×

Habari

RAY C ATOA SABABU KUTOMZIKA RUGE

VUNJA ukimya! Sexy lady wa Bongo Fleva, Rehema Yusuf Chalamila ‘Ray C’ ametaja sababu ya kutomzika Mkurugenzi wa Vipindi na...

READ MORE

QNET yatoa fursa ya ‘kufanya kazi kwa bidii na kuleta mabadiliko chanya’

Machi 16, 2019, Dar es Salaam: Kampuni yenye asili ya Asia ya mauzo ya moja kwa moja QNET imeendesha maonyesho...

READ MORE

WOLPER KWENYE MAOMBI MAZITO TAMASHA LA DAUGHTERS OF ZION – PICHAZ

MSANII maarufu wa filamu nchini, Jacquiline Wolper ameungana na mastaa wenzake, waumini na wananchi wengine kuhudhuria katika Tamasha la Daughters of...

READ MORE

JPM AWASHTUKIZA MAGEREZA UKONGA, AFANYA MAAMUZI MAGUMU – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 16 Machi, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza...

READ MORE

Aliyeua Watu 49 New Zealand Jana, Afikishwa Mahakamani

Mshukiwa namba moja wa shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini New zealand jijini Christchurch, na kuua watu 49, Brenton Terrant...

READ MORE

Profesa Lipumba amtangaza mrithi wa Maalim Seif CUF

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amemtangaza Khalifa Suleiman Khalifa kuwa katibu mkuu wa chama hicho.   Mbali na Khalifa,...

READ MORE

Waziri Aagiza Kuongezwa Dalala 10 Kusaidia Mwendokasi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo, ameagiza kuongezwa kwa mabasi...

READ MORE

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UKARABATI CHUO KIKUU ARDHI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ndalichako akimkabidhi Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Huduma na Maendeleo...

READ MORE

Gari la Wanafunzi Lagonga Treni, Mmoja Afariki

Gari la abiria lenye namba za usajili T930 DML aina ya Toyota Coaster lililobeba wanafunzi wa sekondari limegonga Treni eneo...

READ MORE

MZEE MAGALI Awashangaa Bongo Muvi

MSANII wa Bongo Muvi aliyehamishia makazi yake Chicago nchini Marekani, Charles Magali ameshangazwa na mastaa wakubwa wa filamu kugalagazwa na...

READ MORE

QNET Kuleta bidhaa zake za kuboresha maisha nchini Tanzania

  Kampuni yenye asili ya Asia ya mauzo ya moja kwa moja QNET itaendesha maonyesho ya bidhaa na huduma zake...

READ MORE

KIFO CHA MLINZI CHAIBUA UTATA!

BUKOBA: Utata! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya aliyekuwa mlinzi kwenye makampuni mbalimbali, Edward Rweyemamu Ngamera Mkazi wa Nyakanyasi, Manispaa ya...

READ MORE

TTCL YAZINDUA ENEO MAALUM LA MAPOKEZI MAKAO MAKUU

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) leo limezindua eneo la mapokezi ya shirika hilo lililopo Makao Makuu ya Shirika, jijini...

READ MORE

Makonda Amtmbelea Mtoto Hamis, Muhimbili, Amshushia Maombi – Video

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Machi 15, 2019 amemtembelea na kumjulia hali mtoto Hamisi ambaye...

READ MORE

Mwili wa Mwanafunzi Aliyeuawa Wakutwa Kichakani

MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Yungwe wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita, Alex Pastory amekutwa ameuwawa kwenye...

READ MORE

KAULI ya POLISI Kuhusu Kijana Aliyesingiziwa Kesi, Akaokolewa na JPM – Video

Makao Makuu ya Jeshi la Polisi nchini kupitia msemaji wake, Ahmed Msangi limefafanua kuhusu kijana, Mussa Sadiki, aliyemundikia barua, Rais...

READ MORE

JEAN-PIERRE BEMBA ALIPWA BIL 180 KWA KUFUNGWA BILA HATIA

ALIYEKUWA Makamu wa rais nchini DRC, Jean-Pierre Bemba, na ambaye alihukumiwa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kwa uhalifu...

READ MORE

Mbowe Afunga Mjadala wa Lowassa, Amtaja Dkt. Slaa!

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uamuzi uliofanywa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai...

READ MORE

BREAKING: Watu 49 Wauawa Katika Shambulio la Kigaidi New Zealand

WAZIRI Mkuu wa New Zealand, Jacinda Ardern, amesema watu 49 wameuawa na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa vibaya baada ya...

READ MORE

BREAKING: MBOWE ASEMA KUNA UGONJWA WA ‘BURUDANI’ GEREZANI – VIDEO

MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe,  amesema amekutana na mambo mengi ya kuumiza alipokuwa mahabusu...

READ MORE

Wafutiwa shitaka la mauaji baada ya Rais Magufuli kuamuru uchunguzi

MKURUGENZI wa mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amewafutia shitaka la mauaji watuhumiwa Musa Sadiki na Edward Matiku baada ya agizo...

READ MORE

BAADA YA KUVULIWA UBUNGE, NASSARI AMJIBU SPIKA NDUGAI

IKIWA ni saa chache baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,  kutangaza kumvua Ubunge, aliyekuwa Mbunge wa  Arumeru Mashariki, Joshua...

READ MORE

SHUHUDIA MTAMBO WA KISASA WA ASALI

UFUGAJI wa nyuki katika mkoa wa Singida unatarajiwa kuongeza tija kwa wafugaji kutokana na kuanzishwa kwa mtambo wa kisasa wa...

READ MORE

Washindi 15 wapatikana promosheni ya Tia kitu pata vituz na DStv!  

  Kampuni ya MultiChoice nchini kupitia king’amuzi chake cha DStv imechezesha droo yake ya tatu ya promosheni ya “Tia kitu,...

READ MORE

KAMATI YA BUNGE YAKAGUA MRADI WA UPANUZI  JENGO LA UTAWALA DUCE

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeiagiza serikali kuhakikisha inafanikisha upatikanaji wa kiasi cha...

READ MORE

Breaking News: Spika Ndugai Amvua Ubunge Joshua Nassari

Spika wa Bunge, Job Ndugai leo Alhamisi, Machi 14, 2019, amemvua Ubunge, Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA), baada...

READ MORE

VIJANA WA UMRI CHINI YA MIAKA 25 HATARINI KUAMBUKIZWA VVU

  UWEZEKANO wa vijana walio chini ya umri wa miaka 15 hadi 24 kushindwa kutimiza ndoto zao za maisha ni...

READ MORE

Kampuni ya Boeing yasitisha matumizi ya ndege zote za 371

  KAMPUNI ya kutengeneza ndege ya Boeing ya Marekani iliyotengeneza ndege ya shirika la ndege la Ethiopia iliyoanguka hivi karibuni,...

READ MORE

Mbowe Yamkuta Majanga Mengine

SIKU chache baada ya kutoka mahabusu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amekumbana na pigo lingine...

READ MORE

LISSU AFUTIWA MSHAHARA NA POSHO ZAKE BUNGENI – VIDEO

MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amethibitisha kuwa Uongozi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kwa...

READ MORE

HII NDO ‘PITCH HATARI’ YA SOKA ITAKAYOJENGWA DODOMA

Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wataalamu wa Tanzania na Misri wanaoshughulikia ujenzi wa uwanja wa michezo...

READ MORE

MACHOZI! KILICHOMPATA MTOTO HUYU LAZIMA ULIE !

MACHOZI! Unajiona una matatizo? Taarifa ikufikie kuwa, humu duniani kuna watu wanateseka zaidi yako na kama ukisikia mikasa yao, lazima...

READ MORE

BABA MATATANI UBAKAJI WA MWANAYE

DAR ES SALAAM: AMA kweli dunia imekwisha! Wakati wazazi wengi wakiaminika kuwalea watoto katika maadili mema hali imekuwa tofauti kwa...

READ MORE

Jengo la shule laanguka, laua wanafunzi wanane

 WATOTO zaidi ya wanane wamefariki na wengi kujeruhiwa na kunasa katika mabaki ya jengo la shule lililoanguka jijini Lagos, Nigeria....

READ MORE

Mamia Wamuaga Rubani Yared Aliyekufa Kwenye Ndege ya Ethiopia

MAMIA ya waombolezaji wamehudhuria ibada ya mazishi ya kiislam ya rubani mwenye umri wa miaka 29 , Yared Mulugeta Gatechew,...

READ MORE

JPM Akutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Wa Urusi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje...

READ MORE

TABORA: Wanawake Wajiekea Tumbaku Ukeni Kupunguza Hamu ya Ngono

  WANAWAKE mkoani Tabora wamekuwa wakitumia tumbaku  na ugoro ambayo huiweka sehemu za siri ili kupunguza hamu ya tendo la...

READ MORE

Breaking: Lipumba Apitishwa Kugombea Uenyekiti CUF

  BARAZA Kuu la Chama cha Wananchi (CUF) leo limewapitisha wanachama watatu wa chama hicho akiwamo Profesa Ibrahim Lipumba kugombea...

READ MORE

Kadinali aliyelawiti watoto ahukumiwa kwenda Jela

  JJI Mkuu wa mahakama moja nchini Australia, Peter Kidd, amemhukumu kifungo cha miaka sita gerezani Kardinali George Pell baada...

READ MORE

Serikali Yatoa Onyo Kwa Magazeti ya Mwananchi

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imetoa onyo kwa magazeti ya Mwananchi na The Citizen kwa kuyataka yajitafakari kwa...

READ MORE