×

Habari

Washtakiwa 243 Wakiri Makosa, Walipa Fidia, Faini Bil 35.07

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema kiasi cha shilingi bilioni 35.07 kimepatikana baada ya washtakiwa mbalimbali kukiri...

READ MORE

Wahuni Waiba Kengele ya Kanisa Yenye Kilo 500

WATU wasiojulikana wameripotiwa kuiba kengele ya kanisa la Virgin Mary Orthodox lililoko eneo la Limuru kaunti ya Kiambu nchini Kenya...

READ MORE

Mbunge Amtaka Prof. Kabudi Akalale Magereza

Mbunge wa Mlimba kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Godwin Kunambi, amemuomba Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi, endapo...

READ MORE

Aweso: Hatutaki Bili Kichefuchefu Kuumiza Wananchi

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amezitaka Mamlaka za Maji kote nchini kuacha mara moja kuwapa malengo ya makusanyo yasiyo na...

READ MORE

Bocco Amwaga Wino Msimbazi

NAHODHA wa Simba John Raphael Bocco ‘Papaa’ naye amemwaga wino kuendelea kutumikia mabingwa hao watetezi wa ligi kuu Tanzania bara,...

READ MORE

Mbunge Akamatwa na Polisi, Wabunge Wacharuka, Spika Aahirisha Kikao

SPIKA wa Bunge la Kenya (Senate), Ken Lusaka amelazimika kuahirisha kikao vya bunge kwa muda, kufuatia kukamatwa kwa Mbunge wa...

READ MORE

Escobar, El Chapo, Madoff Walivyotengeza Mabilioni kwa Uhalifu

Pesa walizotengeza kupitia uhalifu ni nyingi sana na hata wakati mmoja zilizidi kiasi cha fedha katika bajeti ya baadhi ya...

READ MORE

Nabi aanza na ukuta wa chuma

KOCHA Mkuu mpya wa Yanga, raia wa Tunisia, Mohammed Nabi, juzi jioni alianza kibarua cha kukinoa kikosi hicho akitumia saa...

READ MORE

Ummy Amtaja Shigella Kuwa RC Bora, Awataka Wengine Wajitafakari

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amemtaja Martine Shigella, Mkuu...

READ MORE

Jamaa Akubali Kumuoa Aliyekuwa Kahaba na Kuzaa Watoto 10 Baba Tofauti

JARIBU kuweka taswira ya picha ya siku ya harusi yako kila kitu kimeandaliwa lakini una wasiwasi kwa sababu haujawahi kukutana...

READ MORE

Rais Samia na Viongozi CCM Wakutana Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,...

READ MORE

Makocha wa Mataifa Manne Wampitisha Yacouba

LICHA ya kuwa na mwendo wa kobe kwenye kucheka na nyavu, mshambuliaji namba moja wa Yanga, Yacouba Songne mwenye mabao...

READ MORE

Wachoma Mishkaki ya Mbwa Wanaswa Msamvu

Mbwa ni mnyama ambaye amekuwa akitumiwa na binadamu kwa muda mrefu kwa ajili ya ulinzi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo majumbani....

READ MORE

Martha Koome Jaji Mkuu Mpya wa Kenya

Jopo la Tume ya Huduma za Mahakama (JSC) imempitisha Jaji Martha Koome kuwa Jaji Mkuu mpya wa Kenya na kuweka...

READ MORE

Naibu Waziri Gekul Atoa Maagizo BAKITA

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Pauline Gekul amelitaka Baraza la Kiswahili la Taifa kuongeza kasi ya...

READ MORE

Serikali Yasitisha Matumizi ya Vitamin C Kutibu COVID-19

WIZARA ya afya nchini Uganda imesitisha matumizi ya vitamin C katika kutibu virusi vya Covid-19 kutokana na matumizi mabaya ya...

READ MORE

Mawaziri Wakutana Kujadili Michezo ya Kubahatisha

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa na katibu mkuu wa wizara hiyo, Dk Hassan Abbas wamefanya mazungumzo...

READ MORE

Video: Mufti Zuberi Atoa Maagizo Kwa Masheikh

MUFTI wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi leo Aprili 28, 2021 amewataka Masheikh wote nchini pamoja na wananchi kufanya ibada ya...

READ MORE

Serikali Yaandaa Muswada wa Uvunaji, Upandikizaji Figo za Binadamu

SERIKALI imesema kuwa hadi Aprili 2021 hospitali ya Benjamin Mkapa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeshapandikiza figo kwa watu...

READ MORE

Polisi Mbeya Wataja Chanzo Vifo Vya Watu Wawili Ruaha -Video

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Urlich Matei amesema uchunguzi wa kidaktari wa miili ya watu wawili pamoja na kichwa...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kuwapiga Picha Polisi Wakikata Roho

Mwanaume mmoja nchini Australia amehukumiwa kifungo cha miezi 10 gerezani kwa kosa la kuwadhihaki na kuwapiga picha maafisa wa polisi...

READ MORE

Rais Asitisha Mpango Wake Kuongeza Muda Madarakani

Rais wa Somalia, Mohamed Abdullahi Farmajo, ameachana na mpango wake wa kuongeza muda wa kukaa madarakani kwa miaka miwili zaidi...

READ MORE

PSG Nyumbani Kuwavaa City Leo

MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inaendelea tena leo ambapo matajiri Manchester City wanatarajiwa kuvaana na PSG. Huu ni mchezo...

READ MORE

Shigongo: Mh. Spika Umewaletea Wagogo Heshima

MBUNGE wa jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Eric Shigongo, amempongeza kwa nafasi aliyonayo Spika wa Bunge Job Ndugai, kwa kuleta...

READ MORE

Video: Mdee, Wenzake Kibao Chageuka, Mbatia Na Katiba | Front Page

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Wawili Wafikishwa Kortini kwa Tuhuma za Mauaji

Watu wawili wakazi wa Msakuzi Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kinondoni wakikabiliwa...

READ MORE

Hali ya Mzee King Kikii Bado ni Tete “Nisaidieni” – Video

GLOBAL TV imemtembelea msanii Mkongwe wa muziki wa dansi nchini aliyetamba zaidi na kibao chake cha ‘KITAMBAA CHEUPE’, Mzee King...

READ MORE

Hayati Magufuli Atimiza 40, Afanyiwa Ibada – Video

Misa maalum ya kumuombea Hayati Dk. John Pombe Magufuli, imefanyika leo katika Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es...

READ MORE

Miili ya Watu Wawili na Kichwa Kimoja Vyakutwa Hifadhi ya Ruaha

Miili ya watu wawili na kichwa cha mtu mmoja vimekutwa kwenye eneo la Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Wilayani Mbarali...

READ MORE

Tume ya Madini Yafanya Makubwa

Tume ya Madini imefikia lengo kukusanya maduhuli kwa zaidi ya asilimia 100. Katika 2018/19 ilikusanya maduhuli ya sh bilioni 346.78...

READ MORE

Baadhi ya Hoteli za Ngurdoto Kupigwa Mnada Kulipa Madeni

MAHAKAMA kuu kanda ya Arusha masjala ndogo ya kazi imeamuru baadhi ya mali za Hotel ya Kitalii ya Ngurdoto Mountain...

READ MORE

Waziri Jafo Serikali Kudhibiti wa Athari za Zebaki Kwa Afya ya Binadamu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo  amesema Serikali kwa kushirikiana na mamlaka husika...

READ MORE

Gekul Atawaka Wasanii Kutotumia Mitandao kwa Mambo Binafsi

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Pauline Gekul amewataka Wasanii nchini kuitumia vizuri mitandao ya kijamii kwa kutangaza...

READ MORE

Waziri Kalemani Avunja Bodi ya Manunuzi TANESCO

Serikali imeagiza kuvunjwa kwa bodi ya manunuzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kutokana na kutoridhishwa na utendaji kazi wake....

READ MORE

Waziri Aweso Atoa Maagizo Mazito Sengerema

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amewataka mameneja wa Mamlaka za Maji nchini kuwaeleza Mameneja Masoko wenu wasiwape wasoma mita malengo...

READ MORE

Rais Samia Asamahe Wafungwa 5,001

Katika kuadhimisha miaka 57 ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 5,001 waliokuwa...

READ MORE

Waziri Ummy: Wazembe Watupishe

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) , Ummy Mwalimu, amesema atazifumua Sekretariet...

READ MORE

Rais Samia Atoa Msamaha kwa Wafungwa 5001

KATIKA kuadhimisha miaka 57 ya Muungano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametoa msamaha kwa wafungwa...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Pesa za Muungano Zigawanywe Bara na Zanzibar

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizotakiwa kutumika katika shughuli za Maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano zigawanywe...

READ MORE

Akamatwa kwa Kuambukiza Watu Corona

POLISI wamemkamata mwanaume wa miaka 40 aliyeambukiza watu 22 virusi vya corona (Covid-19) kwenye kisiwa cha utalii cha Majorca. Ilibainika...

READ MORE