
Browsing Category
Kimataifa
Museveni Amtunuku Nishani Mwanaye CDF Muhoozi Kwa Ujasiri
Amiri Jeshi Mkuu na Rais Mteule wa Uganda, Jenerali Yoweri Kaguta Museveni, amemtunuku nishani Mkuu wa Majeshi (CDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kwa kutangaza na kutambua ujasiri wake katika operesheni dhidi ya makundi ya kigaidi…
Video: Trump Afuta Video ya Sokwe ya Obama, Asema Hataomba Msamaha
Rais wa Marekani, Donald Trump, amefuta video yenye kipande cha ubaguzi wa rangi alichochapisha kwenye mitandao ya kijamii kilichomlinganisha Rais wa zamani Barack Obama na Mkewe Michelle Obama na sokwe. Hata hivyo, kwa mujibu wa NBC…
Pep Guardiola Azungumzia Mauaji Marekani, Israel, Ukrane – Video
Pep Guardiola amesema atatumia nafasi yake kama mmoja wa watu wanaosikilizwa zaidi duniani kuzungumzia “maumivu” anayohisi kuhusu waathiriwa wa migogoro ya kimataifa, akisisitiza kuwa hawezi kukaa kimya anapoona mateso ya raia wasio na…
Rais Samia Akizungumza Jambo na Makamu Rais wa UAE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) na Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum, kando ya Mkutano wa…
Moto Mkubwa Wazuka Iran, Mvutano na Marekani Ukiendelea – Video
Moto mkubwa umezuka katika soko la Jannat Abad lililopo magharibi mwa mji mkuu wa Iran, Tehran, na kusababisha hofu kubwa miongoni mwa wakazi.
Moto huo ulianza katika eneo lenye vibanda na maduka mengi ya biashara na kuenea kwa kasi,…
Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al Maktoum (DWC), Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Februari 02, 2026.
Mara baada ya kuwasili, Rais Dkt. Samia…
Iran Yakubali Mapigo! Yaomba Mazungumzo na Marekani – Video
Iran imesema iko katika hatua ya kutathmini masharti ya kurejea kwenye mazungumzo ya nyuklia na Marekani, huku pande zote zikionyesha utayari wa kufufua mazungumzo ya kidiplomasia baada ya miaka mingi ya mvutano. Afisa wa Wizara ya Mambo…
Madai Mazito Yafichuliwa Kati ya Familia Ya Trump na Mwanamfalme – Video
Ripoti mpya ya uchunguzi iliyochapishwa na gazeti la The Wall Street Journal imeibua mjadala mkubwa wa kisiasa na kiusalama, baada ya kufichua madai ya kuwepo kwa makubaliano ya siri ya kifedha kati ya familia ya Rais wa Marekani,…
Marekani, Israel Zakanusha Kuhusika na Milipuko Iran – Video
Marekani na Israel zimekanusha kuhusika kwao na mlolongo wa milipuko ya ajabu iliyotikisa maeneo tofauti nchini Iran mwishoni mwa wiki, milipuko ambayo imesababisha vifo vya watu sita na kujeruhi zaidi ya watu kumi na wawili, huku hali…
Israel Yaua Waandishi wa Habari Gaza – Video
Waandishi watatu wa habari wa Kipalestina wameuawa kufuatia shambulio la anga la Israel katikati mwa Ukanda wa Gaza, kwa mujibu wa wahudumu wa uokoaji.
Shirika la Ulinzi wa Raia la Gaza, linaloendeshwa na Hamas, lilisema gari…
Mitaa ya Italia Yakumbwa na Mafuriko Ghafla Kama ya Sunami – Video
Watu nchini Italia walilazimika kukimbia kuokoa maisha yao baada ya mawimbi makubwa ya bahari yanayofanana na tsunami kuvamia mitaa ya kisiwa cha Sicily ndani ya sekunde chache tu.
Picha za kushtua zilizonaswa usiku wa…
Mkuu wa Jeshi Uganda Atishia Maisha ya Bobi Wine – Video
Mvutano wa kisiasa nchini Uganda umeongezeka zaidi baada ya mkuu wa jeshi la nchi hiyo, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kutoa vitisho vya wazi vya kumuua kiongozi wa upinzani Bobi Wine, kufuatia uchaguzi mkuu uliomrejesha madarakani Rais…
Askari Polisi 7 Wauawa Baada ya Kushambuliwa na Wahalifu – Video
Maafisa saba wa polisi wamepoteza maisha baada ya magenge ya uhalifu kufanya mashambulizi ya kuratibiwa dhidi ya vikosi vya usalama katika maeneo mbalimbali ya mji mkuu wa Guatemala. Mashambulizi hayo yameitikisa nchi na kuzua hofu kubwa…
Basi na Lori Zagongana na Kuua Wanafunzi 13 – Video
Wanafunzi 13 wamefariki dunia nchini Afrika Kusini baada ya basi dogo walilokuwa wakisafiria kugongana na lori kusini mwa jiji la Johannesburg. Ajali hiyo ilitokea Jumatatu asubuhi majira ya saa 1:00 kwa saa za huko (05:00 GMT) katika…
Netanyahu Ampinga Trump, Akosoa Bodi ya Amani Gaza
Kiongozi wa Israel, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, ameongoza mkutano wa dharura na washauri wake wakuu wa kisiasa na kiusalama kujadili mpango mpya wa Rais wa Marekani Donald Trump unaoitwa “Bodi ya Amani” kwa Gaza, baada ya Israel…
Treni za Mwendokasi Zagongana na Kuua Watu 21, Hispania
Takribani watu 21 wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya treni za mwendokasi iliyotokea kusini mwa Hispania, huku mamlaka za nchi hiyo zikionya kuwa idadi ya vifo huenda ikaongezeka kadri shughuli za uokoaji na matibabu zinavyoendelea.…
Mvutano Mkali Kati ya Hispania na Barcelona Kuhusu Lamine Yamal
Mvutano mkubwa umeibuka kati ya Shirikisho la Soka la Hispania (RFEF) na klabu ya Barcelona baada ya shirikisho hilo kulalamika kuwa halikujulishwa mapema kuhusu hali ya kiafya ya nyota chipukizi Lamine Yamal.
Kwa mujibu wa taarifa…
Marekani Yasitisha Mpango wa Visa Bond kwa Mali
Marekani imepunguza shinikizo la kidiplomasia na Mali, ikiondoa taifa hilo la Afrika Magharibi kutoka kwenye Mpango wa Jaribio la Visa Bond ulioleta mzozo, siku chache kabla ya hatua hiyo kuanza kutumika.
Mpango huo unaruhusu maafisa…
Trump Atangaza Vikwazo Vipya Kmpuni za Urusi
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza rasmi vikwazo vipya dhidi ya baadhi ya makampuni makubwa ya mafuta kutoka Urusi, hatua inayolenga kuongeza shinikizo kwa serikali ya Rais Vladimir Putin kufuatia kuendelea kwa mvutano wa…
Ajali ya treni mashariki mwa Ethiopia yaua watu 14, wengine 29 wajeruhiwa
Watu wasiopungua 14 wamefariki dunia na wengine 29 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kupata ajali mashariki mwa Ethiopia, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa Jumanne na vyombo vya habari vya serikali.
Taarifa ya Dire TV, chombo cha…
Aliyekua Mshauri wa Trump Ashtakiwa Kwa Kuvujisha Siri za Taifa
John Bolton, aliyekuwa mshauri wa usalama wa taifa wa Rais Donald Trump na kisha akawa mkosoaji wake makini, amefunguliwa mashtaka ya jinai ya shirikisho.
Hii inatokea baada ya maafisa wa FBI kukagua makazi na ofisi za Bolton Agosti…
Dembele Alia na Mshahara Mdogo Baada ya Kushinda Ballon d’Or
Nyota wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, ameiomba klabu yake kumpa mkataba mpya na ongezeko la mshahara linalolingana na hadhi yake mpya kama mshindi wa Ballon d’Or 2025.
Kwa sasa Dembele analipwa takribani euro milioni 18…
Afrika Kusini Yapinga Kuahirishwa kwa Kesi Dhidi ya Israel Baada ya Makubaliano ya Amani
CAPE TOWN, AFRIKA KUSINI — Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, amethibitisha kwamba makubaliano mapya ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Palestina, yaliyosimamiwa na Marekani, hayataathiri kesi ya mauaji ya kimbari ambayo nchi…
Trump Aidhinisha Msaada wa Dola Bilioni 20 kwa Argentina
Rais wa Marekani, Donald Trump, amekiri wazi kuwa msaada wa kifedha wa dola bilioni 20 uliotolewa na Marekani kwa Argentina una lengo la kusaidia chama cha Rais Javier Milei kushinda uchaguzi wa bunge unaotarajiwa kufanyika Oktoba 26.…
Aliyekua Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga Afariki Dunia
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya na kiongozi wa chama cha ODM, Raila Amolo Odinga, amefariki dunia leo Jumatano, Oktoba 15, 2025, akiwa na umri wa miaka 80.
Taarifa zinaeleza kuwa Odinga alipata shambulio la moyo akiwa katika matembezi…
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika Afuatilia Kwa Wasiwasi Mvutano Madagascar
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) Mahmoud Ali Youssouf jana Jumapili alizitaka pande zinazozozana nchini Madagascar kujizuia na kuvulimiana ili kufungua mlango wa mazungumzo wa kutatuliwa kisiasa mvutano uliozuka nchini…
Mjukuu wa Mandela Afichua Ukatili: Wanaharakati Waafrika Kusini Walivuliwa Nguo na Wanajeshi wa…
Johannesburg — Wanaharakati sita wa Afrika Kusini waliokamatwa na Israel walipokuwa wakijaribu kufika Gaza kupitia msafara wa misaada wamesema walitendewa kwa ukatili zaidi kuliko wengine.
Baada ya kurejea nchini, wanaharakati hao…
Chad Yavunja Ushirikiano wa Miaka 15 na Shirika la Uhifadhi Linalohusishwa na Prince Harry
Serikali ya Chad imeiondoa taasisi ya African Parks mamlaka ya kusimamia hifadhi zake za wanyamapori, ikilishutumu shirika hilo lisilo la kiserikali kwa kushindwa kudhibiti ujangili na kuonyesha “kutoheshimu” mamlaka za serikali.…
Israel Yamkamata Mjukuu Wa Mandela, Ramaphosa Atoa Mwito Wa Kuachiliwa Mara Moja
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameitaka Israel kuwaachia mara moja wanaharakati wa Afrika Kusini waliokamatwa na jeshi la majini la Israel baada ya kuizuia "Global Sumud Flotilla", msafara wa meli uliokuwa ukielekea Gaza kwa…
Balozi Akutwa Amefariki Dunia Nje ya Hoteli Paris
Balozi wa Afrika Kusini nchini Ufaransa, Nathi Mthethwa (58), amekutwa akiwa amefariki dunia karibu na Hoteli ya Kifahari ya Hyatt Regency jijini Paris, Ufaransa, maafisa wa Ufaransa wamethibitisha.
Kwa mujibu wa ofisi ya Mwendesha…
Rais wa Zamani wa DR Congo Ahukumiwa Kifo
Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amehukumiwa adhabu ya kifo na Mahakama ya Kijeshi ya nchini humo baada ya kupatikana na hatia ya makosa kadhaa ikiwemo 'uchochezi'.
Kabila ambaye ana umri wa miaka 54…
Matapeli 260 wa Kimapenzi Mtandaoni, Wakamatwa Afrika
Mamlaka katika nchi 14 barani Afrika zimewakamata watu 260 katika msako mkubwa dhidi ya uhalifu wa kimtandao unaohusisha utapeli wa kimapenzi. Operesheni hiyo, iliyofahamika kama Operation Contender 3.0, iliongozwa na INTERPOL kati ya…
Msanii D4vd Katika Tuhuma Nzito Za Mahusiano Na Msichana Wa Miaka 15
Msanii chipukizi wa muziki duniani, D4vd, amejikuta katikati ya tuhuma nzito baada ya kuripotiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msichana mwenye umri wa miaka 15, Celeste Rivas, ambaye alipatikana amefariki ndani ya gari lililosajiliwa…
Mke wa Rais wa Ufaransa Azua Gumzo Kisa Jinsia
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, pamoja na mkewe, Brigitte Macron, wanapanga kuwasilisha ushahidi wa picha na kisayansi mahakamani Marekani ili kuthibitisha kwamba Bi Macron ni mwanamke halali. Hii ni sehemu ya kesi ya kumharibia sifa…
Waandamanaji Wapinga Ziara ya Rais Donald Trump Nchini Uingereza
Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye amewasili nchini humo kwa ziara rasmi.
Waandamanaji walibeba mabango yenye ujumbe mbalimbali…
Mahakama ya Johannesburg yawahukumu Wachina 7 kifungo cha miaka 20
Mahakama mjini Johannesburg imewahukumu raia saba wa China kifungo cha miaka 20 jela kila mmoja kwa makosa ya usafirishaji haramu wa binadamu na kuwalazimisha raia 91 wa Malawi kufanya kazi katika kiwanda cha nguo bila masharti ya…
Mwanaharakati Charlie Kirk auawa kwa risasi chuoni Marekani
Mwanaharakati Charlie Kirk, mshirika wa karibu wa Rais wa Marekani Donald Trump na mwanzilishi wa Turning Point USA, ameuawa kwa kupigwa risasi katika chuo kikuu nchini Marekani. Gavana Spencer Cox ameuita tukio hilo “uuwaji wa…
Gwiji wa Mitindo Giorgio Armani Afariki Dunia Akiwa na Miaka 91
Giorgio Armani, mbunifu maarufu wa mitindo kutoka Italia ambaye aligeuza dhana ya understated elegance kuwa himaya ya mabilioni ya dola katika tasnia ya mitindo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 91.
Kwa mujibu wa taarifa ya kampuni…
Kampuni ya Marekani Yapata Leseni za Kuchimba Lithium Nchini Kongo
Kampuni ya madini ya Marekani, KoBold Metals, inayoungwa mkono na Bill Gates na Jeff Bezos, imepata leseni saba za kuchunguza madini ya lithium katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), maafisa wamethibitisha wiki hii.
Leseni…
Maelfu Washiriki Mazishi ya Viongozi 12 Waliouawa kwa Shambulio
Maelfu ya waombolezaji walikusanyika katika Msikiti mkubwa wa Al Saleh, jijini Sanaa — mji mkuu wa Yemen — siku ya Jumatatu, kuhudhuria mazishi ya viongozi 12 waandamizi wa kundi la Houthi, wakiwemo Waziri Mkuu wao, waliouawa katika…