CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeanza mchakato wa kuwatoa gerezani Mbunge wa Kawe, Halima Mdee; Esther Matiko (Tarime...
READ MOREWIZARA ya Afya ya Falme za Kiarabu (U.A.E) imethibitisha kwamba raia mmoja wa Tanzania ni miongoni mwa watu 15...
READ MORERAIS wa China, Xi Jinping, ameutembelea mji wa Wuhan leo kwa mara ya kwanza tangu mji huo ulipokumbwa na janga...
READ MOREMWANAUME mmoja kutoka London Uingereza amethithitishwa kuwa ndiye mtu wa pili kupona virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi, wamesema madaktari. ...
READ MORERAIS wa Urusi, Vladimir Putin, ameanzisha mchakato wa mabadiliko makubwa ya katiba, ambayo yanampa nafasi ya kuendelea kubakia madarakani. ...
READ MORECHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimelipa faini ya Sh30 milioni aliyotakiwa kulipa mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji ili kutoka...
READ MOREDar esSalaam: Machi 12th, 2020: Benki ya Exim Tanzania hii leo imetangaza washindi watano wamwezi katika kampeni yake ya ‘ChanjaKijanja na Exim...
READ MOREWAZIRI wa afya na Mbunge wa Chama cha Conservative nchini Uingereza, Nadine Dorries, ametangaza kuwa ameambukizwa virusi vya Corona. ...
READ MOREWASOMAJI wa gazeti la Betika maeneo ya Manzese jijini Dar es Salaam, wamesema hawataacha kulichangamkia gazeti la hilo kwa sababu...
READ MORECHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, kupitia Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa, Humphrey Polepole, leo...
READ MOREWAZIRI Mkuu wa Sudan, Abdullah Hamdok, amerejea ofisini baada ya jaribio la kumuua kushindwa kwenye mji mkuu wa nchi...
READ MOREWANANCHI wa Shinyanga wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa baba mzazi wa aliyekuwa msaani wa Bongo Movies, marehemu Stephen Kanumba,...
READ MOREViongozi wanane wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wamepelekwa katika gereza la Segerea kutokana na kushindwa kulipa...
READ MOREHatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imewahukumu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na mwenyekiti wao,...
READ MOREUPDATES KUTOKA KISUTU, HUKUMU YA MBOWE VIONGOZI WENZAKE: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewatia hatiani washtakiwa wote katika mashtaka 12,...
READ MOREBURKINA FASO inakuwa nchi ya 10 Afrika kuthibitisha kuwa na wagonjwa wenye virusi vya Corona ambapo wagonjwa wawili wa kwanza...
READ MORERIPOTI mpya imeonyesha kwamba Marekani imeongoza kwa kuuza silaha za kivita kuliko nchi nyingine yoyote duniani huku silaha nyingi zikipelekwa...
READ MORERAIA takribani milioni 60 nchini Italia wamewekwa karantini hadi Aprili 3 mwaka huu ili kudhibiti maambukizi ya #Coronavirus kusambaa zaidi....
READ MOREWAZIRI wa Utamaduni wa Ufaransa, Frank Riester amethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona. Kwa mujibu wa Waziri wa...
READ MOREWafuasi wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA wamejikuta wakitiwa mikononi mwa polisi baada ya kupewa amri ya kuondoka eneo...
READ MOREALIYEKUWA Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), ambaye pia ni Mwanasiasa na mwanaharakati Abdul Omary Nondo ameshinda nafasi ya...
READ MOREHAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam, ameahirisha kusoma hukumu ya kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha...
READ MOREMAWAZIRI wa Afya wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wameshauri kusitishwa kwa vikao vyote vya ana kwa ana...
READ MOREMWANAMME mmoja (35) ambaye hakutajwa jina, mkazi wa kijiji cha Chegati, Kaunti ya Kisii, Kenya, ameuawa kwa kukatwa mapanga na...
READ MOREWAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amevutiwa na juhudi kubwa iliyofanywa na Benki ya NMB katika kilimo cha Katani mkoani Tanga, baada...
READ MOREBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) yaendesha kongamano la Biashara Club katika mkoa wa Lindi, Tanzania. Zaidi ya...
READ MOREMVUA kubwa zinazonyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara, ambapo baadhi ya Madaraja yamesombwa na maji na kufanya baadhi ya mitaa...
READ MOREMahakama ya Kisutu leo Machi 10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi mahakamani hapo....
READ MOREKOCHA Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema mastraika wake Alexandre Lacazette na Eddie Nketiah wamekuwa wakimuumiza kichwa kila anapokuwa anapanga...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini...
READ MOREVIJANA watatu wakazi wa Sumbawanga wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa la kusambaza ujumbe wenye lengo...
READ MORELarry Gomes anajulikana zaidi kama binadamu mbweha. Zaidi ya 98% ya mwili wake wote umefunikwa na manyoya, ndiye anashikiria rekodi...
READ MOREWAZIRI Mkuu wa Sudan, Abdullah Hamdok, amenusurika kuuawa baada ya msafara wake kushambuliwa kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum....
READ MOREMASHABIKI wa klabu za Simba na Yanga, jana Jumapili, Machi 8, 2020, walitifuana vibaya kwa kushindana kununua gazeti bora la...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda ya Dar es Salaam, kupitia kwa Kamanda wake, SACP Lazaro Mambosasa, limesema baada ya uchunguzi wamebaini...
READ MOREWASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu, Machi 9, 2020, wamemiminika kama njugu...
READ MOREMganga wa zamu katika Hospitali ya Wilaya ya Tunduru aliyefahamika kwa jina moja Kayombo amethibitisha kupokea majeruhi watatu waliopata ajali...
READ MOREMamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kazi ya kuzima laini zote za simu, ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole kwa...
READ MOREBenki ya TPB imesaidia umaliziaji wa ujenzi wa kituo cha afya Mtii, kilichopo Kata ya Mtii, Wilayani Same Mkoa wa...
READ MOREWIZARA ya afya nchini Uganda imesema raia wa kigeni 22 waliokuwa wamewasili nchini humo kutoka katika mataifa yaliyoathiriwa na maambukizi...
READ MORE