×

Habari

Eric Omondi Akwaa Skendo Kudhalilisha Wanawake Kingono

HATIMAYE mchekeshaji Eric Omondi amejipatia jiko ambalo ni  mrembo anayefahamika kwa jina la Carol, kupitia ‘The Wife Material Show’ kipindi...

READ MORE

Breaking: Katibu Mtendaji BASATA, Mngereza Afariki Dunia – Video

KATIBU Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza, amefariki dunia usiku huu wa kuamkia leo Desemba 25,...

READ MORE

Wema wa Buguruni Afunga Mtaa

MWANADADA Rachel Said maarufu kama Wema wa Buguruni, mkazi wa Buguruni Rozana, jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita...

READ MORE

Askofu Sangu Atuma Ujumbe Mzito wa Krismasi na Mwaka Mpya 2021

  Desemba 25 kila mwaka, Wakristo kote duniani huungana katika kuadhimisha sikukuu ya Noeli kuzaliwa kwa mwokozi wao Yesu Kristo...

READ MORE

Mchungaji Billioneire Apandishwa Mahakamani Kisutu

Mchungaji wa Kanisa la Shalom Internation lililopo Sinza jijini Dar es Salaam, Billioneire Mkeu miaka(44) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

‘Lambalamba’ Waonywa Sumbawanga

WAKATI mvua zikiendelea kunyesha katika Mkoa wa Rukwa kuna baadhi ya watu, hususan wale waitwao ‘lambalamba’ wanatumia fursa hiyo kuzika...

READ MORE

Breaking: Waliomuua Alphonce Mawazo Wahukumiwa Kifo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mwanza leo Desemba 24, 2020, imewahukumu washtakiwa wanne katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwenyekiti wa...

READ MORE

Pata OFA Kubwa ya Kupamba Maharusi, Kumbi za Sherehe – Dage Salon

  DAGE SALON/ DAGE SCHOOL OF HAIR DRESSING & BEUATY Ina OFA Kubwa ya kupamba maharusi, kumbi za sherehe, kukodisha...

READ MORE

JPM: Fomu za Maadili Ziwe Siri, Ataja ‘Nyumba Ndogo’ – Video

RAIS  John Magufuli amemwapisha Jaji wa Mahakama ya Rufani, Sivangilwa Sikalalilwa Mwangesi, kuwa Kamishna wa Maadili, leo Desemba 24, 2020,...

READ MORE

Abiria Waliompa Kipigo Dereva Wakamatwa

WATU wanne ambao ni abiria waliokuwa wakisafiri na basi la Frester lenye namba za usajili T915 CGU kutoka wilayani Kahama...

READ MORE

Maestro: Morrison Ana Matatizo Kichwani, Azam Kuna Mgogoro Mkubwa

MCHAMBUZI maarufu wa masuala ya soka nchini, Ibrahim Maestro, amemchambua mchezaji wa Simba, Bernard Morrison kuhusu vitendo vyake vya utovu...

READ MORE

Twitter Kufuta Wafuasi wa Trump Kabla ya Kumkabidhi Biden

TWITTER  imethibitisha kwamba mamilioni ya wafuasi wa akaunti rasmi ya Rais wa Marekani watafutwa kabla ya akaunti hiyo kukabidhiwa utawala...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Wito Kwa wananchi Kutumia Vizuri TEHAMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa  Desemba 23, 2020 alikuwa mgeni rasmi katika hafla ya utoaji tuzo kwa washindi mashindano ya TEHAMA...

READ MORE

Ufuska wa Kutisha Wafanyika Uwanja wa Mpira

DAR: Uwanja wa mpira wa miguu wa Kirumba jijini Mwanza umegeuzwa danguro linalotumiwa na akina dada wanaojiuza nyakati za usiku...

READ MORE

Hadhi, Mamlaka ya Rais Zanzibar Ndani ya Serikali ya Tanzania

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa...

READ MORE

Rais Mwimyi Amtumbua Mkurugenzi ZSSF – Video

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amemsimamisha kazi Mkurugenzi Muendeshaji wa Mfuko wa...

READ MORE

Pigo Vifo Vya Mabilionea Bongo

DAR: Kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya Motisun Group ambaye pia alikuwa miongoni mwa mabilionea wachache nchini Tanzania...

READ MORE

Mwanafunzi Afariki kwa Kuangukiwa na Ukuta

MBEYA: MWANAFUNZI wa darasa la tatu (3) katika shule ya msingi Uhamila wilayani Mbarali mkoani Mbeya, Gilison Ngungulu (8) amefariki...

READ MORE

Taharuki Mtoto Darasa la Pili Kupewa Mimba

DAR: TAHARUKI na mshangao wa aina yake umetokea kwa wakazi wa Mbagala Kwa Mbiku, jijini Dar es Salaam, baada ya...

READ MORE

Makaburini: Mwili wa Mama MC Pilipili Wazikwa Dodoma – Video

MWILI wa Mama wa Msanii maarufu wa vichekesho na mshereheshaji, Mc Pilipili, umefanyiwa ibada ya mazishi leo Desemba 23, na...

READ MORE

Polisi Wasindikiza Sanduku la Madini Mahakamani

  WAFANYABIASHARA wawili wa madini, Haji Hassan (52) na Jamas Hassan (55)  wamehukumiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Miaka Mitatu...

READ MORE

Ticha J; Waziri Anayezidi Kutusua Kisiasa, ni Mtoto wa Mamalishe

JUMAA Hamidu Aweso ni mojawapo ya mawaziri vijana zaidi katika Baraza la Mawaziri lililotangazwa hivi karibuni na Rais John Magufuli....

READ MORE

WHO Yatuliza Hofu ya Virusi Vipya vya Corona

SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) limesema hakuna sababu ya watu kuwa na wasiwasi mkubwa kwa kuwa ni kawaida ya virusi...

READ MORE

Meneja wa Rubby – Hamish – Azikwa Kisutu – Video

ALIYEKUWA Meneja wa msanii wa Bongo Fleva, Ruby,  aitwaye Hamish ambaye wikiendi iliyopita alifariki dunia baada ya kupata ajali ya...

READ MORE

Ndugai: Kukaa Kijiweni, Kusubiri Ajira za Serikali Mtazamo Hasi

SPIKA Job Ndugai amewataka vijana kuacha fikra potofu ya kusubiri kuajiriwa na serikali, badala yake watumie fursa zilizopo kuibua miradi...

READ MORE

JPM Amteua Sivangilwa Mwengesi Kamishina wa Maadili

RAIS John Magufuli, leo, Desemba 23, 2020, amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, Sivangilwa Mwangesi kuwa Kamishna wa Sekretarieti ya...

READ MORE

Live: Mwili wa Dkt. Ng’wandu Waagwa Lugalo

  MWILI wa aliyewahi kuwa Mbunge wa zamani wa Jimbo la Maswa na  Waziri, Dkt Pius Yasebasi  Ng’wandu, umeagwa leo...

READ MORE

Vodacom M-Pesa Yalipa Wateja Gawio la TZS 3.9 Bilioni.

Kampuni ya simu inayoongoza kidijitali nchini, Vodacom Tanzania PLC, inaendelea kuongeza thamani halisi kwa wateja, raia na nchi kwa ujumla.,...

READ MORE

Polisi: Wapo WaTZ Wahusika Mashambulizi Mpakani na Msumbiji

POLISI nchini imesema kwamba kuna raia wa Tanzania wanaohusika na mashambulizi yanayofanyika mpakani mwa Msumbiji na Tanzania.   Kamishna wa...

READ MORE

TCC Yatoa Vifaa Saidizi Zaidi ya 800 kwa Watu Wenye Ulemavu

KAMPUNI ya Sigara Tanzania (TCC Plc) imetoa vifaa saidizi zaidi ya 800 kwa watu wanaoishi na ulemavu katika mikoa mitano...

READ MORE

Washindi 12 Wasepa na zawadi za NMB Mastabata Siyo Kikawaida

Benki ya NMB imewazawadia washindi 12 zawadi mbalimbali zenye thamani ya zaidi ya milioni 28 kwenye bahati nasibu ya mwezi...

READ MORE

Mwigulu: Mwenendo wa Mashauri, Hukumu Ziandikwe kwa Kiswahili

Serikali imedhamiria kuwasaidia kwa umakini mkubwa wananchi katika tasnia ya sheria ambapo imeagiza kuanza haraka uandaaji wa sheria kwa lugha...

READ MORE

Wakurugenzi Watakaokusanya Chini ya 50% Kuondolewa

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, amewaagiza Wakurugenzi wa Halmashauri 185 Nchini kuhakikisha wanafikisha zaidi ya 50% ya makusanyo ya mapato...

READ MORE

Aiba Mtoto Kunusuru Ndoa Yake

Lilian Stanley (36) mkazi wa Tumbaku, Kata ya Kiwanja cha Ndege, Manispaa ya Morogoro, anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani...

READ MORE

Mfahamu Mwanawake Anayedai Ana Makalio Makubwa Zaidi Afrika Magharibi

INAONEKANA Afrika Magharibi iko mstari wa mbele katika ulimwengu ambao kinamama wake wanadai au kudaiwa kuwa na makalio makubwa zaidi....

READ MORE

Mradi wa Premier Waleta Furaha, Kituo cha Kulelea Watoto Yatima

Miradi ya Premier imetoa msaada wa chakula, vinywaji, vifaa vya chooni, madaftari na vitabu pamoja na vifaa vingine muhimu kwa...

READ MORE

Tanapa Inavyokabiliana na Changamoto Katika Sekta ya Uhifadhi

  SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (Tanapa), limejipangia mikakati ya mazao ya utalii ili kuhakikisha linatekeleza kwa kishindo Ilani ya...

READ MORE

Simanzi! Ibada ya Kuaga Mwili wa Baba Jokate, Ruvuma

BABA mzazi wa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo, marehemu Urban Ndunguru,  anatarajiwa kuzikwa leo Jumanne, Desemba 22, 2020,...

READ MORE

Urusi Yaanika Kombora Jipya; ‘Halionekani, Halizuiliki’

RAIS Vladimir Putin wa Urusi amesema nchi hiyo inamiliki kombora ambalo haliwezi kutunguliwa na linaweza kufika pahala popote duniani huku...

READ MORE

Fifa Kumburuza Mahakamani Sepp Blatter

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), limesema kuwa litamfungulia mashtaka ya jinai rais wake wa zamani Sepp Blatter, kwa...

READ MORE