×

Habari

Kamati Kuu Chadema Yaanza Kuwajadili Mdee, Wenzake

KIKAO cha Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza kwa ajili ya kuwajadili wanachama 19 walioapishwa Novemba...

READ MORE

Ndugai: Nitawalinda Wabunge Viti Maalum CHADEMA

SPIKA wa Bunge la 12, Job Ndugai, amesema, kanuni za Bunge zinamtaka kuwalinda wabunge walio wachache na maslahi yao, hivyo ...

READ MORE

“Tupinge Ukatili Wa Kijinsia, Mabadiliko Yanaanza na Mimi”

Maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia yameanza Novemba 25 ambapo yatadumu hadi Disemba 10, mwaka huu. Wanaharakati...

READ MORE

BAWACHA Waandamana Wataka Mdee, Wenzake Watimuliwe

BARAZA la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) wameandamana katika ofisi za makao makuu ya chama hicho zilizopo...

READ MORE

Tecno Camon 16 Waja na Zawadi Kwa Wateja Ikinogeshwa na App ya Vskit

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Tecno katika kuelekea msimu wa Sikukuu ya Krismasi imekuja na ofa kabambe kwa wateja...

READ MORE

Infinix Yatangaza Washindi Wa Promosheni Ya NOTE 8.

Infinix kuendelea kuwafaidisha wateja wake na promosheni ya Infinix NOTE 8 #Kasikazini. Promosheni hii ilizinduliwa sambamba na simu mpya ya...

READ MORE

Mateso ya Mama Huyu Usisikie

DAR: Ama kweli ukijiona una shida wenzako wanashida kwelikweli ambazo wewe ndiye unayetakiwa kuwasaidia. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mateso...

READ MORE

Miili 103 Yagundulika Kwenye Kaburi la Halaiki

Kulingana na taarifa iliyochapishwa na vyombo vya habari vya nchi, Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Serikali ilisema kwamba miili 103...

READ MORE

Simulizi Mfungwa Aliyempora Askari Bunduki ‘SMG’

NJOMBE: Ni ujasiri ulioje? Kijana, Isaack Kawogo (24) ambaye alikuwa mfungwa, amefanya tukio lililowaacha wengi midomo wazi la kumpora Askari...

READ MORE

Mwanaume Aliyedaiwa Kufa ‘Afufuka’

Mwaume mmoja kutoka Kaunti ya Kericho nchini Kenya amewashangaza wengi na kuibua gumzo mitandaoni baada ya kudaiwa kufufuka akiwa katika...

READ MORE

Polisi Yagizwa Kuwasaka Waliowapa Mimba Wanafunz 451

Serikali mkoani Mwanza imeliagiza jeshi la Polisi mkoani humo, kuwasaka na kuwafikisha katika vyombo vya sheria, watu wanaotuhumiwa kuwapa ujauzito...

READ MORE

Trump Amsamehe Mshauri Wake Aliyekiri Kuidanganya FBI

Rais wa Marekani Donald Trump amemsamehe Michael Flynn, aliyekuwa mshauri wake wa zamani wa masuala ya usalama wa kitaifa, na...

READ MORE

Sudan: Waziri Mkuu Mstaafu Afariki kwa Corona

Waziri mkuu wa zamani wa Sudan, Sadiq al-Mahdi amefariki dunia kutokana na virusi vya corona.Mwanasiasa huyo amefariki dunia wakati akipatiwa...

READ MORE

Bombardier Mpya Kutua Nchini Desemba

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Kampuni ya Ndege nchini (ATCL), Josephat Kagirwa, ameeleza kuwa ingawa hawajapata tarehe rasmi ya...

READ MORE

Kijana Atishia Kumuuwa Mama Yake Mzazi

Mama mwenye umri wa miaka 54, Mariam Josia, mkazi wa Kitongoji cha Kiabakari kijiji cha Nyambuli wilayai Serengeti mkoani Mara,...

READ MORE

Laiser Mwingine Aokota Tani 5 za Madini ya Rubi, Awa Bilionea

Mchimbaji mwingine mdogo wa madini nchini Tanzania ameibuka Bilionea baada ya kupata tani tano za madini ya Rubi yenye thamani...

READ MORE

Ifahamu Historia ya Ikulu ya Chamwino na Nyerere

BILA shaka wengi hawajui historia ya Ikulu ya Chamwino iliyopo jijini Dodoma ambayo sasa anaishi Rais Dk. John Magufuli. Historia...

READ MORE

Manyara: Ajali Yaua 6 Akiwemo Padri

Watu sita akiwemo padri wa kanisa katoliki parokia ya Masaktas jimbo la Mbulu mkoani Manyara, Sixtus Masawe wamefariki dunia katika...

READ MORE

Bavicha: Mdee, Wenzake Wasaliti Waadhibiwe – Video

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha) Taifa, John Pambalu, amesema, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walishatoa msimamo kuhusu...

READ MORE

Serikali Yaanza Kutoa Taulo za Kike Bure

SCOTLAND limekuwa taifa la kwanza duniani kufanya bidhaa za sodo/pedi kugawiwa bure kwa kila mtu. Wabunge walipitisha mswada huo bila...

READ MORE

Mbuzi Apewa Cheti Maalumu

MBUZI mmoja maarufu nchini Msumbiji amepewa cheti maalumu kama sehemu ya mipango ya kuulinda utambulisho wake atakaposafirishwa nje ya nchi...

READ MORE

Mbunge Gwajima Atua Kunduchi Kushuhudia Volkano ya Matope – Video

MBUNGE wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ametembela eneo lililogunduliwa kuwa na Volkano ya matope huku ardhi yake ikiwa inatitia huko...

READ MORE

Prince Dube Avunjika Mfupa, Apelekwa Sauz Kutibiwa

TAARIFA kutoka Azam FC inaarifu kuwa mshambuliaji wao, Prince Dube, aliyeumia jana Novemba 25, kwenye mchezo dhidi ya Yanga, atasafirishwa...

READ MORE

Mfahamu Gwiji wa Soka Diego Armando Maradona

MMOJA wa wachezaji maarufu nchini  Argentina ambao ilijivunia kipaji cha kipekee, madoido ya ajabu akiwa uwanjani, maono na kasi  yalivyovutia...

READ MORE

Samia Kumwakilisha JPM SADC

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kumwakilisha Rais John Magufuli kwenye mkutano wa dharura nchi tatu za Jumuiya ya...

READ MORE

Kifo cha Maradona, Rais Atangaza Maombolezo Siku Tatu

RAIS wa Argentina, Alberto Fernandez ,ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha gwiji wa soka wa nchi...

READ MORE

Shigella Awasimamisha Kazi Watumishi TRA,TBS

MKUU wa mkoa wa Tanga, Martine Shigella, amewasimamisha kazi maofisa wanane wa taasisi tatu tofauti, ikiwemo TRA, TBS na idara...

READ MORE

Njemba Mbaroni Akigongesha Gari Geti la Kansela Merkel

POLISI katika mji mkuu wa Ujerumani, Berlin, wamemkamata mwanamme mwenye umri wa miaka 54, aliyeligongesha gari lake katika lango la...

READ MORE

NMB Yasapoti Tamasha la Siku ya Mlipa Kodi Manispaa ya Ilala

    Kongamano la Siku ya Mlipa Kodi Manispaa ya Ilala, limefunguliwa leo Jumatano Novemba 25, huku Benki ya NMB...

READ MORE

Wakulima Watakiwa Kuchukua Mikopo ya Pembejeo

Wakulima wa mkoa wa Katavi wametakiwa kutumia fursa zinazotolewa na taasisi za kifedha katika kuchukua mikopo ya pembejeo ili kuinua...

READ MORE

Breaking: Diego Maradona Afariki Dunia

MKONGWE wa soka raia wa Argentina, Diego Maradona amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 60 kwa mshtuko wa moyo,...

READ MORE

Tamasha Kubwa la Speakers Conference Kutimua Vumbi Jumamosi Hii

Tamasha kubwa la Speakers Conference, linatarajiwa kufanyika kesho Jumamosi, Novemba 28, 2020 katika Ukumbi wa City Mall, Mnazi Mmoja mkabala...

READ MORE

RC Malima Aunda Kamati Kuchunguza Kuungua Bweni

MKUU wa mkoa wa Mara, Adam Malima, ameunda kamati kwa ajili ya kuchunguza moto ulioteketeza bweni la wavulana la shule...

READ MORE

Urusi Yatishia Kuilipua Meli ya Marekani

SERIKALI ya Urusi imesema moja ya vikosi vyameli zake za kivita kimebaini kuwepo kwa meli nyingine ya kivita ya Marekani...

READ MORE

Mwanamme Afariki Ghafla Ndani ya Daladala

WASAFIRI waliokuwa wamepanda matatu (daladala) katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, waliingiwa na hofu, baada ya mwanamme mmoja kufa ghafla...

READ MORE

Kimenuka Chadema! Mdee, Wenzake Waitwa Kujieleza

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema  hakiwatambui wabunge wanawake 19 wa viti maalumu wa chama hicho wakiwemo Halima Mdee,...

READ MORE

Walimu ‘Wadanganyifu’ Mitihani Darasa la 7 Kutua Takukuru

WALIMU waliotajwa kuhusika na udanganyifu katika mitihani ya darasa la saba katika jiji la Arusha na Wilaya ya Kiteto, mashauri...

READ MORE

Zuchu Balozi Mpya Bidhaa za Tridea Cosmetics

Kampuni ya vipodozi ya Tridea Cosmetics, inayofuraha kutangaza kuingia makubaliano na msanii Zuhura Othman ‘Zuchu’, kuwa balozi wa bidhaa zake....

READ MORE