×

Habari

JPM Aanika Alivyosoma Meseji za Waziri Akitifuana na Katibu Mkuu – Video

RAIS John Magufuli amewataka viongozi na watumishi wote wa serikali kuacha malumbano na badala yake kushirikiana katika kutekeleza miradi mbalimbali...

READ MORE

Kamanda Mambosasa Awavalisha Vyeo Askari Saba – Video

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa amewavalisha vyeo askari saba wa jeshi hilo waliyopandishwa...

READ MORE

Adaiwa Kunywa Energy Drink na Nguvu Zake za Kiume Zaongezeka Ghafla

  SHIRIKA la kupima viwango vya ubora wa bidhaa nchini Uganda, The Uganda National Bureau of Standards (UNBS), linatarajiwa kufanya...

READ MORE

Magufuli Ampa Mtihani Waziri wa Madini: “Mnataka Nijiteue Kuwa Waziri?”

RAIS John Magufuli amemuagiza Waziri mpya wa Madini, Dotto Biteko, kuhakikisha anajenga vituo vya madini vitakavyosaidia kuratibu biashara ya madini...

READ MORE

JPM Aanika Mchezo Polisi Walivyokula Mil 700 Kusindikiza Dhahabu ya Magendo -Video

  RAIS John Magufuli amempongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro kwa kushughulikia suala la dhahabu ya...

READ MORE

MISS TZ ANA BIFU NA BASILA?

BAADA ya stori kusambaa kuwa Miss Tanzania 2018, Queen Elizabeth ameingia kwenye bifu na mratibu wa shindano hilo, Basila Mwanukuzi...

READ MORE

LHRC Yafafanua Kuhusu Mamlaka na Mipaka ya CAG

  UFAFANUZI WA KISHERIA KUHUSU MAMLAKA NA MIPAKA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CONTORLLER AND AUDITOR...

READ MORE

Zahera Awachimba Mkwara Simba

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, ametamba kwamba kwa sasa hana wasiwasi na mechi yao dhidi ya Simba kutokana na...

READ MORE

KIMENUKA! NDOA YA PILI YA SIRI YA Z-ANTO MAJANGA YAMKUTA

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Ally Mohamed Ahmad ‘Z-Anto’ hivi karibuni alikwaa skendo baa­da ya kudaiwa kuoa mke mwingine (wa pili)...

READ MORE

Anza mwaka 2019 vizuri kwa kubeba mamilioni kirahisi na Sokabet

HII ndiyo Januari ya mwaka 2019, huu ndiyo wakati sahihi wa kufanya maamuzi ya maisha yako kujua ramani itakuwaje kwa...

READ MORE

MCHUNGAJI ATABIRI JUU YA WAZIRI MKUU MSTAAFU 2019, ANENA MAZITO KUHUSU TAIFA – VIDEO

MTUMISHI wa Mungu, Pastor Malachi Joseph amewashangaza wengi baada ya kutoa unabii juu ya roho ya mauti kwa Waziri Mkuu...

READ MORE

Lugola Ampa Siku 30 Mkuu wa Jeshi la Zimamoto

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amempa siku 30 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji...

READ MORE

BREAKING: JPM Amng’oa KAIRUKI Wizara ya Madini, Biteko Ala Shavu!

RAIS  John Magufuli leo, Januari 8, 2019, amefanya uteuzi wa viongozi na mabadiliko kidogo ya ofisi ambayo yalitangazwa na Katibu...

READ MORE

MABURUNGUTU YA PESA YALIYONASWA MWANZA UTATA WAIBUKA!

MWANZA: Tukio la Jeshi la Polisi jijini Mwanza kukamata kilo 323.6 za dhahabu na maburungutu ya fedha taslim kiasi cha...

READ MORE

MAJALIWA AAGIZA HAYA BAADA YA RC HAPI KURIPOTI OFISINI KWAKE

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kampuni zote zinazosambaza nguzo za umeme zinatakiwa zilipe ushuru wa halmashauri wanakotoa nguzo hizo amboa...

READ MORE

RUBANI AJITOSA KUMUOA WEMA!

UKISIKIA neno “Zali la Mentali 2019”, maana yake bahati ya mwaka iliyoje; sasa usiishie hapo ipeleke kwa staa wa filamu...

READ MORE

Njia 5 za kupata wazo la biashara litakalokufanikisha 2019

HABARI za wakati huu, nin­gependa kuanza na msemo kuto­ka wa Swami Vibekananda aliyenena; “Take up one idea. Make that one...

READ MORE

Zitto Kabwe Ahofia Usalama Wake, Aaandika Mazito!

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema anahofia usalama wake kutokana na taarifa alizozipata, akisema kuna mpango wa kumdhuru....

READ MORE

BENKI YA NMB YATUNUKIWA TUZO YA KUWA MSHIRIKA BORA KATIKA MASUALA YA KIFEDHA AFRIKA KWA MWAKA 2018

  NMB Bank PLC ilishinda tuzo na kutajwa kuwa Mshirika Bora katika Masuala ya Kifedha Afrika kwa benki zinazofanya kazi...

READ MORE

Serikali Yazima Jaribio Kuipindua Serikali ya Bongo

  WAZIRI wa mawasiliano nchini Gabon anasema wanajeshi waaminifu kwa serikali ya Rais Ali Bongo wamefanikiwa kuzima jaribio la mapinduzi...

READ MORE

Ndugai: CAG Ajisalimishe Mwenyewe, Vinginevyo Ataletwa kwa Pingu

SPIKA wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, amemtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,  kuripoti...

READ MORE

Magufuli Apiga Marufuku Viongozi wa CCM Kuitwa Waheshimiwa

Rais John Magufuli ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM),  ameelekeza kuwa ni marufuku kwa kiongozi yeyote wa...

READ MORE

Breaking: Jeshi Laipindua Serikali ya Bongo

KUNDI la wanajeshi nchini Gabon limetangaza kwamba limetekeleza mapinduzi ya serikali katika taifa hilo la Afrika Magharibi.   Wanajeshi wenye...

READ MORE

Ishu ya Yondani, Uongozi Yanga Wakubaliana na Zahera

UONGOZI wa Yanga umemaliza Sakata lililojitokeza hivi karibuni kati ya kocha mkuu wa timu hiyo raia wa DR Congo, Mwinyi...

READ MORE

Michelle Obama Kuwania Urais wa Marekani 2020?

  MICHELLE  ambaye ni mke wa rais wa zamani wa Marekani,Barack Obama, tetesi za yeye kuwania urais mwaka 2020 nchini...

READ MORE

Wanawake Kupewa Talaka Kupitia Ujumbe wa Simu

  SHERIA mpya nchini Saudia inawalinda wanawake kutopewa talaka bila kujua, lakini kuanzia siku ya Jumapili hii, mahakama zitatakiwa kuwaelezea...

READ MORE

Mkazi wa Zanzibar aondoka na 15m/ -za Tigo Jigiftishe

    Mkazi wa Unguja kisiwani Zanzibar Abdulrazak Abdallah, ameibuka mshindi wa zawadi ya shilingi 15m/- katika Promosheni iliyomalizika ya...

READ MORE

Yanga Princess Yaongeza Ushindani Ligi ya Wanawake

WAKATI Ligi Kuu Soka ya Wanawake Tanzania Bara (SWPL) iliyoanza hivi karibuni ikipamba moto, ushindani wa ligi hiyo umezidi kushika...

READ MORE

Mwinyi Zahera amuonya Chama

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, Amemuonya kiungo wa Simba, Claytous Chama raia wa Zambia, baada ya kusema kuwa, asitarajie...

READ MORE

MAJALIWA AZINDUA X- RAY YA KIDIGITALI KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA RUVUMA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezidua  X-Ray ya kidigitali kwenye Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Ruvuma, Januari 5, 2019.

READ MORE

DHAHABU NA MAMILIONI YA FEDHA VYAKAMATWA MWANZA (PICHA +VIDEO)

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza limekamata kilo 323.6 za Dhahabu na fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni mia tatu na...

READ MORE

Matokeo Ya darasa la nne na kidato cha pili, Yapo Hapa

  Baraza la Mitihani la Taifa (Necta)  Ijumaa Januari 4, 2019 limetangaza matokeo ya mtihani wa Taifa wa darasa la...

READ MORE

Ukitaka Kumkera AUNT, Mchokonoe kwa IYOBO

SUPASTAA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel, amesema kama unataka kumjua upande wake wa pili wa shilingi, jaribu kuyafuatilia mapenzi...

READ MORE

MAJALIWA: RC IRINGA NA WENZAKE WARIPOTI OFISINI KWANGU – VIDEO

WAZIRI Mkuu  Kassim Majaliwa amewataka baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Iringa akiwemo Mkuu wa Mkoa huo, Ally Salum Hapi...

READ MORE

Kanisa Katoliki Laanika Hadharani Jina la Mshindi wa Urais Congo

Baraza Kuu la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (Cenco), lenye ushawishi mkubwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, limesema linafahamu aliyeshinda...

READ MORE

MastaBata ya NMB yaendelea kutoa fedha kwa washindi, wengine 20 walamba

    SHINDANO la Benki ya NMB kuhimiza matumizi ya ‘NMB Mastercard’ au ‘NMB Masterpass’ linalojulikana kama ‘MastaBata’, limefanyika tena...

READ MORE

WATANO WAGONGWA NA LORI WAKITOKA HARUSINI, WAFARIKI – VIDEO

AJALI mbaya ya lori la mchanga lenya namba za usajili T155 ATC kugongana na gari la abiria aina ya Toyota...

READ MORE

Jux, Mbosso wazidi kupeta takwimu za Boomplay 2018

WASANII Jux na Mbosso wa kundi la WCB wamezidi kufanya vizuri katika soko la mziki baada ya nyimbo zao kusikilizwa...

READ MORE

Matokeo Ya Kidato cha pili, Yapo Hapa

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), Dk, Charles Msonde leo Ijumaa Januari 4, 2019 amesema watahiniwa 506,235...

READ MORE