×

Habari

Stendi Mbezi Louis Kuanza Kutumika Des. 20

  KATIBU  Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhandisi Joseph Nyamhanga, amewataka viongozi wa Mkoa...

READ MORE

Waliojifanya Vigogo TANESCO Kortini kwa Utapeli

WATU watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 14 likiwemo la kujipatia kiasi cha Sh 365...

READ MORE

Wenye Ualbino Watamani Kujiajiri

  Umoja wa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) wanaoishi Kigamboni Dar es Salaam wameeleza matamanio yao ya kujiajiri lakini...

READ MORE

Utajiri wa Bilionea wa Ngurudoto Gumzo

MADAI ya hoteli ya kitalii na kifahari ya nyota tano ya Ngurdoto Mountain Lodge ya jijini Arusha ya kugeuzwa hosteli...

READ MORE

Mahakama Yatengua Hukumu ya Kina Mwana FA, AY

MAHAKAMA Kuu, Dar es Salaam, imetengua hukumu iliyoiamuru kampuni ya simu za mkononi MIC (T) Limited, maarufu Tigo, kuwalipa wanamuziki...

READ MORE

Gonjwa la Ajabu Lajitokeza India, Watu 140 Walazwa

MAOFISA nchini India wanachunguza ugonjwa ambao haujafahamika uliosababisha zaidi ya watu 140 kulazwa mwishoni mwa wiki hii. Wagonjwa hao kutoka...

READ MORE

Mwanajeshi Aliyempiga Refa Ashughulikiwa na Polisi – Video

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayedaiwa kumpiga mwaamuzi Fadhil Maka aliyekuwa akichezesha mchezo kati ya Pamba FC na...

READ MORE

Mwili wa Marehemu Wapotea Kwenye Jeneza, Wakutwa Nyumbani

WANANCHI wa Kijiji cha Kona Nne Wilaya ya Kaliua mkoani wa Tabora wameshangazwa na kurejea kwa mwili wa marehemu aliyefariki...

READ MORE

Kuku Aliyezaliwa na Mwanamke Kigoma Kuchunguzwa

POLISI Mkoa wa Kigoma limesema kuku aliyezaliwa na  mwanamke mkoani humo, atapelekwa kwenye Maabara ya Mkemia wa Serikali kwa ajili...

READ MORE

Mama Mzazi wa Petit Man Afariki Dunia – Video

  MAMA Mzazi wa Petit Man Wakuache, amefariki dunia jana Desemba 6, ambapo alikuwa amelazwa hospitali ya Muhimbili. Petit Man...

READ MORE

NMB Yapongezwa Kuchangia Maendeleo Zanzibar

  Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na chama tawala wamevutiwa na jinsi Benki ya NMB ilivyojipanga kushiriki katika shughuli...

READ MORE

Kigogo TANESCO Kizimbani kwa Kuhujumu Mradi SGR

MFANYAKAZI wa TANESCO mkazi wa Kibaha kwa Mathias Mkoani Pwani amefikishwa katika mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es...

READ MORE

Sakata la Membe Kudaiwa Kuondoka ACT-Wazalendo

BAADA ya kusambaa kwa taarifa mitandaoni zinazodai kwamba aliyekuwa mgombea urais wa chama cha ACT-Wazalendo, Bernard Membe, kuwa atajitoa katika...

READ MORE

Wateja Benki ya NCBA Wafurahia Punguzo La Bei Maduka Ya GSM

Benki ya NCBA inawazawadia wateja wake wa NCBA Visa Debit na Visa Credit card kwa punguzo kubwa la gharama kila...

READ MORE

Rais Mwinyi Amteua Maalim Seif

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi amemteua Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa...

READ MORE

Prof. Safari Aipa Neno Chadema Sakata la Mdee na Wenzake

Wakili wa kujitegemea, Profesa Abdallah Safari ameishauri Chadema kwenda mahakamani kuomba tafsiri ya uhalali wa ubunge wa makada 19 wa...

READ MORE

Wafanyakazi Benki Ya NBC Wazipamba Mbio Za UDSM Marathon

  Mashindano ya mbio  za UDSM Marathon 2020 kwa mara nyingine yalishuhudia ushiriki mkubwa wakimbiaji kutoka Benki ya Taifa ya...

READ MORE

ACT – Wazalendo Yaridhia Kuungana na Rais Mwinyi Z’bar

CHAMA cha ACT – Wazalendo, kimekubali kuungana na Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda Serikali ya Umoja wa Kitaifa...

READ MORE

GSM Kuwapeleka Mtu na Mpenzi Wake Hifadhi ya Ngorongoro Kutalii

KAMPUNI ya GSM imetangaza habari njema kwa wateja wote watakaotembelea na kufanya manunuzi kwenye maduka yao yaliyopo Mlimani City Dar,...

READ MORE

Ndugai Ataka Watu wenye ulemavu Kupatiwa haki sawa Kama Watu Wengine

BUNGE la Tanzania litaendelea kupigania uwepo wa miundombinu rahisi na wezeshi ya watu wenye ulemavu kwenye majengo ya umma pamoja na...

READ MORE

Magufuli Ateua Baraza la Mawaziri

RAIS   John Magufuli, Desemba 5, 2020,  ameteua baraza la mawaziri ambapo orodha hiyo imesomwa   na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John...

READ MORE

Serikali Kuunga Mkono Uwekezaji Mazao ya Bustani

SERIKALI  ya awamu ya tano imesisitiza kuwa itaendelea kuunga mkono uwekezaji  katika  mazao ya bustani ili kuikuza sekta hiyo ambayo...

READ MORE

Babu Tale, TRC Wazindua Barabara Ngerengere

MBUNGE wa Jimbo la Morogoro Kusini-Mashariki, Hamis Shabani Taletale, leo Desemba 5, 2020, amezindua ukarabati wa barabara ya kilometa 70.45...

READ MORE

Jamii Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kupambana na Ukatili wa Kijinsia

KATIKA kuelekea maadhimisho ya siku  16 za kupinga ukatili wa kijinsia zilizoanza Novemba 25 hadi Disemba 10, mwaka huu, jamii...

READ MORE

Umoja wa Mabalozi Afrika Watembelea Hospitali ya Kairuki Kujionea Huduma Zakisasa

UMOJA wa Mabalozi wa Afrika leo wametembelea Hospitali ya Kairuki iliyopo Mikocheni Jijini Dar na kujionea huduma za kisasa zinavyotolewa...

READ MORE

Namna Ambavyo Tanzania Inaweza Kuendelea Kuiwezesha Sekta Binafsi

Inafahamika kuwa Tanzania imekuwa na kipindi imara cha ukuaji wa kiuchumi katika muongo mmoja uliopita. Hii imesaidia nchi hii kuwa...

READ MORE

Kampuni ya New Habari Yasitisha Uzalishaji

KAMPUNI ya New Habari 2006 LTD inayozalisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa na Dimba, leo Desemba 5, 2020 imetangaza kusitisha...

READ MORE

Mganga Mkuu: Tuhakikishe Tunazuia Vifo vya Wajawazito

  MGANGA Mkuu wa Serikali, Prof. Abel Makubi, amesema kuwa Serikali haitovumilia tena vifo vya akina mama wajawazito vinavyosababishwa na...

READ MORE

IGP Sirro Afanya Mabadiliko kwa Ma-RPC

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Simon Sirro, amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi, ambapo aliyekuwa RPC wa...

READ MORE

Serikali Yaja na Mfumo Bora wa Hakimiliki

KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi, ameahidi kuwa Serikali ipo katika hatua za mwisho...

READ MORE

Dun & Bradstreet Introducing the Innovative Financial Resiliency Model

The leading global business data and analytics provider Dun & Bradstreet  has introducing the innovative financial resiliency model which provide...

READ MORE

Rais Magufuli Ataja Sababu za Kuahirisha Sherehe za Uhuru

Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt. John Magufuli, ameahirisha sherehe za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa...

READ MORE

Ufaransa Yampongeza JPM Kuingia Uchumi wa Kati

BALOZI  wa Ufaransa nchini, Frederic Clavier, leo Desemba 2, 2020, amemkabidhi Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi, barua...

READ MORE

UN Wapiga Kura Kuhalalisha Matumizi ya Bangi

TUME ya Umoja wa mataifa ya kudhibiti dawa za kulevya, imepiga kura na kupitisha pendekezo la Shirika la Afya Duniani...

READ MORE

Bil. 4 Kuboresha Miundombinu Jangwani Dar

SERIKALI kupitia Mfuko wa Barabara (Road Fund), imesema ipo tayari kupitisha kiasi cha shilingi bilioni 4 kwa ajili ya kumlipa...

READ MORE

Vodacom yakabidhi zawadi kwa washindi promosheni ya Shangwe Shangwena

Mkuu wa Mauzo, Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya (kulia) akimkabidhi funguo mshindi wa kwanza wa bahati nasibu...

READ MORE

Nangasu Warema: Watanzania Wautangaze Utalii wa Nchi Yao

BALOZI wa utalii Tanzania, Nangasu Warema, amewataka Watanzania wa makundi yote kuutangaza utajiri mkubwa wa utalii nchini mwao ili kuinufaisha...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Ufaransa Afariki kwa Corona

RAIS wa zamani wa Ufaransa, Valery Giscard, amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa virusi vya corona akiwa na umri miaka...

READ MORE

Dkt. Abbasi: Serikali Inakuja na Tamasha, Tuzo Kubwa za Sanaa

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbas, jana Desemba 2, 2020,  ametangaza kuwa serikali...

READ MORE

RC Kunenge Awashauri Wananchi Kupima Magonjwa Yasiyoambukiza.

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa huo kujiwekea utaratibu wa...

READ MORE