×

Habari

Watorosha Madini Waonywa

NAIBU Waziri wa Madini, Profesa Shukrani Manya, amewataka wachimbaji wadogo-wadogo nchini kuachana na tabia ya kutorosha madini na badala yake...

READ MORE

Bashe Aamuru Mhandisi Apangiwe Kazi Nyingine

NAIBU  Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe,  ameiagiza Tume ya Taifa ya Umwagiaji kumpagia kazi nyingine Mhandisi wa Umwagiliaji Mkoa wa...

READ MORE

Matokeo ya Uchaguzi Uganda 2021: Museveni, Bobi Wine Wachuana Vikali

TUME ya Uchaguzi nchini Uganda siku ya Alhamisi Januari 14, 2021 ilihakikisha kwamba matokeo ya moja kwa moja ya Uchaguzi...

READ MORE

Mahakamani Akituhumiwa Kumbaka Mama Mzazi

KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Masoud Habibu Mrisho, mkazi wa Kata ya Goweko wilayani Uyui mkoani Tabora amepandishwa kizimbani...

READ MORE

Agizo la Waziri Mkuu Latekelezwa, Nmb Yatoa Msaada wa Mabati Tabora

    Benki ya NMB imetoa msaada wa mabati 400 kwa Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora, lengo likiwa kuhakikisha inaunga...

READ MORE

Papa Francis, Papa Benedict Wapewa Chanjo ya Corona

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis (84) amepewa dosi ya kwanza ya chanjo dhidi ya  virusi vya corona...

READ MORE

Wanne Mbaroni Kukutwa na Madini

WAFANYABIASHARA wanne wa madini, Mohammed Innamula, Mubarack Mullas, Rivzi Yoonus (wote raia wa Sri Lanka) na Mtanzania mmoja, Mehboob Rattansi,...

READ MORE

Chato: Maalim Akutana na JPM, Mwinyi – Video

MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Maalim Seif Akagua Daraja la JPM, Atia Neno – Video

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amewataka Watanzania kulinda miradi inayojengwa katika...

READ MORE

Magufuli Awapongeza Mwinyi, Maalim Seif – Video

  RAIS John Magufuli amewataka Watanzania kutanguliza maslahi ya nchi mbele na kuhakikisha amani inaendelea ili wananchi waendelee na shughuli...

READ MORE

Mchungaji Jela Miaka 140 kwa Kubaka Binti Zake Wawili

MAHAKAMA nchini Kenya imemfunga kifungo cha miaka 140 jela mchungaji aliyewabaka wasichana wake wawili wa miaka 14 na miaka 16...

READ MORE

Takukuru Yabaini Wizi wa Dawa MOI

WATUMISHI 23 wa Kitengo cha Famasia cha Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), wanachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na...

READ MORE

Wafanyabiashara Waomba WhatsApp na Facebook Vizuiwe

Shirikisho la wafanyabiashara wa India (CAIT) limeiomba Serikali izuie mtandao wa WhatsApp, Facebook na Facebook Messenger kutokana na sera mpya...

READ MORE

Raia wa Uganda Kuchagua Rais na Bunge Jipya Leo

  Raia nchini Uganda wanapiga kura leo Januari 14, 2020 kuchagua rais mpya pamoja na wabunge katika uchaguzi mkuu utakuwa...

READ MORE

Kaimu Mkurugenzi Atumbuliwa kwa Kusafirisha Maiti Juu ya Carrier ya Gari.

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amemuagiza Katibu Mkuu...

READ MORE

Gari la Maiti Lakamatwa na Shehena ya Mirungi Tanga

JESHI la Polisi Mkoani Tanga limemkamata mkazi wa Kimara Jijini Dar es Salaam Simon Pasian Tarimo(37) akiwa amebeba mirungi bunda...

READ MORE

TCRA Yawakaanga Cable TV Kanda ya Ziwa

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA) Kanda ya Ziwa imewapiga marufuku wamiliki wa Cable TV kuonyesha vipindi ambavyo havitakiwi katika cable...

READ MORE

Wanaodaiwa Kufanya ‘Biashara ya Walemavu’ Wafikishwa Mahakamani

WASHITAKIWA 15 wanaodaiwa kuwatumikisha walewavu waliokamatwa katika maeneo ya Tandale jijini Dar es Salaam hivi karibuni, wamefikishwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Breaking News: Amber Rutty Aachiwa Huru Leo

MSANII Rutyfiya Abubakary maarufu kama ‘Amber Rutty’ ameachiwa huru leo Januari 13, 2021 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini...

READ MORE

Bunge Kupiga Kura Tena Kumshtaki Trump Leo

Spika Nancy Pelosi. BUNGE la Marekani litapiga kura kwa mara ya pili kihistoria leo Januari 13, 2021 baada ya Makamu...

READ MORE

Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 18

Vikao vya Kamati za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vinatarajiwa kuanza kufanyika Januari 18 hadi 31, 2021 jijini...

READ MORE

Kamati Yatangaza Kikosi Cha Simba, Yanga Fainali Mapinduzi

Kamati ya Fainali za Mapinduzi Cup imesema kuwa ni wachezaji 20 tu wa vilabu vya Simba na Yanga ambao wanaoruhusiwa...

READ MORE

Tigo Yahitimisha Promosheni ya Tigo Pesa Wakala Push kwa Zawadi

VUKA LENGO NA USHINDE: “Ili kuwa mshindi, kila wakala alitakiwa kuvuka lengo alilopewa kulingana na historia ya miamala yake ya...

READ MORE

Serikali Yafafanua Uhaba wa Mafuta ya Kupikia

WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Mhe. Geoffrey Mwambe (Mb), amewahakikishia wananchi kuwa hali ya upatikanaji wa mafuta ya kula itatengemaa...

READ MORE

Waziri Biteko Akagua Wauza Madini Dar, Aonya Matapeli

Waziri wa Madini, Dotto Biteko amewacharukia matapeli wanaojihusisha biashara ya uuzaji na ununuzi wa madini kinyemela  majumbani mwao na kuikosesha...

READ MORE

Ghasia za Capitol: Bunge la Uwakilishi Kumshtaki Trump

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kwamba hotuba yake ya wiki iliyopita alipowataka wafuasi wake kuvamia bunge la Congress ‘ilistahili’....

READ MORE

Taarifa Mpya Kufungiwa Wasafi TV

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa ametoa taarifa mpya juu ya kinachoendelea kufuatia kufungiwa Wasafi TV kwa...

READ MORE

Washindi 40 Droo ya 6 NMB MastaBATA wavuta mkwanja

DROO ya sita ya Kampeni ya NMB MastaBATA, inayoendeshwa na Benki ya NMB, imefanyika jijini Dar es Salaam, ambako washindi...

READ MORE

Breaking News: Mawaziri Wawili Malawi Wafariki Kwa Corona

MALAWI leo Januari 12, 2021 imepata pigo  baada ya mawaziri wake wawili kufariki dunia kutokana na Covid-19. Waziri wa Habari...

READ MORE

Utashangaa! Baba Derava, Mama Konda, Wote ndani ya Gari Moja

Inaweza kuwa jambo lisilo la kawaida kuona kondakta wa kike akipiga debe katika daladala iliyojaa abiria kwenye mitaa yenye pilikapilika...

READ MORE

Bashungwa Aagiza Mabadiliko Jezi ya Stars

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa, leo Januari 12, 2021 amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuboresha...

READ MORE

Waziri Afrika Kusini Apatikana na Corona

WAZIRI wa Nchi katika Ofisi ya Rais nchini Afrika Kusini, Jackson Mthembu, amekuwa waziri wa nne katika serikali ya Afrika...

READ MORE

Mwanafunzi Kijijini Aliyefaulu ‘A’ Masomo Yote Amkuna Shigongo

MWANAFUNZI Said Yusuph Robert aliyekuwa akisoma katika Shule ya Msingi Luholongoma, Kata ya Kafunzo, Halmashauri ya Buchosa, mkoani Mwanza, ambaye...

READ MORE

Trump Alilaumu Kundi la ‘ANTIFA’ Kwa Mashambulizi Bungeni

RAIS wa Marekani, Donald Trump, anaamini kinafiki kwamba kundi la wapinga ufashist lenye mrengo wa kushoto (ANTIFA) lilihusika katika mashambulizi...

READ MORE

Flaviana Matata Atoa Vifaa vya Masomo Shule ya Msinune, Pwani

TAASISI ya Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata imetoa vifaa vya masomo ikiwemo mabegi pampja na kalamu kwa wanafunzi wa Shule...

READ MORE

PataPata na Tigo Yakabidhi Milioni 10 Kwa Washindi Wawili

Meneja Uendeshaji kutoka The network limited, Lumuliko Mengele na kulia ni Fabian Felician, Meneja biashara huduma za tigo pesa wakimkabidhi...

READ MORE

Padri Anayedaiwa Kubaka, Kumpa Mimba Mwanafunzi Afunguliwa Mashtaka Upya

ALIYEKUWA Paroko wa Parokia ya Manushi Jimbo Katoliki la Moshi, Padri Erasmus Swai (44), ambaye anakabiliwa na kesi ya kubaka...

READ MORE

Waziri Awataka Wafanyakazi Uchukuzi Wasifanye Kazi kwa Mazoea

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho, amewataka wafanyakazi wa sekta ya uchukuzi kujenga tabia ya kujiendeleza kielimu...

READ MORE

Waziri Agundulika ‘Alipiga Chabo’ Akiwa Chuo, Ajiuzulu

WAZIRI wa Kazi, Familia na Vijana wa Australia, Christine Aschbacher, amejiuzulu baada ya kugundulika kuwa baadhi ya kazi zake za...

READ MORE

Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) 49 waliokuwa...

READ MORE