×

Habari

Kampuni Mama ya SBL Yatangaza Mpango Endelevu wa Miaka 10

DIAGEO ambayo ni kampuni ya kimataifa inayoimiliki Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imetangaza  mpango madhubuti wa miaka 10 unaolenga...

READ MORE

Walanguzi wa Saruji Watangaziwa Kiama

WAFANYABIASHARA wanaouza saruji kwa bei ya ulanguzi, wameonywa kuchukuliwa hatua kadhaa, ikiwamo kushtakiwa na kufungiwa biashara. Onyo hilo limetolewa na...

READ MORE

RC Kunenge Atoa Maagizo JKT Kukabidhi Majengo ya Hospitali ya Ubungo

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ameridhishwa na hatua ya Ujenzi wa Hospital ya Wilaya ya...

READ MORE

Rafiki wa Zari Azuia Mali za Ginimbi

MALI za aliyekuwa bilionea maarufu katika ukanda wa nchi za Kusini mwa Bara la Afrika, Genius Kadungure ‘Ginimbi’ (36), zimezua...

READ MORE

Hadi Raha! Mapacha Waoana Siku Moja

Hassan Sulaiman na Hussaini Dey ni mapacha wawili wa kiume wenye miaka 33, wameoa mapacha wenzao wa kike ambao wamefahamika...

READ MORE

Walioisababishia Hasara ya Mamilioni TCRA Wahukumiwa – Video

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imewahukumu watu wawili kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya...

READ MORE

Chadema: Hatujapeleka Majina ya Viti Maalum NEC

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, amesema  chama hicho hakijateua wabunge wa viti maalum na...

READ MORE

Spika Awaapisha Mdee, Wenzake Kuwa Wabunge – Video

WABUNGE 19 wa Viti Maalum kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wakiongozwa na Halima Mdee, wameapishwa leo katika viwanja...

READ MORE

JPM Amteua Mwakyembe, Dkt. Shein

RAIS John Magufuli amemteua Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein, kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe akichukua nafasi...

READ MORE

TFF Yatoa Tamko Kuhusishwa na Sakata la Rais wa CAF

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa ufafanuzi juu ya kuhusishwa kwa Rais wake, Wallace Karia, katika malipo yanayodaiwa...

READ MORE

Kauli ya Zitto Kuhusu Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar

KIONGOZI Mkuu wa ACT-Wazalendo amesema, hadi sasa chama hicho hakijafanya uamuzi kuhusu ushiriki wake katika uundwaji wa Serikali ya Umoja...

READ MORE

Babu (67) Atuhumiwa Kumpa Mimba Mjukuu Wake

POLISI mkoani Tabora inamshikilia mzee mwenye umri wa miaka 67, Saidi Abdulatif Tumaini, mkazi wa Kata ya Ng’ambo katika manispaa...

READ MORE

Mbatia Awageukia Viongozi wa Dini

MWENYEKITI wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amewataka viongozi wa kidini kutumia ndimi zao vizuri, kukubaliana na  maslahi ya Tanzania kwanza na...

READ MORE

Unakosaje Vitu vya Chee Kama Bure Kabisa – Video

  TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKERS LIMITED inawatangazia mnada wa hadhara wa vitu mbalimbali vya majumbani kwa bei chee....

READ MORE

Trump Akubali Kukabidhi Madaraka kwa Biden

RAIS Donald Trump amekubali kuanza kwa mchakato rasmi wa kumkabidhi madaraka Rais Mteule Joe Biden kwa kuliambia shirika  linaloshughulikia mabadilishano...

READ MORE

Kunenge Awapongeza Wauguzi Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Aboubakar Kunenge, amewapongeza wauguzi wa mkoa huo kwa kazi kubwa na nzuri wanayoifanya...

READ MORE

Wateja wa Nmb Watengewa zawadi za Milioni 200  

  Benki ya NMB imezindua kampeni kabambe ya kufunga mwaka inayolenga kuchagiza matumizi ya kadi za NMB Mastercard na QR  miongoni...

READ MORE

Vyombo vya Habari Uganda Vyagoma Kurusha Hotuba ya Museveni

VYOMBO vya habari binafsi nchini Uganda, vimekataa kurusha hotuba ya Rais Yoweri Museveni ambayo alikuwa amepanga kufanya kila Jumapili, kuanzia...

READ MORE

Nmb Yatoa Misaada Wilaya Ya Kilwa Sekta Ya Afya Na Elimu

Benki ya NMB imetoa misaada kwa Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi katika sekta ya afya na elimu yenye jumla ya...

READ MORE

TBS Yateketeza Vipodozi vya Milioni 125 Vyenye Viambata Sumu

Na Mwandishi wetu- Arusha Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza vipodozi  vyenye viambata sumu  vya thamani ya Shilingi milioni 125...

READ MORE

RC Kunenge Akasirika Ujenzi Daraja la Ulongoni “A”

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge ameonyesha kutoridhishwa na kasi ya Mkandarasi wa kampuni ya CICO...

READ MORE

Waliokufa Kwenye Maandamano Uganda Wafikia 45

Polisi nchini Uganda imesema kuwa idadi ya vifo vya vilivyotokea katika maandamano ya wiki iliyopita imeongezeka na kufikia watu 45....

READ MORE

Wanane Wapoteza Maisha Ajalini Kagera

WATU​ wanane​ wamefariki dunia na wengine sita kujeruhiwa baada ya gari yenye namba za usajili T.471 DGC, Toyota Hiace inayofanya safari zake...

READ MORE

Beki wa Zamani Mamelodi Afariki Ajalini

BEKI wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini na klabu ya Mamelodi Sundowns ya nchini humo, Anele Ngcongca...

READ MORE

Mwenyekiti, Mtendaji wa kijiji Matatani kwa Ufisadi

WANANCHI wa vitongoji vitano vya Majengo, Nkalango, Mabambasini, Bombani na Kampuni katika Kijiji cha Ibutamisuzi kata ya Mbutu wilayani Igunga...

READ MORE

Rais Mahakamani Akituhumiwa Ufisadi

NICOLAS SARKOZY, rais wa zamani wa #Ufaransa anayetuhumiwa kujaribu kutoa hongo kwa jaji na kupelekea ushawishi kwenye kampeni za mwaka...

READ MORE

EU Yaitaka Marekani Kusitisha Hukumu ya Kifo

JUMUIYA  ya Umoja wa Ulaya (EU) imetoa wito kwa Serikali ya Marekani kusitisha utekelezaji wa hukumu ya kifo iliyoanza kutekelezwa...

READ MORE

Wachoma Moto Bunge Kupinga Bajeti

MAMIA ya waandamanaji wanaopinga Serikali ya GUATEMALA wamechoma moto sehemu ya jengo la Bunge wakipinga Bbjeti iliyopitishwa siku chahe zilizopita...

READ MORE

Uchaguzi Watishia Kuanzishwa Nchi Nyingine

CAMEROON inatarajia kufanya uchaguzi Desemba 6, mwaka huu licha ya kuwepo tishio la mapigano kutoka kwa makundi yanayotaka kujitenga na...

READ MORE

Jatu PLC Yaorodheshwa Kwenye Soko La Hisa la Dar es Salaam

IMEELEZWA kuwa utendaji na uongozi madhubuti wa Rais Dkt. John Joseph Magufuli katika kuweka mikakati na mazingira wezeshi, shirikishi na...

READ MORE

Kidato cha Nne Waanza Kufanya Mitihani Leo

WANAFUNZI 490,103 wa kidato cha nne nchini wanaanza mitihani ya kumaliza elimu  ya sekondari leo Novemba 23, 2020,  ambapo wavulana...

READ MORE

Kilichotokea Bweni la Sekondari ya Loreto Mwanza Likiungua Moto

BWENI la Shule ya Sekondari ya Wasichana Loreto iliyopo wilayani Ilemela limeteketea kwa moto, huku wanafunzi zaidi 100 wakinusurika katika...

READ MORE

Wanafunzi 10 Bora Matokeo Darasa la 7

BARAZA la Mitihani la Tanzania (Necta), limetangaza watahiniwa kumi bora kitaifa katika matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi...

READ MORE

Maajabu ya Frirauni! Ukizikwa Unarudi Juu Kesho

UKISTAAJABU ya Musa utaona ya Firauni. Baadhi yetu tunamjua Musa ambaye Mungu akin‑ alia uhai huko mbele siku moja nitamzungumzia...

READ MORE

Tazama Orodha ya Madiwani Wote wa Viti Maalum CCM

Chama Cha Mapinduzi CCM kimetoa Orodha ya Madiwani wote wa viti maalum kwa nchi nzima Bonyeza link kutazama orodha hiyo....

READ MORE

Volcano ya Tope Yaibuka Kunduchi, RC Kunenge Awataka Wakazi Kuhama

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge akiongozana na wajumbe wa kamati ya usalama ya Mkoa, leo,...

READ MORE

Makamu wa Rais Samia Ashiriki Mbio za NBC Marathon Dodoma

        Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan leo Novemba...

READ MORE

Vodacom Kugawa Zawadi za Kusisimua Kusherehekea Miaka 20

DAR ES SALAAM, jana Novemba 21 Kampuni ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali, Vodacom Tanzania PLC imeendelea kusherehekea miaka ishirini...

READ MORE

IGP Sirro Azungumzia Uhalifu wa Mtwara

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro, leo Novemba 22, 2020 amesema jeshi hilo litavitokomeza vitendo vya kihalifu...

READ MORE

Sakata la Saruji: Waziri Mkuu Atoa Maagizo kwa Wakuu wa Mikoa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa yote nchini wafanye ukaguzi kwenye viwanda vya kuzalisha saruji, mawakala, wauzaji wa...

READ MORE