×

Habari

Msanii Wa Kidedea Afa Kwa Kipigo, Mumewe Ahojiwa Polisi

Msanii aliyewahi kuwika kwenye Kundi la Sanaa la Kidedea na kupata jina la sanaa la Zamzam, Kijakazi Pazi Shaban akionyesha...

READ MORE

Kigogo Afanya Tukio La Kutisha Dar! Adaiwa Kumfungia Mke Wake Ndani Kwa Miaka 5

    Karani wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Grace Mwakabuta anayedaiwa kufungiwa miaka mitano mmoja ndani na mume wake...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Akiba Ya Mahindi Iliyopo Iendelee Kutunzwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua maghala ya nafaka yanayomilikiwa na Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya...

READ MORE

Gigy: Kama Ukimwi, basi Kiba Lazima…

Video queen matata ambaye pia ni mtangazaji wa kituo cha redio moja jijini hapa, Gift Stanford ‘Gigy Money. Na Imelda...

READ MORE

Wolper Kumwaga Harmonize ni kiki?

Jacqueline Wolper. NGULI wa sanaa ya maigizo wa Bongo ajulikanaye kama Jeniffer Lopez wa Bongo,  mrembo Jacqueline Wolper ‘Gambe’ na...

READ MORE

Wanaowamaliza Chid Benz, Nando Ni Hawa

Picha mbili juu zinamuonyesha Staa wa Bongo Fleva, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, akiandaa madawa kwa ajili ya kuvuta.  Na Waandishi...

READ MORE

Bofya Hapa Ujishindie Vocha ya Bure!

Tovuti ya Global Publishers itakuwa ikiwapa wasomaji wake zawadi ya vocha kila siku kwa ajili ya kuwasiliana na ndugu, jamaa...

READ MORE

Bodi Ya Mikopo Yapokea Mrejesho Wa Wanufaika Zaidi Ya 45,000

Mkurugenzi Mtendaji wa bodi hiyo, Abdul-Razaq Badru (kushoto) akiongea. Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imesema...

READ MORE

Ujauzito Feki wa Nisha Wamsababishia Haya

Nisha Bebee Mcheza filamu maarufu katika soko la filamu Bongo Movie, Salma Jabu, maarufu kama Nisha Bebee amejipotezea uaminifu mtaani...

READ MORE

Jeshi la Polisi Laua Majambazi Watatu Dar

DAR ES SALAAM: Watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, wameuawa katika tukio la kurushiana risasi na polisi katika eneo la...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Januari 5, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Alhamisi, Januari 5, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Tui la nazi, nyanya, chumvi kutibu vidonda mdomoni

Vidonda vya mdomoni ni miongoni mwa matatizo yanayowasumbua watu wengi. Badala ya kuhangaika kutumia dawa za hospitali, unaweza kutumia tiba...

READ MORE

Diamond Hapaswi Kujiita Simba – Darassa

MKALI wa ngoma ya ‘Muziki’, Darassa ameweka wazi maana ya ule mstari wake wa “sio simba, sio chui, sio mamba”...

READ MORE

Ombaomba Bado Wanatesa Jiji la Makonda

Ombaomba ambao ni wasichana wadogo, wakipita kuomba katika magari yaliyokuwa katika foleni jijini Dar. LICHA ya mara kadhaa Mkuu wa...

READ MORE

Ticha Afa Ajalini Akifuatilia Kadi ya Bima Ya Afya

Wananchi wakimuaga marehemu, Janeth Francis Songo alikuwa mwalimu wa Shule ya Msingi Maluga iliyopo Wilaya ya lramba mkoani Singida. Stori:...

READ MORE

Tanzia: Mwanamke wa Kwanza Kugombea Urais wa Tanzania, Anna Senkoro Afariki Dunia

DAR ES SALAAM: Mwanamke wa kwanza kwenye Historia ya Tanzania kugombea urais, Dkt. Anna Claudia Senkoro ameaga dunia leo Januari...

READ MORE

Kukosa la Kufanya ni Moja ya Chanzo cha Matumizi ya Dawa za Kulevya

Chid Benz Kuna sababu nyingi zinazochangia ongezeko la matumizi ya dawa za kulevya katika jamii. Baadhi ya sababu hizo ni...

READ MORE

Jike Shupa Awaanika Mastaa Anaowauza Kwa Vigogo, Yumo Wolper, Masogange

Zena Abdallah ‘Jike Shupa’. Stori: waandishi Wetu, Risasi Mchanganyiko, Jan 4-6, 2017, Toleo 1388 DAR ES SALAAM: Imefichuka! Wakati mastaa mbalimbali...

READ MORE

Kesi ya Mke wa Bilionea Msuya Yaendelea Kisutu

DAR ES SALAAM: Wakati sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya zikiwa zimemalizika, leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha tena...

READ MORE

Diamond Kufulia, Tutasubiri Sana!

   Mwananmuziki Diamond Platnumz. Makala: Risasi Vibes; Risasi Mchanganyiko, Jan 4-6, 2017, Toleo 1388 EDSON Arantes do Nescemento maarufu kama...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 14

ILIPOISHIA Kiukweli alinichanganya sana, hapohapo nikamuona akitoka katika sura ya Mudi na kurudi katika sura ya moja ya maiti niliyowahi...

READ MORE

Janet Jackson Ajifungua Mtoto wa Uzeeni

Mwanamuziki mashuhuri nchini Marekani Janet Jackson mwenye umri wa miaka 50 sasa, amejifungua mtoto mvulana bila matatizo. Janet na mumewe...

READ MORE

Msuva Amzima Kichuya, Yanga Yafunga Mabao 35

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya. Mwandishi Wetu, Dar es Salaam, Championi Jumatano Toleo la Januari 4, 2017 YANGA juzi...

READ MORE

Wema Azaliwa Upya Mtandaoni

Malkia wa mtandao mwenye nguvu ya watu wasiopungua milioni mbili na nusu nchini Tanzania, Wema Abraham Sepetu, mwaka 2017 ameuanza...

READ MORE

Rais Barack Obama Kuilifunga Gereza la Guantanamo, Trump Apinga!

TAARIFA zilizotolewa na Ikulu ya Marekani ‘White House’ zimeeleza kuwa, inaonekana kwamba wafungwa wote waliomo kizuizini katika Gereza la Guantanamo...

READ MORE

Singeli/ “Mdogo Mdogo” ya Diamond Inahusiana na ‘Mashetani’

MWAKA 2016 umemalizika katika hali ya mapinduzi makubwa katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya. Muziki wa Singeli kama sehemu...

READ MORE

Serikali kuja na pedi za kike ambazo zinaweza kutumika zaidi ya mara moja

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Hamis Kigwangalla. Naibu Waziri wa Wizara...

READ MORE

Msimamo wa Trump Wasababisha Ford Kuahirisha Kutengenezea Magari Mexico

KAMPUNI kubwa ya magari nchini Marekani Ford, imetangaza kuachana na mpango wake wa kutaka kutengeneza kampuni ya magari nchini Mexico...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta Zitakazoanza Kutumika Leo

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA)  imetangaza bei mpya za nishati ya mafuta zitakazoanza kutumika...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Januari 4, 2017 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Januari 4, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Nafasi za Kazi: The Bible Society of Tanzania, General Secretary

GENERAL SECRETARY – THE BIBLE SOCIETY OF TANZANIA. The Bible Society of Tanzania is a non Government not for profit...

READ MORE

‘Bomu’ Lazua Taharuki Kiwanda cha Nondo Dar

Lango kuu la kiwanda cha nondo palipokuwa na taharuki ya ‘bomu’. DAR ES SALAAM: KITU kinachodhaniwa kuwa bomu kimezua taharuki...

READ MORE

Barabara ya Azikiwe Yafungwa Kupisha Ukarabati

Vibao vinavyoonyesha Barabara ya Azikiwe kufungwa kwa ajili ya ukarabati. Eneo dogo la Barabara ya Azikiwe jijini Dar es Salaam...

READ MORE

PM Majaliwa: Walimu 4,000 wa Sayansi na Hisabati Kuajiriwa

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa. DAR ES SALAAM: Serikali imesema ipo kwenye mchakato wa kuajiri walimu 4000 wa masomo...

READ MORE

Wanaodaiwa kumuua Mashali, bado hali tete

Watuhumiwa wanaodaiwa kumuua aliyekuwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali wakitoka mahabusu na kwenda kusikiliza kesi yao. …Wakitoka...

READ MORE

40 Ya Mdogo Wa Tiffah Usipime, Mastaa Wakubwa Afrika Watajwa Kuhudhuria

Mtoto wa kiume wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Nillan Nasibu ‘Chibu Junior’. STORI: GABRIEL NG’OSHA, GAZETI LA...

READ MORE

Familia Ya Saanane Yakataa Matanga! Yahesabu Siku Ya Mtoto Wao Kuonekana

STORI: GABRIEL NG’OSHA, GAZETI LA UWAZI, TOLEO 1021, JANUARI 3-9, 2017 DAR ES SALAAM: Mwaka Mpya wa 2017 umeanza ambapo...

READ MORE

Saleh Ally Awa Mhariri Mtendaji Global Publishers

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers, Eric Shigongo (kulia) akiwa na Mhariri Mtendaji mpya Saleh Ally (wa pili kutoka kushoto), Meneja...

READ MORE

The Darkened Soul (Nafsi Iliyopatwa na Giza) – 01

Agosti 12, 2004 Posta, Dar es Salaam. Kishindo kikubwa na kizito kilisikika eneo lote na kusababisha mpaka majengo yatingishike utafikiri...

READ MORE