×

Habari

Breaking: Mume wa Malkia Elizabeth, Prince Philip Afariki Dunia

Kasri ya Buckingham imesema mume wa Malkia Elizabeth II wa Uingereza, Prince Philip amefariki dunia leo Ijumaa, Aprili 9, 2021,...

READ MORE

Yanga: Tunapindua Meza, Tulieni

UONGOZI wa Klabu ya Yanga kwa kushirikiana na benchi la ufundi la timu hiyo, umeandaa mikakati mizito ya ubingwa wa...

READ MORE

El Classico Kuchezwa Wikiendi Hii!

Timu kubwa kibao kukutana katika viwanja mbalimbali wikiendi hii. Chagua Meridianbet na uweze kuwa mshindi wa kibingwa. Mchongo mzima upo...

READ MORE

Shigongo Amwaga Mifuko 150 ya Saruji Buchosa – Video

Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo kupitia kwa katibu wake Julias Butogwa amekabidhi mifuko 150 ya saruji kwa wananchi...

READ MORE

Stamina Awafungukia Wanafki Kwenye Maisha Yake

MKALIwa Hip Hop Bongo, Bonaventure Kabogo ‘Stamina’ amesema yeyote anayeleta unafiki kwenye maisha yake huwa ana mblock.   Akizungumza na...

READ MORE

Barbara Afichua Jeuri ya Simba CAF

MTENDAJI Mkuu wa Klabu ya Simba, Barbara Gonzalez, amesema kuwa moja ya vitu ambavyo vimefanya watishe kwenye michezo ya Ligi...

READ MORE

Gigy Money Aomba Radhi Tena

Msanii wa Bongo fleva na mfanyabiashara nchini, Gift Stanford, maarufu kama ‘Gigy Money’ ameendelea kuomba msamaha kwa kupunguziwa adhabu ya...

READ MORE

Jux Afunguka Mwanamke Anayemtaka

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Juma Musa “Jux “ amefunguka kuwa anatamani sana apate mwanamke mwenye akili.   Akizungumza...

READ MORE

Wanawachama wa Yanga Wakumbushwa Kulipa Ada -Video

AFISA Habari wa klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli leo Aprili 9, 2021 amewakumbusha wanawachama kulipa ada zao za mwaka kuelekea...

READ MORE

Sven Awajibu Mashabiki Simba SC

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amewajibu mashabiki wa Simba kuhusu jina lake la utani ‘kishingo’. Alipojiunga na Simba...

READ MORE

Chama, Luis Waongezewa Ulinzi Misri

KUELEKEA mchezo wao wa leo Ijumaa katika Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, uongozi wa Klabu ya Simba...

READ MORE

Tanzania Yaporomoka Viwango vya Fifa

TANZANIA imeporomoka kwa nafasi mbili katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) vya mwezi...

READ MORE

Wafungwa Waliotoroka Wajisalimisha

WAFUNGWA 36 kati ya wafungwa 1,844 waliotoroka katika shambulizi kwenye gereza mnamo Aprili 5 wamejisalimisha katika jimbo la Imo la...

READ MORE

Kocha Yanga Aahidi Ushindi Kesho na KMC – Video

Kocha wa Mabingwa wa Kihistoria Ligi Kuu soka Tanzania Bara, Juma Mwambusi ameahidi ushindi kwenye mchezo wao wa hapo kesho...

READ MORE

Bunge leo: Mawaziri Wawekwa Kikaangoni, Kipindi Cha Maswali Na Majibu -Video

 NI mkutano wa 3 wa Bunge la 12, kikao cha sita, umefanyika leo Aprili 09, ukiongozwa na Spika wa...

READ MORE

Ndugai: Mradi Bandari ya Bagamoyo Uendelee – Video

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameishauri serikali kuliangalia suala la mradi wa bandari ya Bagamoyo kama ni jambo jema...

READ MORE

Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Waibuka Kidedea Katika Mashindano Ya Masoko ya Mitaji

SHINDANO maalumu la ‘The Capital Markets, Universities and Higher Learning Institutions Challenge’ kwa wanafunzi wa vyuo vikuu na Taasisi za...

READ MORE

Clouds Yafafanua Malipo ya Mil 629 Zilizotajwa na CAG

Meneja wa fedha wa kampuni ya Clouds Media Group, Issa Masoud amesema walitoa vielelezo vyote ikiwa ni pamoja na stakabadhi...

READ MORE

Baba Agomea Msiba wa Mtoto Wake, Arudishiwe Uhai

BABA mzazi wa kijana Kusekwa George mkazi wa mtaa wa Ihushi kata ya Kishiri, Nyamagana Mwanza, amekataa kuhudhuria msiba na...

READ MORE

Afande Sele Aibuka “Sijafa, Nilipata Ajali” – Video

BAADA ya Kuwepo kwa Tetesi kuwa Msanii Afande Sele, kuwa amekamatwa na Jeshi la Polisi kufuatia taharuki aliyozua baada ya...

READ MORE

Dkt. Kikwete Kuongoza Harambee ya Kukusanya Futari Kwa Ajili ya Yatima

Taasisi isyo ya kiserikali ya VOLUNTEERS IN DEVELOPMENT imeandaa harambee ya kuchangisha futari kwa ajili ya YATIMA waishio majumbani kwao...

READ MORE

CAG Abaini Hasara ya Bil 150 ATCL

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limepata hasara ya...

READ MORE

CAG Atilia Shaka Malipo ya Sh Mil 830.7 Clouds & TBC

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa kituo cha televisheni cha Clouds kililipwa Sh 629.7milioni...

READ MORE

Mil 311.9 Kutengeneza Barabara ya Hifadhi ya Taifa Ibanda

Dodoma. Serikali imetenga shilingi milioni 311.9 zitakazotumika kuchonga Barabara yenye urefu wa kilometa 20 katika hifadhi ya Taifa Rumanyika karagwe na...

READ MORE

Spika Ndugai: Waziri Mwambe Ana Majibu ya Hovyo, ni Jeuri

  Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wabunge kuhusu majibu aliyoyaita ya kifedhuli yanayotolewa na Waziri...

READ MORE

Mradi wa Umeme Stigler’s Unatumia Upembuzi wa Mwaka 1970

  Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limeshindwa kuhuisha vipengele vyote vya upembuzi yakinifu uliofanyika awali katika ujenzi wa mradi wa...

READ MORE

CAG: Kigwangalla Kill Challenge Mil 172 Hazikuwa Kwenye Bajeti

  Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imeonyesha Waziri ya Maliasili na Utalii aliziagiza Hifadhi za...

READ MORE

CAG: Stendi ya Magufuli Itasababisha Foleni Morogoro Road

  Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema ujenzi wa kituo cha mabasi cha Magufuli kilichopo...

READ MORE

CAG: Akaunti ya Jeshi la Zimamoto Imepitisha Mili 261 Batili

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa akaunti ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji ilitumika...

READ MORE

CAG: Wafanyakazi 1,538 SGR Hawana Vibali

  Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) ya miradi ya maendeleo inaeleza kuwa wafanyakazi wa kigeni...

READ MORE

Ndugai: Wabunge Muishauri Serikali, Inunue Ndege, Isitishe

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge kuchangia Mpango wa Taifa wa Maendeleo kwa kuishauri Serikali kama iendelee...

READ MORE

CAG: Wizara ya Maliasili Iliilipa Wasafi Mil 140 Bila Mkataba

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imeeleza kuwa Sh140 milioni ambazo Wizara ya Maliasili na Utalii...

READ MORE

Mtoto Amuua Mwenzake Kwa Risasi

Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 17, mkazi wa Viwege, Pugu jijini Dar es Salaam, anashikiliwa na jeshi la polisi...

READ MORE

Ripoti ya CAG Yatua Bungeni

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG) imewasili bungeni jijini Dodoma leo na Spika wa Bunge, Job...

READ MORE

Waziri Ndumbaro Atembelea Kitalu cha Uwindaji cha Lake Natron East

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Damas Ndumbaro ametembelea Kitalu cha Uwindaji wa Kitalii cha Lake Natron East kilichopo Wilayani...

READ MORE

‘Jitu la Kutisha’ Lapata Dili Nono Hollywood

    JAMAA anaitwa Rico “Orc” Ledesma (41) jamaa wa nchini Brazil ambaye alibadili moja kwa moja mwili wake kuwa...

READ MORE

IGP Sirro Aagiza Operesheni Dawa za Kulevya

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaagiza Makamanda wa Polisi wa mikoa ya Mtwara, Lindi, Dar es...

READ MORE

Majaliwa: Asanteni Watanzania kwa Uzalendo na Mshikamano

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewashukuru Watanzania wote kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wa hali ya juu wakati wa kutangazwa na...

READ MORE

Live: Mawaziri Wawekwa Kikaangoni, Maswali na Majibu Bungeni

NI mkutano wa 3 wa Bunge la 12, kikao cha tano, umefanyika leo Aprili 08, ukiongozwa na Naibu Spika wa...

READ MORE

Rais Ramaphosa Amteua ‘Mo’ Kuwa Mshauri wa Uchumi

RAIS wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amemteua mfanyabiashara kijana nchini, Mohamed Dewji (Mo) kuwa kwenye jopo lake la watu watano...

READ MORE