×

Habari

Rapa Marekani Pop Smoke Auawa kwa Kupigwa Risasi

MSANII wa Hip-hop  nchini Marekani, Bashar Barakah Jackson maarufu Pop Smoke (20), amefariki baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana...

READ MORE

Azania group of companies yaja na mpya

Kampuni ya Azania Group baada ya kutimiza malengo ya mwaka 2020 kufikia kusambaza bidhaa zake mikoa tisa hapa nchini wameendelea...

READ MORE

LIVE: RAIS MAGUFULI ANAZUNGUMZA NA MADAKTARI MUDA HUU

Rais Dkt John Magufuli, leo Februari 20, amekutana na madaktari na wauguzi kuelekea maadhimisho ya siku ya madaktari kitaifa.. Kauli...

READ MORE

Huduma za Bima sasa Kupatikana Katika Matawi Yote ya Benki ya NMB

  Benki ya NMB imeanza kutoa huduma za bima katika matawi yake yote 224 nchini kote.Huduma hii imefuatia uzinduzi wa...

READ MORE

Kijana Ajiandikia ‘R.I.P to Me’ Kabla ya Kujiua

KIJANA Dennis Yego (24) ameishangaza Kenya baada ya kuandika maneno ya kujitakia kifo chema “Rest in peace to me” kupitia...

READ MORE

Mkandarasi Apigwa Miaka Saba Jela

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mkandarasi wa majengo, Alfred Ndeka (60), kifungo cha miaka saba jela baada ya kukutwa...

READ MORE

Ng’ombe Mwenye Pembe Ndefu Zaidi Duniani

NG’OMBE  mmoja anayefugwa huko Albama nchini Marekani ameingia kwenye recodi ya kuwa na pembe ndefu kuliko wote duniani hadi leo,...

READ MORE

Afariki kwa Kunywa Pombe Kupita Kiasi

MKAZI  wa Ukenyenge wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Nkuba Mawe (27),  amekutwa amefariki dunia kwenye vibaraza vya maduka katika Mtaa wa...

READ MORE

Simbachawene: Polisi Ihoji, Iwatambue Waliombambikiziwa Kesi

WAZIRI  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka watendaji akuu wa Jeshi la Polisi wawahoji watuhumiwa waliopo katika...

READ MORE

‘Nabii wa Corona’ Aomba Radhi, Waumini Wamlilia! – Video

  Kiongozi wa Kanisa la Huduma ya Neno na Maombi lililopo Arumeru Mkoani Arusha, Moses Ibarahimu maarufu kama NabiiNamba Saba,...

READ MORE

Tito Magoti Arudishwa Rumande – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka Upande wa Mashitaka kutoa maelezo yanayojitosheleza kuhusu upelelezi wa kesi inayomkabili Afisa wa Kituo...

READ MORE

Mahakama Yashindwa Tena Kutoa Hukumu ya Maxence Melo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa mara ya nne imeshindwa kutoa Hukumu juu ya kesi namba 456 inayomkabili Mwanzilishi na Mtendaji...

READ MORE

Mbwa Koko Azua Balaa Uwanjani

VIDEO moja ime-trend sana mtandaoni ikimuonyesha mbwa koko akisitisha mechi baada ya kuingia uwanjani na kuchukua umiliki wa mpira wakati...

READ MORE

Mke wa Rais Kagame Atakiwa Kuhojiwa Bungeni

SPIKA wa bunge la Uganda ametoa wito kwa mke wa Rais wa Uganda ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Janet...

READ MORE

Mlinzi Aliyemwamuru Waziri Kupanga Foleni Afukuzwa Kazi

MAHAKAMA nchini Kenya imehalalisha aliyekuwa mlinzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Daizy Cherogony, kufukuzwa kazi kutokana...

READ MORE

Madaktari Kukutana na Magufuli Alhamisi

CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kinatarajiwa kukutana na kuzungumza na Rais John Magufuli, ambapo miongoni mwa mambo watakayomueleza ni changamoto...

READ MORE

Vifusi vya uchafu vyakutwa ndani ya tanki za mafuta za boeing 737

  Shirika la Boeing linakumbwa na hatari ya kukabiliwa tena na suala la usalama wa ndege zake baada ya vifusi...

READ MORE

Betika Latinga  Mbagala Kijichi, Mgeninani Lavutia Wazee wa Kubeti

MAPEMA leo Jumatano, Februari 19, mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Mbagala Kijichi, Mgeni...

READ MORE

Wahadhiri Wasimamisha Kazi kwa Unyanyasaji wa Kijinsia

Chuo Kikuu cha Ghana kimesimamisha wahadhiri wawili, Profesa Ransford Gyampo na Dk Paul Kwame Butakor, kwa vipindi tofauti bila mshahara....

READ MORE

Bodaboda wa Ruvuma Wafurahia Masta Boda

  Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa za NMB Mastaboda zinazoambatana na mikopo, zawadi za fedha taslimu na boda boda ili...

READ MORE

Afukuzwa Kijijini Akituhumiwa Kuwaingilia Wanawake Kishirikina

WANANCHI wa Kitongoji cha Ikonda bondeni Kijiji cha Ikonda wilayani Makete mkoani Njombe wamemfukuza mkazi aliyehamia katika kitongoji hicho akitokea...

READ MORE

Haki za Binadamu Wataka Kifo cha Mwanamuziki Kuchunguzwa

SHIRIKA la kutetea Haki za Binadamu, Human Rights Watch linataka uchunguzi ufanywe kubaini chanzo cha kifo cha mwanamuziki maarufu wa...

READ MORE

Watoto 3 wa Familia Moja Wafa Wakiwa Wamekumbatiana – Video

Watoto wa tatu wa familia moja wafa kwa moto siku ya February 14, 2020 hii ni baada ya mama yao...

READ MORE

Katibu UVCCM Muleba Akutwa Amekufa

POLISI  mkoani Kagera imeanza uchunguzi wa kifo cha aliyekuwa katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Kata...

READ MORE

Makaburi Sita ya Umati Yenye Maiti 6000 Yagunduliwa Burundi

KAMISHENI ya Ukweli na Maridhiano ya Burundi imetangaza habari ya kugundua makaburi sita ya umati yenye maiti 6000 katika mkoa...

READ MORE

CHAN: Taifa Stars Yapangwa na Wababe Hawa

Droo ya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN 2020 imepangwa usiku wa jana, Februari 17, 2020...

READ MORE

Rais JPM Aongoza Kikao Cha Baraza La Mawaziri Ikulu DSM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu...

READ MORE

Zitto Ajilipua: “Nimesaini Kufa, Siogopi – Video

Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Kabwe amewasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jana Jumatatu...

READ MORE

Nabii Bendera Amwangushia JPM Maombi Mazito – Video

MCHUNGAJI wa Kanisa la Ufunuo, Askofu  Paul bendera amemwangushia maombi mazito Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John...

READ MORE

Zitto Kabwe Achukua Fomu

Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe leo Februari 18, jijini Dar es Salaam amechukua fomu ya kuomba kugombea...

READ MORE

Mahakama Yasema Zitto ana Kesi ya Kujibu Uchochezi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu iliyopo jijini Dar es Salaam, imemkuta na kesi ya kujibu Mbunge wa Jimbo la...

READ MORE

Watoto Wafariki kwa Kujipikia Chakula Chenye Sumu

WATOTO wawili wamefariki dunia huku wengine 11 wakipelekwa hospitali baada kula vitafunwa mfano wa hamri vinavyosadikiwa kuwa na sumu nchini...

READ MORE

Mama Amchoma Moto Mwanae wa Kumzaa, Kisa Kitakushangaza – Video

MWANAMKE mmoja aliefahamika kwa jina la Agatha Julius (21), anatuhumiwa kumfanyia ukatili wa kutisha kwa kumchoma moto mwanae wa kumzaa...

READ MORE

Katibu Mkuu Chadema, Dkt. Mashinji Atimkia CCM – Video

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chadema, Dkt. Vicent Mashinji,  amekihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumatatu, Februari...

READ MORE

Kitoto Kichanga Chatupwa Kichakani

MTOTO wa siku moja mwenye jinsia ya kike, amekutwa ametupwa kwenye kichaka [akiwa amefariki ]katika kata ya mlimba, tarafa ya...

READ MORE

Amber Rutty Yamkuta Tena, Aburuzwa na Polisi Akiwa Mtupu – Video

AKIWA bado anakabiliwa na kesi mahakamani, msanii Amber rutty, amekutwa na mazito baada ya aliekuwa mpenzi wake, Said Mtopali akiwa na...

READ MORE

Lema Awatibua Polisi, Wampa Onyo ‘Kaa Mbali Kabisa’ – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Jonathan Shana,  amemkanya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, kuacha tabia ya kupenda...

READ MORE

TECNO Yafungua Duka Kubwa la Kisasa Arusha

Kampuni ya simu za mkononi TECNO imezindua duka kubwa la simu, maarufu ‘Smarthub’ jijini Arusha ambalo linatoa huduma mbalimbali. Akizungumza...

READ MORE

Breaking News: Moto Wateketeza Maduka Tegeta-Nyuki Dar

MADUKA saba katika soko la Tegeta-Nyuki Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam yameteketea kwa moto leo asubuhi Februari 18,...

READ MORE

Balaa la Lukuvi Lamkumba Ofisa Aliyetajwa na JPM

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , William Lukuvi, amemsimamisha kazi ofisa ardhi wa Wilaya ya Kigamboni ambaye...

READ MORE