×

Habari

Q Chillah: kwenye Hili la Mkataba Mbona Kuna Sintofahamu?

Na OJUKU ABRAHAM| GAZETI LA IJUMAA|ZA CHEMBE Q Chief ndilo jina alilokuja nalo katika muziki, miaka ile ya mwanzoni kabisa...

READ MORE

Sekeseke la Mastaa na Unga ni Fundisho

NA ANDREW CARLOS |IJUMAA | SHOW-BIZ ZIKIWA zimepita siku mbili tangu Mahakama ya Hak­imu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Sa­laam...

READ MORE

Mastaa Hawa Hatarini Kutopata Watoto Kawaida

Beyonce Knowles, Mariah Carey, Jenifer Lopez, Celine Dion na mastaa wengine ambao wamefanikiwa kupata watoto mapacha huenda wakashindwa kuzaa tena...

READ MORE

Ecobank Tanzania Yazindua Huduma Mpya ya Kidijitali

Naibu Waziri wa fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa huduma mpya ya ‘Ecobank Mobile...

READ MORE

Hata Uwe Bilionea, Bila Mambo Haya Hujafanikiwa!

Na AMRANI KAIMA| GAZETI LA IJUMAA| SAIKOLOJIA, MAISHA NA WEWE Huko mtaani kuna dhana ambayo imejengeka katika baadhi ya vichwa...

READ MORE

Sakata la Wahamiaji: Mahakama Yagomea Rufaa ya Trump

Mahakama ya Rufaa nchini Marekani imekataa kuirudisha tena marufuku iliyowekwa na Rais Donald Trump ya wasafiri kutoka nchi saba za...

READ MORE

Valentine’s day na ngono, pombe wapi na wapi?

  NA HASHIM AZIZ | IJUMAA | LETS TALK ABOUT LOVE  VALENTINES Day ama kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao, huadhimishwa...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo, Ijumaa Februari 10, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Februari 10, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Y Tony ‘Ashaini’ Trace TV

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| MAKALA KWA mara ya kwanza tangu aanze muziki, staa wa Bongo Fleva, Elly Michael...

READ MORE

Marry You ya Diamond, Ne-Yo Yaibua Ishu

Na MWANDISHI WETU| GAZETI LA IJUMAA| MAKALA ILE ngoma ya Marry You iliyoimbwa na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul...

READ MORE

Ni Sahihi Wazazi Kukuchagulia Mke/Mume? Soma Hapa

NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kuniweka hali mpaka siku hii nzuri ya leo. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji...

READ MORE

VIDEO: Manji Ajisalimisha Kituo Kikuu cha Polisi – Dar

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji amejisalimisha kituo Kikuu cha Polisi (Central)  kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa, Paul...

READ MORE

TCRA Yazipiga Pini Michuzi TV, Ayo TV na Global TV, Yaandaa Kanuni kwa TV Mtandao

 Na Sultani Kipingo, Globu ya Jamii Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imezitaka Michuzi TV, AYO TV na Global TV kusitisha...

READ MORE

PICHAZ 24: Gwajima, Manji Walivyochukuliwa Kituo Kikuu cha Polisi na Kupelekwa Kusikojulikana

Baada ya Askofu Gwajima na Mwenyekiti wa Yanga na Mfanyabiashara Yusuph Manji kuwasili kituo cha kati cha Polisi Dar es...

READ MORE

VIDEO: Sakata la Madawa ya Kulevya Sheikh Mkuu wa Dar Amuunga Mokono Makonda

IKIWA ni mwendelezo wa kupambana na matumizi ya madawa ya kulevya hapa nchini,  hatimaye viongozi wa dini wajitokeza kumuunga mkono...

READ MORE

Manji, Gwajima Waondolewa Sentro, Huenda Wamepelekwa kwa Mkemia Mkuu

Taarifa zinaeleza Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji na Askofu Josephat Gwajima wameondolewa katika kituo Kikuu cha Polisi cha Dar es...

READ MORE

Vita ya dawa za kulevya yatinga Shinyanga

SHINYANGA: Vita dhidi ya dawa za kulevya imetua mkoani Shinyanga ambapo  jumla ya watu 17 wanaotuhumiwa kuwa ni watumiaji wa...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Pingamizi la Serikali, Yampa Dhamana Tundu Lissu

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka manne ya uchochezi....

READ MORE

Makonda Atibua 40 ya Mdogo wa Tiffah…

Na WAANDISHI WETU| AMANI| HABARI DAR ES SALAAM: Ikiwa imebakia saa 72 ifike 40 ya mtoto wa pili wa Mbongo...

READ MORE

Manji Akamatwa Tena Wakati Akitoka Sentro, Arudishwa Ndani

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga na Diwani wa Kata ya Mbagala,  Yusuf  Manji leo amefikakatika Kituo Kikuu cha Polisi Dar, ...

READ MORE

Tundu Lissu Apandishwa Kizimbani na Kusomewa Mashitaka Manne ya Uchochezi

DAR ES SALAAM: Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka...

READ MORE

Gwajima Atinga Sentro Dar na Kundi la Wafuasi

  DAR ES SALAAM: Askofu Josephat Gwajima ameripoti katika Kituo Kikuu cha Polisi  ili kuhojiwa baada ya Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

Simiyu: Mkuu wa Mkoa Amsimamisha Kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

SIMIYU: Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima John Aloyce...

READ MORE

SIMIYU: Mkuu wa Mkoa Amfuta Kazi Mhandisi wa Mkoa

SIMIYU: Mhandisi wa Ujenzi wa Sekretarieti ya Mkoa wa Simiyu, Deusdedit Mshuga amesimamishwa kazi kwa kukabiliwa na mashtaka matatu. Akizungumza...

READ MORE

Kesi ya Bosi wa Jamii Media Yapigwa Kalenda

DAR ES SALAAM: Kesi inayomkabili Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media, Maxence Melo na mwenzake Mike Mushi imesogezwa mbele hadi Machi...

READ MORE

Sakata la Madawa: Wema Afikishwa Kortini Kisutu, Aachiwa Kwa Dhamana

DA RE SALAAM: Msanii wa Bongo Movie, Wema Sepetu na wafanya kazi wake wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Gwajima: Makonda Angenitumia Samasi Ningeelewa

BAADA ya jana jina lake kutajwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na kutakiwa kufika kesho katika Kituo...

READ MORE

Manji Aripoti Kituo Kikuu cha Polisi, Dar

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga na Diwani wa Kata ya Mbagala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Manji,...

READ MORE

Zari Hajui Kuamsha Popo….

AKIFANYA mahojiano katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm, Zarina Hassan, ‘Zari the Boss Lady’ sambamba na mpenzi Diamond...

READ MORE

Gigy Akiri Kuchoropoa Mimba 3

STORI: WAANDISHI WETU | AMANI | HABARI MWANADADA ambaye ni video queen na mtangazaji wa kituo kimoja cha redio Bongo,...

READ MORE

Recho: Umesifiwa kukimbia Mpaka Ukapitiliza Kwenu

    STORI: HASHIM AZIZ | AMANI | MAKALA “…Kutenda kosa siyo kosa kurudia kosa ndiyo kosa, ahsante kwa kunielewa aaaah!...

READ MORE

Ruck Baby: Nipo Tayari Kuolewa na Gadner

STORI: MAYASA MARIWATA | AMANI | SHOW BIZ – EXTRA MWANADADA anayechipukia kwenye ulimwengu wa muziki Bongo, Rucky Baby ambaye...

READ MORE

50 Cent Aipaisha Video ya Diamond Platnumz na Ne-Yo

Tovuti ya thisis50.com ilianzishwa na idara mpya ya habari iliyo chini ya Rapper maarufu wa Marekani 50 Cent mwaka 2007 kwa...

READ MORE

Makonda Aitwa Bungeni Kujieleza Kwa Madai ya Kutoa Kauli za Dharau Dhidi ya Bunge

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja limewaita mbele ya Kamati yake ya Haki, Maadili na Madaraka...

READ MORE

Mali za Kanumba Apewa ‘Pacha’ Wake

Na MAYASA MARIWATA| GAZETI LA AMANI| SHOW BIZ XTRA KATIKA hali isiyotarajiwa mama wa staa asiyechuja Bongo, marehemu Steven Kanumba...

READ MORE

Kama Unampenda kwa Dhati, Huwezi Kushindwa Kumsamehe

MAKALA: AMANI | SINDANO ZA MASTAA |  RAMMY GALLIS | MIGOGORO | ELIMU  | MAPENZI  | UHUSIANO   Ni matumaini...

READ MORE

Duma: Bongo Movi Inatia Kinyaa

Na ALLY KATALAMBULA| GAZETI LA AMANI| SHOW BIZ XTRA MSANII wa filamu aliyewahi kutamba na tamthiliya ya Siri ya Mtungi...

READ MORE

Madee: Sijaishiwa Ubunifu

Na ALLY KATALAMBULA| GAZETI LA AMANI| SHOW BIZ XTRA Rapa asiyechuja kwenye sayari ya muziki wa Bongo fleva ambaye kwa...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo, Alhamisi, Februari 9, 2017

  Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Februari 9, 2017. Ni yale...

READ MORE

Liverpool Imejiishia Kimyakimya

CHAMPIONI  | LIVERPOOL, England LIVERPOOL awali ilikuwa inapewa nafasi kubwa zaidi ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu...

READ MORE