali ya wilaya ya Geita kwa ugonjwa...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Mnyika Kumuomba Mangula Asaidie Mbowe Kuachiwa Huru

Viongozi wakuu wa vyama vya siasa vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wamemuomba Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)...

READ MORE

Polepole ‘Apigwa Nyundo’ TCRA, Shule ya Uongozi Yasimamishwa – Video

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kipindi cha Shule ya Uongozi cha Mbunge Humphrey Polepole kinatolewa...

READ MORE

Biteko, Jafo Watunukiwa Ahahada ya Udaktari wa Falsafa

Mawaziri wawili wa Tanzania, ni miongoni mwa wahitimu 42 waliotunikiwa shahada ya udaktari wa Falsafa (Phd) katika Chuo Kikuu cha...

READ MORE

🔴#LIVE: Makusu Awapiga Mkwara Makambo, Mayele, Simba Yatua Kwa Kiungo Mzambia | Krosi Dongo

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi..   

READ MORE

Itakutoa Machozi: Kijana Asimulia; “Nilikuwa Handsome, Ghafla Nimekuwa Kilema” – Video

 GLOBALJAMII wiki hii na Daniel Joseph (26) Mkazi wa Dar es salaam ambaye amepoteza muonekano wake halisia baada kupata...

READ MORE

Video: CHADEMA Wamshukia Zitto, Sabaya Adaiwa Kumiliki Genge La Uhalifu | Front Page

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Watu 15 Mbaroni kwa Kuuza Jezi Feki

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia watuhumiwa 15 kwa tuhuma za kuuza jezi feki kutoka katika mikoa ya Dodoma, Dar...

READ MORE

Mume Amuua Mke na Watoto Wanne Kikatili

Mwanaume mmoja, Paul Murage mkazi wa Gichugu, Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya, anashikiliwa na jeshi la polisi nchini humo akituhumiwa...

READ MORE

Mchungaji Aliyebaka Binti wa Miaka 16 Ajitetea

KASISI wa Kanisa moja huko Abeokuta katika Jimbo la Ogun nchini Nigeria, Peter Taiwo amejitetea kuwa hakumbaka mwanakwaya mwenye umri...

READ MORE

Balozi Mulamula Awasili Uturuki Kumwakilisha Rais Samia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula leo Desemba 16, 2021 amewasili nchini Uturuki...

READ MORE

Ajali ya Ndege Yaua 9 Santo Domingo

WATU tisa wamefariki papohapo akiwemo mtayarishaji wa Muziki kutoka Puerto Rico, Jose Angel Hernandez ama Flow La Movie baada ya...

READ MORE

Magari Yagongana Uso kwa Uso, Watu 2 Wafariki Dunia

WATU wawili wamefariki Dunia katika ajali iliyohusisha Malori mawili iliyotokea eneo la Mkambarani barabara ya Morogoro – Dar es alam...

READ MORE

Kizimbani kwa Tuhuma za Kusafirisha Madawa

KESI inayowakabili vijana wawili wakazi wa Jijini Dar es Salaam, Said Shewali na Salum Athumani ya kusafirisha dawa za kulevya...

READ MORE

‘Mfalme wa Shetani’ Mwenye Wake 57 Azikwa Ndani ya Gari

MWANAUME mmoja nchini Nigeria Simon Odo (74) maarufu kama ‘Mfalme wa Shetani’ amezikwa ndani ya gari katika Kijiji chake kusini...

READ MORE

Dirisha Dogo la Usajili Limefunguliwa Leo

Dirisha dogo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara, Championship, Ligi daraja la kwanza na Ligi Kuu ya...

READ MORE

Rais Samia Kufanya Maamuzi Magufmu Wizara ya Afya – Video

KATIKA kuboresha huduma ya afya nchini, Serikali imenuia kuitenga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kutoka...

READ MORE

Aweso ‘Atumbua Jipu’ Katavu

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira mjini Mpanda...

READ MORE

Tukio la Ndege Kuanguka Bukoba, RPC Aeleza

KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Maketi Msangi amefafanua tukio la kudondoka kwa ndege katika ziwa Victoria takribani mita...

READ MORE

Waziri Ummy: Sitaki Kuona Mwanafunzi Amerudishwa Kisa Michango

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Ummy Mwalimu amekemea utozaji wa michango mbalimbali...

READ MORE

NBC Yakabidhi Trekta kwa Chama cha Ushirika Mtwara

Mtwara: Disemba 15, 2021: Benki ya Taifa ya Biashara (NBC)imekabidhi zawadi mbalimbali ikiwemo baiskeli, pikipiki, guta na trekta kwa washindi...

READ MORE

Atupwa Jela Maisha kwa Kumbaka Mtoto wa Miaka 9

George Lupindu (19) mkazi wa kijiji cha Ngalawale wilaya ya Ludewa mkoani Njombe, amehukumiwa na mahakama ya wilaya mkoani hapo...

READ MORE

🔴#LIVE: Rais Samia Anafanya Uzinduzi, Kamati Ya Ushauri Ya Kitaifa Ya Utekelezaji Wa Ahadi Za Nchi

Rais Samia leo Dec 16, 2021 anashiriki katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa kujadili hali ya Demokrasia ya vyama...

READ MORE

Makusu Afungukia Dili Lake Yanga

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Orlando Pirates na AS Vita, Jen Marc Makusu Mundele, ameweka wazi kuwa kwenye mazungumzo na uongozi...

READ MORE

🔴#LIVE: Mashine Mbili Za Saini Simba, Chama Akiwepo, Nabi Aanza Kupewa Vitisho | Krosi Dongo

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

Madalali Sasa Kusajiliwa na Kulipa Ada, Lazima Awe na NIDA, TIN

SERIKALI imetoa muongozo wa kusimamia shughuli za udalali nchini kwa lengo la kuwawezesha madalali kufanya kazi zitakazoleta tija kwa serikali...

READ MORE

Video: Sakata La Mbowe Latua Kwa Samia, Zitto, Lissu Wafunguka Mazito- Front Page

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Polisi Waua Majambazi Wawili kwa Risasi

Jeshi la Polisi nchini Kenya, limewaua kwa kuwapiga risasi watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, katika majibizano ya risasi yaliyotokea...

READ MORE

RC Makalla Akerwa Kusuasua kwa Ujenzi wa Barabara Makongo Juu

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Amos Makalla amekagua maendeleo ya Ujenzi wa Barabara ya Ardhi, Makongo Juu...

READ MORE

Mahakama Yapokea Gari Alilouziwa Sabaya kwa Tsh Mil 60

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha inayosikiliza kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Lengai Ole Sabaya na...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salam za Pole Kifo cha Mch. Malasusa

Rais Samia Suluhu Hassan, ametua salamu za rambirambi kwa Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya...

READ MORE

Rhumba Yapewa Hadhi Urithi Wa Dunia

Muziki wa Rhumba wenye asili yake nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Kongo Brazzaville, umepewa hadhi ya kuwa...

READ MORE

Mtanzania Ateuliwa UN Kuwa Katibu Mkuu Msadizi

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres leo Desemaba 15, 2021 amteua Bi.Joyce Msuya wa Tanzania kuwa Katibu Mkuu...

READ MORE

TGNP Yatoa Mafunzo ya Bajeti ya Mrengo wa Kijinsia Manispaa ya Kinondoni

      MTANDAO wa Kijinsia nchini (TGNP) umetoa mafunzo ya bajeti yenye mrengo wa kijinsia kwa wakuu wa idara...

READ MORE

Rais Samia: Niko Tayari Kukosolewa

Rais Samia Suluhu Hassan amesema yupo tayari kukosolewa na kupokea maoni kutoka kwa viongozi wa vyama vya siasa pamoja na...

READ MORE

Zitto Amuomba Rais Samia Amsamehe Mbowe -Video

Kiongozi Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Ndugu Zitto Kabwe amemuomba Rais Samia kuwasaidia kumtoa Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia...

READ MORE

Rais Samia Uso kwa Uso na Zitto, Rungwe & Lipumba

Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano Desemba 15, 2021 amefungua mkutano wa wadau wa vyama vya siasa nchini ambao unalenga...

READ MORE