×

Habari

Serikali Yapeleka Kivuko cha Bilioni 5.3 Mafia Nyamisati

Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), leo imerejesha furaha na matumaini kwa wakazi wa Mkoa wa Pwani...

READ MORE

Sudan Kusini Yarudisha Nyuma Majira ya Muda Wake

  NCHI ya Sudan Kusini imerudisha nyuma muda wake kwa saa moja nyuma. Waziri wa Ajira, Bi. Mary Hillary Wani...

READ MORE

Ahukumiwa Kutokunywa Pombe kwa Miezi 12

  Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuachia huru Boniphace Kachila, mkazi wa Kijiji cha Kiyungwe, Kasulu mkoani humo kwa sharti...

READ MORE

Yemen: Jeshi Latangaza Kumuua Kamanda wa Houthis

Jeshi la Yemen limetangaza kumuua kamanda mmoja wa Houthis pamoja na watu wengine kadhaa wanaohusika na vikosi hivyo vya kijeshi...

READ MORE

Treni ya Mwendokasi Dar – Moro Kuanza Mwaka Huuu

  UJENZI wa Reli ya Kisasa ya Umeme (SGR) kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, kinatarajiwa kukamilika na...

READ MORE

Prof. Lipumba: JPM Tuachie Katiba Mpya – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amemweleza Rais John Magufuli kuwa vipo viporo vyote alivyoahidi mwaka 2015...

READ MORE

Gwajima Afungukia Kupokea Kinga ya Corona, Ataja Dawa Zilizothibitishwa – Video

WIZARA ya Afya nchini imesema kufuatia kuwepo taarifa za mlipuko wa pili wa corona katika nchi jirani, imekuwa ikipokea maswali...

READ MORE

Bobi Wine Aanza Mchakato Kupinga Matokeo

CHAMA cha NUP kimesema maandalizi yote muhimu yamefanyika na leo wanatarajia kuwasilisha ombi la kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika...

READ MORE

JPM Ampandisha Cheo Jaji Aliyeandika Hukumu Kiswahili – Video

RAIS  John Magufuli amepandisha cheo Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Zephrine Galeba, aliyeandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili...

READ MORE

Majaliwa Aipa CEOrt Mbinu Kuvuna Watendaji Wakuu Wazawa

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Jukwaa la Taasisi ya Wakurugenzi na wamiliki wa makampuni binafsi nchini (CEOrt)...

READ MORE

Binti Akiri Kudanganya Kubakwa, Mtuhumiwa Afungwa Jela Miaka 60

BINTI Maria Sanga (20), mkazi wa kijiji cha Kilingi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, ameamua kuiangukia Serikali kutengua hukumu kwa...

READ MORE

Bibi Auawa na Mchunga Ng’ombe Wake Ili Arithi Mali

  ANTONIA JITINDE (62) aliyeishi katika kijiji cha Zawa, Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, hakuwahi kuhisi kuwa ngo’mbe 25 na...

READ MORE

Baba, Mtoto Wanaswa Wakituhumiwa Kuuza Dawa za Serikali

MTEGO uliowekwa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMD) Kanda ya Kusini umefanikiwa kumnasa Jamaly Sad na mtoto...

READ MORE

Breaking: Lori Lagonga Treni Vingunguti Dar

  Shirika la Reli Tanzania (TRC) limethibitisha kutokea kwa ajali ya treni leo alfajiri eneo la Vingunguti, Dar es Salaam...

READ MORE

Rais JPM Awapa Mwezi Mmoja Wakuu wa Mikoa, Wilaya – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kote nchini...

READ MORE

Wanawake Arusha Waandamana Kisa Mauaji ya Mwenzao

JESHI la Polisi mkoani Arusha jana jioni lilitumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanawake waliokuwa wakiandamana na kufunga barabara wakizuia kuzikwa...

READ MORE

Marekani Yasitisha Chanjo kwa Wafungwa

  WIZARA ya Ulinzi ya Marekani imesema itasimamisha mpango wake wa kuwapa chanjo dhidi ya COVID-19 wafungwa wa makosa ya...

READ MORE

Jeshi Myanmar Lamkamata Kiongozi wa Nchi, Latangaza Hatari

JESHI la Myanmar limetangaza hali ya dharura likidai kufanyika udanganyifu wa kura katika uchaguzi, baada ya kuwakamata viongozi kadhaa akiwemo...

READ MORE

Mico Halal Kusimamia Vitoweo Vya Nyama Kuwa Sehemu Salama

TAASISI ya Mico Halal International Bureau imeleta neema mpya kwa walaji wa nyama ambapo sasa itasimamia machinjio yote nchini kuhakikisha...

READ MORE

Mashabiki Wa Simba, Mazembe Wapewa Tiketi Bure Na Spoti Xtra

TIMU ya Masoko kutoka Kampuni ya Global Group kambao ni wachapishaji wa magazeti namba moja kwa habari za michezo kupitia...

READ MORE

Serikali Yaokoa Mil. 389 Ujenzi wa Jengo la Dharura Tabora

Wizara ya Afya imeokoa takribani shilingi milioni 389 katika ujenzi wa jengo la Idara ya huduma za wagonjwa wa dharura...

READ MORE

JPM Amrejeshea Hati ya Kiwanja Bibi wa Miaka 90

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, ameagiza Bi. Elizabeth Sarali mwenye miaka 90, mkazi wa Manyoni mkoani Singida kurudishiwa umiliki...

READ MORE

IGP Sirro Awataka Polisi Kufuata Sheria

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewataka Polisi Wasaidizi waliopo kwenye taasisi mbalimbali nchini kuhakikisha wanaheshimu na...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Elimu Kufanyika Aprili

  MKUTANO wa Kimataifa wa elimu bora unatarajia kufanyika Tanzania jijini Dar es salaam kuanzia Aprili 20 hadi 22, 2021 huku...

READ MORE

Kaze akisuka upya kikosi chake

KOCHA Mkuu wa Yanga Mrundi, Cedric Kaze ameanza program ya kukinoa kikosi chake kwa kuwatengeneza kisaikolojia nyota wake Said Ntibazonkiza...

READ MORE

Mwalimu Atuhumiwa Kumtwanga Bakora Mtoto Mpaka Kuzirai

Mwalimu wa shule ya Sekondari Bupandwa iliyoko Halmashauri ya Buchosa Wilaya Sengerema Mkoa wa Mwanza Sara obby anatuhumiwa kumcharaza viboko...

READ MORE

Meridian Bet Yamshika Mkono Mama Anayeteseka na Mtoto

    IKIWA ni siku chache baada ya kipindi cha GLOBALJAMII kinachoruka kupitia GLOBAL TV ONLINE kufanya kipindi na mama...

READ MORE

Waziri Jafo Atangaza Nyungu Siku 7

WAZIRI  wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo, ametangaza kuanzia Februari Mosi hadi 7, 2021,  zitakuwa...

READ MORE

Lokosa Apata ITC, Chikwende Bado Ngoma Simba

UONGOZI wa Simba umesema kuwa tayari umepata Hati ya Uhamisho wa Kimataifa (ITC) ya mshambuliaji wao Mnigeria Junior Lokosa huku...

READ MORE

Jeshii la Polisi Kumchunguza Cristiano Ronaldo

  MSHAMBULIAJI wa Juventus, Cristiano Ronaldo, anachunguzwa na maafisa wa polisi wa Italia kuhusu safari aliyokwenda ili kusherehekea siku ya...

READ MORE

Askofu Shoo Atoa Waraka wa Corona, Amvaa Aliyewavua Barakoa

MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Meya wa Manispaa...

READ MORE

Breaking: JPM Aagiza Daktari Aliyeacha Kazi Asakwe – Video

RAIS  John Magufuli amemwagiza Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima, kuhakikisha anawafuatilia madaktari walioacha kazi katika hospitali ya rufaa mkoa...

READ MORE

Breaking: Ishu ya Polisi Kusitisha Tamasha la Wasafi Dar

  Kamanda wa polisi Mkoa wa Temeke, Amon Kakwale amekanusha taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba limesitisha tamasha la...

READ MORE

Martin Classic x Kusah, Maggie Bushiri – Nipone (Official Music Video)

Mrembo kutoka nchini Marekani, Maggie Bushiri pamoja na mkali wa Bongo Fleva, Martin Classic wametua kwenye ardhi ya Bongo TZ...

READ MORE

Polisi: Dereva Aliyekamatwa, Akafa, Alikuwa na Homa ya Mapafu

  JESHI la Polisi mkoani Mbeya limesema dereva wa lori, Abrahaman Hussein (61) aliyefariki dunia muda mfupi baada ya kumkamata...

READ MORE

Mateso Mzito! Mama Yamkuta, Mume, Familia Wamtenga – Video

Kabla hujafa hujajmbika hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Zuhura Shabani ambaye kutelekezwa na mume wake baada kujifungua mtoto mwenye...

READ MORE

Suma Lee Afunguka Kifo cha CPWAA

ALIYEKUWA msanii wa muziki wa Kizazi Kipya kisha kumrejea muumba wake kwa kujikita kwenye imani ya Dini ya Kiislam, Ismaili...

READ MORE

RC Mbeya Aunda Tume Kuchunguza Kifo cha Dereva

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ameunda tume ndogo ya watu wanne na kuipa jukumu la kuchunguza kifo cha...

READ MORE

Breaking News: Waziri Mkuu DRC Ajiuzulu

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Sylvestre Ilunga Ilunkamba,  amejiuzulu rasmi wadhifa huo na kuwasilisha barua yake...

READ MORE

Waziri Ashindwa Kueleza Walipopelekwa Waliokamatwa na Wanajeshi

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Uganda, Jenerali Jeje Odongo amesema, anashindwa kueleza mahali walipopelekwa watu waliochukuliwa na wanajeshi...

READ MORE