MHASIBU wa zamani wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Ruvuma, Justin Rwendera amefariki akidaiwa kujiua kwa kujipiga risasi...
READ MOREKIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ametoa mapendekezo manane kupitia barua aliyomwandikia Rais John Magufuli, kuhusu nini kifanyike...
READ MOREKama mchango wa Benki ya NMB katika kudhibiti na kupambana dhidi ya virusi vya Corona, Kaimu Mkurugenzi wa...
READ MOREMKURUGENZI wa zamani wa Katani Limited, Salum Shamte, amefariki dunia katika Taasisi ya Mifupa ya Muhimbili (MOI) jijini Dar es...
READ MORECHANZO ni kuwa na mgogoro na mkewe, Sylvester Mihayo (45) amefikia uamuzi mgumu wa kujichongea jeneza ili siku akifa mambo...
READ MOREMCHUNGAJI Kiongozi wa Kanisa la Jerusalem lililopo Kitunda jijini Dar, Nabii James Nyakia ameibuka na upasuaji wa kimiujiza, RISASI...
READ MOREWAKATI nchi mbalimbali duniani zikiimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 unaonezwa na virusi vya Corona, RISASI Jumamosi linakuchambulia maeneo...
READ MOREKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. BASHIRU ALLY jana Machi 29, 2020 amemkabidhi rasmi kadi ya uanachama wa...
READ MOREUCHUMI wa dunia nzima ni kama umesimama! Biashara nyingi zimefungwa, wafanyabiashara wanahofia kusafiri kwenda China kufuata bidhaa mbalimbali, serikali za...
READ MORE Soko la Samunge Jijini Arusha limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo Machi 29, 2020 chanzo cha moto huo...
READ MORERais Dkt. John Magufuli ambaye Machi 28, 2020 amewasili nyumbani kwake Chato Mkoani Geita akitokea Mkoani Dodoma amekutana na wananchi...
READ MOREAfisaMtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko na Mitaji ya Dhamana (CMSA), Nicodemus Mkama akizungumza na wanafunzi (hawapopichani) wakati wa ziara...
READ MOREWajumbe wa Baraza maalumu la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa nchini Tanzania Jumamosi Machi 28, 2020 wamemuondoa madarakani...
READ MOREWasomaji mbalimbali wa magazeti ya Championi na Spoti Xtra wa maeneo ya Kawe, Mikocheni hadi Msasani mapema leo...
READ MOREWaziri Kiongozi wa kwanza Zanzibar (1972-1984), Muasisi wa Mapinduzi na Muungano, Ramadhani Haji Faki (99), amefariki Dunia jijini Dar leo,...
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea msaada wa fedha pamoja na vitu mbali mbali kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa...
READ MOREMAKAMPUNI ya Azania Group ambao ni mabingwa wa kutengeza sabuni zenye ubora wa hali juu za King Limau na Marhaba...
READ MORERais Magufuli akiwasili katika Uwanja wa Ndege Chato Mkoa wa Geita leo Jumamosi Machi 28, 2020 akitokea jijini Dodoma.
READ MOREWaziri mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa msaada wa fedha pamoja na vitu mbalimbali kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa...
READ MOREMzumbe University invites applications from suitably qualified and competent Tanzanian to fill the following Contract vacant posts: NURSING OFFICER II...
READ MORENaibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula ameonesha kutoridhishwa na kiasi cha fedha kilichotengwa...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametoa wito kwa wakazi wa Mkoa huo kutoa taarifa za wageni wasiofahamika walikopotoka...
READ MOREUbalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19. ...
READ MOREMAREKANI imeendelea kuongoza kwa idadi kubwa ya kasi ya maambukizi ya virusi vya corona ambapo wamefikia 104,256 na waliopona ni...
READ MOREDAR: Ni vilio kila kona, ndivyo unavyoweza kutafsiri janga la maambukizi ya Virusi vya Corona ambavyo sasa vimeathiri sekta zote...
READ MOREHALI haijulikani itakuwaje kwa nchi nyingi za Afrika ambazo zinatakiwa kufanya uchaguzi mkuu mwaka huu kama Virusi vya Corona vitaendelea...
READ MOREShirika la hifadhi ya mazingira duniani la WWF ofisi ya Tanzania limesema katika maadhimisho ya saa ya dunia ambayo binadamu...
READ MOREChina imetangaza kuzuia wageni wote kuingia nchini humo hata kama wana viza au vibali, lengo likiwa kudhibiti maambukizi ya virusi...
READ MORERAIS wa Uganda, Yoweri Museveni amesema idadi ya maambukizi nchini humo imefikia 18 baada ya vipimo 197 vilivochukuliwa jana kuthibitisha...
READ MOREWAZIRI wa Afya wa Afrika Kusini, Dkt. Zweli Mkhize, amesema watu wawili kutoka Jimbo la Western Cape wamefariki dunia kutokana...
READ MOREWAZIRI Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amethibitika kuwa na virusi vya corona, taarifa iliyotolewa na Mamlaka za Uingereza imesema Boris...
READ MOREGLOBAL Publishers kupitia magazeti yake bora ya michezo Tanzania ya Championi na Spoti Xtra, imeendelea na kampeni ya kuzuia kusambaa...
READ MOREKUNA mengi yasiyofahamika kuhusu madhara ya Virusi vya Corona kwa wajawazito na akina mama wanaonyonyesha. Lakini uelewa wa madhara ya...
READ MOREWATU wawili wamelazwa hospitali nchini Uganda baada ya kupigwa risasi na polisi kwa kukiuka agizo la Rais Yoweri Museveni la...
READ MOREBAADA ya kurushiana maneno kwa muda mrefu, kila mmoja akimshutumu mwenzake kwamba ameleta janga la virusi vya corona, hatimaye serikali...
READ MOREMAREKANI imeripoti jumla ya maambukizi 85,604 na kuwa nchi yenye maambukizi mengi zaidi ikiizidi China yenye maambukizi 81,340 na Italia...
READ MOREKIONGOZI wa KanIsa Katoliki Duniani, Papa Francis amepimwa virusi vya corona (covid-19) na kuthibitika kuwa hajaambukizwa. Alipimwa virusi hivyo...
READ MOREBAADA ya kuenea taarifa za kujitoa kwa wadhamini wa Klabu ya Yanga, Kampuni ya GSM, kiungo mchezeshaji wa timu hiyo,...
READ MORESERIKALI ya Kenya imethibitishia kuwa mgonjwa wa kwanza aliyekutwa na maambukizi ya virusi vya corona nchini humo ambaye ni mwanamme...
READ MORE