×

Habari

Polisi Kibaha Akutwa Amefariki kwa Kujinyonga

POLISI  aliyekuwa anafanya kazi katika kituo cha Polisi Wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani, namba E 6472 Yusuph Said, mwenye umri...

READ MORE

Apigwa Shoti Akiiba Waya Kwenye Transfoma

RIZIKI MOSHA (23) mkazi wa mkoani Arusha amekamatwa na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za...

READ MORE

Kocha Yanga: Simba Hawakupaswa Kumsajili Chikwende

MOHAMED HUSSEIN maarufu kama Mmachinga, Kocha Msaidizi wa Klabu ya Yanga Princess, amesema kuwa anaamini kwamba wawakilishi wa Tanzania kwenye...

READ MORE

EU Kuziruhusu Tena Ndege za Boeing 737 Max

UMOJA wa Ulaya (EU) umepanga kutoa idhini kwa utumiaji wa ndege za abiria aina ya Boeing 737 Max kuanzia wiki...

READ MORE

Mtendaji Aliyempiga Mwananchi Asimamishwa Kazi

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Hudson Kamoga, amemsimamisha kazi Ofisa Mtendaji wa kijiji cha Haydom, Adela...

READ MORE

Anusurika Kifo kwa Kuchomwa Kisu Tumboni Kisa ‘Buku’!

MWITA Buruna (30), mkazi wa kijiji cha Rung’abure Wilaya ya Serengeti mkoani Mara amelazwa hospitalini baada ya kuchomwa kisu tumboni...

READ MORE

Tanzia: Naibu Kamishna Magereza Afariki Dunia

NAIBU  Kamishna wa Magereza, Julius Sang’udi, amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma leo Jumatano, Januari 20, 2021....

READ MORE

Breaking: Bilionea Jack Ma Ajitokeza Hadharani

  MFANYABIASHARA na mmliki wa Kampuni ya Alibaba, Jack Ma, nchini China, kwa mara ya kwanza leo amejitokeza hadharani kuzungumza...

READ MORE

Kisa Morrison, Yanga Yampa Mkataba Mgumu Fiston

UONGOZI wa Yanga umewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia kuwa wamempa mkataba mshambuliaji wao mpya Mrundi Fiston Abbdulrazack...

READ MORE

Mkuu wa Shule Atokomea na Michango ya Mitihani ya Form 4 & 2

Serikali mkoani Geita imeuagiza uongozi wa shule ya sekondari ya Geita Islamic, ifikapo leo asubuhi iwasilishe stakabadhi za malipo ya...

READ MORE

Biden Kuapishwa Leo, Trump Atoa Kauli ya Mwisho Ikulu

RAIS Donald Trump amelihutubia taifa la Marekani kabla hajaondoka madarakani na kusema: “Tumefanya kile ambacho tulikuja kukifanya na tumefanya mambo...

READ MORE

Trump Amsamehe Aliyekuwa Mshauri Wake Dakika za Mwisho

RAIS anayeondoka madarakani, Donald Trump, amsamehe aliyekuwa mshauri wake, Steve Bannon, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya udanganyifu. Tangazo hilo linawadia...

READ MORE

Jose Chameleone Ausaka Umeya Kampala

NYOTA wa muziki wa Hip Hop nchini Uganda, Joseph Mayanja maarufu kama Jose Chameleone, ni miongoni mwa wagombea wa nafasi...

READ MORE

Hotuba ya Mwisho ya Trump Kabla ya Kuondoka Ikulu – Video

Rais Donald Trump ametoa hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Marekani akibainisha mafanikio yake kuwa ni pamoja na kutoanzisha...

READ MORE

Saa Chache Kabla ya Kuapishwa, Biden Amwaga Machozi Kaburini

RAIS mteule, Joe Biden, alielekea Washington katika mkesha wa sherehe ya kuapishwa kwake, wakati mtangulizi wake Donald Trump ambaye atasusia...

READ MORE

Meridian Bet Yaendelea Kutoa Msaada Kwa Jamii Na Kupokea Changamoto

Kampuni inayojihusisha na Mchezo wa kubahatisha ya Meridian Bet imetoa msaada wa vitu mbalimbali kwa walemavu wanaosali katika kanisa la...

READ MORE

Rais JPM Aitaka Wizara ya Madini Kutochelewesha Mradi wa Nikeli

RAIS Dkt John Magufuli amesema hatua ya kusainiwa kwa mradi wa uzalishaji madini ya Nikeli kati ya Serikali na kampuni...

READ MORE

TPA Yasikiliza Kilio cha Shigongo na Wananchi wa Buchosa – Video

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA), Eng. Deusdedit Kakoko, kuna watumishi wachache wa bandari bado hawajabadilika ambapo wapo baadhi yao...

READ MORE

Kesi ya Mdee, bulaya na Wenzao 27 Mahakamani – Video

UPANDE wa Mashtaka katika kesi inayowakabili wabunge wa viti maalum akiwemo, Halima Mdee na Ester Bulaya na wafuasi 27 wa...

READ MORE

Wanaodaiwa Kuiba Dawa Ukerewe Watumbuliwa

WATUMISHI watano wa Hospitali ya Wilaya ya Nansio Ukerewe wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa vyombo vya maadili ya utumishi wa...

READ MORE

Taifa Stars Kuwavaa Zambia Leo CHAN

KUELEKEA kwenye mchezo huo, kocha wa Taifa Stars, Mrundi Etienne Ndayiragije amesema “maandalizi yameenda vizuri, wachezaji wapo sawa. Kuhusu korona...

READ MORE

Mvua Yasababisha Maafa Songea

Mvua mkubwa iliyoambatana na upepo imesababisha maafa ya kuezuliwa paa katika madarasa matano, ofisi mbili na stoo moja kwenye shule...

READ MORE

Alichokisema Diamond Kuhudu Sakata la Baba Yake – Video

KWA mara ya kwanza wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz ametoa kauli baada ya mama yake mzazi, Bi Sandrah kusema kuwa...

READ MORE

Uganda Yaishutumu Marekani ‘Kuingilia Uchaguzi Wake’

Msemaji wa serikali ya Uganda, Ofwono Opondo, ameishutumu Marekani kwa kujaribu “kupindua matokeo ya uchaguzi”, kwa mujibu wa chombo cha...

READ MORE

Mafunzo ya JKT 2020/2021 Yasitishwa

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limesitisha kwa muda mafunzo ya kujitolea ya JKT kwa mwaka 2020/2021 yaliyokuwa yaanze hivi karibuni...

READ MORE

Spika Ndugai Aanika Kamati za Bunge

Spika wa Bunge, Job Ndugai juana Januari 18 amefanya utuezi wa wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge 17. Taarifa...

READ MORE

Hersi Athibitisha Kuwakabidhi Mil 300 Nyota Yanga

Ni rasmi sasa ile zawadi ya Sh milioni 300 ambayo mabosi wa Yanga waliwaahidi wachezaji na benchi la ufundi la...

READ MORE

Waliotumuliwa Chadema Wapewa Rungu Kamati za Bunge

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai, jana Januari 18 amefanya utuezi wa wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge 17, huku...

READ MORE

Charity Group Watoa Msaada Kwa Wenye Mahitaji Maalum Tabora

Charity Group Tabora wameuanza mwaka kwa kuungana na kituo cha kulelea watu wenye mahitaji maalum cha Sisters of Charity kilochopo...

READ MORE

Bobi Wine Awekwa Kizuizini Nyumbani Kwake

WASEMAJI wa jeshi na polisi nchini Uganda wamesema mpinzani wa rais Yoweri Museveni Robert Kyagulanyi Bobi Wine ataendelea kukaa katika...

READ MORE

Atokwa Utumbo Njia ya Haja Kubwa Akidaiwa Kumuibia Mama Lishe

KUFUATIA kusambaa kwa video katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha kijana mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi akiwa amechuchumaa huku utumbo...

READ MORE

Huyu Mnigeria Mpya wa Simba ni Noma!

INAELEZWA kuwa mabosi wa Simba wamemwaga dola 70,000, ambazo ni sawa na Sh milioni 162 za Kitanzania, kukamilisha usajili wa...

READ MORE

DED Ubungo Atua Kwenye Shule Wanayokaa Chini – Video

MKURUGENZI wa Manispaa ya Ubungo, Beatrice Dominic, amesema kuwa ameyapokea maagizo ya Rais John Magufuli, na kwamba walikwishaanza kuchukua hatua...

READ MORE

Babu Miaka 80 Afia Gesti na Kibinti – Video

MWANAMME aliyejulikana kwa jina la David Makerege Mluli (80) amekutwa amefariki dunia ndani ya Hoteli ya Mbezi Garden iliyopo Mbezi...

READ MORE

Marekani! Taharuki ya Mlipuko Eneo la Uapisho wa Joe Biden, Zoezi Laahirishwa

MAZOEZI ya kuapishwa (rehearsal) kwa Rais wa Marekani, Joe Biden na makamu wake, Harris Kamala yameahirishwa leo Jumatatu, Januari 18,...

READ MORE

RC Kunenge Atembelea Shule Iliyotajwa na JPM, Wanafunzi Wanakaa Chini

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge ametembelea Shule ya Msingi King’ongo iliyopo Manisapaa ya Ubungo kujionea uhalisia...

READ MORE

Kitimoto Yapigwa Marufuku Kahama

MKUU wa Wilaya ya Kahama Annamringi Macha amepiga marufuku biashara ya nyama ya nguruwe na usafirishaji wa nguruwe wenyewe baada...

READ MORE

Makaburi Yagundulika Katika Eneo la Kale

Wanaikolojia wametoa taarifa zaidi juu ya umuhimu wa eneo la makaburi lililogulika la Saqqara, katika eneo la kale la Misri,...

READ MORE

Bilionea wa Samsung Jela Miaka 2

Bilionea wa kampuni kubwa ya vifaa vya kielektroniki nchini Korea Kusini, Samsung, Lee Jae-yong amerejeshwa gerezani baada ya mahakama nchini...

READ MORE