×

Habari

NEC Yakanusha Kura Feki Kukamatwa Kawe, Pangani na Kigoma _ Video

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imekanusha uzushi unaoenea mitandaoni ukisambazwa na baadhi ya watu wakidai uwepo wa kura feki...

READ MORE

Polisi Yamkamata Halima Mdee

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni asubuhi ya leo Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 walimkata Mgombea Ubunge wa Kawe,...

READ MORE

Msemaji Mkuu wa Serikali Apiga Kura Kilimani Dodoma

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,...

READ MORE

Majaliwa Apiga Kura Nandagala Ruangwa – Video

WAZIRI Mkuu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa,  amepiga...

READ MORE

NEC Kuanza Kupokea Matokeo ya Urais Leo Usiku

MKURUGENZI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dkt. Wilson Mahera, amesema kuanzia leo usiku Jumatano Oktoba 28, 2020, tume...

READ MORE

‘Anayesema Atamwaga Damu, Nataka Lita 7 za Damu Yake’ – Video

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, ametoa onyo kwamba yeyote ambaye anasema atamwaga damu mkoani humo, yeye anataka lita...

READ MORE

RC Dar “Wananchi Nendeni Mkapige Kura, Mkoa Upo Shwari”

  Katika jiji la Dar es Salaam nako Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge mapema leo amepiga...

READ MORE

Magufuli, Mkewe Wapiga Kura Chamwino -(Picha +Video)

ZOEZI la kupiga kura linaendelea katika maeneo mbalimbali nchi nzima, ambapo watu wengi wamejitokeza katika vituo vya kupigia kura tangu...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Apiga Kura Zanzibar

MGOMBEA urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Mwinyi,  amepiga kura Mjini Unguja ambapo ametoa rai...

READ MORE

Maalim Seif Apiga Kura Zanzibar

MGOMBEA urais Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif,  amefika katika kituo cha Garagara, Jimbo la Mwera,  na kupiga...

READ MORE

Nunua Magazeti ya Global Upate Zawadi Nono

Nunua magazeti kupitia globalapp.co.tz au Application ya GlobalApp Ujishindie Mkwanja hadi Tsh. 100,000/= iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8 Web:...

READ MORE

Shigongo Apiga Kura Buchosa – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, tayari ameshatia wino baada ya...

READ MORE

Polisi Zanzibar Wataja Sababu za Kutumia Mabomu ya Machozi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi kisiwani Zanzibar limesema limelazimika kutumia mabomu ya machozi katika baadhi ya maeneo kutokana...

READ MORE

Baada ya Kutiwa Mbaroni… Utajiri Nabii Bilionea Waibuliwa

SI habari tena kwamba, mchungaji maarufu wa Kanisa la Enlightened Christian Gathering (ECG), Nabii Shepherd Bushiri, ametiwa mbaroni kwa tuhuma...

READ MORE

Mastaa Wagombea Ubunge Matumbo joto

WAKATI zikiwa zimesalia siku tatu kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu Oktoba 28 mwaka huu, imeelezwa kuwa mastaa waliojitosa kuwania...

READ MORE

AU Yatoa Tamko Uchaguzi Tanzania

MWENYEKITI wa Umoja wa Afrika (AU), Moussa Faki Mahamat, ametoa wito wa uchaguzi wa amani, wenye kujumuisha kila mmoja na...

READ MORE

Hali ya Schwarzenegger Baada ya Upasuaji Moyo

STAA wa filamu za mapigano kutoka kiwanda cha filamu cha Hollywood, mkongwe Arnold Schwarzenegger, anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Polisi Yakanusha Madai ya Mauaji Pemba – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, amekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni zikidai kuwa kwamba polisi imewapiga risasi na...

READ MORE

Umoja wa Mataifa Watoa Wito Uchaguzi Tanzania

  UMOJA wa Mataifa umetoa wito kwa Tanzania kuhakikisha uchaguzi mkuu wa kesho Jumatano, Oktoba 28, 2020 unafanyika kwa njia...

READ MORE

Sirro Asema Polisi Inawashikilia 42 Pemba kwa Vurugu -Video

MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro, amesema kuna watu 42 waliokamatwa kisiwani Pemba wakidaiwa kuwashambulia polisi waliokuwa wakisambaza...

READ MORE

Mpambano wa Magwiji wa Soka Duniani- Juventus vs Barcelona

Mchezo uliosubiriwa kwa hamu – Juventus vs Barcelona Msimu mpya wa Ligi ya Mabingwa ulishaanza! Wiki iliyopita, michezo ya mzunguko...

READ MORE

Watumiaji wa Mtandao Wamtabiria Ushindi Magufuli

  HUKU ikiwa imesalia siku moja Watanzania kupiga kura za kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani, baadhi ya Watanzania wanaotumia mtandao...

READ MORE

Maalim Seif Akamatwa Akiwa Kituo cha Kupigia Kura

TAARIFA iliyotolewa na chama cha ACT-Wazalendo, inasema mgombea urais wa chama hicho Zanzibar, Maalim Seif Hamad Sharif, amekamatwa na vyombo...

READ MORE

Asubuhi Hii! Kura Zaanza Kupigwa Zanzibar – Video

Zoezi la upigaji kura ya mapema huko Zanzibar limeanza saa moja asubuhi. Kwa hii leo wanaopiga kura ni wa chache...

READ MORE

Meneja wa Infinix Aeleza Hot 10 Inavyoendelea Kutamba Sokoni

KAMPUNI ya simu, Infinix Mobility LTD inayotamba na toleo jipya aina ya Infinix HOT 10 imeendelea kuongeza mashabiki kupitia kampeni...

READ MORE

Faida ya Benki ya NMB Yapanda kwa Asilimia 76 kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka 2020

Benki ya NMB imepata ongezeko la asilimia 76 la faida kabla ya kodi kwa kipindi kilichoishia Septemba 30, 2020. Kwa...

READ MORE

Simiyu: Minada Yasitishwa Kupisha Uchaguzi

MKUU wa mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka, amesitisha minada na magulio yote mkoani humo siku ya uchaguzi mkuu ya Oktoba...

READ MORE

JPM Awaambia Wapiga Kura: Hamchagui Malaika – Video

MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, (CCM), Dkt. John Magufuli, amesema kuwa anatamani taifa la Tanzania liendelee kuheshimika zaidi duniani...

READ MORE

JPM Kuendelea Kujenga Makanisa Chamwino – Video

RAIS Dkt John Magufuli, leo Oktoba 26, amezindua msikiti uliopo Chamwino mkoani Dodoma, ambapo tukio hilo limeshuhudiwa na Mufti mkuu...

READ MORE

Joti Aula Tigo Ikizindua Kampeni ya ‘Jaza Tukujaze Tena’

DAR ES SLAAM leo Jumatatu, 26 Oktoba 2020 Kampuni ya mawasiliano inayoongoza kwa kutoa huduma za kidigitali nchini Tanzania, Tigo,...

READ MORE

Kamanda Muslim Aanika Chanzo cha Ajali ya Ngara

  Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, Fortunatus Muslim, leo Oktoba 26, 2020 amesema uchunguzi wa jeshi hilo umebaini...

READ MORE

Askofu Ruwa’ichi Aipongeza ACB Kuiwezesha Shule ya Mary Mother of Mercy

MHASHAMU Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu Dar es Salaam, Jude Thadeus Ruwa’ichi ameipongeza Benki ya ACB na wadau...

READ MORE

Conde Atangazwa Mshindi Katika Uchaguzi Mkuu

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Guinea, jana Oktoba 25, 2020 imemtangaza Rais Alpha Conde kuwa mshindi katika uchaguzi mkuu...

READ MORE

Live: Mwili wa Elisha Elia Watolewa Muhimbili Kwenda Kuagwa

MWILI wa mtangazaji Elisha Elia, umetolewa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, na kufikishwa nyumbani kwao Tabata Segerea kwa ajili ya...

READ MORE

Mbowe: Lissu Atakuwa Rais, Mimi Waziri Mkuu

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe, amesema ndani ya saa 72 zijazo, mgombea wao wa Urais, Tundu Lissu anakwenda...

READ MORE

Membe Arejeshwa CCM, Dkt. Bashiru Afunguka!

DAR: Wakati ikiwa imesalia siku moja kabla ya Watanzania kufikia kilele cha Uchaguzi Mkuu Oktoba 28, mwaka huu, Mgombea Urais...

READ MORE

NEC Yakanusha Madai ya Vituo na Wapigakura Hewa

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka wanasiasa na wagombea wanaodai kuwepo kwa vituo na wapigakura hewa kupeleka ushahidi na...

READ MORE

Membe Akiri Kuandika Barua Kujitoa Kugombea Urais

MGOMBEA wa Urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Bernard Membe, ametoa sababu ya kuandika barua iliyokuwa ikisambaa mitandaoni ikieleza kuhusu...

READ MORE

Wajasiriamali Nchini Waanzisha Umoja wa HAYET kujikomboa Kiuchumi

WAJASIRIAMALI nchini wameanzisha umoja wao walioupa jina la HAYET (Have You Eaten Today?) wakimaanisha umekula leo? Lengo la umoja huo...

READ MORE

Nunua Magazeti Ya Global Kupitia GlobalApp Ujishindie Mkwanja

Nunua magazeti kupitia globalapp.co.tz au Application ya GlobalApp Ujishindie Mkwanja hadi Tsh. 100,000/= Baada ya kununua jaza fomu hii bila...

READ MORE