×

Habari

Magufuli Ashiriki Ibada ya Mwaka Mpya Kagera

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba...

READ MORE

Waziri Nchemba Amtembelea Mama wa Chid Benz

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba akiwa na mama yake Chid Benz. Waziri wa Mambo ya Ndani...

READ MORE

Video: R.O.M.A Asepa na Kijiji Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Live

Mkali wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Musa ‘R.O.M.A Mkatoliki’  akifanya yake Mkesha wa Mwaka Mpya Uwanja wa Taifa...

READ MORE

Video: Ngoma ya Muziki ya Darassa Yaiteka Dar Live

Staa wa Hip Hop Bongo, Shariff Thabeet ‘Darassa’ akifanya makamuzi Mkesha wa Mwaka Mpya katika mpambano wa Nichane Nikuchane Uwanja...

READ MORE

Dkt. Tulia Aongoza Mkesha wa Mwaka Mpya Dar

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akipeperusha bendera ya Tanzania kuashiria kuukaribisha mwaka...

READ MORE

Lowassa, Lema Wamtembelea Sumaye Gerezani

Mawaziri  wakuu wa zamani ambao ni wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa na...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Januari 1, 2017 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Januari 1, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Waziri wa Nishati Prof. Muhongo Asimamisha Bei Mpya za Umeme

WAZIRI mwenye dhamana ya kusimamia Nishati na Madini hapa nchini, Prof. Sospeter Muhongo, leo Desemba 31, 2016 amesimamisha mara bei...

READ MORE

Tukio la Scorpion Lajirudia Dar, Mwingine Atobolewa Macho, Tumbo

Rashid Mohammed akieleza alivyotobolewa macho. Stori: Issa Mnally, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 31, 2016 DAR ES SALAAM: Hii...

READ MORE

Askofu Mokiwa Aongoza Waumini Kutoa Msaada, Kufanya Usafi Hospitali ya Mwananyamala, Dar

Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dk.Valentino Mokiwa (katikati), akiwaongoza waumini wa kanisa hilo Archidikonari ya Kinondoni kufanya usafi...

READ MORE

Baba mzazi wa aliyekufa na nyoka aanika mapya! Atofautiana na wananchi

Stori: Stephano Mango, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 31, 2016 RUVUMA: Baba mzazi wa marehemu Denis (26), Sevelin Komba...

READ MORE

Msanii wa Bongo Movie Gift Azikwa Makaburi ya Kinondoni

Hatimaye mwili wa aliyekuwa msanii wa Bongo Movie, Gift John aliyefariki juzi katika Hospitali ya Sinza- Palestina baada ya kuugua,...

READ MORE

Kalenda ya Mtawala Caesar na Papa Gregory

Mwanzoni kabisa, dunia ilikuwa ikitumia kalenda ya mtawala wa Kiroma aliyeitwa Julius Caesar. Kalenda hiyo ilianzishwa mwaka 46 Kabla ya...

READ MORE

Zlatan: Messi Anajua Sana, ni Kama ‘Playstation’

 London, England STRAIKA mkongwe wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic ameuzungumzia uwezo wa soka wa Lionel Messi kwa kusema ni mchezaji...

READ MORE

Mwaka Mpya, Kila Nchi Husherehekea kwa Muda Wake

Usiku wa leo, panapo majaaliwa tutauaga rasmi mwaka 2016 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2017, lakini je, unajua kwamba wakati...

READ MORE

Klopp: Liverpool Vs Man City ni Bonge la Mechi

  LIVERPOOL, England KUELEKEA mechi ya Liverpool dhidi ya Manchester City, ambayo itachezwa leo Jumamosi, Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema...

READ MORE

Darassa vs R.O.M.A Hatoki Mtu Mpaka Majogoo – Dar Live , Leo Usiku

Inatoka Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 31, 2016 HATOKI MTU! Ndiyo tafsiri nyepesi unayoweza kusema baada ya wakali wawili...

READ MORE

Mpaka Home: Haya Ndiyo Maisha Halisi ya Jacob Mbuya wa Clouds TV, Asema Hajui Kupika

Makala: Imelda Mtema, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 31, 2016 MPAKA Home inafunga mwaka leo. Inafunga na Mtangazaji na...

READ MORE

Ronaldo akataa bilioni 4 kwa wiki China

Madrid, Hispania IMEFAHAMIKA kuwa staa wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo alikuwa ana nafasi ya kuweka rekodi ya kulipwa mshahara mkubwa zaidi...

READ MORE

Sirro: Tumekamata Watuhumiwa 13,626 kwa Ujambazi, Madawa ya Kulevya… Mwaka 2026

KIKOSI cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imekamata jumla ya watuhumiwa 13,626 na kuwafikishwa mahakamani kwa tuhuma mbalimbali,...

READ MORE

Pichaz: Funga Mwaka Ilivyonoga Escape One

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ally Hapi ambaye alikuwa Mgeni Rasmi kwenye shughuli hiyo akihojiwa na wanahabari...

READ MORE

Maabara ya Kisasa Yazinduliwa Mashariki ya Kati na Shirika la Ndege la Etihad

SHIRIKA la Ndege la Etihad kupitia Kitengo chake cha Uhandisi (Etihad Airways Engineering) kwa kushirikiana na Lental Textiles AG wamezindua maabara...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi, Desemba 31, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 31, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Saa 42 Kabla ya Mwaka Mpya, Basi la National Express Lilivyochinja Wawili Singida, 26 Kujeruhiwa

SINGIDA: Watu wawili wamefariki dunia na wengine 26 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha basi la kampuni ya National Express T.662 DEF,...

READ MORE

Q JAY Arudia Bongo Fleva, Kuirudisha Wakali Kwanza Januari 2017

Mkali wa muziki wa Bongo Fleva aliyekuwa akiunda Kundi la Wakali Kwanza, Q Jay akifanya mahojiano na Global TV Online....

READ MORE

Roma, Darassa Wakutana Uso kwa Uso, Watambiana Mbele ya Mashsbiki

Darassa akikamua mbele ya mashabiki Roma akijikusanyia kijiji DAR ES SALAAM: Miamba wawili wa Hip-Hop, Roma na Darassa hatimaye leo...

READ MORE

Zitto Kabwe Aanika Rasilimali na Madeni Yake

Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya ACT- Wazalaendo na Kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe awasilisha fomu za Tamko...

READ MORE

Diamond Avunja Rekodi ya Mwaka Australia

KAMA ilivyo kawaida yake kutotoka vinywani mwa mashabiki, mkali wa Afro-Pop Diamond Platnumz ame-make headline, hii ya leo sio Bongo...

READ MORE

Zitto Kabwe Atoa Tamko Kuhusu Kuwekwa Wazi Rasilimali na Madeni ya Viongozi, Agusia Mshahara wa JPM

Tamko la Ndg. Kabwe Zuberi Ruyagwa Zitto kuhusu Rasilimali na Madeni Ndugu Watanzania, Kama mnavyofahamu kuwa ibara ya 132(4) na...

READ MORE

Ewura Kupandisha Bei ya Umeme 8.5% Kuanzia Januari

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza ongezeko la bei ya umeme kwa...

READ MORE

Sirro Aonya Uchomaji Matairi, Milipuko Mwaka Mpya

Kamishna wa Kanda Maalum Dar es Salaam, CP Simon Sirro, akisoma taarifa. Kaimu Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa...

READ MORE

Urusi Yaapa Kulipiza Kisasi Baada ya Marekani Kuwatimua Wanadiplomasia wa Urusi

Urusi imeonya kwamba italipiza kisasi hatua ya rais wa Marekani Barrack Obama ya kuwatimua wanadiplomaisa 35 wa Urusi kufuatia tuhuma...

READ MORE

Wakongwe Walijitutumua, Wapya Wakafanya Kweli 2016

Na Andrew Carlos, Gazeti la Ijumaa, Toleo la Desemba 30, 2016 IKIWA imesalia siku moja kabla ya kumalizika Mwaka wa...

READ MORE

Afungwa Jela maisha kwa kupora simu ya Sh. 110,000 na kujeruhi

Kesi ya wizi wa simu aina ya Tecno iliyochukua takriban miaka miwili mahakamani, imefika tamati kwa mtuhumiwa kufungwa maisha jela....

READ MORE

Azam FC wanataka kwenda mbinguni kabla ya kufa

Makala: Phillip Nkini, Gazeti la Championi Ijumaa, Desemba 30, 2016 TAARIFA kwamba Azam FC wamewatimua makocha wao raia wa Hispania...

READ MORE

Farid Mussa: Najua ugumu nitakaoukuta Hispania

Asema Yanga walinifuata nikawaambia lengo langu ni kucheza Arsenal Omary Mdose na Ibrahim Mussa, Gazeti la Championi Ijumaa, Desemba 30,...

READ MORE

Shinda Tiketi ya Kushuhudia Mpambano Kati ya Roma na Darassa, Mkesha wa Mwaka Mpya, Dar Live

Shinda tiketi ya kushuhudia mpambano wa “Nichane Nikuchane” kati ya Roma na Darassa, Dar Live. Ni mkesha wa Mwaka Mpya!...

READ MORE

Mkata Umeme ameanza kuwa mtamu

Waandishi Wetu, Gazeti la Championi Ijumaa, Desemba 30, 2016 Dar es Salaam KIUNGO wa Yanga, Mzambia, Justine Zulu ‘Mkata Umeme’,...

READ MORE