×

Habari

Mwamposa Asitisha Mafuta ya Upako

KIONGOZI wa Kanisa la Inuka Uangaze, Nabii na Mtume Boniface Mwamposa amesema kwa sasa amesitisha makongamano yote kutokana na tukio...

READ MORE

Isdory Ashinda Milioni 10 Kwa Kucheza emPawa17 na betPawa

Jinsi Isdory alivyoshinda kiasi kikubwa kwa kucheza emPawa17 na betPawa Isdory Mtayoba aligundua nguvu ya emPawa17 alivyoshinda TSh10,000,000 na tiketi...

READ MORE

NMB Yaahidi Kushirikiana na Serikali za Mitaa Kuleta Maendeleo

    Benki ya NMB inayoongoza kwa faida kubwa nchini, imeahidi kutumia bidhaa na huduma zake kuzisaidia serikali za mitaa...

READ MORE

Samatta Ataka Mabao 14 Aston Villa

MSHAMBULIAJI mpya wa aston Villa, Mtanzania, Mbwana Samatta amepanga kufunga katika kila mchezo wa Ligi Kuu England ‘Premier League’ kwa...

READ MORE

Thailand: Mwanajeshi Awaua Watu 20, Mwenyewe Auawa

Watu 27 wamefariki baada ya kupigwa risasi kiholela na mwanajeshi mmoja wa Thai katika mji wa Nakhon Ratchasima, maafisa wa...

READ MORE

SHEHE KISHKI AWATULIZA  WAISLAM

Mjumbe wa Kamati ya Amani Mkoa wa Dar es Salaam, na Mhadhiri wa Dini ya Kiislamu, Shehe Kishki leo amewatuliza...

READ MORE

Kili Canvas Yazinduliwa Rasmi Dar

Dar es Salaam Februari 7, 2020: Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager,  imezindua Kili...

READ MORE

NBC Yssaidia Waathirika Wa Mafuriko Lindi

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa misaada mbalimbali kwa waathirika wa mafuriko ya yaliyotokea mkoani Lindi Januari 27...

READ MORE

NABII Aliyemtabiria JPM Urais Atabiri Rais Mpya Burundi – Video

Kiongozi wa Kanisa la Ufunuo lililopo Kimara Bonyokwa Jijini Dar, Askofu Paul Bendera amezidi kuendeleza kazi yake ya utume na...

READ MORE

Mkurugenzi Mtendaji TPSF Atangaza Kujiuzulu

Mkurugenzi mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Godfrey Simbeye ametangaza kujiuzulu kuanzia Machi 31, 2020 baada ya kuitumikia...

READ MORE

Mr. Championi Awarudishia Wasomaji Pesa Zao Dar

Ikiwa sasa ni Takribani wiki ya tatu tangu Gazeti namba moja Tanzania la Michezo la Championi kuingia na kutoa fursa...

READ MORE

Rais JPM Atunuku Kamisheni Kwa Maafisa Wanafunzi 128 wa JWTZ

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli akitunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi...

READ MORE

Rais JPM Amwapisha Kanali Ibuge Kuwa Katibu Mkuu Mambo ya Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Kanali Wilbert Augustine Ibuge kuwa Katibu Mkuu...

READ MORE

Kenyatta na Mkewe Waaga Mwili wa Rais Moi

  Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewaongoza wananchi wa Kenya, kuuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Daniel arap...

READ MORE

Malkia Karen Apiga Shoo ya Nguvu Sherehe ya Global Radio

WASANII wa muziki na Bongo Muvi  na wafanyakazi wa Global Group, kusiku wa  Februari 7, 2020, wamejumuika kusherehekea mwaka mmoja...

READ MORE

Shamra za Mwaka Mmoja wa +255 Global Radio Usipime (Picha +Video)

WADAU na wafanyakazi wa Global Group jana walijumuika kusherehekea mwaka mmoja wa redio ya kidijitali ya +255 Global Radio ambapo...

READ MORE

Mama Amzika Mwanaye Porini, Akamatwa

KISA hiki cha mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Anna Nguvila (22), mkazi wa Kitongoji cha Isoko Kijiji cha Igundu...

READ MORE

Baba Amtaka Diamond Kuchagua wa Kuoa

BAADA ya tetesi kuzagaa kuwa mama wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ndiye chanzo cha...

READ MORE

Waliokufa kwa Corona China Wafikia 722

IDADI ya vifo vinavyotokana na maambukizi ya mripuko wa virusi vya Corona imeongezeka na kufikia watu 722, ikipindukia rekodi ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Tamko Kuhusu Usajili wa Laini za Simu – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hadi kufikia Februari 2, mwaka huu laini za simu milioni 31.4 kati ya laini za...

READ MORE

Aliyechana Quran Hadharani Anaswa, Jafo Aagiza Asimamishwe Kazi – Video

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Selemani Jafo amemuagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro...

READ MORE

Serikali Yatoa Kauli, Usajili wa Samatta na ‘Mbappe’ – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amempongeza nahodha wa timu ya Taifa, Mbwana Samatta kwa kuweka historia ya kuwa Mtanzania wa kwanza...

READ MORE

Simba Yapigwa na JKT Tanzania Bao 1-0, Adam Adam Apeleka Kilio Simba

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na JKT Tanzania umekamilikwa kwa Simba kubanwa mbavu kwa kufungwa bao 1-0....

READ MORE

Marekani Yamuua Kiongozi wa Al-Qaeda kwa Shambulio

Marekani imemuua kiongozi wa Al-Qaeda katika eneo la Rasi ya uarabuni, Rais Donald Trump ameeleza.   Qasim al-Raymi aliyeongoza kikundi...

READ MORE

Basi la Premier Line Lagongana na Lori

Basi la kampuni ya Premier Line linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mbeya limegongana uso kwa na lori lenye...

READ MORE

Jafo Awapiga Marufuku Ma-RC, Ma-DC Kutoka Nje ya Vituo vya Kazi -Video

Waziri wa TAMISEMI, Seleman Jafo  leo Feb 7, 2020 amepiga marufuku wakuu wa mikoa, wilaya, makatibu tawala wa mikoa na...

READ MORE

Waziri Kairuki Kuwaongoza Watanzania Kwenda Indonesia,Thailand Na Singapore

  Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na...

READ MORE

Zitto Ahofia Kurudi Tanzania Kutokana Na Vitisho Alivyovipata

Zitto Kabwe ahofia kukamatwa, kufunguliwa mashtaka na kufungwa pindi atakaporejea nchini. hiyo inatokana na kile alichokiita mfululizo wa vitisho vilivyotolewa...

READ MORE

Virusi vya Corona Vyamuua Daktari Aliyevibaini

  DAKTARI mmoja nchini China aliyejaribu kutoa taarifa ya kwanza ya kuwapo mlipuko wa virusi vya Corona amekufa kutokana na...

READ MORE

Afariki Akizungumza naSimu Kwenye Chaji

Vumilia Kitang’enyi (19), mkazi wa Serengeti amekufa wakati akizungumza na simu aliyokuwa ameichomeka kwenye chaji, Jumatano Februari 5, 2020.  ...

READ MORE

Mwamuzi Aliyeruhusu Goli la Kagera Afungiwa Miaka Mitatu

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepitia mwenendo wa matukio ya ligi...

READ MORE

Meneja Akutwa Amejiua Gesti, Kisa Tsh milioni 889

ALIYEKUWA Meneja wa Ngara Farmers, Humphrey Kachecheba ajiua kutokana na msongo wa mawazo baada ya upotevu wa Tsh milioni 889....

READ MORE

Mstaafu Anyang’anywa Begi Likiwa na Mamilioni ya Mafao Yake

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Katavi imefanikiwa kurejesha kiasi cha shilingi milioni 29 za mafao ya...

READ MORE

Mke wa Waziri Mkuu Kortini kwa Kumuua Mke Mwenza

MKE wa Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane, Maesiah Thabane jana alipandishwa kizimbana kwa tuhuma za kumuua mkwe wa kwanza...

READ MORE

Serikali: Hakuna Mbunge Aliyezuiwa Kufanya Mikutano Kwenye Eneo Lake

 Kiongozi huyo wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni amehoji ni sheria ipi iliyotumika kuzuia mikutano hiyo, akijibu alichokieleza awali...

READ MORE

Video: Magufuli Awavaa Wapelelezi – “Msiwasingizie Majaji, Mnachelewesha Kesi”

Rais Dkt John Magufuli, leo Februari 06, amehudhuria katika mkutano wa wiki ya sheria unaofanyika katika ukumbi wa mikutano wa...

READ MORE

Serikali Kuboresha Mradi Wa Umwagiliaji Kijiji Cha Nyinda-Waziri Mgumba

  Naibu Waziri wa Kilimo Mhe Omary Mgumba (Mb) ameyasema hayo Bungeni tarehe 6 Februari 2020 Jijini Dodoma wakati akijibu...

READ MORE

Breaking: Membe Awasili Dodoma Kuhojiwa na CCM – Video

WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nje, Bernard Membe,  leo asubuhi Alhamisi Februari 6, 2020, amewasili katika ofisi za makao...

READ MORE

Baba Anayedaiwa Kuua Mwanaye Auze Viungo… Mazito Yaibuka

SIMULIZI ya kusikitisha inayohusu mauaji ya mtoto Aminata Katunzi (7), aliyekutwa amekufa Januari 24, mwaka huu, eneo la Mpiji Majohe,...

READ MORE