×

Habari

Ufalme wa Uingereza Wasikitishwa na Maamuzi ya Harry, Mkewe

FAMILIA ya kifalme ya Uingereza imesikitishwa na maamuzi ya mwanamfalme (Prince) Harry na mkewe Meghan kutangaza ‘kuacha’ kujihusisha na shughuli...

READ MORE

Tendo la Ndoa Lazua Tafrani Bakwata

NDOA usiichukulie poa ina sarakasi nyingi; kama hii ya mke na mume kufikishana Baraza la Waislam Tanzania (Bakwata) Wilaya ya...

READ MORE

Mtibwa Yaipiga Yanga, Yatinga Fainali Mapinduzi Cup, Leo Simba Vs Azam

  TIMU ya Mtibwa Sugar imetinga fainali ya Mapinduzi Cup 2020 baada ya kuiondoa Yanga SC kwa penalti 4-2, katika...

READ MORE

Tanzia: Prof. Euphrase Kezilahabi amefariki dunia

Mwandishi mashuri wa riwaya nchini Tanzania, Profesa Euphrase Kezilahabi ameaga dunia. Edmund makaranga Kangi, ambaye ni mpwa wa marehemu, amethibitisha...

READ MORE

Jangili Sugu Adaiwa Kumuua Askari – Video

POLISI mkoani Kagera inamshikilia kijana mmoja, Alfred Kamugisha, mkazi wa Kijiji cha Kishaanda, Kata ya Kibale wilayani Kyerwa kwa tuhuma...

READ MORE

Afumwa Akifukua Kaburi la Mtoto wa Dada Ake

KIJANA Devenja Kibotuo mwenye umri wa miaka 35, Mkazi wa Kijiji cha Uchau Kusini Wilayani Moshi, Kilimanjaro anadaiwa kufukua kaburi...

READ MORE

Simba Yawaacha Mastaa Dar

IMEFAHAMIKA kuwa kiwango kibovu ndiyo sababu ya mastaa wa Simba kuachwa kwenye msafara wa timu hiyo ulioelekea Pemba, kucheza michuano...

READ MORE

Waziri Ummy Mwalimu Kuzindua CT Scan Manyara

WAZIRI wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu anatarajiwa kuzindua mashine mpya ya CT Scan katika...

READ MORE

Dakika 50 za Papa Kuhusu Marekani na Iran

KIONGOZI wa kanisa katoliki Duniani Papa Francis amesihi Marekani na Iran wakae kwenye meza ya majadiliano ili wapate suluhu ya...

READ MORE

Iran Yaigomea Tena Marekani

SERIKALI ya Iran imesema kuwa haitakabidhi kisanduku cha kunakili safari ya ndege ama ”Black box” ya ndege ya Ukraine iliyopata...

READ MORE

Marekani Ipo Tayari Kufanya Mazungumzo na Iran

MAREKANI imesema iko tayari kujadiliana na Iran bila masharti baada uhasama uliozuka baina ya nchi hizo kufuatia mauaji ya jenerali...

READ MORE

Uamuzi wa Shauri la Meya wa Jiji la Dar, Kutolewa Kesho Kisutu

Uamuzi wa shauri la Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita wa kuomba Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Sakata la Kumng’oa Meya wa Dar Lazua tafrani, Anyang’anywa Gari

MEYA Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amejikuta njia panda baada ya kunyang’anywa gari alilokuwa akilitumia ambalo linamilikiwa na...

READ MORE

JPM Arejea Dar, Sasa Kuanza Ziara Zenji

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amerejea jijini Dar es Salamaa na kutua katika Uwanja...

READ MORE

Mama aua mwanaye kwa kipigo

INASIKITISHA! Mama mzazi wa Salome Pius Kahela (13) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Iyela,...

READ MORE

Matokeo Kidato cha Nne: Wanafunzi 10 Bora Kitaifa, Shule 10 Bora

  Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania limetangaza matokeo kidato cha nne 2019 yakionyesha watahiniwa 340,914 sawa na...

READ MORE

Vurugu Zaibuka Kikao cha Kumng’oa Meya wa Dar – Video

KIKAO cha Baraza la Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania cha kujadili tuhuma zinazomkabili Meya wa jiji...

READ MORE

Breaking: Matokeo Kidato cha Pili Yatangazwa, Haya Hapa

  BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) nchini Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kidato cha...

READ MORE

Breaking: Matokeo Darasa la Nne Yatangazwa, Yasome Hapa

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) nchini Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne, kidato cha pili...

READ MORE

Matokeo Kidato cha Nne, cha Pili & Darasa la Nne 2019

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) leo Alhamisi, Januari 9, 2020 limetangaza matokeo ya mtihani wa upimaji darasa la nne,...

READ MORE

Waitara Amkabidhi Rungu DC Sabaya Kutumia ‘Pesa za Mbowe’ – Video

NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mwita Waitara, amemwagiza Mkuu wa Wilaya (DC) ya Hai...

READ MORE

Kigwangalla, Mkenda Wakutana Mwanza, Sasa Kazi Tu!

BAADA ya kumaliza tofauti zao ndani ya muda uliotolewa na Rais John Magufuli, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi...

READ MORE

Taarifa Timu Iliyomchunguza Meya Dar Kuanikwa Leo

MKUTANO maalumu wenye ajenda ya kupokea taarifa ya timu iliyochunguza tuhuma dhidi Meya wa Jiji la Dar es Salaam nchini...

READ MORE

Kisa Yanga… Hans Poppe Amvaa Manula

ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba ambaye kwa sasa ni mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu...

READ MORE

Trump Kuiwekea Iran Vikwazo Vya Kiuchumi, Hatolipiza Kisasi -Video

RAIS wa Marekani, Donald Trump,  ametangaza kuweka vikwazo vipya vya kiuchumi dhidi ya Iran, lakini amesema nchi hiyo haitolipiza kisasi...

READ MORE

NBC Yawaasa  Watanzania Kutumia Malengo Akaunti Kama Suluhisho ya Changamoto

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imewahamasisha watanzania  kutumia akaunti ya malengo ya benki hiyo kama suluhisho ya changamoto...

READ MORE

Moto Wateketeza Matanki ya Mafuta ya Lake Oil Kigamboni – Video

Moto mkubwa umezuka usiku wa leo Jumatano Januari 8, 2020 katika hifadhi ya mafuta inayomilikiwa na kampuni ya Lake Oil...

READ MORE

Makamanda wa Polisi Waipongeza Global Kuwaanika Wahalifu – Video

Mkuu wa Utawala Jeshi la Polisi nchini, Naibu Kamishna (DCP), Lucas Mkondya leo amemuwakilisha Inspekta Jeneral (IGP), Simon Sirro kutembelea...

READ MORE

MREMA: Walinigombea Kama MPIRA wa Kona, Wakataka KUNIMALIZA

Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Dkt Augustine Mrema amemwandikia barua Mhe. Rais John Pombe Magufuli kumuomba serikali...

READ MORE

Meya Dar Atua Kortini, Apinga Kuvuliwa Umeya

MSTAHIKI  Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita,  amewasilisha pingamizi la maombi mawili likiwemo la kuweka zuio la...

READ MORE

Wafanyabiashara Kariakoo Waendelea Kunufaika na ‘Betika’

  IKIWA ni Jumatano ya kwanza ya Januari 8, 2020, timu ya maofisa masoko ya Global Publishers Ltd  imeendelea na...

READ MORE

Molinga Aondoka Yanga Kisa Utovu wa Nidhamu

STRAIKA wa Yanga, raia wa DR Congo, David Molinga, ametimkia nchini na kwenda zake Ufaransa kwa madai ya kwenda kutatua...

READ MORE

Sanchi apigwa stop nguo za kubana

D AKTARI wa mwanamitindo mwenye umbo matata Bongo, Jane Rimoy ‘ Sanchi’ amempiga stop mrembo huyo kuvaa nguo za kubana...

READ MORE

Halima Mdee: Sijaona Wakuniondoa Kawe – Video

Mbunge wa Kawe kupitia Chadema, ambaye pia ni Mwenyekiti wa BAWACHA Tifa, Halima Mdee amesema mpaka sasa bado hajaona mtu...

READ MORE

Cameroon: Bomu Laua 9 na Kujeruhi 30

MLIPUKO katika mji wa Fotokol mpakani mwa Cameroon na Nigeria umesababisha vifo vya watu tisa na kujeruhi wengine 30.  ...

READ MORE

Miguna Atolewa Kwenye Ndege ya Ufaransa kwa Amri ya Serikali

SHIRIKA la Ndege la Ufaransa (Air France) jana limemshusha kwenye ndege Mwanasheria Miguna Miguna aliyekuwa akielekea Nairobi likidai ni kwa...

READ MORE

Gari Dogo Lagonga Treni Vingunguti

Gari Dogo limeigonga Garimoshi lililokuwa linatoka Dar es Salaam kuelekea Mpanda, Kigoma, Mwanza na Tabora.   Ajali hiyo imetokea leo...

READ MORE

Mtoto Apania Kumfunga Baba Yake Kwa Ubakaji

BABA mzazi wa mtoto anayedaiwa kubakwa (jina linahifadhiwa); Mbwana Said (42), ameeleza kusudio la kumfunga jela baba yake mzazi, Said...

READ MORE

Iran Yashambulia Kambi za Jeshi la Marekani

IRAN imerusha makombora zaidi ya kumi ikilenga majengo ya Marekani yaliyopo kaskazini mwa Iraq ikiwemo kambi ya jeshi ya Ain...

READ MORE

Dkt Shika Hoi, Aanguka Ghafla, Akimbizwa Hospitali – Video

IKIWA ni siku chache zilizopita picha za Dkt Louis Shika zikimuonesha maisha magumu anayoishi, taarifa zilizotufikia zinaeleza kuwa, Shika yupo...

READ MORE