×

Habari

Ummy: Hakuna Mgonjwa wa Corona Hospitalini Mawenzi

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu,  leo Machi 14, 2020, amewatoa hofu Watanzania kuwa...

READ MORE

Magereza Yakanusha Kutesa Wafungwa, Kuwapima Ukimwi Hadharani

JESHI la Magereza nchini limesema kauli zilizotolewa na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) walipotoka gerezani si za...

READ MORE

Trump Atangaza Hali ya Hatari Janga la Corona

RAIS wa Marekani,  Donald Trump,  ametangaza hali ya dharura kutokana na kuenea kwa virusi vya Corona, pamoja na upatikanaji wa...

READ MORE

Corona: A. Villa, Brighton Zatoa Chakula kwa Wasio na Makazi!

VILABU vya England(Uingereza) aya Aston Villa na Brighton  & Hove Albion FC vimechangia zaidi ya milo 1,300 ikiwa misaada kwa...

READ MORE

Corona: Rwanda Yapiga ‘Stop’ Timu za Soka Kwenda Nje ya Nchi

SERIKALI ya Rwanda imevitaka vyama vya michezo nchini humo kusimamisha ratiba zote za kimichezo ambazo zinaitaka Rwanda kwenda kushiriki nje...

READ MORE

Umoja wa Ulaya Wamvaa Trump Kisa Corona, Ajibu Mapigo – Video

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kauli yake ya kuwazuia watu kutoka Bara la Ulaya kuingia Marekani haikupaswa kusubiri hadi...

READ MORE

Wasomaji wa Championi, Spoti Xtra Wazidi Kuliwania Gari

WAKAZI wa Jiji la Dar, maeneo ya Manzese, Magomeni, Kigogo-Sambusa, Buguruni na vitongoji vyake Machi 13, 2020 walipitiwa na kikosi...

READ MORE

Fahamu Kuhusu Urithi wa Ukombozi wa Bara la Afrika

    Katika historia ya Ukombozi wa Bara la Afrika,Tanzania  baada ya kupata uhuru ndiyo nchi iliyosimamia kupatikana kwa uhuru...

READ MORE

Polepole Afunguka JPM Kumlipia Msigwa

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hamphrey Polepole, amesema uamuzi wa  mwenyekiti wa chama hicho, Rais...

READ MORE

Mnyika, Heche, Salum Mwalimu Watoka Gerezani – Video

Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika, Naibu Katibu Mkuu, Salum Mwalimu na mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche wametoka gereza...

READ MORE

Serikali Yavunja Mkataba wa Lugola

DODOMA: SERIKALI imetangaza kuvunjwa kwa mkataba tata kati ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Kampuni ya ROM Solutions wa...

READ MORE

Mbowe Alipa Faini ya Milioni 70, Kutoka Gerezani Leo

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amelipa faini ya 70,000,000 na muda wowote leo Ijumaa Machi 13, 2020 atatoka katika gereza...

READ MORE

Mmiliki Mabasi ya J4 Ahukumiwa Kifo kwa Kuwaua Wenzake

MAHAKAMA Kuu Mwanza imemhukumu adhabu ya kifo mfanyabiashara wa kampuni ya mabasi ya J4, Jumanne Mahende (45) baada ya kumtia...

READ MORE

Breaking: Mdee, Bulaya, Meya Jacob Wakamatwa Tena Segerea

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na Ester Bulaya, Meya wa Ubungo, Boniface Jacob, Katibu...

READ MORE

Polisi Yapiga Mabomu Chadema Waliomfuata Mbowe Segerea

POLISI wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliofika gereza la Segerea leo jijini...

READ MORE

Bajaji 54 Kuuzwa Hadharani kwa Bei ya Ukwaju! – Video

Baada ya ule mnada wa Bajaji 146 za Wajasiriamali walioshindwa kulipa madeni ya mikopo yao, Kampuni ya udalali ya Yono...

READ MORE

Trump Agoma Kupima Corona, Waziri Mkuu Awekwa Karantini

WAZIRI Mkuu wa Canada, Justin Trudeau, na mke wake watabaki kwenye karantini kwa siku 14, baada ya mkewe, Sophie Gregoire Trudeau,...

READ MORE

Magufuli Aomba Watanzania Kujihadhari na Corona -Video

RAIS John Magufuli leo Machi 13, 2020 amewaomba Watanzania  kuzingatia tahadhari dhidi ya ugonjwa wa virusi vya Corona kwa kuwa hakuna...

READ MORE

Mwingine Akutwa na Corona Congo DR

KISA cha pili cha maambukizi ya ugonjwa wa Corona-virus kimethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Mtu huyo anadaiwa kuwa...

READ MORE

Breaking News: Corona Yatua Kenya, Mmoja Athibitika

  TUKIO la kwanza la virusi vya Corona limethibitishwa nchini Kenya. Wizara ya afya imethibitisha tukio hilo kulingana na waziri...

READ MORE

Bosi Anayedaiwa Kuua Binti wa Kazi Kisa Elfu 50, Akamatwa – Video

HATIMAYE bosi anayedaiwa kumshushia kipigo kikali binti yake wa kazi, Salome Zakaria Hoya, kumfungia ndani na kumnyima chakula kwa siku...

READ MORE

Binti wa Kazi Aliyeuawa Kisa Elfu 50, Aagwa! – Video

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho  Gambo, jana Alhamisi, Machi 12, 2020, aliongoza mamia ya waombolezaji waliojitokeza kuaga mwili wa...

READ MORE

Mch. Msigwa Atolewa Gerezani, Azua Balaa – Video

RAIS  John Magufuli jana (Alhamisi) Machi 12, 2020, alimlipia Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa kiasi cha Tsh...

READ MORE

NBC Yazindua Klabu Ya Biashara Masasi, Yatoa Mafunzo ya Biashara

Meneja wa Bidhaa na Huduma za Kifedha wa NBC, Jonathan Wilson akizungumza na wafanyabiashara wa Wilaya ya Lindi wakati wa...

READ MORE

Eymael Kusajili Wapya Kumi Yanga

VIONGOZI wa Yanga wamempa kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Luc Eymael jukumu zito la kuamua usajili wa wachezaji kumi...

READ MORE

Mke wa Mjeshi Anaswa Akiiba Nyanya Gengeni!

UKIWA mume wa mtu, bila shaka utashangazwa kusikia; “Mkeo kanaswa akiiba nyanya gengeni!” Hicho ndicho kilichomtokea afande mstaafu wa jeshi...

READ MORE

Majaliwa: Watanzania Wanaosoma China Wanaendelea Kupiga Kitabu

WAZIRI MKUU Kassim Mjaliwa amesema wanafunzi wanaosoma katika vyuo vikuu mbalimbali nchini China waliozuiwa kutokana na mlipuko wa homa ya...

READ MORE

Halima Mdee Amwaga Machozi Akitoka Gerezani

MBUNGE Halima Mdee amemwaga machozi hadharani baada ya kutoka gereza la Segerea leo na kuwashukuru Watanzania kwa ushirikiano mkubwa waliouonyesha...

READ MORE

Yanga Yapigwa na KMC Bao 1-0, Yabaki Nafasi ya Tatu

Timu ya Yanga imefungwa bao 1-0 dhidi ya KMC leo Machi 12, 2020 katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es...

READ MORE

Kimanga Waapa Kuondoka na Ndinga Mpya ya Championi & Spoti Xtra

WASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam, leo Alhamisi, Machi 12, 2020, wamemiminika kama...

READ MORE

Magufuli Alipa Mil. 38 Kumtoa Msigwa Jela

RAIS John Magufuli leo Machi 12, 2020,  amemlipia Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa Sh. milioni 38  milioni...

READ MORE

UN Yaipongeza Tanzania Kudhibiti Dawa Za Kulevya

SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya (CND) limeipongeza Tanzania kwa jitihada madhubuti katika kudhibiti na kupambana na...

READ MORE

ATCL Yasitisha Safari za China

SHIRIKA la Ndege nchini ( ATCL) limetangaza kusitisha safari za ndege kuelekea China kutokana na kuwapo kwa ugonjwa wa virusi...

READ MORE

Kizimbani kwa Kufungua Simu Zilizofungwa na TCRA

WATU wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujihusisha na kufungua simu zilizofungwa...

READ MORE

Familia Yafanya Maziko Bila Mwili wa Marehemu

FAMILIA moja ya huko Gatuikira, kaunti ya Kiambu, Knya,  ililazimika kufanya maziko kwa mtoto wao bila mwili wake baada ya...

READ MORE

Serikali Kutumia Tril 34.88 Mwaka 2020/21

JUMLA ya Tsh trilioni 34.88 zinatarajiwa kukusanywa na kutumika kutokana na mapato ya ndani, mikopo ya nje yenye masharti ya...

READ MORE

Vilio Safari ya Mwisho ya Baba Kanumba; “Msalimie Mwanao” – Video

VILIO, simanzi na majonzi vilitawala wakati wa mazishi ya baba mzazi wa aliyekuwa muigizaji maarufu wa Bongo Movies, Steven Kanumba,...

READ MORE

Rais Uhuru Awanunulia Maandazi Wafuasi Wake

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta juzi aligeuka kuwa mchuuzi wa maandazi baada ya kukabidhiwa ndoo ya maandazi na mama mmoja...

READ MORE

Washiriki N.P.S.C Waendelea Kutoa Ushuhuda

WAKATI shindano la kusaka vipaji vya vijana wenye uwezo wa kuzungumza mbele ya hadhara likizidi kuchanja mbuga, baadhi ya washiriki...

READ MORE