×

Habari

Mdee, Matiko Wahudhuria Mazishi ya Magufuli Chato – Video

WABUNGE wa Viti Maalum kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee pamoja na swahiba wake, Esther Matiko wamefika...

READ MORE

Uongozi wa NMB Washiriki Ibada ya Mazishi ya Hayati Dkt. John Pombe Magufuli-Chato

Akiwakilisha Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Benki ya NMB, Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna na baadhi ya viongozi...

READ MORE

New Zealand Yaruhusu Mapumziko kwa Wanaopoteza Watoto

Bunge la New Zealand limepitisha Sheria inayowapa Wanawake pamoja na wenza wao Haki ya kupewa mapumziko yenye malipo pale ujauzito...

READ MORE

Urusi: Wasiwasi Waibuka Afya ya Mpinzani wa Rais Putin Gerezani

Lithuania, Latvia na Estonia ambazo ni Wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) zimeitaka Urusi kuruhusu kutolewa kwa huduma za Afya...

READ MORE

Mke wa Tatu wa Mfalme Zwelithini Achaguliwa Kuwa Kiongozi wa Wazulu

Familia ya Kifalme ya Zulu nchini Afrika Kusini imemteua Mke wa tatu wa Mfalme Goodwill Zwelithini kushikilia nafasi ya Uongozi...

READ MORE

Dar: Jela Miaka 30 kwa Kuiba Simu

Mahakama ya Wilaya ya Temeke imewahukumu Hemed Salum na Musa Musuni kifungo cha miaka 30 jela kutokana na kosa la...

READ MORE

Kauli ya Rais Samia Saa Chache Kabla ya Maziko ya Hayati Magufuli

Leo tunapompumzisha mpendwa wetu Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwenye nyumba yake ya milele, kwa niaba yangu binafsi...

READ MORE

Wanne Wakamatwa Wakisherehekea Kifo cha Magufuli

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukejeli kifo cha Hayati Dkt. John Magufuli kwa kupika...

READ MORE

Waliomburuza Barabarani Mwanamke Wasimamishwa Kazi

Gavana wa kaunti ya Kisumu amewasimamisha kazi maafisa waliopigwa picha wakimburuza barabarani mwanamke mfanyabiashara wa matunda.     Vyombo vya...

READ MORE

Kauli ya Makonda Baada ya Kumuaga JPM

ALIYEKUWA kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameonyesha kuumizwa zaidi na msiba wa aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Wenye Miaka 58 na Zaidi Kupewa Kipaumbele Chanjo ya Corona Kenya

Serikali sasa imesema itawapa kipaumbele wale walio na umri wa miaka 58 na zaidi katika shughuli inayoendelea ya kutoa chanjo...

READ MORE

Ibada ya Kuaga Wanafamilia 5 Waliofia Uwanjani Wakimuaga JPM – Video

MAJONZI na simanzi vimetawala leo Alhamisi, Machi 25, 2021, kwa waombolezaji, ndugu, jamaa na marafiki wakati wa ibada ya kuaga...

READ MORE

Askofu Niwemugizi: Magufuli Aliagiza Nirejeshewe ‘Passport Yangu’

ASKOFU wa Kanisa Katoliki jimbo la Rulenge Ngara, Severine Niwemugizi amesema aliyekuwa Rais wa Tanzania marehemu, John Magufuli aliagiza arejeshewe...

READ MORE

Live: Miili ya Wanafamilia Watano Waliiofariki Pamoja Yaagwa Kimara Dar

    MAJONZI na simanzi vimetawala leo Alhamisi, Machi 25, 2021, kwa waombolezaji wakati wakitoa heshima za mwisho kwa miili...

READ MORE

Makamu Pili wa Rais Z’bar Aongoza Maelfu Kumuaga JPM Chato

    MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah ameongoza shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Ufafanuzi Kuhusu Rais Samia Kuitwa Amiri Jeshi au Amirat

SIKU chache baada ya kuibuka utata wa matumizi ya maneno ‘amiri’ na ‘amirat’ kutokana na Tanzania kupata Rais mwanamke kwa...

READ MORE

Ratiba Ya Kuagwa Kwa Hayati Magufuli Chato, Geita, Machi 24 – 26, 2021

Ratiba ya kuagwa kwa Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, aliyekuwa Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania chato, Geita...

READ MORE

Kauli ya Kocha wa Stars Kuelekea Game ya Equatorial Guinea – Video

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kucheza mchezo dhidi ya Equatorial Guinea, Machi 25, 2021, ambao...

READ MORE

Waziri Mkuu kuongoza Wakazi wa Chato Kuaga Mwili wa JPM – Video

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Alhamisi, Machi 25, 2021, ataongoza wakazi wa Chato na...

READ MORE

Mfahamu Anna Mwakasege, Rubani Aliyesafirisha Mwili wa JPM Dodoma

Baada ya kukamilika kwa shughuli za kumuaga Hayati Dk. John Pombe Magufuli jijini Dar es Salaam, mwili wake ulisafirishwa kwa...

READ MORE

Maelfu Wajitokeza Kuaga Mwili wa Magufuli Chato – Video

MWILI wa Hayati Magufuli, tayari umewasili salama nyumbani kwake Chato mkoani Geita, ambapo leo Machi 25, wakazi wa mkoa huo...

READ MORE

Mama Azimia Mwili wa Magufuli Ukiingia Chato – Video

MWILI wa Hayati Magufuli, umewasili nyumbani kwake wilayani Chato mkoani Geita, ambapo unatarajiwa kuagwa na maelfu ya wananchi wa wilaya...

READ MORE

Mo Salah Awasili Kenya Kukipiga na Harambee Stars

KIKOSI cha Misri wakiwa na staa wao Mo Salah wamewasili jijini Nairobi Jumanne kwa ajili ya mchezo kati ya Mafarao...

READ MORE

Hatimaye Mwili wa Hayati Magufuli Wawasili Kwao Chato – Video

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli umewasili nyumbani kwake Chato...

READ MORE

Kifo cha Magufuli na Zawadi Aliyowaachia Watanzania

  IJUMAA Machi 26, 2021 wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watampumzisha aliyekuwa rais wa nchi hiyo Dkt John...

READ MORE

Bilionea Gertler, Swahiba wa Kabila Aliyewekewa Vikwazo na Marekani

Utawala wa Biden hivi karibuni umemuwekea tena vikwazo mfanyabiashara wa Israeli Dan Gertler juu ya madai ya ufisadi mkubwa kwenye...

READ MORE

Slaa: Kipaumbele cha JPM Kilikuwa Kuwainua Watanzania

BALOZI wa Tanzania nchini Sweden, Dkt. Wilbroad Slaa leo Machi 24, amesema kipaumbele cha Hayati Rais John Magufuli kilikuwa kuwainua...

READ MORE

Mwanza Yazizima Kuagwa Mwili wa Hayati Magufuli – Video

WAKAZI wa Jiji la Mwanza na mikoa jirani,wamejitokeza kuuaga mwili wa Hayati Magufuli katika uwanja wa CCM Kirumba na katika...

READ MORE

Babu Seya Alivyopigwa Butwaa Kifo cha Magufuli

NGULI wa muziki wa Dansi Tanzania, Nguza Viking ‘Babu Seya’ amesema alipigwa na butwaa baada ya kusikia kwamba aliyekuwa Rais...

READ MORE

Tumesikitishwa na Tuhuma za Mkuu wa Mkoa Geita

KAMPUNI ya Global Publishers imesikitishwa na taarifa iliyotolewa jana Jumatatu Machi 23, 2021 na Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi...

READ MORE

Vilio, Simanzi Vyatawala Mapokezi ya Mwili wa Hayati Magufuli Mwanza

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 24,2021 amewaongoza viongozi mbalimbali wa serikali katika mapokezi ya mwili wa Hayati Rais John...

READ MORE

Majaliwa: JPM Ameacha Alama kwa Watanzania

WAZIRI Mkuu  Kassim Majaliwa , amesema Hayati Dkt. John Magufuli ameacha alama kubwa kwa watanzania, ameyasema hayo leo Machi 24,...

READ MORE

Makonda Amuaga Hayati Magufuli – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameungana na wakazi wa jiji la Mwanza na mikoa ya...

READ MORE

Majaliwa Aongoza Maelfu Kuaga Mwili wa Magufuli Mwanza

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Jumatano Machi 24, 2021 anawaongoza wakazi wa Mwanza na mikoa jirani kumuaga aliyekuwa Rais...

READ MORE

Mwanza Yazizima Wakiupokea Mwili wa JPM-Picha

MAELFU ya wakazi wa jiji la Mwanza, wamejitokeza kwa wingi kupokea mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli leo Machi 24,...

READ MORE

Mwanza: Makonda Afika CCM Kirumba Kumuaga Magufuli – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameungana na wakazi wa jiji la Mwanza na mikoa ya...

READ MORE

Raila Odinga, Swahiba wa Magufuli Tangu Kitambo

Kiongozi wa chama cha ODM nchini Kenya Raila Odinga ameandika ujumbe mrefu wa salamu za rambirambi akimbukumba rafiki yake Hayati...

READ MORE

Msafara Uliobeba Mwili wa JPM Kuelekea CCM Kirumba – Video

Maelfu ya wakazi wa Mwanza na maeneo jirani wamejitokeza kuupokea mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa...

READ MORE

Yericko Nyerere Akwepa Jela Miaka Mitatu

Mfanyabiashara na mwanaharakati maarufu wa masuala ya kisiasa, Yericko Nyerere amelipa faini ya Sh5 milioni na kukwepa kifungo cha miaka...

READ MORE

Rais Xi Jinping wa China Amlilia Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe. Xi Jinping amlilia aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati...

READ MORE