×

Habari

NACTE Yavifungia Udahili Vyuo 163, Vilivyoruhusiwa Hivi Hapa

BARAZA la Taifa la Elimu na Ufundi (Nacte) limezuia vyuo 163 kudahili wanafunzi katika kozi mbalimbali ngazi ya astashahada na...

READ MORE

JPM Afanya Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki

  Rais Dkt. John Magufuli amemteua Prof. Lazaro S.P. Busagala kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu za Atomiki (TAEC)....

READ MORE

WAFANYAKAZI NMB WATOA MILIONI 13 KUFANIKISHA UPASUAJI UGONJWA WA FISTULA CCBRT  

    WAFANYAKAZI wa Benki ya NMB Tanzania Kanda ya Mashariki wametoa msaada wa Shilingi Milioni 13 kwa Hospitali ya CCBRT...

READ MORE

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MRADI WA UJENZI WA ‘TERMINAL III’

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametembelea mradi wa ujenzi wa jengo la tatu la abiria katika Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Kutoka Mahakamani: Babu Seya, Papii Kocha Waruhusiwa Kudai Fidia

  Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu(AfCHPR), imesema Mahakama za ndani Tanzania katika kesi ya kubaka na...

READ MORE

Walimu Dar Waandaliwa Tuzo Maalum Kuinua Ufaulu

  WAALIMU wa shule za msingi na sekondari wa Kata ya Kijichi Mkoa wa Dar es Salaam, wameahidiwa kufanyiwa ziara...

READ MORE

MTENGENEZA KUCHA ANUSURIKA KUUAWA NA MUME WA AFANDE

KIJANA mmoja anayejulikana kwa majina ya Khamis Ally amejikuta akipitia wakati mgumu kutokana na aina ya kazi anayoifanya ya kupaka...

READ MORE

Lori la Mafuta Lateketea Vibaya na Kuua Wawili Singida – Video

TAARIFA kutoka mkoani Singida muda huu ni kwamba lori la mafuta limeanguka na kuwaka moto katika eneo la Mlima Sekenke,...

READ MORE

TAMASHA LA PASAKA LA MWANZA BAADAYE KUHAMIA  DODOMA

  KAMPUNI ya Msama Promotion inayoandaa Tamasha la Pasaka nchini  ambalo ni la nyimbo za muziki wa Injili linalotarajiwa kufanyika...

READ MORE

MWITA ATAKA HALMASHAURI ZA DAR KUZIKA WASIO NA NDUGU

MSTAHIKI Meya wa  Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, amezitaka halmashauri zote  katika jiji lake  kuajiri watumishi watakaozika watu...

READ MORE

WATANZANIA WATUNUKIWA WARSHA YA KUENEZA UMEME ITALIA

 WATANZANIA wawili wataalam katika mradi wa kueneza umeme vijijini wamepata tuzo kwenye Warsha ya Uwekezaji ya Umoja wa Kueneza Umeme...

READ MORE

Ungana na Mitandao Ya Simu Kubadilisha Maisha Ya Watanzania

 Kuungana kwa Vodacom, Tigo na Airtel katika kutumia minara na kuleta mtandao wa 3G kijijini Nyombo na kubadilisha maisha...

READ MORE

Mama Aliyedhalilishwa Akijifungua Kulipwa Sh. Milioni 56.5

MAHAKAMA Kuu nchini Kenya imeamuru mwanamke aliyeteswa na kudhalilishwa wakati wa kujifungua hospitalini, Josephine Majani, alipwe fidia ya dola 25,000...

READ MORE

Mwalimu Mbaroni kwa Kumkashifu Rais Magufuli

JESHI la Polisi Mkoa wa Kagera linamshikilia mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Nyakisasa iliyopo Tarafa ya Rulenge wilayani Ngara,...

READ MORE

Halotel Yawapa Tabasamu Wateja Wenye Kipato cha Chini

  KATIKA kuendana na kasi ya ukuaji wa  teknolojia ya mawasiliano  nchini, Kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi ya...

READ MORE

Siri za Mauaji ya Kwenye Viroba Zafichuka!

  DAR ES SALAAM: Siri ya mauaji ya watu na miili yao kukutwa kwenye viroba kando ya bahari na mito...

READ MORE

KISA NGUO YA NDANI, BOSI AMPA KISAGO KIZITO HOUSE GIRL

MFANYAKAZI wa ndani (hausigeli) aliyefa-hamika kwa jina la Katalina John anayefanya kazi hizo kwa Lyina John (30) mkazi wa Mhongolo wilayani Kahama,...

READ MORE

JPM Amualika Benjamin Netanyahu wa Israel

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemualika Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kutembelea Tanzania pamoja na kufungua ofisi ya ubalozi...

READ MORE

Mnyika, Heche Wang’ang’aniwa Sentro, Wengine Waachiwa

  Viongozi watatu waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) walioripoti Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam leo,...

READ MORE

Imethibitika Korosho Zenye Kokoto Vietnam Zilitoka Tanzania – Video

SERIKALI imethibitishiwa kuwa makontena mawili yaliyokutwa nchini Vietnam na korosho zilizochanganywa na kokoto zilitoka Tanzania. Hayo yamethibitshwa leo Alhamisi, Machi...

READ MORE

Banda Avutiwa na Utengenezaji wa Magazeti Ya Global (Picha)

BEKI Mtanzania, Abdi Banda, anayecheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini katika Klabu ya Baroka, alivutiwa na matayarisho na utengenezaji...

READ MORE

Mark Zuckerberg Akiri Facebook Iko Hatarini

  Mwanzilishi wa mtandao maarufu duniani wa Facebook, Mark Zuckerberg, kwa mara ya kwanza tangu kuzuka kwa kashfa ya Cambridge...

READ MORE

Fatma Karume Kumrithi Tundu Lissu?

  WAKILI wa kujitegemea, Fatma Karume, amejitosa kumrithi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa kugombea urais wa Chama cha...

READ MORE

MREMBO ACHUNGULIA KIFO LIVE!

  KAMA siku yako ya kifo haijafika, haijafika tu, utadhurika na kuteseka ila hufi! Ndivyo walivyokuwa wakisema baadhi ya mashuhuda...

READ MORE

Sakata la Kufungiwa, Ishu ya Diamond Kuhama Nchi Yazua Mjadala

  HAPATOSHI! Ndivyo unavyoweza kusema. Siku chache baada ya serikali kufungia nyimbo zake mbili, mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul...

READ MORE

Mahakama Yasikiliza Kesi ya IGP, AG na CID, Sakata la Abdul Nondo (Video)

MAHAKAMA  Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo  imesikiliza kesi ya  Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo juu ya...

READ MORE

Sakata la Ofisa Ubalozi wa Syria Kushambuliwa Dar, Dereva Ahusishwa!

KAMANDA wa Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Jumanne Murilo, amesema kushambuliwa kwa ofisa wa ubalozi wa Syria nchini, Hassan Alfaouri (53)...

READ MORE

NECTA Yafanya Mabadiliko Maswali ya Mtihani wa Darasa la Saba

  BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA), limesema litafanya mabadiliko ya mfumo wa utungaji wa mtihani wa kuhitimu elimu ya...

READ MORE

Saba Wafariki Ajalini Mkoani Kigoma

Watu saba wamefariki katika ajali iliyohusisha lori aina ya Scania lililokuwa likitokea kijiji cha Mkongoro mkoani Kigoma ambapo dereva wake...

READ MORE

Wawili Mbaroni kwa Kuhamasisha Maandamano

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata watu wawili kwa tuhuma za kuhamasisha maandamano kupitia kwenye mitandao ya kijamii wakitumia...

READ MORE

Breaking News: Abdul Nondo Arudishwa Iringa, Apandishwa Kizimbani

Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi, Abdul Nondo amerudishwa mkoani Iringa na kufikishwa Mahakama ya Wilaya. Awali Nondo alitolewa Iringa baada...

READ MORE

Mkurugenzi wa TBC, Dkt. Ayub Rioba Apata Ajali Kigoma

  Watu wawili wamefariki dunia wilayani Kasulu mkoani Kigoma kufuatia ajali ya gari la Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji...

READ MORE

TAARIFA YA MAKONDA KUHUSU KUSHAMBULIWA KWA OFISA UBALOZI WA SYRIA

KAMA Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar Es Salaam nimeshtushwa na taarifa zilizosambaa kwenye mitandao...

READ MORE

Waziri Mwakyembe Asikitishwa na Matamshi ya Diamond

Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe amesema kuwa amesikitishwa na matamshi ya msanii wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Breaking News: Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mwenyekiti NHC

RAIS Dkt. John Magufuli ametengua uteuzi wa mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bi...

READ MORE

Singida: Amuua Mkewe, Aificha Maiti Kwenye Mbuyu Miaka 8

MWANAMUME mmoja aliyejulikana kwa jina Bernard Shumba mkazi wa Singida anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo kwa kumuua mke...

READ MORE