×

Habari

Afungwa Siku Moja kwa Kumuua Mume Wake

MAHAKAMA nchini Kenya imemhukumu kifungo cha siku moja mwanamke aliyemuua mume wake mwaka mmoja uliopita, Kwa mujibu wa gazeti la...

READ MORE

Rais Kagame, Mkewe Wachanjwa Kinga ya Covid19

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame na mkewe Jeannette Kagame wamepokea chanjo ya corona katika Hospitali ya Mfalme Faisal jana Alhamisi,...

READ MORE

RC Mongela: Achaneni na Miongozo ya Kijinga

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amewataka watendaji wa halmashauri kuacha kufuata miongozo ya wizara badala yake waangalie uhitaji...

READ MORE

Muuguzi Afukuzwa Kazi kwa Kubaka Mwanafunzi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa Tabora, limeazimia kufukuzwa kazi aliyekuwa Muuguzi wa zahanati ya Kalunde, Elipidius Kweyamba, baada...

READ MORE

Wezi Wapuliza Dawa ya Usingizi, Wawaibia Wafiwa

JESHI la Polisi mkoani Pwani wamekamata vifaa mbalimbali vilivyoibiwa katika msiba eneo la Mlandizi, Kibaha mkoani humo.     Akizungumza...

READ MORE

Sakata Kusafirisha Vinyonga, Nyoka Mapya Yaibuka

SERIKALI inawashikilia Watanzania watatu kwa tuhuma za kushirikiana na raia wa Jamhuri wa Czech kusafirisha nje ya nchi vinyonga 74...

READ MORE

Waziri Bashungwa Akutana na Uongozi wa TBC Kujadili Maendeleo ya Shirika hilo

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa, na Naibu wake Mhe. Abdallah Ulega, jana Machi 11,...

READ MORE

Mwanadada Afurahia Kumiliki Pikipiki!

Washindi wa Pikipiki za miguu mitatu aina ya Lifan Cargo wa Droo ya kwanza ya Kampeni ya Weka Pesa na...

READ MORE

Mwigulu: Kiongozi wa Nchi Sio Parish Worker

WATANZANIA wametakiwa kuacha kuibua taharuki kwa kuzusha taarifa za uongo ambazo hazina uthibitisho kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha...

READ MORE

Raila Odinga Awatoa Hofu Wakenya “Niko Fiti”

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amesema hali yake ni nzuri na anafuata ushauri wa madaktari kwa kupumzika.  ...

READ MORE

Uganda Yaanza Kampeni ya Chanjo ya Covid-19

Uganda imeanza kampeni ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 siku ya Jumatano baada ya kupokea dozi 864,000 ya chanjo...

READ MORE

Malyasia: Wakristo Ruksa Kutumia Jina ‘Allah’

Mahakama ya Malyasia imebadilisha sera inayopiga marufuku watu wa dini ya Kikristo kutumia jina ‘Allah’ kumaanisha Mungu, ikiwa ni hatua...

READ MORE

Gwajima: Wanaume Wengi Wanaugua Figo

Imelezwa kuwa wanaume wapo katika hatari kubwa ya kuugua Ugonjwa wa Figo unaotokana na Kisukari na Presha ukilinganisha na Wanawake....

READ MORE

Waliomteka Mchina Arusha Wakamatwa Dar

  Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumteka mtu mmoja raia wa China ambaye...

READ MORE

Mserbia Kumrithi Kaze Yanga

KOCHA wa zamani wa Township Rollers ya Botswana, Nikola Kavazovic, anatarajiwa kuchukua mikoba ya Cedric Kaze ndani ya kikosi cha...

READ MORE

Akamatwa na Laini 74 za Simu, Zimesajiliwa kwa Jina Moja

Mkazi mmoja wa Mlandizi Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kukutwa na laini 74...

READ MORE

Rombo: Wakenya 26 Wahukumiwa Jela kwa Kuingia Nchini Kinyemela

Mahakama ya Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro imewahukumu kifungo cha mwaka mmoja jela ama kulipa faini ya shilingi laki tano...

READ MORE

Waziri Mpango Awasilisha Mapendekezo ya Kiwango na Ukomo wa Bajeti

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango, Kiwango na Ukomo wa Bajeti...

READ MORE

Mdogo wa Wema Adaiwa Kunaswa na Madawa, Aunt Amwaga Machozi (Picha + Video)

WAFANYABIASHARA wanne wa Dar es Salaam, wamefikishwa Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kukutwa...

READ MORE

Brazil: Watu 2,286 Wafariki kwa Covid19 ndani ya Saa 24

Siku ya Jumatano watu 2286 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na Ugonjwa wa Corona nchini #Brazil kwa mujibu wa takwimu za...

READ MORE

Mnada wa Bajaji Kutikisa Dar Jumamosi Hii – Video

KAMPUNI ya SEPCO DEBT COLLECTION AND AUCTIONEERING COMPANY LIMITED inawatangazia mnada wa hadhara. Kwa idhini tuliyopewa na kampuni ya SUNBEAM...

READ MORE

Serikali Kumfanyia Majaribio Mtoto Charles

MTOTO Charles Mathias Mbena (6) mkazi wa Kibungo Juu, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ameonesha kipaji cha hesabu ambapo anaweza...

READ MORE

Shule Iliyoburuza Mkia Miaka Mitatu Yafanya Maajabu

Shule ya Sekondari Kome iliyoko Halmasahauri ya Buchosa Wilayani Sengerema mkoa wa Mwanza iliyoshika nafasi ya mwisho kwa miaka mitatu...

READ MORE

Katambi: Ukiajiriwa Huwezi Kufikia Ndoto za Kuwa Tajiri

NAIBU Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu, Patrobas Katambi ametoa wito...

READ MORE

Naibu Waziri Katambi Alivyotembelea Global Group – Video

  NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana, Mhe. Patrobas Katambi, jana...

READ MORE

Mlinzi, Mkewe Wauawa Kikatili, Miili Yaokotwa Ndani ya Viroba – Video

MLINZI wa nyumba ya aliyekuwa Jaji wa mahakama ya Rufani Tanzania, marehemu Jaji Bethuell Milla, Samson Ndavi na mkewe Christina...

READ MORE

Tanzia: Rais Mstaafu Somalia Afariki Dunia

Rais mstaafu wa Somalia, Ali Mahdi Muhammad amefariki dunia Jumatano Machi 10 katika Hospitali ya Nairobi, Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Ivory Coast Afariki Dunia

Waziri Mkuu wa Ivory Coast, Hamed Bakayoko, amefariki dunia katika hospitali moja nchini Ujerumani, mamlaka imesema.     Bakayoko, aliyekuwa...

READ MORE

TANZIA: Kanali Fabian Massawe Afariki Dunia

Kanali Fabian Ignas Massawe amefariki leo, Jumatano Machi 10, 2021. Kanali Massawe aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera ambapo...

READ MORE

Waganga wa Shinyanga Wauwa Fisi 11 Geita

  Halmashauri ya wilaya ya Nyang’hwale mkoani Geita, imeendesha operesheni kupitia waganga wa jadi kutoka Shinyanga na kufanikiwa kuwaua fisi...

READ MORE

Walimu Wapigwa Marufuku Kuweka Rehani ATM Zao

OFISI ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), imewataka walimu kujiepusha kuweka rehani kadi zao za benki(ATM), wanapokopa...

READ MORE

Mkurugenzi Apata Ajali

  MKURUGENZI wa Taasisi ya Doris Foundation, Doris Mollel, amepata ajali leo maeneo ya Mtumba Dodoma alipokuwa akitoka kwenye kikao...

READ MORE

Messi, Ronaldo Mtegoni UEFA

LIGI ya Mabingwa Ulaya, hatua ya 16 bora inatarajiwa kuendelea leo Jumanne na kesho Jumatano huku mastaa wa soka, Lionel...

READ MORE

Muonekano wa Barabara ya Morrocco-Mwenge Dar

Maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Morocco-Mwenge KM 4.5 inayojengwa kwa njia 4 mpya, service road, taa za Kisasa, mifereji...

READ MORE

Mvuvi Aliyekula Samaki wa Tsh Bil 6 Bila Kujua, Ajuta!

SHIRIKA  la habari la @cnbc limeripoti kuwa mvuvi mmoja katika kijiji cha Warri, jimbo la Niger Delta nchini Nigeria amevua...

READ MORE

Mnyika Akanusha Taarifa Zinazozusha Kifo cha Mrema

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Mnyika amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi,...

READ MORE

Katambi Awaponda Chadema “Huwezi Kujenga Ofisi, Utaweza Nchi?” – Video

NAIBU Waziri wa nchi, ofisi ya waziri mkuu, sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na wenye ulemavu, Patrobas Katambi, leo Machi...

READ MORE

Bashe: Mahindi ya Tanzania ni Salama kwa Afya

NAIBU Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema mahindi yanayotoka Tanzania yanakidhi vigezo vya kiafya kinyume na taarifa zinazosambaa kutoka Kenya....

READ MORE

Mwanafunzi TIA na Wenzake Wadaiwa Kunaswa na Kilo 31 za Heroin

JESHI  la Polisi Kitengo cha Kuzuia na Kupambana na dawa za kulevya (ADU), limewakama watu wanne akiwemo mwanafunzi wa Chuo...

READ MORE

Polisi Waeleza Mgonjwa Aliyemchoma Kisu Muuguzi

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Muslimu, amesema kuwa Polisi bado wanaendelea na uchunguzi wa tukio la mgonjwa Piche...

READ MORE