×

Habari

Nandy: Achomoa Madai Ya Kunasa Mimba!

MSANII wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amesema kuwa watu wengi wana hofu nayo kwamba huenda ni mjazito lakini ukweli...

READ MORE

Aliyemkata Panga Mwalimu Mwenzake Kisa Penzi la Mwanafunzi Kortini

MWALIMU wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Karoti katika Kaunti Ndogo ya Mwea, Mashariki nchini Kenya, Timothy Musembi (34)...

READ MORE

Breaking: Msafara Wa Makamu Wa Pili Wa Rais Zanzibar Wapata Ajali

Mtu mmoja amefariki dunia baada ya gari lililokuwa limewabeba waandishi wa habari katika msafara wa makamu wa pili wa rais...

READ MORE

Waziri Ummy Kufungua Dirisha Maalum, Kusaidia Wanawake

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Mhe. Ummy Mwalimu amewaahidi Wanawake kuwasaidia kuanzisha dirisha maalumu...

READ MORE

‘Liverpool Muuzeni Salah Muiokoe Timu’

KLABU ya Liverpool imetakiwa kumuuza Mohamed Salah ili kupata fedha za kutengeneza kikosi chao upya kama ambavyo walifanya kwa Philippe...

READ MORE

Rayvanny Avunja Ukimya, Aweka Wazi Kuhusu WCB – Video

MWANAMUZIKI Rayvanny usiku wa kuamkia leo Machi 10, amezindua ofisi ya studio yake iliyopo Mbezi Rainbow jijini Dar.

READ MORE

Halotel Yaunga Mkono Juhudi za Wanawake

Katika mwendelezo wakuadhimisha siku ya wanawake Duniani, kampuni ya Halotel Tanzania imeendelea kuunga mkono juhudi za wanawake wapambanaji katika majukumu...

READ MORE

Breaking: Mwenyekiti Msolla Avunja Ukimya, Kocha Yanga Kufukuzwa

MWENYEKITI wa Yanga, Mshindo Msolla, amevunja ukimya na kuita waandishi wa habari kuzungumzia masuala mbalimbali kuhusu Yanga, ikiwemo mashabiki kumtaka...

READ MORE

Wajawazito Watafuta Wanaume Bandia

  KINA mama wajawazito wilayani Kilindi mkoani Tanga wamewalalamikia wanaume wanaowapa ujauzito kukwepa kwenda kliniki kupima afya zao kama kanuni...

READ MORE

Wizara ya Afya Yawasisitiza Mitishamba Kupambana na Changamoto za Upumuaji

  Wakati Watanzania wengi wakipambana na maradhi mbalimbali yanayosababisha changamoto za upumuaji, ikiwemo nimonia na Corona, wizara ya afya imeendelea...

READ MORE

Daktari Atimuliwa kwa Kumfanyia Upasuaji Mgonjwa ‘Guest’

  MADIWANI wa halmashauri ya Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro wamewafukuza kazi daktari na muuguzi wa hospitali ya wilaya hiyo...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukutwa na Lita 73 za Gongo

Wafanyabiashara wawili wamefikishwa katika mahakama ya Wilaya Kinondoni kwa tuhuma za kukutwa na pombe ya kienyeji aina ya gongo yenye...

READ MORE

Ishu ya Paula.. Msamaha Kwa Kajala Wamponza

  Licha ya msanii wa Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ kumuomba msamaha mwigizaji Kajala Masanja kutokana na tuhuma za kusambaza...

READ MORE

Wananchi Waonywa Kuchukua Mchanga Kaburi la Maalim Seif

Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, Salama Mbarouk Khatib ametoa onyo kwa watu wanaochukua mchanga wa kaburi la Marehemu Maalim...

READ MORE

Majaliwa Akabidhi Vifaa Vya Mil. 357 Kwa Wajasiriamali

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 357 kwa vikundi vitano vya...

READ MORE

Serengeti: Wanawake Walalamikia Kuolewa na Kaburi

Baadhi ya wanawake wa Wilaya ya Serengeti wamelalamikia utamaduni wa kuolewa na makaburi ambao bado upo hadi sasa kwa baadhi...

READ MORE

Caf Yafuta Mashindano ya Afcon Under 17

Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF limefuta mashindano ya fainali za Afcon kwa vijana chini ya umri wa...

READ MORE

M-Net Yatangaza Neema Kwa Wazalishaji Filamu Tanzania

M-Net, Kampuni tanzu ya MultiChoice, ambayokwa zaidi ya miaka 30 imejizolea umaarufu mkubwa kwa vipindi vyake vya burudani hususan filamu,...

READ MORE

Ubaguzi Familia ya Malkia Waibua Mazito Meghan, Harry

MEGHAN Markle na Prince Harry katika interview mpya na Oprah Winfrey wamesema hata kabla mtoto wao hajazaliwa baadhi ya wanafamilia...

READ MORE

Shujaa wa Kenya Westgate Aidhinishwa Kuwa Seneta

Mfanyabishara Abdul Haji, aliyepata umaarufu kwa kukabiliana na wanamgambo waliovamia duka la Westgate katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, mwezi...

READ MORE

Stamico Ya Sheherekea Siku Ya Wanawake Kitofauti

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) leo tarehe 8 Feb 2021 imeungana na wanawake wote Duniani kusheherekea siku ya wanawake...

READ MORE

Taasisi za Mafuta za Saudi Arabia Zashambuliwa

WAASI wa Houthi nchini Yemen wenye mafungamano na Iran wamerusha ndege 14 zisizo na rubani na makombora 8 katika taasisi...

READ MORE

20 Wafa Katika Mlipuko Mkubwa Equatorial Guinea

WATU zaidi ya 20 wamefariki katika milipuko mikubwa iliotokea katika kambi ya jeshi katika mji wa Bata, mji mkuu wa...

READ MORE

Serikali Yaanika Makubwa Iliyotekeleza, Mikakati Mipya – Video

KATIKA kipindi cha miaka mitano, hadi Februari 2021, serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kutekeleza jumla ya miradi 1,845 yenye...

READ MORE

Serikali Yastuka Laini za Simu Zinavyotumika Katika Matukio ya Uhalifu

  Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dr.Faustine Ndugulile amewasihi Watumiaji wa simu kuangalia laini zilizosajiliwa kwa majina yao kupitia...

READ MORE

Serikali: Tunaikabili Corona Kisayansi na Kiasili

Serikali imesema inaendelea na jitihada za kuyakabili maambukizi mapya ya COVID-19 kwa kutafuta tiba mbadala na kusema licha ya kutumia...

READ MORE

Wanafunzi Zaidi ya 2,000 Hawajaripoti Shuleni Lindi

AFISA Elimu wa Mkoa wa Lindi, Victor Kayombo amesema wanafunzi 2,162 ambao ni sawa na 13% ya Wanafunzi 15,860 waliochaguliwa...

READ MORE

Morogoro: Muuguzi Achomwa Kisu na Mgonjwa, Afariki

MTAWA muuguzi wa Kituo cha Kuhudumia Wagonjwa wa Ukoma cha Nazareth kilichopo Ifakara, Agatha Mbalalila (50), amefariki baada ya mmoja...

READ MORE

Utafiti: Wanaume Wanaathirika Zaidi na Covid 19 Kuliko Wanawake

UMOJA wa Mataifa umesema virusi vya Corona vinasababisha vifo kwa wanaume wengi zaidi Barani Afrika kuliko wanawake ambao wao wanaandamwa...

READ MORE

Halotel, Yawasaidia Wanawake Siku ya Wanawake Duniani

Katika kuazimisha siku ya wanawake duniani, kampuni ya Halotel Tanzania imesherekea kwa kuunga mkono juhudi za wanawake katika majukumu yao...

READ MORE

Mlima wa Dhahabu Wagunduliwa DRC, Wanakijiji Waushambulia

Serikali ya DR Congo ililazimika kutuma maafisa wa polisi kuimarisha usalama katika eneo ambalo kanda moja ya video iliwaonyesha wanakijiji...

READ MORE

Kenya Yatangaza Kutopokea Mahindi Kutoka Tanzania na Uganda

Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imedai uchunguzi umebaini kuwa mahindi yanayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa...

READ MORE

Bashe Acharuka Kenya Kuzuia Mahindi

SERIKALI nchini imesema imesikitishwa na kilichofanywa na Kenya kuzuia mahindi ya Tanzania bila kuwapa taarifa rasmi na kwamba kilichofanyika sio...

READ MORE

Nafasi ya kazi 3 Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI), Deck hand

POST DETAILS POST DECK HAND – 3 POST POST CATEGORY(S) FARMING AND AGRIBUSINESS EMPLOYER Tanzania Fisheries Research Institute (TAFIRI) APPLICATION...

READ MORE

Meridian Bet Yasaidia Ujenzi Kituo cha Yatima cha Mama wa Huruma

UONGOZI wa kampuni ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet imetoa mkono wa faraja kwenye kituo cha kulea watoto yatima cha...

READ MORE

Guardiola Awahofia Mastaa Man U, Kucheza Etihad Leo

BOSI wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri kuwa wapinzani wao Manchester United ni tishio kwani wamekamilika kila kila idara huku...

READ MORE

Utashangaa! Dereva Bodaboda Mwenye Mguu Mmoja -Video

 Kijana Frank Kutokea Jiji Arusha mwenye ulemavu wa mguu mmoja ameonyesha namna ambavyo anauwezo wa kutumia mguu wake mmoja...

READ MORE

Waliojishindia Mkwanjwa wa Chemshabongo ya Gazeti la Ijumaa Wakabidhiwa Zawadi Zao

Ikiwa ni wiki nyingine tena kwa wale wasomaji wetu wa Gazeti la Ijumaa kuendelea kujinyakulia zawadi zao kupitia chemshabongo ambapo...

READ MORE

Dodoma: Mkurugenzi, Mkewe Wafa Maji

KAIMU mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa mifugo kanda ya kati, Dk Harun Chawala na mkewe, Neema Mwasanganga  wamefariki  baada...

READ MORE

Mtuhumiwa Dawa za Kulevya Alivyonaswa

  Jeshi la Polisi linamshikilia mkazi wa kwa Mustafa jijini Dar es Salaam, Lucas Joseph kwa tuhuma za kukutwa na...

READ MORE