×

Habari

Kenneth Kaunda Afariki Dunia -Video

Rais wa kwanza wa Zambia, Dk. Kenneth Kaunda amefariki dunia leo, Juni 17, 2021 akiwa na umri wa miaka 97....

READ MORE

Yanga Yaipiga Simba Bao Kwa Denis Kibu

    YANGA imefikia muafaka mzuri na Mbeya City katika kufanikisha usajili wa mshambuliaji Denis Kibu huku tetesi zikisema kuwa...

READ MORE

Nchemba Afafanua Tozo ya Laini za Simu

WAZIRI wa Fedha na Mipango,  Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ametoa ufafanuzi wa baadhi ya tozo alizowasilisha bungeni wakati wa mapendekezo...

READ MORE

Biswalo Angoza Kwaya Kanisa Katoliki – Video

Achana na nyimbo za RC Chalamila… baadhi ya viongozi wa Serikali wamekuwa wakitia fora kwa kumtumikia Mungu kwa namna mbalimbali...

READ MORE

Kaizer Chiefs Yakubalia Kuwaachia Mastaa

IMEFAHAMIKA kuwa Yanga ipo katika hatua ya mwisho ya kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Kaizer Chiefs, Lazarus Kambole kwa mkopo...

READ MORE

Almasi ya Tatu Kwa Ukubwa Yapatikana Botswana

ALMASI inayoaminika kuwa ya tatu kwa ukubwa kuwahi kupatikana imewekwa kwenye maonesho nchini Botswana, jiwe hilo la thamani – lenye...

READ MORE

DAWASA Yatangaza Ukosefu wa Maji Siku 2, Dar

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inawatangazia wateja na wananchi wa Bagamoyo hadi Kigamboni kuwa...

READ MORE

Bilionea Aliyefariki Kenya, Anamiliki Kampuni Hizi

Kifo cha mfanyabiashara mashuhuri nchini Kenya, Chris Kirubi, kilichotangazwa na familia yake Juni 14, 2021, kimeacha simanzi kwa Wakenya na...

READ MORE

Video: Watatu Wahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa Kigoma

 Watu watatu wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na mahakama kuu kanda ya Kigoma baada ya kutiwa hatiani kutekeleza mauaji ya...

READ MORE

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda Ashiriki Mkutano wa Wadau, Atoa Tamko

WADAU wa sekta binafsi pamoja na Wizara ya Viwanda na Biashara leo wamekutana jijini Dar es Salaam kujadili mapitio ya Sera...

READ MORE

Exim Yakamilisha Ukarabati Vyoo Vya Shule Zanzibar

Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini A, Mkoa wa Kaskazini Unguja, Sadifa Juma akikagua moja ya chumba cha vyoo vya Shule...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Afanya Uteuzi wa Wenyeviti wanne wa Bodi

Rais Samia leo Juni 16, 2021 amefanya uteuzi wa Wenyeviti wanne wa Bodi za Wakurugenzi kama ifatavto:_ Fanya kuswipe kusoma

READ MORE

Seth Aachiwa na Mahakama ya Kisutu, Kulipa Bilioni 26.9 -Video

MFANYABIASHARA Habinder Sethi, ameachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Juni 16, kwa sharti la kulipa Sh. 26.9...

READ MORE

Herbinder Seth Atakiwa Kutokutoka Nchini Kwa Kipindi Cha Mwaka Mmoja

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Kufua Umeme (IPTL), Herbinder Seth, aameachiwa huru baada ya kutakiwa kulipa fedha TSh.Bil 26.9 kama...

READ MORE

Rekodi za Ronaldo Zatikisa

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo ameendelea kuweka rekodi licha ya umri wake kuonekana kumtupa mkono baada ...

READ MORE

Wanandoa Wafariki Bafuni Afrika kusini

Wanandoa hao wapya Zaheer Sarang na Nabeelah Khan (24) wamefariki dunia kwa shoti ya umeme huko Afrika kusini ikiwa ni...

READ MORE

Mufti Mkuu wa Tanzania Atangaza Kutokuwa na Ibada ya Hijja – Video

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zuberi leo Juni 16, 2021 ametangaza kuwa hakutakuwa na ibada ya Hijja kutokana...

READ MORE

Breaking News: Viongozi Wa Uamsho Waachiwa Huru

Viongozi wawili kati ya 36 wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheikh Farid Hadi Ahmed na...

READ MORE

TB Joshua Kuzikwa Kanisani Julai 11 Lagos, Nigeria

Kanisa la Mhubiri kutoka nchini Nigeria, Temitope Balogun Joshua, maarufu TB Joshua limetangaza siku na mahali atakapozikwa. Katika taarifa iliyotolewa...

READ MORE

Balozi wa Marekani Amtembelea Waziri Prof. Mkenda

Waziri wa Kilimo Prof. Adolf Mkenda amemwambia Balozi wa Marekani nchini Dkt. Donald Wright kuwa Wakulima wa Tanzania wanahitaji uhakika...

READ MORE

Harmo Awafutia Kesi Kajala na Paula

HATIMAYEstaa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul ‘Harmonize’, amefuta kesi aliyokuwa amemfungulia mpenzi wake wa zamani, Kajala Masanja pamoja na binti...

READ MORE

Rais Samia Aandaa Mkeka wa Wakuu wa Wilaya

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema atafanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya hivi karibuni na atawapa nafasi zaidi vijana...

READ MORE

Breaking: Mzee Matata Afariki Dunia

MWIGIZAJI wa Kikundi cha Maigizo cha Kashkashi kinachorusha mchezo wao wa kuchekesha wa Mizengwe kupitia Televisheni ya ITV, Jumanne Alela...

READ MORE

Wasanii Kuanza Kulipwa Mirahaba

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan leo Juni 15, amesema Serikali imeimarisha usimamizi wa hakimiliki za...

READ MORE

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango Akamilisha Zira Yake Pemba

Makamu wa Rais , Dkt. Philip Isdor Mpango, leo Juni 15, 2021 ametembelea ujenzi wa Nyumba za Makazi za Polisi...

READ MORE

Video: Rais Samia Azindua Meli 2 na Chelezo Bandari ya Mwanza

Rais Samia leo Juni 15, 2021 amezindua Chelezo 1 na Meli 2 zilizokarabatiwa katika bandari ya Mwanza (Ziwa Victoria) na...

READ MORE

Rais Samia Awatumbua DC Na Mkurugenzi Morogoro -Video

  Rais Samia Suluhu Hassan amewafuta kazi mkuu wa Wilaya ya Morogoro na mkurugenzi wa halmashauri hiyo baada ya kuchukizwa...

READ MORE

Rais Samia Ampa Shigongo Bilioni Tatu Za Maendeleo Buchosa -Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha zaidi ya shilingi bilioni tatu...

READ MORE

RC Hapi Amshukuru Rais Samia

MKUU wa mkoa wa Mara, Ally Hapi, amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwa kuendelea...

READ MORE

Mukoko Afichua Siri Yanga

KIUNGO wa Yanga, Mukoko Tonombe, amemuhakikishia Kocha Msaidizi wa AS Vita ya DR Congo, Raoul Shungu kuwa ataendelea kuitumikia Yanga...

READ MORE

Mrembo wa Mondi amtisha Zari

UBUYU wa ndani kabisa unadai kwamba, baby mama wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari...

READ MORE

Luhende Amtisha Tshabalala Simba

BEKI wa pembeni wa Kagera Sugar, David Luhende, amekubali kukaa meza moja na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba...

READ MORE

Aweso Atengua Kigogo wa Maji Sengerema

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amemtengua Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Sengerema, Mhandisi Robert Lupoja...

READ MORE

RC Morogoro Afungua Mafunzo ya Tathmini Kwa Madaktari

MKUU wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Martine Shigela amewaasa madaktari wanaohudhuria mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kufanya tathmini za ulemavu...

READ MORE

Waajiri Sekta Binafsi Sasa Kulipa Asilimia 0.6 Ya Michango ya Wafanyakazi

WAAJIRI kutoka Sekta Binafsi sasa watalipa asilimia 0.6 ya michango ya wafanyakazi wao kwenda Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi (WCF)...

READ MORE

Nimelea Vipaji Vingi Bongo Movies-Lamata

MTAYARISHAJI maarufu wa Tamthiliya Bongo, Lamata na mmoja wa waigizaji wake kwenye Tamthiliya ya Juakali, Dorah, leo wamezungumza mambo mengi...

READ MORE

Aliyemuua George Floyd Ahofia Visa Jela

OFISA mzungu wa Polisi wa Minneapolis nchini Marekani ambaye alimuua kikatili na kinyama Mmarekani mwenye asili ya Afrika, George Floyd,...

READ MORE

Alichosema Shigongo Mbele ya Rais Samia- Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo akizungumza mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu alipoenda kutembelea na...

READ MORE

Musukuma Ashauri Faini za Bodaboda Ziwe 2000

MBUNGE wa Geita Vijijini ,Joseph Kasheku Musukuma, amempongeza Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, kwa kupunguza tozo kwa madereva bodaboda...

READ MORE

Mwanza Kuwa Kitovu cha Biashara

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema sababu za Serikali kuimarisha huduma za kiuchumi mkoani Mwanza kwamba inalenga kufanya mkoa...

READ MORE