×

Habari

Dkt. Abbasi: Vyombo vya Habari Viwape Nafasi Wahitimu wa Habari

KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi ameviagiza vyombo vyote...

READ MORE

Tanzia: Baba Mzazi wa DC Jokate Afariki Dunia

Baba Mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo, Mzee Urban Costa Ndunguru amefariki Dunia alfajiri ya leo katika...

READ MORE

Tanzia: Waziri Ng’wandu Afariki Dunia

MBUNGE wa zamani wa Maswa na waziri mstaafu, Dkt. Pius Yasebasi Ng’wandu, amefariki dunia katika Hospitali ya Somanda, Bariadi mkoani...

READ MORE

Babu Tale, DC Watua Kwenye Gereza la Mtego wa Simba – Video

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Bakari Msurwa akiwa ameambatana na Mbunge wa Morogoro Kusini, Babu Tale, wameupongeza uongozi wa Gereza...

READ MORE

RC Kunenge Atoa Siku Tatu Kwa DAWASA Kufikisha Huduma Ya Maji Kwembe

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ametoa siku tatu kwa DAWASA kuhakikisha wanakamilisha zoezi la kuunganisha...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2021

Tazama hapa Orodha ya Wanafunzi waliochaguliwa na Serikali kujiunga na masomo ya sekondari kidato cha kwanza Tanzania Bara kwa mwaka...

READ MORE

RC Kunenge Ampa Maagizo Mkandarasi ‘Fanya Usiku na Mchana’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amemuelekeza mkandarasi kutoka Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza kuhakikisha Ujenzi...

READ MORE

Spika Mstaafu Anna Makinda Utapenda Alivyowanoa Madiwani Wanawake

SPIKA mstaafu Anna Makinda, leo amewanoa madiwani wanawake wanaoendelea na warsha ya kuimarishwa kiuongozi inayoendele kwenye ofisi za Mtandao wa...

READ MORE

Breaking: Kiboko na Mkewe Watupwa Jela Miaka 20

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi maarufu Mahakama ya Mafisadi, imemhukumu mfanyabiashara maarufu nchini, Ayubu Kiboko...

READ MORE

Wanaougua Uti wa Mgogo Waiomba Meridian Bet Fursa za Ajira

Taasisi ya watu wanaougua uti wa mgongo nchini (KASI) wameomba nao wakumbukwe kwenye fursa za ajira zinapotokea nchini. Kauli hiyo...

READ MORE

DPP: Wanaoidai Qnet, Hakuna Kurejeshewa Fedha

MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amesema ni kosa kuwarejeshea fedha watu waliojiunga na kampuni ya Qnet kisha kudai...

READ MORE

Bunge Lamwondoa Madarakani Gavana Sonko

BUNGE la Seneti limemuondoa madarakani Gavana wa Nairobi, Mike Sonko, baada ya maseneta 27 kupiga kura za ndiyo kuunga mkono...

READ MORE

Breaking News: Rais Pierre Buyoya Afariki Dunia

RAIS wa zamani wa Burundi, Pierre Buyoya, ambaye aliiongoza  Burundi kwa mihula miwili kuanzia mwaka 1987 hadi 1993 kisha tena...

READ MORE

Kahama: Babu wa Miaka 75 Akamatwa na Silaha za Kivita

POLISI  mkoa wa Shinyanga linamshikilia Masanja Maziku Bugolole (75) Mkazi wa Kijiji cha Gula Wilayani Kahama mkoani Shinyanga kwa tuhuma...

READ MORE

Boko Haramu Yawaachia Wanafunzi 344 Iliowateka

MAMIA ya wavulana waliotekwa wiki iliyopita kutoka shule ya bweni kaskazini-magharibi mwa Nigeria wameachiliwa huru, mamlaka katika eneo hilo zimeliambia...

READ MORE

Kilichosemwa Mahakamani, Mabilioni ya Rugemalira, Seth – Video

  UPANDE wa mashtaka umeeleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi katika kesi inayowakabili mfanyabiashara, James Rugemarila, na mmiliki...

READ MORE

Dk. Mwinyi: Nivumilieni, Ninafanya Uamuzi Mgumu – Video

RAIS wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi, amewataka wananchi kumvumilia wakati akifanya uamuzi mgumu dhidi ya watu wanaoshiriki rushwa, uhujumu uchumi,...

READ MORE

Jukumu la Kampuni za Simu Katika Kuwajengea Watanzania Ujuzi wa Kidijitali

Inafahamika wazi kuwa teknolojia imebadili maisha ya binadamu na mabadiliko mengi zaidi bado yanaendelea kuja. Tanzania ni moja ya nchi...

READ MORE

Majaliwa Atoa Siku 7 Walionunua Magari ya Gharama Wajieleze

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa siku saba kuanzia jana (Alhamisi, Desemba 17, 2020) kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,...

READ MORE

Makaburi ya Kifahari Yanayozidi Nyumba za Kifahari

MAISHANI watu wengi hutaka kuishi katika nyumba nzuri na za kifahari. Wengi huwa hawafanikiwi. Lakini nchini Mexico, ambapo ulanguzi wa...

READ MORE

Adaiwa Kumuua Mfanyabiashara Mwenzake, Amzika!

MBEYA: Taharuki imetanda baada ya mfanyabiashara Justin Justin (30), mkazi wa Upangwa wilayani Ludewa Mkoa wa Njombe kulazimika kukimbilia kusikojulikana...

READ MORE

Mwanamke Asakwa Akituhumiwa Kufanya Mapenzi ya Jinsia Moja na Watoto

PEMBA: Mwanamke mmoja Salma Mohamed Hamed ameshtakiwa polisi kwa tuhuma za kushiriki mapenzi ya jinsia moja na watoto wa shule...

READ MORE

Biashara Kuuza Mioyo ya Binadamu Yashtua

HATARI kubwa! Ndivyo unavyoweza kusema, kufuatia kuongezeka kwa watu wanaofanyiwa upasuaji wa kupandikiza moyo ili kuokoa maisha yao.   Maendeleo...

READ MORE

TGNP Yawanoa Kinamama Waliotwaa Udiwani

MTANDAO wa Jinsia wa TGNP leo Alhamisi umeanza warsha ya kuwanoa kiungozi kinamama kutoka mikoa mbalimbali waliotwaa udiwani na nyadhifa...

READ MORE

Fahamu Chanzo cha Serikali ya Umoja ya Kitaifa Zanzibar

KWA mujibu wa ripoti ya Human Rights Watch, maandamano ya Januari 2001 yaliondoka na roho za waandamanaji 35 katika kisiwa...

READ MORE

Mwili wa Bilionea Subhash Patel Ulivyoingizwa Makabuli ya Kijitonyama

ALIYEKUWA Mfanyabiashara Bilionea, Subhash Patel hivi ndiyo mwili wake ulivyowasili kwenye makabuli ya Wahindi ya Kijitonyama Jijini Dar na kupokelewa...

READ MORE

Vilio, Simanzi Miili 12 Ikiagwa, Mmoja Ashindwa Kutambulika – Video

HAKIKA  ilikuwa ni simanzi pale familia ya Mzee Mkama Mayunga ilipopoteza jumla ya ndugu wanane ambao walikuwa wakiishi Mtaa wa...

READ MORE

CRDB Yawapa Zawadi za Funga Mwaka Wanachuo

  BENKI ya CRDB imetoa zawadi kwa wanafunzi wa vyuo mbalimbali nchini ikiwa ni sehemu ya kampeni ya JIPE 5...

READ MORE

Mkenya Anayetuhumiwa kwa Ugaidi Apelekwa New York

CHOLO Abdi Abdullah, raia wa #Kenya aliyekamatwa Ufilipino Julai 2019, amekabidhiwa kwa maafisa wa #Marekani akituhumiwa kuwa mshirika wa kundi...

READ MORE

Kaze Aleta Beki wa Kazi Yanga

YANGA imeanza kufanyia kazi ripoti ya usajili iliyowasilishwa na kocha mkuu wa timu hiyo, Cedric Kaze, ambapo ipo kwenye hatua...

READ MORE

Takukuru Yarejesha Mil 5.48 za Mwalimu Aliyetapeliwa na Qnet

  TAASISI  ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita imemrejeshea Rose Mgomba, mwalimu wa Shule ya Msingi Lukaranga,...

READ MORE

Ajali ya Basi la Frester Yaua Mtoto Kahama

  MTOTO mmoja amefariki dunia na wengine kujeruhiwa kufuatia basi la Kampuni ya Frester lenye namba za usajili T 965...

READ MORE

Laki Saba Wachaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza

  Jumla ya wanafunzi 759,706 sawa na asilimia 91.1 ya wanafunzi waliofaulu wakiwemo wavulana 368,174 na wasichana 391,532 wamechaguliwa kujiunga...

READ MORE

Mr Kuku Aachiwa, Baada ya Kulipa Faini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Desemba 17, 2020, imemwachia huru Tariq Machibya (29) almaarufu Mr Kuku baada ya kulipa...

READ MORE

Benki ya CRDB Yaibuka Kinara Tuzo za Mabenki

    Benki ya CRDB imeibuka na tuzo ya benki ya ndani ya nchi inayopendwa zaidi (Most Preferred Domestic Bank...

READ MORE

Daktari Ashauri Watu Kutooga, Yeye Hajaoga Miaka 5

DAKTARI bingwa wa tiba ya uzuiaji wa magonjwa, James Hamblin, alifanya utafiti kuhusu utakatishaji wa ngozi ambao hivi karibuni umechapishwa...

READ MORE

Stendi Mwenge Kuanza Kutumika Machi Mwakani

  KITUO cha mabasi cha Mwenge kitaanza kutumika Machi mwakani (2021) kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

READ MORE

GDSS Wafanya Tathmini 2020

Kupitia semina za jinsia na maendeleo (GDSS) ambazo zinaandaliwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) imefanya tathimini ya mada mbalimbali...

READ MORE

Bilionea Subash; Kimbilio La Wanyonge Aliyezimika Kama Mshumaa

KIMYA milele! Ule msemo wa Wahenga kwamba kizuri hakidumu, umetimia! Mtu wa watu, binadamu mwenye moyo wa kipekee kabisa, anayezibeba...

READ MORE

TECNO Kuwapa Furaha ya Krismasi na Mwaka Mpya Wateja Wake

Kampuni ya simu za mkononi ya  TECNO inaendelea kuwakumbusha wateja wake kutembelea maduka ya TECNO katika msimu huu wa Krisimasi...

READ MORE