×

Kimataifa

Video: Iran Yafyatua Msururu wa Makombora Kuwait, Uwanja wa Ndege Washambuliwa

Msururu wa mashambulizi ya drones na makombora wapiga mataifa ya Ghuba; uwanja wa ndege wa Kuwait na kambi ya Marekani...

READ MORE

Wanajeshi 12 wa Marekani Wajeruhiwa Baada ya Iran Kurusha Kombora

Wanajeshi 12 wa Marekani wamejeruhiwa kufuatia shambulio lililolenga Kambi ya Anga ya Prince Sultan nchini Saudi Arabia, huku vita kati...

READ MORE

Kim Jong Un, Binti Yake Wafyatua Risasi Kiwanda cha Silaha Korea Kaskazini

Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un, ameonekana akifyatua risasi kwa bastola pamoja na binti yake, Kim Ju-ae, wakati wa...

READ MORE

Sudan: Mashambulizi ya Ndege Zisizo na Rubani Yaendelea, Raia Wauawa

Mapigano yanayoendelea nchini Sudan tangu Aprili 2023 kati ya jeshi la serikali lenye makao Port Sudan na vikosi vya upinzani...

READ MORE

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa...

READ MORE

Nyaraka za FBI Zamtaja Trump Kwenye Tuhuma za Unyanyasaji wa Kingono

Nyaraka mpya za FBI zilizotolewa na Wizara ya Sheria ya Marekani (DOJ) zimefichua mahojiano ya mwaka 2019 na mwanamke aliyedai...

READ MORE

Rais Putin Ampongeza Mtoto wa Khamenei Kuteuliwa Kuiongoza Iran

  Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amemtumia salamu za pongezi Mojtaba Khamenei kufuatia uteuzi wake kuwa kiongozi mpya wa Iran....

READ MORE

Video: Iran Yasema Imewaua Wanajeshi 500 Wa Marekani

Iran imedai kuwaua zaidi ya wanajeshi 500 wa Marekani katika mapigano yanayoendelea, kwa mujibu wa kiongozi wa Baraza Kuu la...

READ MORE

Video: Iran Yailipua Meli Ya Mafuta Ya Marekani Katika Ghuba Ya Uajemi

Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limedai kuishambulia meli ya mafuta ya Marekani katika eneo la...

READ MORE

Meli Ya Kijeshi Ya Iran Yazama Ikiwa Na Watu Zaidi Ya 100

WJeshi la wanamaji na jeshi la anga la Sri Lanka limetumwa haraka kuwaokoa mabaharia wa Iran baada ya meli yao...

READ MORE

Meli Tatu Za Marekani Na Uingereza Zashambuliwa Katika Mlango Wa Hormuz

Mvutano katika Ghuba ya Uajemi umeongezeka kwa kiwango kikubwa baada ya meli tatu za mafuta zinazodaiwa kuhusishwa na Marekani na...

READ MORE

Israel Yasema Khamenei Ameuawa Katika Shambulio Kwenye Makazi Yake

Israel imetangaza kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, katika shambulio kubwa la kijeshi lililofanywa asubuhi hii, ambalo...

READ MORE

Israel Yaishambulia Iran Kwa Makombora Mazito – Video

Israel imeanzisha mfululizo wa mashambulizi ya makombora dhidi ya Iran mapema leo Jumamosi asubuhi, kufuatia wiki kadhaa za mvutano mkali...

READ MORE

Aliyekuwa Anawauza Wakenya Kujiunga Na Jeshi Urusi Akamatwa

Idara ya Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) nchini Kenya imemkamata mshukiwa mmoja anayedaiwa kuhusika katika mtandao wa kuwarubuni raia...

READ MORE

Iran Yatishia Kuzamisha Meli Za Kivita Za Marekani

Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, amesema Rais wa Marekani Donald Trump hatofanikiwa kuangamiza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran,...

READ MORE

Marekani Kuunga Mkono Shambulio la Israel Vs Iran, Mazungumzo ya Nyuklia Yafeli

  Rais wa Marekani Donald Trump alimwambia Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mwezi Desemba kwamba angeunga mkono mashambulizi ya...

READ MORE

Video: Ghasia Zaibuka Israel, Waandamanaji Wakabiliana Na Polisi

    Ghasia kubwa zililipuka katika mji wa Bnei Brak, Israel, baada ya waandamanaji wa jamii ya Kiyahudi wa Kiharedi...

READ MORE

Iran Yawakamata Viongozi Wanne Wanaodaiwa Kujihusisha Na Vurugu

Iran imewakamata viongozi wanne wa kisiasa wenye mwelekeo wa mageuzi, akiwemo katibu mkuu wa chama cha reformist na aliyewahi kuwa...

READ MORE

Iran Yasema Haitaacha Kurutubisha Uranium Hata Itangazwe Vita

Iran imesisitiza kwa msimamo mkali kuwa haitaacha kurutubisha uranium, hata kama italazimika kukabiliana na vita, kauli inayozidisha mvutano wa kidiplomasia...

READ MORE

Watanzania Wawili Watuhumiwa Kujihusisha na Ugaidi Kenya

Mamlaka nchini Kenya zimetangaza kuwa Watanzania wawili ni miongoni mwa watu 13 wanaotuhumiwa kujihusisha na makosa ya kufadhili ugaidi katika...

READ MORE

Urusi Yashambulia Gridi ya Umeme Ukraine, Maeneo Mengi Yabaki Giza

Urusi imefanya shambulizi kubwa dhidi ya miundombinu ya nishati nchini Ukraine, hatua iliyosababisha kukatika kwa umeme katika maeneo mengi ya...

READ MORE

Msafara wa Misaada Washambuliwa Kwa Drone, Mmoja Afariki

Shambulio la droni dhidi ya msafara wa misaada katika jimbo la Kordofan Kaskazini mwa Sudan limemuua mtu mmoja na kuwajeruhi...

READ MORE

Museveni Amtunuku Nishani Mwanaye CDF Muhoozi Kwa Ujasiri

Amiri Jeshi Mkuu na Rais Mteule wa Uganda, Jenerali Yoweri Kaguta Museveni, amemtunuku nishani Mkuu wa Majeshi (CDF), Jenerali Muhoozi...

READ MORE

Video: Trump Afuta Video ya Sokwe ya Obama, Asema Hataomba Msamaha

Rais wa Marekani, Donald Trump, amefuta video yenye kipande cha ubaguzi wa rangi alichochapisha kwenye mitandao ya kijamii kilichomlinganisha Rais...

READ MORE

Pep Guardiola Azungumzia Mauaji Marekani, Israel, Ukrane – Video

Pep Guardiola amesema atatumia nafasi yake kama mmoja wa watu wanaosikilizwa zaidi duniani kuzungumzia “maumivu” anayohisi kuhusu waathiriwa wa migogoro...

READ MORE

Rais Samia Akizungumza Jambo na Makamu Rais wa UAE

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Makamu wa Rais wa...

READ MORE

Moto Mkubwa Wazuka Iran, Mvutano na Marekani Ukiendelea – Video

Moto mkubwa umezuka katika soko la Jannat Abad lililopo magharibi mwa mji mkuu wa Iran, Tehran, na kusababisha hofu kubwa...

READ MORE

Rais Samia Awasili Dubai, Azungumza na Waziri wa Sheria – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Al...

READ MORE

Iran Yakubali Mapigo! Yaomba Mazungumzo na Marekani – Video

Iran imesema iko katika hatua ya kutathmini masharti ya kurejea kwenye mazungumzo ya nyuklia na Marekani, huku pande zote zikionyesha...

READ MORE

Madai Mazito Yafichuliwa Kati ya Familia Ya Trump na Mwanamfalme – Video

Ripoti mpya ya uchunguzi iliyochapishwa na gazeti la The Wall Street Journal imeibua mjadala mkubwa wa kisiasa na kiusalama, baada...

READ MORE

Marekani, Israel Zakanusha Kuhusika na Milipuko Iran – Video

Marekani na Israel zimekanusha kuhusika kwao na mlolongo wa milipuko ya ajabu iliyotikisa maeneo tofauti nchini Iran mwishoni mwa wiki,...

READ MORE

Israel Yaua Waandishi wa Habari Gaza – Video

Waandishi watatu wa habari wa Kipalestina wameuawa kufuatia shambulio la anga la Israel katikati mwa Ukanda wa Gaza, kwa mujibu...

READ MORE

Mitaa ya Italia Yakumbwa na Mafuriko Ghafla Kama ya Sunami – Video

  Watu nchini Italia walilazimika kukimbia kuokoa maisha yao baada ya mawimbi makubwa ya bahari yanayofanana na tsunami kuvamia mitaa...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi Uganda Atishia Maisha ya Bobi Wine – Video

Mvutano wa kisiasa nchini Uganda umeongezeka zaidi baada ya mkuu wa jeshi la nchi hiyo, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kutoa vitisho...

READ MORE

Askari Polisi 7 Wauawa Baada ya Kushambuliwa na Wahalifu – Video

Maafisa saba wa polisi wamepoteza maisha baada ya magenge ya uhalifu kufanya mashambulizi ya kuratibiwa dhidi ya vikosi vya usalama...

READ MORE

Basi na Lori Zagongana na Kuua Wanafunzi 13 – Video

Wanafunzi 13 wamefariki dunia nchini Afrika Kusini baada ya basi dogo walilokuwa wakisafiria kugongana na lori kusini mwa jiji la...

READ MORE

Netanyahu Ampinga Trump, Akosoa Bodi ya Amani Gaza

Kiongozi wa Israel, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu, ameongoza mkutano wa dharura na washauri wake wakuu wa kisiasa na kiusalama kujadili...

READ MORE

Treni za Mwendokasi Zagongana na Kuua Watu 21, Hispania

Takribani watu 21 wamefariki dunia kufuatia ajali mbaya ya treni za mwendokasi iliyotokea kusini mwa Hispania, huku mamlaka za nchi...

READ MORE

Mvutano Mkali Kati ya Hispania na Barcelona Kuhusu Lamine Yamal

Mvutano mkubwa umeibuka kati ya Shirikisho la Soka la Hispania (RFEF) na klabu ya Barcelona baada ya shirikisho hilo kulalamika...

READ MORE

Marekani Yasitisha Mpango wa Visa Bond kwa Mali

Marekani imepunguza shinikizo la kidiplomasia na Mali, ikiondoa taifa hilo la Afrika Magharibi kutoka kwenye Mpango wa Jaribio la Visa...

READ MORE