MWILI wa mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, Rosemary Nyerere utazikwa kesho Jumatano, Januari 6, 2020 katika...
READ MOREBENKI ya NMB, tayari imeshatumia jumla ya shilingi milioni 20 kwaajili ya washindi 200 wa droo za wiki...
READ MORENAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Ummy Ndeliananga, ameendelea na msako wa kuwatafuta vigogo wanaotumia watu wenye ulemavu kama biashara...
READ MOREMAJERUHI 54 wa ajali ya treni iliyotokea Dodoma waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo, wameruhusiwa kutoka hospitali...
READ MOREMKAZI wa mtaa wa Kilimahewa kata ya Bulangwa wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita, Justina Lukilisha amejifungua mtoto nje ya...
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Ruvuma,...
READ MORENI simanzi na majonzi mjini hapa kutokana na vifo vya watu wanne vilivyotokana na ajali siku ya Mwaka Mpya. George...
READ MOREWANAUME wawili waliopatikana na hatia ya mauaji ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Laurent Kabila, miaka...
READ MORERAIS wa Marekani, Donald Trump, amerekodiwa akimwambia afisa mkuu wa uchaguzi Georgia atafute kura za kutosha kuwezesha kubadilishwa kwa matokeo...
READ MOREBILIONEA wa China, Jack Ma inasemekana hajulikani alipo baada ya kutoonekana hadharani kwa zaidi ya miezi miwili. Aidha, alishindwa...
READ MOREMAOFISA wa upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) nchini Kenya wameanzisha uchunguzi dhidi ya kifo cha...
READ MOREMAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inataka kuhakikisha hakutakuwa...
READ MOREMBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ametembelea barabara ya Kasheka iliyokatika kutokana na uzembe wa Mtendaji wa...
READ MOREWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kujenga kuhakikisha wanafuata sheria na...
READ MOREMshindi wa tano wa Promosheni ya Vodacom Tanzania, Shangwe Shangwena, William Mpachilla, mkazi wa Ipagala mjini Dodoma akifungua mlango wa...
READ MOREMAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewafika katika Hospitali ya Rufaa General...
READ MOREWAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amempa siku mbili Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoni Ruvuma, Gaspar Balyomi, awe...
READ MOREKLABU ya Simba imeingia katika historia kubwa pamoja na klabu maarufu kubwa duniani kutokana na kuongoza kwa kufuatiliwa zaidi katika...
READ MOREAMA kweli kabla hujafa hujaumbika! Kijana aliyefahamika kwa jina la Kagusa Kayola (27), mkazi wa Ubungo-Kibo jijini Dar, amejikuta kwenye...
READ MORENaibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amekemea vikali vitendo vya udhalilishaji Watu wenye Ulemavu...
READ MOREHAI: Kuna methali ya Kiswahili isemayo; “Hii pweke ni uvundo, kuondokewa si kwema!” Simulizi ya baba ambaye ni mkazi wa...
READ MOREKIONGOZI wa Baraza la Waislamu wa Sri Lanka Mbunge, Rauff Hakim, alisema kuwa uteketezaji wa miili ya wahanga wa janga...
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo Januari 2, 2021, amemwapisha Mhandisi Zena...
READ MOREWATANZANIA wawili wameula kwa kujishindia safari ya kwenda kutembelea hifadhi ya Ngorongoro kwenye Promosheni iliyokuwa ikiendeshwa na maduka ya GSM...
READ MOREUINGEREZA imeanza ukurasa mpya wa kujitegemea kwa kujitoa katika Umoja wa Ulaya (EU), baada ya usiku wa kuamkia jana kukamilisha...
READ MOREKAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Tanzania, Wilbroad Mutafungwa, ametoa maagizo kwa wamiliki wa magari makubwa kuhakikisha wanatoa stahiki...
READ MOREMTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi ameuawa na jeshi la polisi mkoani Kigoma, wakati wa majibizano ya risasi na wenzake watatu...
READ MOREMBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amesikitishwa na baadhi ya shule za halmashauri hiyo kushika nafasi za mwisho kitaifa katika...
READ MOREJAJI wa shirikisho nchini Marekani, jana (Ijumaa) alitupilia mbali maombi ya mjumbe wa Baraza la Congress kutoka chama cha Republican...
READ MOREMBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, na familia yake, leo Ijumaa, Januari Mosi, 2021, wamefanya ibada ya misa kuwaombea...
READ MOREALIYEKUWA mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo na mshauri wa chama hicho,...
READ MOREFAMILIA ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere imepata msiba wa mtoto wao Rosemary Nyerere aliyefariki jana jioni jijini Dar...
READ MOREKATIKA kipindi cha sikukuu ya Krimasi kumetokea kisanga cha kipekee katika baa moja iliyopo mjini Embu jijini Nairobi nchini Kenya...
READ MOREUMEWAHI kusikia kisa cha mtu kuvunjwa mguu na kuku? Leo ukiambiwa mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Hussein Jumbe amevunjika...
READ MOREIli kuhudumia wagonjwa wengi zaidi wa upasuaji, hospitali ya Temeke iko kwenye mkakati wa kujenga vyumba sita vya upasuaji (theater)....
READ MOREWANANCHI wa Kijiji cha Sukuma, Halmashauri ya Buchosa, wameeleza furaha yao baada ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vinane vya...
READ MOREKAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dr. Edwin Mhede, leo Januari 1, 2021 amesema mamlaka hiyo kwa Desemba...
READ MOREKATIKA hali isiyo ya kawaida, Bwana harusi ambaye pia ni mchungaji wa Kanisa la New Hope Mountain (NHM), Yusuph Asagwile...
READ MOREPatapata Na Tigopesa atokea Dodoma: “Mathias January ndiye mshindi wetu wa milioni 5” Lumuliko Mengele-Meneja Utendaji wa The Network Limited...
READ MORE