×

Habari

Bill Nass Ajitabiria Makubwa

        Bill Nas RAPA anayekimbiza Bongo, ambaye kwa sasa anafanya vizuri na kibao chake kipya kiitwacho Mazoea, Bill Nass amejitabiria...

READ MORE

Mr. Shinda Nyumba ‘Azama Kitaa’, Akusanya Kuponi Kibao za Droo ya Kwanza

Mr Uwazi (kushoto) akiwa na msomaji wa Kiluvya, Eva na Mr Shinda Nyumba. Msomaji, Eva Fadhili akijaza kuponi yake. Mr...

READ MORE

Binti Wa Kinigeria Awa Rais Wa Kwanza Mweusi Harvard University

Imelme akiwa na uso wa furaha Imelme amefuata nyayo za Obama Ujumbe wa Twitter uliotumwa kwenye akaunti ya Chuo cha...

READ MORE

Umoja wa Afrika Kujiondoa Katika Mahakama ya ICC

Umoja wa Afrika umeunga mkono mpango wa kujiondoa kwa pamoja katika mahakama ya ICC ambayo mataifa mengi ya Afrika yanahisi...

READ MORE

Alfred H. Shauri: Kinara wa Kidato cha Nne Nchini Aeleza Siri yake.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shule za Sekondari za Feza, Ibrahim Yunus (kushoto) akizungumza jambo na wanahabari. Mwanafunzi wa kwanza katika matokeo...

READ MORE

Belle: Nimebakiza Mambo Mawili tu Kwenye Muziki

Belle 9 MWANAMUZIKI anayetamba kwenye gemu la muziki wa Bongo Fleva, Abednego Damian ‘Belle 9’, amefunguka kuwa amebakiza mambo mawili...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo, Jumatano, Feb 1, 2017

   Save Save Shinda Nyumba Awamu ya Pili Yatikisa Jiji la Dar es Salaam

READ MORE

Matokeo ya Kidato cha Nne Mwaka 2016 Yametoka, Bofya Hapa Kuyaona

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2016 ambapo umefaulu wa jumla umeongezeka kwa...

READ MORE

Matokeo Kidato Cha Nne, Wanafuinzi 10 Bora, Shule 10 Bora na Zilizoshika Mkia

Tovuti yako namba moja nchini,  Global Publishers imekuwekea matokeo yote Kitaifa, usisumbuke msomaji wetu! BOFYA HAPA KUYAONA===> MATOKEO KIDATO CHA...

READ MORE

Exclusive News: Charles Boniface Mkwasa Ateuliwa Kuwa Katibu Mkuu wa Yanga

DAR ES SALAAM: ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Timu ta Taifa Tanzania  ‘Taifa Stars’ Charles Boniface Mkwasa ameteuliwa na kutangazwa kuwe...

READ MORE

Mtoto wa Mfalme Saudi Arabia Azua Gumzo, Asafiri na Mwewe 80 Kwenye Ndege

MTOTO wa Mfalme wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul Aziz azua gumzo baada ya kusafirisha ndege 80 aina ya mwewe...

READ MORE

Gigy Apania Kuokoka

MUUZA sura kwenye video za Bongo Fleva ambaye pia ni mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Choice FM, Gift Stanfod...

READ MORE

Shinda Nyumba Yatinga Vikindu, Mr. Championi Agawa Zawadi kwa Wasomaji

Msomaji wa Magazeti ya Global Publishers na mkazi wa Vikindu, Pwani akikusanya kuponi yake ya Shinda Nyumba baada ya kuikata...

READ MORE

Joh Makina vs Fid Q: Huyu Anatafuta Hela, Yule Anatafuta Heshima

Fid Q. WAKATI unaanza kuingia Bongo, muziki wa Hip Hop ulikuwa ukitafsiriwa tofauti sana ukilinganisha na aina nyingine ya muziki....

READ MORE

Daktari Aeleza Kilichowaokoa Waliofukiwa na Kifusi Geita

Waliofukiwa na kifusi katika mgodi wa dhahabu wa Kampuni ya RZ Union Mining Ltd uliopo Kata ya Nyarugusu mkoani Geita...

READ MORE

Baabkubwa Magazine Nikohub Press Release

Baada ya ukimya wa muda Jarida namba moja kwa stori za burudani Tanzania “Baabkubwa Magazine” linakuarifu wewe mdau wetu, tumeanza...

READ MORE

Droo ya Kwanza Mbagala Zakheem

Mshiriki wa Droo ya Shinda Nyumba akiandaliwa kuokota  Kuponi. SASA Global Publishers imeweka wazi kuwa droo ya kwanza kati ya...

READ MORE

Donald Trump Amtimua Kazi Mwanasheria Mkuu

Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi kaimu mwanasheria mkuu Sally Yates saa chache tu baada ya kuwaagiza mawakili wa...

READ MORE

Mkutano wa 6 wa Bunge Kuanza Leo, Maswali 125 Kuulizwa Yakiwemo ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu

Mkutano wa Sita wa Bunge unatarajiwa kuanza siku ya Jumanne tarehe 31 Januari 2017 na kumalizika tarehe 10 Februari 2017...

READ MORE

Kabila la wala watu-4: Aliyemuua na kumla mtoto wa makamu wa Rais wa Marekani apatikana, ajieleza

KIJANA Michael Rockefeller aliliwa na watu hao wa visiwa vya Papua New Guinea. Imekuja kugundulika baada ya miaka mingi kupita...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania, Leo Jumanne, Jan. 31, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, January 31, 2017. Ni yale ya Hardnews,...

READ MORE

Shoga chakula hakiliwi gizani

EEE heiiyaaa…shoga yangu ni Jumanne nyingine tamu hadi kumoyo, tumekutana tena. Najua wengi mtakuwa na furaha kwa kuwa leo ndo’...

READ MORE

Vyakula vinavyosaidia kuzuia, kukinga vidonda vya tumbo

VYAKULA vifuatavyo husaidia kutibu au kukinga ugonjwa wa vidonda vya tumbo (perptic alcers) kama vitatumika ipasavyo. Kitunguu Saumu Kitunguu saumu...

READ MORE

Rais wa Guinea achaguliwa kuwa Mwenyekiti Mpya wa Umoja wa Afrika

Rais wa Guinea, Alpha Conde amechaguliwa leo kuwa Mwenyekiti mpya wa Umoja wa Afrika (AU), uchaguzi uliofanyika katika vikao vya...

READ MORE

Kiba, Diamond Wamkacha Shehe Mkuu

STORI:RICHARD BUKOS NA ISSA MNALLY, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Ama kweli imeshangaza wengi! Kitendo cha nyota wa muziki wa Bongo...

READ MORE

Gazeti la Mwanahalisi Lapewa Saa 24 Liombe Radhi

Kwa stori zote kali, Tu-follow Facebook @Globalpublishers Twitter @GlobalHabari Instagram @GlobalPublishers YouTube @GlobalTVTZ Shinda Nyumba Awamu ya Pili Yatikisa Jiji...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Kufanya Mazungumzo na Katibu UN, Ahudhuria Mkutano wa AU, Addis Ababa

      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Marais wa wa mataifa mbalimbali  katika...

READ MORE

Mbeya: Mwenyekiti wa CCM Wilaya Apigwa Risasi Mgongoni

MBEYA: Habari kutoka Jijini Mbeya, zimeeleza sema kuwa Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mbeya Mjini, Ndugu Ephrahim Mwaitenda mwenye umri...

READ MORE

Wiki ya Sheria: Wananchi Wajitokeza Kupata Elimu ya Sheria

Wananchi waliofika katika banda la Mahakama Kuu ya Tanzania. WANANCHI wengi leo wamejitokeza viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es...

READ MORE

Kesi ya ‘Malkia wa Meno ya Tembo’ Kusikiliza Mashahidi

DAR ES SALAAM: Kesi inayomkabili raia wa China, Yang Feng Glan (66) mamarufu kama Malkia wa Meno ya Tembo na...

READ MORE

Mganga Mkuu Singida Aamua Kuacha Kazi Baada ya RC Kumsweka Rumande, Kisa Kipindupindu

SINGIDA: Mganga  Mkuu wa Wilaya ya Singida Vijijini, Dk. Erick Bakuza ameandika barua ya kuacha kazi ikiwa ni siku chache...

READ MORE

Wagombea 24 Wajitokea Kuwania Urais wa Somalia

SOMALIA: Takribani wagombea 24 wamejitokea kuwania Urais wa nchi ya Somalia ambapo uchaguzi mkuu unatarajiwa kufanyika mnamo Februari 8 mwaka...

READ MORE

Pichaz: Meli ya Kisasa ya Azam Yatia Nanga Bandari ya Tanga kwa Mara ya Kwanza

TANGA: Meli mpya na ya kisasa iitwayo AZAM SEALINK 2 aina ya RORO yenye uwezo wa kubeba abiria wapatao 1650,...

READ MORE

Beki anayeongoza kwa mabao

MAKALA | CHAMPIONI | LONDON, England UNAPOTAJA mas­taa katika Premier huwezi kulisikia jina la Laurent Koscielny likita­jwa, lakini huyu ni...

READ MORE

AY Afunguka Alivyompata Mchumba`ke

Ambene Yesaya ‘AY’. Makala: Gabriel Ng’osha KWA mara ya kwanza tangu amuanike katika mitandao ya kijamii mchumba wake anayejulikana kwa...

READ MORE

Rigobert Song; Shujaa wa Cameroon Mwenye Rekodi Zake AFCON

HUWEZI ukazizungumzia rekodi za michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) bila kulitaja jina la Mcameroon, Rigobert Song (pichani)....

READ MORE

Gigy: Mabwana wa Wema Wananishobokea Wenyewe…

 Gift Stanford ‘Gigy Money’ STORI: GLADNESS MALLYA, WIKIENDA DAR ES SALAAM: Kufuatia kusambaa kwa video yake akifanya vitendo vya kifuska...

READ MORE