×

Habari

MC MAARUFU BONGO AKWAA SKENDO YA UTAPELI

PAMELA Mboma ‘Mc Pam Tony’ ambaye ni mshereheshaji wa kwenye maharusi na shughuli mbalimbali, amekwaa skendo ya kudaiwa kutapeli kiasi...

READ MORE

R Kelly Akamatwa Na Polisi

  MWANAMUZIKI wa R&B R.Kelly amekamatwa baada ya kujisalimisha polisi hapo jana usiku baada ya Mahakama ya Chicago kutoa amri...

READ MORE

Kipenga cha Uchaguzi Chapigwa Nigeria

  WANIGERIA leo wanashiriki uchaguzi mkuu baada ya shughuli hiyo kuahirishwa ghafla wiki moja iliyopita.   Wagombea wawili wakuu ni...

READ MORE

MTOTO WA KIGWANGALLA AZIKWA NZEGA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan aliongoza shughuli za mazishi ya Zulqarinain mtoto...

READ MORE

INASIKITISHA! HAMISI ANAVYOTESEKA, UTAMWAGA MACHOZI

WAKATI mimi na wewe tukiwa wazima wa afya, Watanzania wenzetu wanaotekeska kwa maradhi ama shida mbalimbali, si kwa kutaka wao...

READ MORE

DAR: WANAFUNZI 2 NA WANANCHI 6 WAHUKUMIWA MAISHA JELA

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imewahukumu kifungo cha maisha jela washitakiwa wanane baada ya kutiwa hatiani...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFIKA KUWAPA POLE FAMILIA YA KIGWANGALLA

Rais Dkt. John Magufuli, leo ametoa mkono wa pole kwa familia ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Hamisi Kigwangalla...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AWALILIA 19 WALIOKUFA AJALINI SONGWE

Rais Dk. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza jamaa zao katika ajali ya barabarani iliyotokea katika Wilaya ya...

READ MORE

BINTI ADAIWA KUUAWA KWA RISASI NA ASKARI, MAMA YAKE AJERUHIWA

Neema Dominick mkazi wa Kigamboni Mtaa wa Tuamoyo jijini Dar es Salaam amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika eneo...

READ MORE

SAKATA LA SUGU, CHADEMA WAWATAKA POLISI WASIKURUPUKE – VIDEO

Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) kimelitaka Jeshi la Polisi nchini kufanya kazi kwa weledi na kuacha kukurupuka katika utendaji...

READ MORE

Kesi ya R. Kelly juu ya unyanyasaji wa kingono yaibuka upya

  WANAWAKE wengine wawili wamejitokeza na madai ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya mwanamuziki wa R&B,R Kelly.   Rochelle Washington...

READ MORE

Kenya kuamua juu ya sheria inayopinga mapenzi ya jinsia moja

  MAHAKAMA ya Kenya  leo itatoa uamuzi kuhusu uhalali wa sheria inayoharamisha mapenzi kwa watu wa jinsia moja. Chini ya...

READ MORE

AJALI YA LORI NA COASTER YAUA 19 SONGWE

WATU 19 wameripotiwa kupoteza maisha katika ajali ya lori lililokuwa na mzigo, lenye namba T 388 CAA baada ya gari...

READ MORE

Mwanafunzi Kidato cha Nne Ajiua kwa Bastola ya Profesa

JASMIN NGOYE (18) mwanafunzi wa kidato cha nne shule ya Sekondari Lupanga iliyopo manispaa ya Morogoro, amekutwa amekufa baada ya...

READ MORE

SAKATA LA VITAMBULISHO VYA MACHINGA, SUGU AACHIWA

MBUNGE wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

READ MORE

NDOA YA KINYAIYA, KAPUYA…NANI ANATESEKA ?

DAR ES SALAAM: Gumzo la aina yake limeibuka mitandaoni baada ya picha ya ndoa ya Waziri wa Zamani wa Ulinzi...

READ MORE

KISA WIVU WA KIMAPENZI… BABU ADAIWA KUMPA KICHAPO BIBI

ARUSHA: Inasikitisha! Bibi aliyejulikana kwa jina la Ester Taiko (64), mkazi wa Kata ya Ilkiurei wilayani Arumeru jijini hapa, anadaiwa...

READ MORE

MAKONDA AMTEMBELEA CASSIAN WA BSS MUHIMBILI – VIDEO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo Alhamisi, Februari 21, 2019 amemtembela aliyekuwa Mshindi wa Bongo Star...

READ MORE

Airtel yazindua Dabo Data na SMATIKA

  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imetangaza kuzindua ofa mpya kwa wateja wake inayojulikana kama  Dabo Data...

READ MORE

Shabiki wa Simba atajirika na M-Bet

Shabiki wa Simba, Arsenal na Real Madrid, Simon Eusebi Muray (32) ameshinda kitita cha Sh 81,097, 540. Baada ya kutabiri...

READ MORE

KAA CHONJO STAILI MPYA YA WANAWAKE KUWALIZA WANAUME YAIBUKA

 UKIAMBIWA kaa chonjo usifikiri kuna jambo la heri linakuja, ni hatari tupu! Onyo hili liwafikie wanaume wote kutokana na kuibuka...

READ MORE

KINACHOENDELEA MSIBA WA MTOTO WA KIGWANGALLA

  MSIBA wa Zulqarinain Mtoto wa Mbunge wa Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi...

READ MORE

RPC Afunguka Madai ya Vichwa vya Watoto Kukutwa Kituo cha Polisi – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro amekanusha uvumi uliosambaa jana wa kukutwa vichwa vya watoto kituo cha polisi...

READ MORE

Aliyevamia Msafara wa Rais Akiona

Adriunus Landnam (34), mkaazi wa Mkunazini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, amefikishwa mahakamani kwa kosa la kuingilia msafara wa Rais wa...

READ MORE

Tangaza na BETIKA Kwa bei Ndogo Tu, Upate Faida KUUUBWA

Gazeti la Betika linakaribisha watangazaji kutoka makampuni mbalimbali yakiwemo ya kubeti, lotto, simu na biashara nyingine zozote kwa ajili ya...

READ MORE

WAZIRI KIGWANGALLA APATA PIGO TENA

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Hamis Kigwangalla amefiwa na mtoto wake anayefahamika kwa jina la Zul, ambapo mazishi yatafanyika kesho...

READ MORE

Wizara Yatoa Sababu za Kondomu Kuadimika Mitaani

BAADA ya kuwapo kwa malalamiko ya upungufu wa kondomu katika baadhi ya maeneo nchini, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya...

READ MORE

MJADALA HOT: BARRICK WAKUBALI KULIPA BIL 682, ACACIA WAKANA

Jana Februari 20, 2019, Rais Dkt. John Magufuli alikutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation, Dkt....

READ MORE

WABUNGE WAWILI CHADEMA WASAKWA

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Wilbroad Mutafungwa amesema jeshi hilo linawasaka wabunge wawili wa Chadema, Peter Lijualikali (Kilombero) na...

READ MORE

TGNP WAJA NA KAMPENI YA ‘LINDA MTOTO’

MTANDAO wa kijinsia nchini (TGNP) umeadhimira kuandaa kampeni ya ‘Linda Mtoto’ katika mazingira hatarishi ikiwa ni pamoja na ngono,  kama...

READ MORE

Kioja! Wapenzi wa jinsia moja wapata mtoto!

  MPENZI wa jinsia moja wa Waziri Mkuu wa Serbia, Ana Brnabic, amejifungua mtoto wa kiume.   Wawili hao wote...

READ MORE

Lugola Aagiza Haya Tukio la Kijana Kupigwa Hadi Kuoza Mguu Polisi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuunda Kamati Maalumu itakayochunguza tukio la kijana...

READ MORE

HATARI: ‘TANROADS WANASUBIRI ZIFIKIE AJALI NGAPI HAPA?’

GAZETI hili kwanza lina kila sababu ya kuipongeza serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe Magufuli. Ndani...

READ MORE

Samaki Aina ya Papa Kutibu ya Saratani

PAPA aina ya ‘great white‘ inawezekana wakawa wanashikilia siri za kutibu saratani na maradhi mengine yanayoambatana za uzee. Watafiti kwa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATEUA MKURUGENZI WA TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA

Mkurugenzi mpya wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima ni Dkt. Ng’umbi. Jaji Magoiga ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la...

READ MORE

Rais Museveni Ateuliwa Kugombea Urais kwa Mara ya Sita

Chama tawala nchini Uganda kimemteua Rais Yoweri Kaguta Museveni kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi wa mwaka 2021. Hii...

READ MORE

Magufuli Akutana na Vigogo wa Barrick

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya...

READ MORE

Prof. Lipumba, Maalim Seif Waendeleza Ubabe

CHAMA Cha Wananchi (CUF) upande wa Mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama Vya Siasa, Profesa...

READ MORE

VIDEO: ‘BAKI MULE MULE’ NA VODACOM YAWANUFAISHA BODABODA

 Mtandao supa wa simu za mkononi nchini, Vodacom, msimu huu wa sikukuu umeongeza kiwango cha  kugawa zawadi kwa wateja...

READ MORE

CHADEMA Wacharuka “Mnaua Watu, Watoto wa Mbowe Wamepigwa” – Video

BARAZA la Vijana wa Chadema BAVICHA, limetoa malalamiko dhidi ya vitendo vya jeshi la polisi nchini vinavyoingilia Uhuru wa Mahakama....

READ MORE