×

Habari

Watoto Watoweka, Wakutwa Wamekufa

TUKIO la hivi karibuni lililoibua hofu kubwa ni la watoto wawili wa familia mbili wa Kijiji cha Nyamhela, Kata ya...

READ MORE

Waliokufa ajali ya moto Moro… UTATA WAIBUKA!

  WAKATI tume iliyoundwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ikisubiriwa kutoa majibu ya kuwepo au kutokuwepo kwa uzembe kwa mamlaka...

READ MORE

 Mtoto Ajinyonga Akisonga Ugali

MTOTO aliyejulikana kwa jina la Maria Saidi Mtengwa (16) mkazi wa Salasala jijini Dar amekatisha uhai wake kwa kujinyonga kikatili...

READ MORE

Mahakamani Kisutu: Wakili wa Malinzi Asema ‘Nimechoka’ – Video

KESI Ya utakatishaji fedha  na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu inayomkabili aliyekuwa rais wa shirikisho la soka nchini (TFF)...

READ MORE

Mtoto Aliyepotea kwa Siku 6 Dar, Apatikana Arusha

MTOTO ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi na awali ya Tuwapende, Daniel Evans (12) aliyepotea...

READ MORE

Mama Magufuli Amzawadia Mke wa Rais Ramaphosa

MAMA Janeth Magufuli akiwa katika mazungumzo na mke wa Rais wa Afrika Kusini, Dkt. Tshepo Motsepe-Ramaphosa, baada ya kuwasili Ikulu...

READ MORE

Lissu, Ndugai Watifuana Kortini – Video

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar, leo Agosti 15, 2019, imeamuru maombi ya zuio la muda la kuapishwa kwa mbunge...

READ MORE

BREAKING: NDEGE YA URUSI YAANGUKA SHAMBANI – VIDEO

NDEGE ya abiria ya Urusi  leo, Agosti 15, 2019, imeanguka baada ya ndege (mnyama) kuingia ndani ya injini na kusababisha...

READ MORE

JPM, Ramaphosa Wafanya Mazungumzo

Rais  John Magufuli akimpokea mgeni wake,  Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu...

READ MORE

Kardinali Pengo Ang’atuka Rasmi, Papa Francis Aridhia

ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp  Kardinali Pengo, ameng’atuka wadhifa huo na nafasi...

READ MORE

Kipindi ‘Katambuga’ cha Global Radio Chazinduliwa Rasmi

MOJA ya vipindi bora kabisa vya redioni hapa Tanzania, kipindi cha KATAMBUGA kinachoruka hewani kupitia Radio ya mtandaoni nambari moja...

READ MORE

Mahakama Kuu Yasikiliza Kesi Lissu Kuvuliwa Ubunge

MVUTANO mkali kati ya pande mbili – upande unaowakilishwa na Tundu Lissu na ule wa Jamhuri – katika kesi ya...

READ MORE

Ajali ya Lori Morogoro: Wengine 7 Wafariki Muhimbili – Video

MAJERUHI wengine saba wa ajali ya moto waliokuwa wakitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamefariki dunia usiku wa kuamkia...

READ MORE

DC Aagiza Watumishi Wanunue Ultra Sound ya Mil 30 Iliyoibwa

BAADA ya mashine ya Ultra Sound kuibiwa katika Hospitali ya Wilaya Bariadi mkoani Simiyu, Mkuu wa Wilaya hiyo, Festo Kiswaga,...

READ MORE

Rais Ramaphosa wa Sauz Awasili Nchini – Video

RAIS wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa na mkewe, Dkt. Tshepo Motsepe,  wamewasili nchini Tanzania usiku wa kuamkia leo na kupokelewa...

READ MORE

Sibomana Aweka Rekodi Mpya Caf

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Patrick Sibomana juzi aliweka rekodi mpya kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambayo inasimamiwa na Shirikisho la...

READ MORE

Utata Kifo Francis Cheka: Mkewe Afunguka Kila Kitu – Video

Siku chache zilizopita ulizuka uvumi wa kwamba bondia, Francis Cheka, amefariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro baada...

READ MORE

Boxer ndiyo basi tena Yanga

BEKI wa kulia ya Yanga, Paul Godfrey ‘Boxer’ sasa atakuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na majeraha ya...

READ MORE

KEKO WALICHANGAMKIA BETIKA

WASOMAJI wa Gazeti la BETIKA katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, wameonekana kulichangamkia gazeti hilo baada ya...

READ MORE

VIDEO: MAMBOSASA AFANYA DORIA NA HELIKOPTA DAR

   JESHI  la polisi Kanda Maalum ya Dar  es Salaam, chini ya Kamanda wake, Lazaro Mambosasa, leo Agosti 14,...

READ MORE

Mhadhiri NIT Kortini kwa Rushwa ya Ngono kwa Mwanafunzi

MHADHIRI wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) nchini Tanzania, Samson Mahimbo,  amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini...

READ MORE

Mwili wafukuliwa, wavuliwa sare za kazi

  SERIKALI magharibi mwa Kenya imefukua mwili wa mkazi mmoja ili kumvua sare alizozikwa nazo kulingana na ripoti. Martin Shikuku...

READ MORE

Ajibu, Manula Mambo Safi Simba

WACHEZAJI wa Simba, mlinda mlango, Aishi Manula na kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajibu wanajiunga na kikosi hicho baada ya kutoka kwenye...

READ MORE

Mkuu wa Upelelezi Aliyehukumiwa Kunyongwa Akwama Kortini

MAHAKAMA ya Rufani imetupilia mbali maombi ya marejeo ya aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya ya Kinondoni (OC-CID), Mrakibu wa...

READ MORE

Breaking News: Ajali ya Moto Moro, Wengine 6 Wafariki – Video

MAJERUHI wengine sita kati ya 38 wa ajali ya lori kuwaka moto ya mjini Morogoro ambao walikuwa wakitibiwa katika Hospitali...

READ MORE

Kesi ya Kuvuliwa Ubunge… Ndugai, Lissu Waitwa Kortini Kesho

KESI ya kupinga kuvuliwa ubunge na Spika, Job Ndugai, iliyofunguliwa na aliyekuwa mbunge wa zamani wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,...

READ MORE

Malinzi Kortini: TFF Ilikuwa na Hali Ngumu, Niliikopesha 15m

ALIYEKUWA Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi (59), amedai mahakamani kuwa wakati anaingia madarakani shirikisho...

READ MORE

Mtoto Ajinyonga Akipika Ugali, Mama Mzazi Asimulia – Video

Binti wa miaka 16 aliyefahamika kwa jina la Maria amekutwa amejinyonga hadi kufa akiwa kwenye harakati za kuandaa chakula cha...

READ MORE

JPM Afanya Uteuzi Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma

Rais Dk John Magufuli  amemteua Jaji Mstaafu Ibrahim Sayida Mipawa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma....

READ MORE

Mtuhumiwa Mauaji ya Naomi Atishia ‘Nitaishangaza Mahakama’ – Video

IKIWA ndiyo siku ya kutajwa kwa kesi inayomkabili Hamis Luwongo anayetuhumiwa kumuua na kumchoma moto mkewe, Naomi Marijani, pameibuka taharuki...

READ MORE

Ajali Moro: Mwingine Afariki, Utambuzi Tatizo kwa Mahututi – Video

MAJERUHI mwingine mmoja wa ajali ya lori la mafuta iliyotokea Morogoro aliyekuwa akipata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)...

READ MORE

Dereva wa Lori Lililolipuka Ruvuma Apatikana, Amevunjika Mbavu!

DEREVA Hubert Mpete aliyekuwa akiendesha lori la mafuta lililopata ajali usiku wa kuamkia jana Mkoani Ruvuma, amepatikana akiwa hai.  ...

READ MORE

Mti wa Maajabu, Ukiupanda Mtu Anakufa, Mke Hazai – Shehe Aanika – Video

UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Mti unaoitwa ‘Germany Tree’ unaofahamika zaidi kwa jina la Mti Chonganishi, ni aina ya...

READ MORE

Prof. Kabudi Akabidhiwa Uenyekiti Baraza la Mawaziri SADC – (Video + Picha)

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekabidhiwa uenyekiti wa Baraza la...

READ MORE

Tanzia: Mwanamuziki Maarufu DJ Arafat Afariki Dunia

  MWANAMUZIKI maarufu wa mitindo ya Coupé-Décalé nchini Ivory Coast, Houon Ange Didier ‘DJ Arafat (33), amefariki dunia kwa ajali...

READ MORE

Shule za Feza Kusomesha Wanafunzi Zadi ya Mia Nne (400) Bure

    Katika kuhakikisha inaunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano za kuhakikisha watanzania wanapata elimu bure uongozi...

READ MORE

Makonda: Rais Ramaphosa wa Sauz Atatua Dar Jumatano – Video

RAIS wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuwasili Nchini Jumatano ya August 14 kwa Mwaliko wa Ziara ya kitaifa (State...

READ MORE

‘Mzimu’ wa Ajali ya Morogoro Waibukia Kenya

POLISI leo wameifunga barabara kati ya Nakuru na  Naivasha nchini Kenya katika eneo la Hoteli ya Stem huko Nakuru baada...

READ MORE

Boti Yapinduka Bahari ya Hindi, Mmoja Ahofiwa Kufa

WATU wamenusurika kifo wakati boti inayomilikiwa na klabu ya starehe ya Yacht jijini Tanga, ilipopinduka jana jioni, Agosti 11, 2019...

READ MORE