×

Habari

Kampuni ya Azania Kumwaga Zawadi Kibao Msimu Huu wa Sikukuu

   KATIKA msimu huu wa sikukuu, kampuni ya Azania, watengenezaji wa Sabuni za King Limau na Marhaba imetangaza ofa kabambe...

READ MORE

Kiba Noma… Awapa Wazungu Mil. 300 Amfunike Mondi

STAA wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ anataka kuthibitisha kwamba, kweli yeye ni mfalme (king), Risasi Jumamosi limedokezwa....

READ MORE

Mama Ambipu Sirro! Amfanyia Unyama Mwanaye

SIKU chache baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro Sirro kuzindua dawati la jinsia na watoto...

READ MORE

Mama Samia Awasili Serengeti Kuadhimisha Miaka 60 ya TANAPA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Seronera Wilaya...

READ MORE

Rais Magufuli Amtembelea Katibu wa CCM Wilaya ya Mbogwe

Rais John Magufuli leo Desemba 22, 2019 amemtembelea na kumjulia hali aliyewahi kuwa katibu wake, Gervace Makoye. Makoye amekuwa katibu...

READ MORE

Rais Magufuli Awatakia Heri ya Krismasi na Mwaka Mpya Watanzania (Picha +Video)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo  Jumapili Desemba 22, 2019 amejumuika pamoja...

READ MORE

Prof. Ndalichako Anaficha Udhaifu Bodi ya Mikopo?

  “TAMKO lao halina adabu, kama wanataka kutikisa kiberiti, nawaambia kiberiti kimejaa njiti,” hiyo ni kauli ya kibabe ya Waziri...

READ MORE

Jela Miaka 15 kwa Kuchoma Bendera ya ‘Mashoga’

JAJI mmoja nchini Marekani amemuhukumu kifungo cha zaidi ya miaka 15 jela mwanamume mmoja aitwaye Adolfo Martinez (30) aliyeiba bendera...

READ MORE

Yanga Yaipiga 4G Iringa United Uwanja wa Uhuru

MCHEZO wa Kombe la Shirikisho Uwanja wa Uhuru kati ya Yanga na Iringa United umekamilika kwa Yanga kuibuka na ushindi...

READ MORE

Hudefo Yaendesha Mdahalo wa Nishati Jadidifu

  ASASI isiyo ya kiserikali ya Human Dignity and Environmental Care Foundation (HUDEFO) inayojihusisha na utu na mazingira jana iliandaa...

READ MORE

Baba Aliyetaka Kumuua Mtoto Mtoni, Kamanda Aeleza A-Z (Video)

  JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limethibitisha kumshikilia mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Benson Bernard Sadala Shila (31)...

READ MORE

LHRC Yaitaka Polisi Ieleze Alipo Magoti – Video

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeliomba jeshi la polisi kutaja kituo ambacho anashikiliwa mmoja ya wafanyakazi...

READ MORE

Video Imeshtua Wengi, Baba Ataka Kumuua Mwanaye Mtoni

  VIDEO liyosambaa katika mitandao ya kijamii jana Ijumaa, Desemba 20, 2019, jioni imeshtua watu wengi na kuzua taharuki huku...

READ MORE

Naibu Waziri Mgumba Amaliza Ziara Ya Siku Mbili Uganda

Mhe Naibu waziri wa Kilimo wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Omary Mgumba amemaliza ziara ya siku mbili ya kiserikali...

READ MORE

NBC Yazindua Kampeni Ya Bima Ya Magari Msimu Huu Wa Sikukuu

  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Kampuni ya Bima ya Sanlam imezindua kampeni ya bima ya...

READ MORE

Mrembo Atoboa Siri Penzi na Kiba

  MAKUBWA! Wakati kukiwa na wingu zito kuhusu ndoa ya msanii wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘AliKiba’, membo kutoka...

READ MORE

Unatafuta Shule Ya Mwanao? St. Mary’s Ndiyo Jibu Lako

  ZIMEBAKI siku chache kabla ya kuumaliza mwaka 2019 na kuingia 2020! Kwa kawaida, mwezi huu na Januari, ni kipindi...

READ MORE

Polisi: Ofisa LHRC Anashikiliwa Kwa Mahojiano, Ajatekwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linamshikilia Ofisa wa kitengo cha Elimu kwa Umma wa Kituo...

READ MORE

Shehe Amuwakia Diamond na Tanasha

  SHEHE Ahmed Kandauma kutoka taasisi ya dini ya Kiislam IRSHAD ya Temeke jijini Dar amemuwakia msanii Nasibu Abdul ‘Mondi’...

READ MORE

Mkazi Wa Songea Asepa Na Milioni 10 Za Nala Shindano La Mama Kasema (Picha+Video)

SAMWELY Kisinga, mjasiriamali na mkazi wa Songea ameibuka kidedea kwenye Shindano la Mama Kasema lililokuwa chini ya kampuni ya kizawa...

READ MORE

Muuguzi Mbaroni kwa Kumbaka Mjamzito Akijifungua – Video

  MUUGUZI wa Kituo cha Afya Mamba, mkoani Katavi, Abednego Alfred (32), anadaiwa kumbaka mjamzito aliyekuwa kwenye chumba cha kujifungulia,...

READ MORE

TCRA Yasisitiza, Laini Ambazo Hazijasajiliwa Zitafungwa Desemba 31

  MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema kwamba hakuna laini ya simu itakayofungwa kabla ya tarehe hiyo. Aidha, imesema wananchi...

READ MORE

Breaking: Tito Magoti Achukuliwa na Watu Wasiojulikana

   MFANYAKAZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti,  anadaiwa kachukuliwa na watu wasiojulikana akiwa maeneo...

READ MORE

Aliyetajwa Na Mambosasa Kwa Kumiliki ATM Zaidi Ya 20 Apandishwa Kizimbani

Mwanadada aitwaye, Halima Juma  Ally  (23) mkazi wa Chalinze Mkoa wa Pwani, amepandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya ya...

READ MORE

Mdhamini Aieleza Mahakama: Lissu Amepona Lakini Anahofia Hili…

  MAHAKAMA ya Kisutu imesisitiza kuwa inamtaka mahakamani aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu anayekabiliwa na kesi ya uchochezi.  ...

READ MORE

Trump Awashambulia Waliopiga Kura ya Kumwondoa Madarakani

  MUDA mfupi baada ya Baraza la Wawakilishi la Marekani kupitisha uamuzi wa kumshitaki Rais Donald Trump, mwenyewe ameitisha mkutano...

READ MORE

Ofisa wa Polisi Auawa Akigombea Bia Baa

  POMBE imemponza askari wa polisi na kusababisha kukatishwa uhai wake kutokana na ugomvi ulioibuka baina yake na wahudumu wa...

READ MORE

Papa Francis Afanya Maamuzi Magumu Kuhusu Unyanyasaji wa Kingono

Papa Francis ametangaza mabadiliko makubwa kwa jinsi Kanisa Katoliki linavyoshughulikia kesi za unyanyasaji wa kingono kwa watoto na kukomesha kanuni...

READ MORE

Wanaume Zanzibar Watoa Talaka kwa Njia ya SMS

WANAUME visiwani Zanzibar wanadaiwa kutoa talaka kwa njia ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi (SMs), kitendo kinachotafsiriwa kuwa ni...

READ MORE

‘Watoto wa Ibilisi’ Wazua Balaa, Ni Mapanga na Visu – Video

  KIKUNDI cha vijana wanaojiita ‘Watoto wa ibilisi’ limekuwa tishio kwa maisha ya watu na mali zao baada ya kudaiwa...

READ MORE

Video: RC Makonda Kutumia Bilioni 2.5 Kujenga Ofisi za CCM Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amesema atatumia Sh2.5 bilioni kujenga ofisi za Chama cha...

READ MORE

Wanne Watekwa na Al-Shabaab Kenya

Wakandarasi wanne wa Kenya waliokuwa wakifanya kazi zao katika eneo la Wel Garas, kaunti ya Wajir wamearifiwa kutekwa na kundi...

READ MORE

Amshushia Kipigo Mkewe kwa Kuchinja Jogoo la Krismasi Kabla ya Sikukuu

  Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 50 kutoka wilaya ya Budaka mashariki mwa Uganda, amemjeruhi mke wake vibaya baada...

READ MORE

Puma Yang’ara Tuzo  Za Mwajiri Bora Tanzania 2019

  KAMPUNI ya.Mafuta ya Puma Tanzania ambayo ni namba moja katika biashara ya mafuta imeng’ara  kwa kujinyakulia tuzo nne katika...

READ MORE

Nyimbo 10 Zilizotikisa Bongo 2019!

MOJA kati ya mafanikio kwa msanii kwa mwaka mzima ni kutoa nyimbo ambazo zitakuwa kali, zitapigwa na kupendwa na watu...

READ MORE

Polisi Yawaonya Madereva Kipindi cha Sikukuu

KAMANDA wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP, Fortunatus Muslim,  amewataka madereva kuwa waangalifu...

READ MORE

Mbowe Achaguliwa Tena Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa

  MGOMBEA wa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amechaguliwa tena katika nafasi hiyo...

READ MORE

Kimenuka! Trump Apigiwa Kura Akishtakiwa, Bunge Kumng’oa

  BARAZA la Wawakilishi la Marekani limepiga kura kuridhia kushtakiwa kwa Rais Donald Trump kwa kutumia vibaya madaraka yake na...

READ MORE

NMB MastaBoda Ndani ya Kisarawe!

KAMPENI ya MastaBoda inayoendeshwa na Benki ya NMB kwa ajili ya kuwaunganisha waendesha Bodaboda katika mfumo wa kibenki wa kupokea...

READ MORE