×

Habari

Bongo Movie, Bongo Fleva & Wanasoka Waungana Kampeni ya Uzalendo Kwanza

KAMPENI ya Uzalendo Kwanza iliyoanzishwa na Wasanii wa Filamu, Bongo Movie imezidi kuota mizizi baada ya kutanua matawi yake kwa...

READ MORE

Baada ya Kushutumiwa na UN, Tanzania Yaikana Korea Kaskazini

SERIKALI ya Tanzania imesema imeshtushwa baada ya kuorodheshwa miongoni mwa nchi za Bara la Afrika ambazo zimechunguzwa na Umoja wa...

READ MORE

Polisi Yawapiga Stop Chadema Kufanya Maombi kwa Lissu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano, maombi na mikusanyiko isiyo halali huku likielekeza kuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Awatumia Salamu Watu Wasiojulikana

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Septemba 15, 2017 ameelezea juu ya kusikitishwa kwake na tukio la kinyama la kushambuliwaji kwa...

READ MORE

RC, Gambo apunguza kero za wananchi Arumeru

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ametoa msaada wa mifuko 200 ya saruji na nondo tani mbili, kwa ajili...

READ MORE

CHADEMA Watangaza Kumuombea Tundu Lissu Jumapili Hii (Video)

MAKAMU Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA Taifa (BAVICHA), Patrick Ole Sosopi amefunguka na kusema wao kama chama wameamua kuwakutanisha...

READ MORE

Spika Ndugai Awatahadharisha Wabunge Kuhusu Usalama Wao -(Video)

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewatadharisha wabunge kuwa makini na usalama wao mahali popote wanapokwenda kufuatia matukio mengi ya uhalifu...

READ MORE

Breaking News: Askofu Gwajima Afutiwa Kesi Yake Kisutu

  ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amefutiwa kesi ya kushindwa kutunza silaha baada ya mahakama kushindwa...

READ MORE

Kisutu: Watathmini wa Almasi wa Serikali Wafikishwa Mahakamani

  Watathmini wa serikali wa almasi, Archard Kalugendo na Edward Rweyemamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini wamefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Dereva wa Mbunge John Heche Avamiwa, Akatwa Mapanga

DEREVA wa Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, John Heche (Chadema) amevamiwa na watu wasiojulikana kisha kumkata kwa mapanga usiku...

READ MORE

Waziri Mkuu, Majaliwa Aahirisha Bunge Hadi Novemba

WAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa akitoa Hoja ya Kuahirisha Bunge mjini Dodoma leo amefafanua kuhusu hali ya wakulima na changamoto wanazokumbana...

READ MORE

Polisi, TCRA Watoa Ufafanuzi Kuhusu Uhalifu Mitandaoni

JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wametoa ufafanuzi kuhusu kushamiri kwa uhalifu wa makosa...

READ MORE

Vigogo Walionaswa na Shehena ya Almasi Airport Wapandishwa Kortini

WATUHUMIWA waliokamatwa na mzigo wa Almasi zenye thamani ya Sh 32.3 bilioni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

READ MORE

Droo Kubwa Shinda Nyumba Itakuwa Jumatano ya Kihistoria Tanzania

KUNA historia nyingi zipo na zinawekwa nchini Tanzania tangu pale taifa lilipopata uhuru, Desemba 9, 1961. Mojawapo ya historia zinazoelekea...

READ MORE

Yusuf Manji Aachiwa Huru, Afutiwa Mashtaka ya Uhujumu Uchumi (Video)

MAHAKAMA ya leo Alhamisi, Septemba 14, imemuachia huru mfanyabiashara Yusuf Manji (41) na wenzake katika kesi ya uhujumu uchumi baada...

READ MORE

Hakimu Akinukisha Kortini Sakata la Harbinder Seth Kukataliwa Kutibiwa

MSHTAKIWA Habinder Sethi ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa bado hajatibiwa. Sethi amesema hayo mahakamani baada ya wakili wake...

READ MORE

Breaking News: Kubenea Augua Ghafla Dodoma, Alazwa

  Dodoma. Mbunge wa Ubungo(Chadema), Saed Kubenea ameugua ghafla na kupumzishwa katika zahanati ya Bunge. Katibu wa wabunge wa Chadema,...

READ MORE

MWANDISHI AANIKA SIRI MAUAJI YA ALBINO KWENYE KITABU

 Jalada la kitabu cha ‘MIFUPA YA ALBINO’.   MWANDISHI wa habari mwandamizi nchini, Daniel Mbega, amekamilisha kuandika kitabu kinachofichua siri...

READ MORE

Mbunge Ataka Jaji Mkuu Aondolewe kwa Kufuta Uchaguzi wa Rais

MBUNGE wa umoja wa kisiasa wa Jubilee nchini Kenya amewasilisha muswada bungeni akiitaka Mahakama Kuu nchini humo kumwondoa madarakani Jaji...

READ MORE

Viongozi Vyama Visivyo na Wabunge Bungeni Wamtunishia Misuli Jaji Mutungi

Viongozi wa vyama vya siasa ambavyo havina wawakilishi bungeni, leo wamezungumzia namna wanavyoipinga barua waliyotumiwa na Msajili wa Vyama vya...

READ MORE

Mbunge Aanika Ukweli Kuhusu Deni la Ndege Iliyompeleka Lissu Nairobi

MBUNGE wa Mpendae – Zanzibar, Salim Turky (CCM) leo Alhamisi, Septemba 14 amefafanua kuhusu ukweli wa ndege iliyomsafirisha Mbunge wa...

READ MORE

Kisa Lissu… Mchungaji Msigwa, Amvagaa Spika Ndugai

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amemjia juu Spika wa Bunge, Job Ndugai akimtaka kuacha kudanganya kuwa ndege iliyomsafirisha...

READ MORE

Spika Ndugai Amjibu Godbless Lema Kuhusu Lissu (Video)

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema anamsamehe Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kwa maneno aliyosema kwenye mitandao ya...

READ MORE

MATIBABU YA LISSU SH 10 MILIONI KWA SIKU, CHADEMA YAOMBA MSAADA

Chadema imetangaza kuanzisha kampeni maalumu kuchangisha fedha kwa ajili ya kumgharimia mbunge wake, Tundu Lissu anayeendelea kupata matibabu mjini Nairobi...

READ MORE

Droo Kubwa Shinda Nyumba Bado Siku 13 Mjengo Upate Mwenyewe

  DROO kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili inatarajiwa kuchezeshwa Septemba 27 mwaka huu, hiyo ikiwa...

READ MORE

Mabomu Yatumika Kuwatawanya Madiwani Geita

Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi na madiwani waliofunga  barabara ya kuingia kwenye Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM)....

READ MORE

Mabasi Mwendo Kasi Yagongana, Yasababisha Foleni Shekilango

ASUBUHI ya leo katika eneo la makutano ya barabara za Morogoro Shekilango jijini Dar es Salaam, palikuwa na foleni ndefu...

READ MORE

DAKTARI ATOBOA SIRI NZITO WATU KUTAFUNA, KUMEZA VYUPA! (Video)

MAKUBWA! Daktari bingwa wa magonjwa mbalimbali, Dk Godfrey Chale ameeleza kwa kina juu ya kitendo cha binadamu wa kawaida kutafuna...

READ MORE

Polisi Yapiga Marufuku Kumuombea Tundu Lissu

CHADEMA Mkoani Rukwa kimeshindwa kufanya Ibada ya maombi kwa ajili ya Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho, Tundu Lissu aliyejeruhiwa kwa...

READ MORE

Mkurugenzi wa Shirika la Ndege ATCL Ahukumiwa Jela

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), David Mataka na mwenzake...

READ MORE

Mlinzi wa ‘Soja’ Mstaafu Aacha Bunduki Kitandani, Awafungulia Wahalifu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limetoa taarifa kuhusu tukio la Meja Jenerali Mstaafu Vincent Mribata aliyevamiwa na...

READ MORE

Twaweza: Asilimia 80 ya Wananchi Waamini Taarifa Itapunguza Rushwa

Taarifa kwa waandishi wa habari Septemba 13 2017 Wadau waitaka serikali kutekeleza Sheria ya Upatikanaji wa Taarifa Duniani kote, sheria...

READ MORE

Manji Anyang’anywa Shamba na Serikali

SERIKALI imelifuta shamba la mfanyabiashara Yusuf Manji lililopo Kigamboni, lenye ukubwa wa eka 714. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo...

READ MORE

Breaking News: Jambazi Aliyeongoza Mauaji ya Polisi 8 Kibiti Auawa -Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, jana Septemba 12, maeneo ya Kivule Chanika lilifanikiwa kumuua jambazi sugu...

READ MORE

JPM Aivunja Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Kigamboni

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amevunja Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Kigamboni (KDA)...

READ MORE

Spika Ndugai, Zitto Kabwe Watifuana Bungeni

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema kuwa anaweza kumpiga marufuku Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo), Zitto Kabwe kuongea bungeni...

READ MORE

BancABC Yazindua Akaunti Mpya ya Hundi ya Jiongeze

  Dar es Salaam Tanzania,  BancABC imeendelea kuwa Benki inayojiogeza  hapa nchini kwa kua  wabunifu wa hali ya juu kwenye...

READ MORE