×

Habari

Chadema Yalipa Mil. 110 Kuwatoa Mdee, Matiko na Bulaya Gerezani

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema kimeanza mchakato wa kuwatoa gerezani Mbunge wa Kawe, Halima Mdee; Esther Matiko (Tarime...

READ MORE

Mtanzania Agundulika na Virusi vya Corona

  WIZARA ya Afya ya Falme za Kiarabu (U.A.E) imethibitisha kwamba raia mmoja wa Tanzania ni miongoni mwa watu 15...

READ MORE

Rais wa China Atembelea Mji Ulioathirika kwa Corona

RAIS wa China, Xi Jinping, ameutembelea mji wa Wuhan leo kwa mara ya kwanza tangu mji huo ulipokumbwa na janga...

READ MORE

Adam Castillejo Athibitishwa Kupona Virusi vya Ukimwi

MWANAUME mmoja kutoka London Uingereza amethithitishwa kuwa ndiye mtu wa pili kupona virusi vya HIV vinavyosababisha Ukimwi, wamesema madaktari.  ...

READ MORE

Katiba Yaanza Kubadilishwa, Putin Kubaki Madarakani Milele

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, ameanzisha mchakato wa mabadiliko makubwa ya katiba, ambayo yanampa nafasi ya kuendelea kubakia madarakani.  ...

READ MORE

Kauli ya Mashinji Baada ya Kutoka Jela – Video

CHAMA Cha  Mapinduzi (CCM) kimelipa faini ya Sh30 milioni aliyotakiwa kulipa mwanachama wa chama hicho, Dk Vicent Mashinji ili kutoka...

READ MORE

Exim Bank Yatangaza Washindi Droo ya Kwanza ya ‘Chanja Kijanja’

Dar esSalaam: Machi 12th, 2020: Benki ya Exim Tanzania hii leo imetangaza washindi watano wamwezi katika kampeni yake ya ‘ChanjaKijanja na Exim...

READ MORE

Waziri wa Afya Uingereza Aambukizwa Corona

WAZIRI wa afya na Mbunge wa Chama cha Conservative nchini Uingereza, Nadine Dorries, ametangaza kuwa ameambukizwa virusi vya Corona.  ...

READ MORE

Betika Lazidi Kuwapa Mchongo Wasomaji Wake

WASOMAJI wa gazeti la Betika maeneo ya Manzese jijini Dar es Salaam, wamesema   hawataacha kulichangamkia gazeti la hilo kwa sababu...

READ MORE

CCM Yamnasua Mashinji Jela, Yamlipia Mil. 30 – Video

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam,  kupitia  Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa,    Humphrey Polepole, leo...

READ MORE

Waziri Mkuu Arejea Ofisini Baada ya Jaribio la Kumuua

  WAZIRI Mkuu wa Sudan, Abdullah Hamdok, amerejea ofisini baada ya jaribio la kumuua kushindwa kwenye mji mkuu wa nchi...

READ MORE

Mwili wa Baba Kanumba Waagwa Shinyanga, Kuzikwa Leo Simiyu

WANANCHI wa Shinyanga wamejitokeza kwa wingi kuuaga mwili wa baba mzazi wa aliyekuwa msaani wa Bongo Movies, marehemu Stephen Kanumba,...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wapelekwa Gerezani Baada ya Kushindwa Kulipa Faini

Viongozi wanane wa Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wamepelekwa katika gereza la Segerea kutokana na kushindwa kulipa...

READ MORE

Mbowe, Wenzake Wahukumiwa Jela au Kulipa Faini

Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo imewahukumu viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wakiongozwa na mwenyekiti wao,...

READ MORE

Updates: Mbowe, Wenzake Wakutwa na Hatia Makosa 12

UPDATES KUTOKA KISUTU, HUKUMU YA MBOWE VIONGOZI WENZAKE: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewatia hatiani washtakiwa wote katika mashtaka 12,...

READ MORE

Corona Yatua Burkina Fasso, Nchi za Afrika Zafikia 10

BURKINA FASO  inakuwa nchi ya 10 Afrika kuthibitisha kuwa na wagonjwa wenye virusi vya Corona ambapo wagonjwa wawili wa kwanza...

READ MORE

Marekani Yaongoza Kuuza Silaha Duniani

RIPOTI mpya imeonyesha kwamba Marekani imeongoza kwa kuuza silaha za kivita kuliko nchi nyingine yoyote duniani huku silaha nyingi zikipelekwa...

READ MORE

Italia Yawekwa Karantini Kukwepa Maambukizi ya Corona

RAIA takribani milioni 60 nchini Italia wamewekwa karantini hadi Aprili 3 mwaka huu ili kudhibiti maambukizi ya #Coronavirus kusambaa zaidi....

READ MORE

Waziri wa Utamaduni Athibitika Kuwa na Corona

WAZIRI wa Utamaduni wa Ufaransa, Frank Riester amethibitika kuwa na maambukizi ya virusi vya Corona. Kwa mujibu wa Waziri wa...

READ MORE

Polisi Yawatawanya Wafuasi wa Chadema Kisutu – Video

Wafuasi wa chama cha democrasia na maendeleo CHADEMA wamejikuta wakitiwa mikononi mwa polisi baada ya kupewa amri ya kuondoka eneo...

READ MORE

Abdul Nondo Ashinda Unenyekiti ACT Wazalendo

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), ambaye pia ni Mwanasiasa na mwanaharakati Abdul Omary Nondo ameshinda nafasi ya...

READ MORE

Hukumu ya Mbowe, Wenzake Yaahirishwa kwa Muda

HAKIMU Mkazi wa Mahakama ya Kisutu  jijini Dar es Salaam, ameahirisha kusoma hukumu ya kesi inayowakabili viongozi wa Chama cha...

READ MORE

Mawaziri wa SADC Wasitisha Mikutano Sababu ya CORONA

MAWAZIRI wa Afya wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wameshauri kusitishwa kwa vikao vyote vya ana kwa ana...

READ MORE

Amuua Kaka Yake; Alimkuta Kitandani na Mama Yao

MWANAMME mmoja (35)   ambaye hakutajwa jina, mkazi wa kijiji cha Chegati, Kaunti ya Kisii, Kenya, ameuawa kwa kukatwa mapanga na...

READ MORE

NMB Yawezesha Kiimo Cha Katani, Yatoa Bil 1 Kwa Ajili ya Matrekta

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amevutiwa na juhudi kubwa iliyofanywa na Benki ya NMB katika kilimo cha Katani mkoani Tanga, baada...

READ MORE

NBC Yazindua Klabu Ya Biashara Lindi, Yatoa Mafunzo ya Biashara

    Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) yaendesha kongamano la Biashara Club katika mkoa wa Lindi, Tanzania. Zaidi ya...

READ MORE

Balaa la Mafuriko! Madaraja Yazidi Kusombwa na Maji Morogoro

MVUA kubwa zinazonyesha mkoani Morogoro zimeendelea kuleta madhara, ambapo baadhi ya Madaraja yamesombwa na maji na kufanya baadhi ya mitaa...

READ MORE

Hukumu ya Mbowe na Wenzake Kusomwa Leo Kisutu – Video

Mahakama ya Kisutu leo Machi 10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi mahakamani hapo....

READ MORE

Mikel Arteta: Lacazette, Nketiah Wananiumiza Kichwa

KOCHA Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta, amesema mastraika wake Alexandre Lacazette na Eddie Nketiah wamekuwa wakimuumiza kichwa kila anapokuwa anapanga...

READ MORE

Rais Magufuli Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini...

READ MORE

Kizimbani kwa Kusambaza Taarifa za Upotoshaji kwa Katibu Mkuu

VIJANA watatu wakazi wa Sumbawanga wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa la kusambaza ujumbe wenye lengo...

READ MORE

Binadamu Mwenye Uso wa Nywele

Larry Gomes anajulikana zaidi kama binadamu mbweha. Zaidi ya 98% ya mwili wake wote umefunikwa na manyoya, ndiye anashikiria rekodi...

READ MORE

Waziri Mkuu Anusurika Kuuawa

WAZIRI Mkuu wa Sudan, Abdullah Hamdok, amenusurika kuuawa baada ya msafara wake kushambuliwa kwenye mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum....

READ MORE

Simba, Yanga Watifuana Taifa, Kisa Ndinga – Video

MASHABIKI wa klabu za Simba na Yanga, jana Jumapili, Machi 8, 2020, walitifuana vibaya kwa kushindana kununua gazeti bora la...

READ MORE

Mangula Abainika Kuwa na Sumu Mwilini – Video

JESHI la Polisi Kanda ya Dar es Salaam, kupitia kwa Kamanda wake, SACP Lazaro Mambosasa, limesema baada ya uchunguzi wamebaini...

READ MORE

Buguruni Waitaka Ndinga Mpya ya Championi, Spoti Xtra – Video

WASOMAJI wa magazeti ya michezo maeneo ya Buguruni jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu, Machi 9, 2020, wamemiminika kama njugu...

READ MORE

Sherehe za Yanga Zasababisha Majeruhi Watatu

Mganga wa zamu katika Hospitali ya Wilaya ya Tunduru aliyefahamika kwa jina moja Kayombo amethibitisha kupokea majeruhi watatu waliopata ajali...

READ MORE

Laini Zote Ambazo Hazijasajiliwa Kuzimwa Jumamosi

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kazi ya kuzima laini zote za simu, ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole kwa...

READ MORE

Benki ya TPB Yasaidia Ujenzi wa Kituo cha Afya Mtii

Benki ya TPB imesaidia umaliziaji wa ujenzi wa kituo cha afya Mtii, kilichopo Kata ya Mtii, Wilayani Same Mkoa wa...

READ MORE

Uganda Yawataka Raia Wanaotoka Nchi Zenye Corona Warudi Kwao

WIZARA ya afya nchini Uganda imesema raia wa kigeni 22 waliokuwa wamewasili nchini humo kutoka katika mataifa yaliyoathiriwa na maambukizi...

READ MORE