×

Habari

Mo Aleta Kifaa Kipya Simba SC

  MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’, ameleta kifaa kipya kutoka nje ya nchi...

READ MORE

Mwanamke Aliyefungwa Akituhumiwa Uchawi Aokolewa

MWANAMKE anayeitwa Gladys anapata matibabu katika hospitali ya Orerokpe iliyopo katika jimbo la Delta , kusini mwa Nigeria, baada ya...

READ MORE

Rais Ramaphosa Amsaka Aliyemtorosha Nabii Bushiri

RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amesema kuwa kutoroka kwa Nabii wa Malawi na mke wake nchini humo ni jambo...

READ MORE

BoT Yachukua Usimamizi Benki ya China

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetangaza kuchukua usimamizi wa Benki ya Biashara ya China (China Commercial Bank Limited) ambayo ina...

READ MORE

7 Wafariki Uchaguzi Uganda 2021, Wapinzani Wasusia Kampeni

WATU saba wamefariki dunia nchini Uganda kufuatia maandamano yaliyofanyika jana Jumatano ya kupinga kukamatwa kwa mgombea wa urais Robert Kyagulanyi...

READ MORE

Metacha Mnata Amempoteza Manula

METACHA Mnata, kipa namba moja ndani ya Yanga, amempoteza jumla kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula kwenye idadi ya...

READ MORE

Simba Wamfuata Ntibazonkiza

UMAFIA! Hivyo ndivyo utakavyosema baada ya kufahamika kuwa mabosi kadhaa wa Simba wamevamia nchini Burundi kufuata saini ya kiungo mshambuliaji...

READ MORE

Rais Mwinyi Amsubiri Maalim Seif Ikulu – Video

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, anasuburi uamuzi wa Maalim Seif Sharif Hamad na chama chake cha ACT...

READ MORE

Vodacom na Infinix Wazindua Simu Mpya ya Infinix NOTE 8.

KAMPUNI ya simu za mkononi inayoongoza kidijitali nchini, Vodacom Tanzania PLC, kwa kushirikiana na Infinix leo imetambulisha rasmi simu mpya...

READ MORE

IGP Sirro: Lissu, Lema Rudini Tujenge Nchi – Video

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro, amewataka wanasiasa waliokimbia nje ya nchi kwa madai ya kutishiwa usalama wa...

READ MORE

Rais Mwinyi Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Afya...

READ MORE

Babu Kuozea Jela, Kuchapwa Viboko

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu kifungo cha maisha jela na kumchapa viboko sita, mkazi wa...

READ MORE

Mwinyi Abaini Madudu Kwenye Hospitali, Atoa Miezi 3

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amefanya ziara ya kushtukiza katika hospitali ya Mnazi Mmoja na kuutaka  uongozi wa...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 36 Wakamatwa Dar, RC Kunenge Atoa Onyo

Vyombo vya ulinzi na usalama Mkoa wa Dar es salaam vimefanikiwa kuwatia mbaroni Wahamiaji haramu 36 raia wa Ethiopia na...

READ MORE

Rais Mwinyi Kutangaza Baraza la Mawaziri Kesho Nov. 19

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi kesho, Novemba 19, 2020, anatarajiwa kutangaza baraza ...

READ MORE

Soma Kitabu Sahihi, Wakati Sahihi ‘How To Restore A Lost Hope’

Kitabu hiki kimeandikwa na  M.N Masala ili kumpa mwongozo wa vitendo msomaji juu ya namna ya kurejesha tumaini lililopotea. Dhamira...

READ MORE

Serikali Yafunga Kamera 306 Mgodi wa Mirerani

  Kwa mara nyingine tena Ukuta unaozunguka Migodi ya Tanzanite Mirerani wenye urefu wa kilomita 24.5 umeingia kwenye historia nyingine...

READ MORE

Wanafunzi 5,168 wa Mwaka wa Kwanza Wapangiwa Mikopo ya Tsh Bil 19.9

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya wanafunzi 5168 wa awamu ya pili wa...

READ MORE

NMB Yazindua ATM ya Kwanza Yenye Uwezo wa Kubadilisha Fedha za Kigeni Nchini

Benki ya NMB leo imezindua mashine ya kutolea fedha (Automated Teller Machine ATM) ya kwanza nchini Tanzania yenye uwezo wa...

READ MORE

NMB Yazindua Klabu Ya Wanawake, Mwanamke Jasiri!

Benki ya NMB imezindua klabu maalumu ya wanawake waliyoipa jina la Mwanamke Jasiri, yenye lengo la kuwahimiza wanawake kutambua fursa mbalimbali zilizopo ndani...

READ MORE

Hatimaye Tecno Camon 16s Yazinduliwa Rasmi

Kampuni ya simu za mkononi ya TECNO imezindua rasmi  simu yake mpya toleo la CAMON 16s leo jijiini Dar es...

READ MORE

Twiga Mweupe Duniani Afungwa Kifaa cha Kumfuatilia

TWIGA mweupe duniani huko kaskazini-mashariki mwa Kenya amewekewa kifaa cha kumfuatilia, wahifadhi mazingira wanasema.   Twiga huyo alisalia peke yake...

READ MORE

Dkt. Mpango Aanza Kazi, Atoa Maagizo

WAZIRI  wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amewataka watumishi wa wizara yake kuhakikisha wanasimamia kikamilifu mapato na matumizi ya...

READ MORE

Wabongo Wanne Wahukumiwa Kenya

Watanzania watatu kati ya wanne wanashikiliwa nchini Kenya baada ya kushindwa kulipa faini ya Sh105,000 za Kenya (zaidi ya Sh2.1...

READ MORE

9 Mbaroni Wakidaiwa Kuchoma Nyumba ya Diwani, Kuua

POLISI Mkoa wa Pwani inawashikilia watu tisa wanaotuhumiwa kuchoma moto nyumba ya aliyekuwa diwani mteule wa kata ya Kikongo, Halmashauri...

READ MORE

Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo Ahukumiwa Mwaka Mmoja

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja, Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo baada ya...

READ MORE

Mwili wa Askari Aliyedaiwa Kuuawa Pemba Wapatikana

POLISI Mkoa wa Kusini Pemba imefanikiwa kuupata mwili wa aliyekuwa askari wa kikosi cha KVZ, Khalfan Junedi, aliyedaiwa kuuawa wiki...

READ MORE

Tanzia: Kamanda Kidavashari Afariki Dunia

  NAIBU Kamishna wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, Zahir Kidavashari,  amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, Novemba 17,...

READ MORE

Mapya: Chanjo ya Moderna Inazuia Covid-19 kwa 95%

CHANJO mpya inayozuia ugonjwa wa Covid-19 ina karibu 95% ya ufanisi , data kutoka Kampuni ya Marekani Moderna inaonesha, Matokeo...

READ MORE

Tshala Muana Mbaroni Akidaiwa ‘Kumnanga’ Rais

SHIRIKA la kutetea haki za binadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (ACAJ), linataka maofisa wa usalama nchini humo kumwachilia...

READ MORE

Kichanga Chaokotwa Mto Msimbazi

WATEMBEA kwa miguu mchana jana Jumatatu, Novemba 16, 2020, wakipita kando na mto Msimbazi jijini Dar es Salaam walikumbwa na...

READ MORE

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Novemba 17, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 17, 2020. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Njia Waliyopita Tanzania U17 Hadi Kutwaa Ubingwa Cosafa

WIKIENDI iliyopita ilikuwa ni ya kitaifa zaidi kwenye anga la kimichezo, baada ya nyimbo za taifa kupigwa mara tatu katika...

READ MORE

Fuvu la Binadamu la Miaka Milioni 2 Lafukuliwa

Watafiti kutoka Australia wamesema wamegundua fuvu la binadamu lenye miaka milioni mbili nchini Afrika Kusini ambalo litatoa ufahamu zaidi kuhusu...

READ MORE

Tanzania Pekee Yatajwa Kutokuwa na Corona Ulimwenguni

RIPOTI iliyotolewa na Kituo cha Bara la Ulaya cha Kuzuia na Kudhibiti magonjwa (ECDC) na kisha ripoti hiyo kuchambuliwa na...

READ MORE

Dkt. Mpango: Tumefikia Uchumi wa Kati, Umaskini Bado Upo – Video

BAADA ya kula kiapo cha kuwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango amesema, pamoja na #Tanzania kuwa imeingia...

READ MORE

Corona: Waziri Mkuu wa Uingereza Ajipeleka Karantini Tena

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ametangaza kujitenga baada ya kukutana na Mbunge wa Ashfield, Lee Anderson ambaye baadaye alithibitishwa...

READ MORE

JPM: Lukuvi, Kabudi Hamtakuwa Marais, Jiandaeni Kisaikolojia – Video

RAIS John  Magufuli amesema kuwa hadhani kama chama chake kitapitisha mgombea wa urais anayezidi umri wa miaka 60 katika uchaguzi...

READ MORE

Obama: Marekani Imegawanyika Kambi Mbili

RAIS wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amesema, matokeo ya uchaguzi wa mwaka huu yamedhihirisha kuwa, kuna mpasuko mkubwa wa...

READ MORE

Magufuli: Sina Haraka ya Kuteua Mawaziri… – Video

  RAIS John  Magufuli amesema kazi ya kuteua mawaziri ni ngumu, hivyo lazima amtangulize Mungu, ili anayestahili asije akamuonea, huku...

READ MORE