×

Habari

Mwafrika wa Kwanza Apona Corona “Sikutaka Kupeleka Ugonjwa Afrika”

KEM Senou Pavel Daryl,  kijana raia wa Cameroon aliyepatwa na ugonjwa wa homa kali inayosababishwa na virusi vya Corona, alithibitika...

READ MORE

Mkandarasi Atii Agizo La Rais, Aanza Ujenzi Wa Barabara Kigamboni

Mkandarasi anayejenga barabara yenye urefu wa kilomita 1.2 kutoka Daraja la Nyerere hadi Feri – Kibada ametii agizo la Rais...

READ MORE

Mwanamuziki Mashuhuri Rwanda Ajinyonga

POLISI nchini Rwanda leo Februari 17,  2020,  imetangaza kifo cha mwanamuziki mashuhuri nchini humo, Kizito Mihigo (38), ambaye inadai kuwa...

READ MORE

‘National Public Speaking Competition’… Mkombozi Kwa Vijana Kutimiza Ndoto

TANZANIA na Dunia kwa ujumla inahitaji watu hususani vijana wenye uwezo wa kuzungumza kwa usahihi mbele ya hadhara. Kila nyanja...

READ MORE

Video: HARMONIZE Amkosha MAGUFULI, Aimba LAIVU Uzinduzi wa TASAF

Msanii wa Bongo Fleva, Harmonize leo Februari 17, 2020 amefanya shoo mbele ya Rais Dkt John Magufuli akizindua kipindi cha...

READ MORE

Video: RC MAKONDA Amwambia MAGUFULI – ‘MKAPA Alinipa NAULI’

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo Feburuari 17, 2020 amesema TASAF ya Awamu iliyopita imewanufaisha sana...

READ MORE

Wananchi Chumbuni Zanzibar Wanufaika na Gari La Kubeba Wagonjwa

  Mbunge wa jimbo la Chumbuni Ussi,  Salum Pondeza amesema wakati wanaingia madarakani miaka mnne liyopita katika jimbo hilo kulikuwa...

READ MORE

Sven Akoshwa Na Clean Sheet Za Manula

KOCHA wa Simba, Sven Vandenbroeck, amefunguka kuwa amekoshwa na uwezo wa kipa wake Aishi Manula na mabeki wake kutokana na...

READ MORE

Benki Ya CRDB Yanogesha Tamasha La Sauti Za Busara- Zanzibar

Zanzibar, 16 February 2020. Benki ya CRDB imeelezewa kuwa mdau muhimum katika kufanikisha tamasha kubwa la kila mwaka la kimataifa...

READ MORE

NMB Kuhakikisha Mkoa wa Songwe Unakuwa Kiuchumi Kupitia Uwekezaji

      WAZIRI  wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, Angela Kairuki amewata wawekezaji wa ndani na nje ya...

READ MORE

Miaka 2 Baada ya Kuachana… Zari Aaanza Vita Mpya na Mondi

PASI na shaka, mzazi mwenza wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’...

READ MORE

Video: Msigwa Amjibu Steve Nyerere ‘Siwezi Kucheza Kwenye Kuku Mimi Ni Tai!’

Mchungaji Peter Msigwa ambaye ni Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini amepata wasaa wa kuzungumza na Global TV akielezea mambo...

READ MORE

Mageuzi Makubwa Yaliyofanywa na DCB

  KATIKA kuhakikisha wazazi na walezi wanakuwa na uhakika wa elimu ya watoto wao, Benki ya Biashara ya DCB imeongeza...

READ MORE

Mbunge Cecil Mwambe Ajitoa Chadema Arejea CCM – Video

Mbunge wa Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe amejiuzulu uanachama wa chama hicho kikuu cha upinzani nchini Tanzania na kujiunga na CCM...

READ MORE

Wasomaji wa Gazeti la Championi, Mbezi Mwisho, Goba Wajinyakulia Mtonyo wa Mr. Championi

  IKIWA ni mwezi mmoja sasa umetimia tangu Gazeti namba moja la Michezo na Burudani Tanzania la Championi kuingia mtaani...

READ MORE

Kili Canvas Yawa Kivutio Kwa Wakimbiaji Dar

Dar es Salaam Februari 15, 2020: Kili Canvas iliyozinduliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro...

READ MORE

StarTimes Yazindua Tamthilia Mpya – Video

KAMPUNI ya Star Media, kupitia king’amuzi chake cha StarTimes, imezindua tamthilia mpya ya Razia Sultan, ambayo imekuja baada tu ya...

READ MORE

GSM  Wazindua Shoexpress Dodoma

KAMPUNI ya GSM Group jana  Februari 14, mwaka 2020, ilizindua duka kubwa la kuuza viatu vya kisasa na vyenye ubora...

READ MORE

Serikali Yamsaka Nabii Anayejitangaza Kugundua Tiba ya Corona

SERIKALI  imemuonya vikali mtu anayejiita Nabii Namba Saba ambaye jina lake halisi ni Mosses Mollel kuwa itamchukulia hatua kali iwapo...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Februari 15, 2020 (Picha +Video)

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 15, 2020. Ni yale ya...

READ MORE

Iddi Simba Akizikwa Dar, Vilio Na Majonzi Vyatawala

Vilio na majonzi vilitawala leo Februari 14, 2020 wakati mwili wa Waziri wa zamani wa Serikali ya Awamu ya Tatu,...

READ MORE

Zahera: Huyu Morrison Ndiye Nilikuwa Namtaka

KOCHA wa zamani wa Yanga, raia wa DR Congo, Mwinyi Zahera amekiri wazi kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Benard Morrison...

READ MORE

Kijiji Chawatimua Watatu kwa Uchawi

WANANCHI wa kijiji cha Mahulu wilayani Makete mkoani Njombe, wamewatimua kijijini hapo wananchi watatu waliopigiwa kura nyingi wakiwatuhumu kuwa ni...

READ MORE

Mgambo Atokomea na Milioni 17 za Ushuru

Mgambo mmoja aliyekuwa akikusanya fedha za ushuru wa maegesho ya malori Igunga Mjini mkoani Tabora, Peter Areray amekimbia na fedha...

READ MORE

Kocha Lipuli Achachawa Kiwango cha Simba

KIKOSI cha Simba kilitua jana Alhamisi katika ardhi ya Iringa tayari kwa mchezo wao wa kesho Jumamosi dhidi ya Lipuli...

READ MORE

Dada wa Marehemu Balali Azidi Kusota Rumande

DADA wa aliyekuwa Gavana wa Banki Kuu, marehemu Daudi Balali, Elizabeth Balali (54) anayekabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi, anaendelea...

READ MORE

Babu wa Miaka 78 Arejea kwa Mkewe Baada ya Miaka 26

MZEE Edward Mwangi (78) kutoka Gikangu kaunti ya Murang’a nchini Kenya aliondoka nyumbani kwake miaka 26 iliyopita baada ya kuzozana...

READ MORE

Ruvuma: Wanafunzi Watano Waliogongwa na Gari Wazikwa

WANAFUNZI watano wa shule ya msingi Ndelenyuma, Ruvuma, waliofariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kugongwa na Land Cruiser juzi...

READ MORE

Amchinja Mkewe Mjamzito Siku ya Kupatana

ANTHONY ASENGA (33) mkazi wa Kijiji cha Mrere wilayani Rombo, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za mauaji ya mkewe, Happiness...

READ MORE

Prof. Ndalichako Atoa Rai Kwa Watendaji Wa Wizara Yake Kusimamia Vizuri Fedha za Miradi

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ametoa rai kwa watendaji wa Taasisi zilizo chini ya Wizara...

READ MORE

Global Publishers Yaanzisha Shindano Kusaka Vipaji Vya Wazungumzaji Bora Kitaifa

KAMPUNI inayoongoza kwa uchapishaji magazeti nchini, Global Publishers imezindua rasmi shindano maalum la kusaka vipaji vya vijana wazungumzaji bora mbele...

READ MORE

Wachina Wanne Watimuliwa Kenya kwa Kumcharaza Mkenya

  RAIA wanne wa China waliokamatwa na Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wanatarajiwa kurudishwa kwao...

READ MORE

Malawi: Mahakama Yatupilia Mbali Rufaa ya Rais Mutharika

MAHAKAMA ya Katiba nchini Malawi imekataa rufaa iliyokatwa na Rais Peter Mutharika ya kupinga hukumu ya mahakama hiyo kumfutia ushindi...

READ MORE

Kidoa Mjamzito?

BAADA ya kudaiwa ni mjamzito kwa sasa, mwanadada Asha Salum ‘Kidoa’ ambaye alijipatia umaarufu kupitia uvideo queen na sasa amegeukia...

READ MORE

Benki ya CRDB Yatoa Udhamini Mnono Tamasha la Sauti za Busara!

Msimu wa 17 wa Sauti za Busara umeanza rasmi leo Alhamis ya Februari 13 hadi 17 utakaofanyika eneo la kihistoria...

READ MORE

Shilole Acharuka, Kisa………!

  MSANII wa muziki wa Bongo Fleva pia mjasiriamali maarufu, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amewacharukia wanaomsengenya kisa kutomzalia mumewe Ashraf Uchebe....

READ MORE

Mama Samia Suluhu Ashiriki Maadhimisho Ya Miaka 43 Ya CCM Dar

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam...

READ MORE

Rugemalira Acharuka Kortini, Atoa Notisi kwa Taasisi Tisa – Video

  Mkurugenzi wa kampuni ya VIP na mmiliki mwenza wa zamani wa IPTL, James Rugemalira amewasilisha notisi kwa taasisi tisa...

READ MORE

Vijana 300 Wajitokeza Shindano La ‘Public Speaking’

ZAIDI ya vijana 300 wamejitokeza kushiriki Shindano la kusaka vipaji vya kuzungumza mbele ya hadhara ‘Public Speaking’  linalolenga kuwajengea uwezo...

READ MORE