×

Habari

Wabunge Wamlipua Steve Nyerere

DAR ES SALAAM: Kusambaa kwa sauti iliyorekodiwa mazungumzo ya mwigizaji Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ na mama wa Miss Tanzania 2006,...

READ MORE

Makamba: Kuanzia Machi 2, Ukikutwa na Viroba Utakiona

SERIKALI kupitia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira imesema kuwa tamko lililotolewa na Waziri Mkuu...

READ MORE

Mwakifwamba Afungukia Ishu ya Wasanii na Kampeni za 2015, Asema Shirikisho la Filamu TZ Halijasajiliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa

RAIS wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifwamba amesema kuwa mikataba na makubaliano ya kuwapigia debe wagombea wa nafasi mbalimbali...

READ MORE

Nyomi la Mashabiki Walivyompokea Ali Kiba na Tuzo ya MTV Kutoka Sauzi

MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba amewasili Dar akitokea Afrika Kusini alikokuwa ameenda kuchukua TUZO yake ya MTV Mashabiki walivyojaa...

READ MORE

DC MJEMA: Wazazi Wenye Watoto Wao ‘Panya Rodi’ Kukamatwa

Na ELVAN STAMBULI NA SIFAEL PAUL| GAZETI LA UWAZI| UWAZI LIVE NA… MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, wilaya...

READ MORE

Jeshi la Zimamoto Lafanya Ziara Leo Global Publishers

LIKIONGOZWA na Mrakibu Msaidizi Puyo Mzalayaimisi, Jeshi la Zimamoto limefanya ziara leo katika ofisi za Global Publishers kwa lengo la...

READ MORE

VIDEO: Wasanii Bongo Movies Wampinga Wema Sepetu, Wakanusha Kuidai CCM

MOVIE BADO INAENDELEA: Hivyo ndivyo tunaweza kusema baada ya wasanii wa Bongo Movie Wasanii wa Bongo Movies waliokuwa wakishiriki kwenye...

READ MORE

Wala Sio Makonda; Aliyeleta Balaa Hili la Madawa ya Kulevya ni Huyu

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| NIJUAVYO MIMI KILA kona hivi sasa katika nchi yetu, mjadala mkubwa ni vita dhidi...

READ MORE

Shilole Atamba kwa Shoo za Nje

Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA UWAZI| SHOWBIZ MWANADADA asiyekauka kwenye media ambaye ni Mwanamuziki na Muigizaji Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’...

READ MORE

Davina Afungukia Kuidai CCM

Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA UWAZI| SHOWBIZ  MWANADADA anayefanya vyema kwenye tasnia ya filamu  nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ hivi karibuni...

READ MORE

Shoga: Raha ya Mchezo Kushangilia

Na SOPHIA MA`MDOGO| GAZETI LA UWAZI| LOVE & LIFE Kuna watu wakimaliza kila mmoja atachukua vyombo vyake wakati mlipoanza mmoja...

READ MORE

Anayekamatwa kwa Uchawi, Huliwa Nyama Yake, Kabila la Wala Watu-9

WAKATI ulaji wa nyama za watu ukitajwa kuwa hufanywa kutokana na matambiko maalum ya baadhi ya makabila nchini Papua New...

READ MORE

Tajiri Aliyempa Makonda Ardhi kikaangoni

Na MWANDISHI WETU| UWAZI| HABARI DAR ES SALAAM: Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema atamchukulia...

READ MORE

#GlobalCelebrityUpdates: Dogo Janja Alizwa, Ni Baada Ya Kutoka Moshi Kwenye Killimanjaro Marathon – (Video)

Camera za Global TV Online zimekutana na msanii wa Bongo Fleva, Dogo Janja na kupiga nae stori mbili tatu, lakini...

READ MORE

Kesi ya Godbless Lema… Mbowe ‘Aipa Tano’ Mahakama

ARUSHA: Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kunyimwa dhamana...

READ MORE

Mama Wema, Steve Nyerere Wafika Pabaya

Na MWANDISHI WETU| IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Hapatoshi na joto la ugomvi linazidi kupanda kila kukicha kufuatia mama...

READ MORE

Wananchi Mkuranga Wamwangukia Magufuli Suala la Ardhi

BAADHI ya wananchi wa vijiji vya, Lugwadu, Magodani na Kazole, Kata ya Vikindu, Mkuranga Mkoa wa Pwani wameonyesha hisia zao...

READ MORE

Prof. Kamuzora Asisitiza Uhifadhi wa Mazingira Nchini

KATIKA kuelekea siku  ya  Mazingira Barani Afrika inayotarajiwa kuadhimishwa Machi 3, Mwaka huu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais...

READ MORE

Mr Shinda Nyumba Ajimwaga Mitaa ya Keko

ILE bahati nasibu ya Shinda Nyumba inayoendelea kwa sasa chini ya Kampuni la Global Publishers wachapishaji wa magazeti ya Uwazi,...

READ MORE

Wafanyakazi wa Manji Bado Ngoma Nzito

RAIA  wawili wa India ambao wanafanya kazi wa kampuni ya Quality Group iliyo chini ya Yusuf Manji leo wamefikishwa Mahakama...

READ MORE

Mvua ya Siku Moja Soko la Makumbusho Haliingiliki

Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo imesababisha Soko Kuu la Makumbusho jijini Dar kushindwa kuingilika kufuatia kujaa maji sehemu ya...

READ MORE

Odemba Aangua Kilio Dar

IMELDA MTEMA| IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Mwanamitindo wa kimataifa ambaye ni mwakilishi wa Tanzania katika Shindano la Miss...

READ MORE

Mzee Chillo Alia na Wataalamu wa Afya Muhimbili

Mzee Chillo akitoa nasaha kwa wataalam wa afya wa MUHAS.           MSANII nguli wa Filamu za Kibongo, Ahmed Olotu,...

READ MORE

Sasa Huenda Gobdless Lema Akaachiwa kwa Dhamana

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema akiwasili mahakamani leo. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwa ameongozana...

READ MORE

New: Sarkodie Anaisogeza Kwetu ‘S.H.O.U.T’ Rap Version Ya ‘Overnight Celebrity’ – (Audio)

  Siku zote kitu kizuri share na mwenzako. Nimekutana na mdundo mpya ‘S.H.O.U.T’ wa rapa Sarkodie kutoka Ghana na jinsi...

READ MORE

Magonjwa ya Zinaa Yanayowapata Vijana

KUNA magonjwa mengi ambayo watu hukumbana nayo lakini leo tutajadili magonjwa ya zinaa ambayo huwapa zaidi vijana japokuwa kuna wazee...

READ MORE

Tanayzer: Sitamsahau Abdul Bonge

Na MUSA MATEJA| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND MSANII wa Bongo Fleva ambaye ni zao kutoka Kundi la Tip Top...

READ MORE

Lulu Diva Amfungukia Barnaba

Na ANDREW CARLOS| IJUMAA WIKIENDA| OVER ZE WEEKEND ZIKIWA zimepita wiki kadhaa tangu msanii wa Bongo Fleva, Barnabas Elius kudaiwa...

READ MORE

Mo Amwaga Mamilioni

Sweetbert Lukonge |CHAMPIONI| Dar es Salaam USHINDI una raha yake na mastaa wa Simba hivi sasa wanatembea kifua mbele kutokana...

READ MORE

Dc Aagiza Afisa Uthamini Kukamatwa, Kisa Kuzima Simu

Na MWANDISHI WETU|IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Dar (DC), Ally Hapi ameagiza Jeshi la...

READ MORE

Mwingine Agomea Uteuzi wa Trump

Mtu mwengine aliyeteuliwa na rais wa Marekani Donald Trump, kujaza wadhfa wa waziri wa jeshi la wanamaji amejiondoa baada ya...

READ MORE

Kumbuka Matatizo Huzalisha Mapenzi Mapya

GABRIEL NG`OSHA| IJUMAA WIKIENDA| XXLOVE NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kunifikisha Mwezi Februari ambao ni kumbukumbu yangu ya kuzaliwa. Pia...

READ MORE

Hatimaye Zlatan Ibrahimovic Apeleka Ndoo Man United

KLABU ya Manchesater United imefanikiwa kunyakuwa Kombe la EFL baada ya kuigonga Southampton kwa bao 3-2, bao la ushindi likipachikwa...

READ MORE

Hali Ilivyo Corner Baa Sinza Baada ya…

AGIZO la mkuu wa Wilaya ya Kinondini Mkoani Dar es salaam Ali Hapi, kuzitaka baa zote zilizopo ndani Wilaya ya...

READ MORE