×

Habari

Mwinyi Aunda Tume Kuchunguza Kuanguka Jengo la Maajabu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi ameunda Tume ya uchunguzi, kufuatia kuanguka kwa jengo...

READ MORE

Majaliwa Atua Ruangwa, Afanya Hili…

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa,  leo (Jumatatu, Desemba 28, 2020) amepokea vyumba 11 vya madarasa, ofisi mbili za walimu, samani na...

READ MORE

LIVE: Mwili wa Mngereza (BASATA) Waagwa Dar

  MWILI wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza, umewasili jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Fahamu Majengo 10 Marefu Zaidi Barani Afrika 2020

  HISTORIA ya majengo marefu zaidi barani Afrika ilianza mwaka 1973 kufuatia ujenzi wa jumba refu la Carlton Centers mjini...

READ MORE

Breaking: Rais Magufuli Amtumbua Mkurugenzi Igunga – Video

RAIS  John Magufuli, leo Desemba 28, 2020 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Revocatus...

READ MORE

Mwandishi Aliyeripoti ‘Ukweli’ wa Corona Afungwa Jela Miaka 4

    MWANDISHI wa habari wa China aliyekamatwa kwa ‘kuripoti ukweli’ kuhusu janga la ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona...

READ MORE

Kesi Wanaodaiwa Kuchana Noti 460,000 za BOT Yaahirishwa

KESI inayowakabili watu 13 wakiwemo watumishi wanane wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) na wenzao watano imeshindwa kuendelea katika Mahakama...

READ MORE

Waziri Aipa TCRA Miezi 3 Kushughulikia Vifurushi kwa Wananchi

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile ameipa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) miezi mitatu kumaliza changamoto...

READ MORE

Sekta ya Mawasiliano ya Simu Ilivyo na Tija Kwa Watanzania

Tanzania imepata bahati kubwa kuwa na sekta ya mawasiliano ya simu ambayo imekuwa ikipanuka kwa kasi kubwa siku hadi siku....

READ MORE

Mlinzi wa Bobi Wine Adaiwa Kufa kwa Kugongwa Gari la Jeshi

RIPOTI za vyombo vya habari nchini Uganda zimesema kuwa, baadhi ya mashahidi wameripoti kwamba mlinzi wa mgombea urais kupitia National...

READ MORE

Mwili wa Mngereza Wawasili Dar – Video

MWILI  wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza, umewasili jijini Dar es Salaam leo...

READ MORE

Mwili wa Mngereza Kuwasili Dar Leo; Ratiba Hii Hapa…

MWILI wa aliykuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza, unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Video: Mfahamu Bilionea Wa Urusi Aliyefia Hotelini Z’bar

Miongoni mwa habari zilizowashtua wengi katika msimu wa Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya, ni kifo cha bilionea Igor Sosin...

READ MORE

Majaliwa Amsimamisha Kazi Mkurugenzi wa Fedha wa TPA na Meneja Matumizi

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwenda kufanya ukaguzi maalum katika bandari...

READ MORE

Kagere, Yanga Mambo Safi, Yampa Mkataba wa Awali

IMEFAHAMIKA kuwa mshambuliaji tegemeo wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere, amemalizana kwa asilimia tisini na Klabu ya Yanga iliyokuwa inawania saini...

READ MORE

Kaze: Yanga Tulieni, Mambo Bado

BAADA ya kufanikiwa kumaliza mzunguko wa kwanza wakiwa kileleni, Kocha Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amefunguka kuwa matokeo ya kumaliza...

READ MORE

SMZ Kugharamia Mazishi ya Walioangukiwa na Jumba la Maajabu

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imeahidi kugharamia mazishi ya watu wawili waliofariki baada ya kudondokewa na jengo maarufu la kitalii,...

READ MORE

Shangwe Shangwena, Vodacom Yamzawadia Gari Mkazi wa Arusha

Mshindi wa nne wa promosheni ya Vodacom Tanzania, Shangwe Shangwena,  Regina Kashmir mkazi wa Moshono jijini Arusha  akifungua mlango wa...

READ MORE

Dalali Atupwa Nje Uchaguzi Simba

KWA hali jinsi ilivyo inaonekana wazi aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Hassan Dalali ametolewa nje ya boksi katika...

READ MORE

Umafia! Simba Yamtorosha Beki wa Polisi Tanzania

YANGA ilikuwa katika hatua za mwisho kabisa kumalizana na beki kisiki wa Polisi Tanzania, Iddi Mobby lakini ghafla bin vuuu...

READ MORE

Hakimu Afia Nyumbani kwa Mchepuko

INASHTUA! Jaji mmoja nchini Kenya amekutwa na umauti hivi karibuni akiwa nyumbani kwa mchepuko alikokwenda kupoza moyo.   Taarifa za...

READ MORE

Mwili wa Mngereza wa Basata Kuwasili Jumatatu

MWILI wa aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), Godfrey Mngereza, utawasili jijini Dar es Salaam Jumatatu...

READ MORE

Sarpong: Kwa Faulo za Saido, Nitafunga Mabao Yanga

MSHAMBULIAJIwa Yanga, Mghana, Michael Sarpong, amefichua kuwa atatumia umbo lake la urefu kwa kuhakikisha anafanikiwa kufunga mabao katika mipira ya...

READ MORE

Magufuli Azuia Hoteli ya Sugu Kuvunjwa – Video

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amemhakikishia aliyekuwa mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ...

READ MORE

Wawili Wapoteza Maisha Kwenye Jumba la Maajabu Zanzibar

Taarifa ya Wizara ya Maliasili na Mambo ya Kale ya Zanzibar kuhusu kuporomoka kwa Jengo la Maajabu na kusababisha vifo...

READ MORE

Kaze Tambo Tupu, Ataja Aina Ya Ubingwa Wa Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze, amesema atahakikisha wanapambana katika kila mchezo kwa kupata matokeo ya ushindi bila ya...

READ MORE

Kilichomuua Mngereza ni Hiki, Soma Hapa

BAADA ya aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa ‘Basata’, Godfrey Mngereza kufariki dunia usiku wa kuamkia jana,...

READ MORE

Mchezo wa Arsenal vs Chelsea Kuteka Jiji la London

Msimu huu wa siku kuu kunogeshwa zaidi na michezo ya EPL. Kumekuwa na utamaduni wa muda mrefu kwenye msimamo wa...

READ MORE

Waziri Bashungwa Amlilia Mngereza BASATA

WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michgezo, Innocent Bashungwa ameeleza masikitiko yake kufuatia kifo cha aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Baraza...

READ MORE

Dar Live Wanafunga Mwaka Kibabe

KWA miaka zaidi ya saba sasa Ukumbi wa Dar Live umekuwa ukifanya makubwa kwenye sikukuu za kufungia mwaka na awamu...

READ MORE

Uhasama Kabila, Tshisekedi Funzo kwa Kenyatta, Odinga

KIONGOZI wa chama cha Wiper nchini Kenya, Kalonzo Musyoka hivi karibuni alitua katika Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) ka­tika...

READ MORE

Sey Ataka Tuzo ya Ufungaji Afrika

MSHAMBULIAJI matata ndani ya kikosi cha Namungo FC, Steven Sey, ameibuka na kusema anatamani kuwa mfungaji bora kwenye michuano ya...

READ MORE

Breaking: Jengo la Kihistoria Laanguka Zanzibar – Video

JENGO la ghorofa linalofahamika kama House of Wonders au Palace of Wonders (Beit Al Ajaib) lililopo Stone Town, Zanzibar limeanguka...

READ MORE

Yanga Yamalizana na Beki Kisiki, Yondani Naye Huyo

UONGOZI wa Klabu ya Yanga kupitia kwa mjumbe wa Kamati ya Usajili, Eng Hersi Said, hatimaye imekamilisha dili la beki...

READ MORE

Panga la Simba SC Lapita na Mastaa…

BAADA ya juzi Jumatatu, Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez kuweka wazi kuwa wapo wachezaji ambao watatolewa kwa mkopo kipindi...

READ MORE

JPM Ashiriki Misa ya Krismasi, Asema Upendo ni Miujiza ya Mungu

RAIS John Magufuli leo Desemba 25, 2020 ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imakulata, Ikulu Chamwino...

READ MORE

Shuhudia Maajabu ya Machinjio ya Vingunguti

KUFUATIA maagizo aliyotoa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakar Kunenge, kwa machinjio ya kisasa Vingunguti kuhakikisha wanarekebisha kasoro...

READ MORE

Meja Kunta Ajilipua Penzi La Malkia Karen

VUNJA ukimya! Staa wa Singeli, Khalid Sadick ‘Meja Kunta’ kwa mara ya kwanza ameamua kujilipua na kuanika uhusiano wake wa...

READ MORE

Taharuki! Nguzo ya Tanesco Yaanguka Barabarani Kijitonyama

Wananchi wanaoishi Mtaa wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam, wameliomba Shirika la Umeme Wilaya ya Kinondoni (Tanesco) Kufika haraka  kwa...

READ MORE