×

Habari

Simba Uso Kwa Uso na Yanga Nusu Fainali Kombe la Mapinduzi, Yaizamisha Jang’ombe Boys bao 2-0

Kikosi cha Jang’ombe Boys kilichoanza leo dhidi ya Simba katika Uwanja wa Amaan. Kikosi cha Simba kilichoanza dhidi ya Jang’ombe...

READ MORE

Shambulio la Kigaidi Laua Wanne Jerusalem

WATU wanne  wameuawa mchana huu jijini Jerusalem, Israel,  katika shambulio la kigaidi  baada ya mtu mmoja kulielekeza lori alilokuwa analiendesha...

READ MORE

Mke wa Masele Ashauriwa Ajiande kwa Vicheko Kibao

Masele na mkewe, muda mfupi baada ya kufunga ndoa. BI Specioza Malick  Mke wa msanii wa vichekesho nchini aliyejipatia umaarufu...

READ MORE

Mapacha Waishi na Mwanamme Mmoja Kwa Furaha

 MAPACHA wawili wa kike wanaofanana, waitwao Anna na Lucy,  wameamua kuishi na mwanamme mmoja aitwaye Ben Bryne mwenye umri wa...

READ MORE

Yanga Wapigwa 4G na Azam Kombe la Mapinduzi

Kikosi cha Yanga kilichoanza jana dhidi ya Azam FC kwenye Kombe la Mapinduzi Uwanja wa Amaan, Zanzibar ambapo kilifungwa bao...

READ MORE

Diamond Kutumbuiza Kombe la Mataifa ya Afrika 2017

Staa wa Bongo Flava na Rais wa Wasafi,  Diamond Platnumz. Staa wa Bongo Flava na Rais wa Wasafi,  Diamond Platnumz, ...

READ MORE

‘Muziki’ Wazidi Kuing’arisha Nyota ya ‘Darassa’

MKALI wa muziki wa kufokafoka (Hip Hop) nchini, Shariff Thabeet ‘Darassa’, ameendelea kuwa gumzo Afrika ya Mashariki na kila pembe...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumapili Januari 8, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumapili, Januari 8, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Husna Sajent: Nimezaa na Chaz Baba na Gabo (+Video)

HUSNA SAJENT: NIMEZAA NA CHAZ-BABA NA GABO (VIDEO)

READ MORE

Kikwete Aongoza Mamia Kumuaga Anna Senkoro

Rais Mstaafu, akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Senkoro. Rais Mstaafu, Kikwete aliongozana na mkewe, Mama Salma Kikwete. Pichani akiweka...

READ MORE

Masele Chapombe Afunga Ndoa

Masele na mkewe, muda mfupi baada ya kufunga ndoa. Masele na mkewe, wakiwa katika pozi          ...

READ MORE

Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza Afanya Mabadiliko ya Uongozi

Kaimu Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, Dkt. Juma Ally Malewa (pichani) amefanya Mabadiliko ya Uongozi kwa baadhi ya...

READ MORE

Kala Jeremiah: Sakata la Faru John Limeniogopesha

Rapa anayetamba na ngoma ya ‘Wana Ndoto’ Kala Jeremiah. Story: Ally Katalambula RAPA anayetamba na ngoma ya ‘Wana Ndoto’ Kala...

READ MORE

Nana Akufo-Addo Aapishwa Kuwa Rais wa Ghana

  GHANA: Viongozi kadha wa Afrika leo wamekusanyika katika Mji Mkuu wa Ghana, Accra, kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa rais...

READ MORE

Mpaka Home: Sajent Afunguka Tetesi Za Kutembea Na Darassa

Makala: Imelda Mtema | Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Toleo la Jan 7, 2017 MWAKA Mpya, Mpaka Home inaendelea kukupa burudani....

READ MORE

Picha 6: Cheki Billicanas ya Mbowe Ilivyobomolewa

     DAR ES SALAAM: Shirika  la Nyumba la Taifa (NHC) limeanza kubomoa jengo la iliyokuwa Klabu Bilicanas na ofisi za...

READ MORE

Ajali ya Basi la Mohammed Trans Yaua Watatu Manyoni, Singida

TAARIFA zilizotufikia hivi punde, zinaeleza kuwa basi la Kampuni ya Mohammed Trans limepata ajali mapema leo na kuua watu 3...

READ MORE

Flora Mvungi afa, aoza kwa penzi la waziri!

Stori: Mwandishi wetu | Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Toleo la Jan 7, 2017 DAR ES SALAAM: HUKU kukiwa na taarifa...

READ MORE

Gigy Money amshika uchawi Amber Lulu

Gigy Money Stori: Imelda Mtema |Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Toleo la Jan 7, 2017 VIDEO Queen matata Bongo, Gift Stanford...

READ MORE

Moto Wateketeza Soko la Kayanga, Karagwe

KAGERA: Soko la Kayanga lililopo Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo huku chanzo na...

READ MORE

Laptop ya Kwanza Duniani Yenye Skrini Tatu Yazinduliwa

Kampuni inayotayarisha michezo ya kompyuta ya Razer imezindua kompyuta mpakato (laptop) mpya ambayo yenye skrini tatu wenye maonyesho ya teknolojia...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Januari 7, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumamosi, Januari 7, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Nafasi ya Kazi

Global TV Online, ni Televisheni ya kwenye mtandao inayofuatiliwa na watu wengi duniani, inahitaji kijana mwenye uwezo na ari ya...

READ MORE

Kenya: Madaktari Wakataa Nyongeza ya Mishahara ya Serikali

Madaktari nchini Kenya wamekataa nyongeza ya karibuni zaidi iliyopendekezwa na serikali katika juhudi za kujaribu kumaliza mgomo wa madaktari na...

READ MORE

Serikali Inawajibika Kumtafuta Ben Saanane – Lissu

Tundu Lissu akiwasili kwenye Ofisi za Global Publishers. MWANASHERIA Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, amesema...

READ MORE

Mawaziri Wa Magufuli Wafungiwa Kazi, Ripoti Kamili Ipo Hapa

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi. Na Waandishi Wetu, Ijumaa, Januari 6-12, Toleo na 1019...

READ MORE

Video: Penzi la Mayasa kwa Kelvin Laanza Kuota Mizizi, Global Kazini Episode 5

KUANGALIA Global Kazini Episode 1-  5  BONYEZA HAPA  

READ MORE

Lissu: Utafiti Ulionyesha Lowassa Alibeba 18% ya Kura Zote

  Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu katika kitabu cha wageni alipowasili kwenye Ofisi za Global Publishers kwa mahojiano leo....

READ MORE

Bofya Hapa Ujishindie Vocha ya Bure!

Tovuti ya Global Publishers inaendelea kutoa vocha kwa wasomaji wake, zawadi ya vocha kila siku kwa ajili ya kuwasiliana na...

READ MORE

Huyu Nd’o Shishi Mapenzi, Utamtaka!

        Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Shilole.  Na Musa Mateja: Championi Ijumaa, Tarehe 06.01.2017, Toleo namba 1956...

READ MORE

Mistari ya Darassa ni Madongo kwa Diamond?

Darassa. Na Andrew Carlos | Gazeti la Ijumaa, Toleo la Jan. 06, 2017 YASEMWAYO yapo! Ukiusikiliza kwa makini Wimbo wa...

READ MORE

Georgina; Huyu ndiye amemtuliza CR7

Cristiano Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez mwenye kikoti cheusi. MADRID, Hispania| Gazeti la Championi Ijumaa, Toleo la Jan. 06,...

READ MORE

Riyad Mahrez Anyakuwa Tuzo ya Mchezaji Bora Afrika 2016

Mchezaji Bora wa Afrika kwa Wachezaji wa Ndani ni Denis Onyango kutoka Uganda na klabu ya Mamelodi Sundowns. Shirikisho la Soka Afrika...

READ MORE

Marekani Kumsaka Mtoto wa Osama

Marekani imesema kuwa imemuorodhesha mtoto  wa mwisho wa Osama Bin Laden, Hamza, katika orodha ya magaidi wanaosakwa na taifa hilo....

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Januari 6, 2017 Yako Hapa

Soma kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Alhamisi, Januari 6, 2017. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mbeya: Njemba Amuua Mkewe kwa Nyundo Kisa Wivu wa Mapenzi

Mwanamke mmoja mkazi wa Mikumi wilayani Keya, Mbeya aliyefahamika kwa jina la HILDA SIGARA  amefariki dunia akiwa anapelekwa Hospitali kwa...

READ MORE

Dkt. Senkoro Kuzikwa Jumamosi Jijini Dar

Marehemu enzi za uhai wake. Kaka wa marehemu Senkoro aitwaye George Nathaniel akizungumza na wanahabari kuhusu ratiba ya mazishi na...

READ MORE

Kiwanda cha takataka kujengwa Kinondoni

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Samwel Sitta akisaini kwenye kitabu cha wageni cha Ofisi za Global Publishers alipofika kufanya...

READ MORE