×

Kimataifa

Watu 20 Wakutwa Wamefariki Jangwani Nchini Libya, Chanzo Chabainika

WATU 20 wamekutwa wakiwa wamefariki katika jangwa nchini Libya sababu kuu ikiwa ni kutokana na kiu baada kukosa maji kwa...

READ MORE

R Kelly Ahukumiwa Miaka 30 Jela kwa Kosa la Unyanyasaji wa Kingono

  MSANII maarufu wa R&B wa nchini Marekani Robert Kelly (55) maarufu kama R Kelly amehukumiwa jela kifungo cha miaka...

READ MORE

Rais Biden Atangaza Kuongeza Nguvu za Majeshi kwa Mataifa ya Jumuiya ya NATO

RAIS wa Marekani Joe Biden ametangaza hatua maalum ya nchi yake katika kuhakikisha usalama wa mataifa ya Ulaya hasa yale...

READ MORE

Boris Johnson: Kama Putin Angekuwa Mwanamke Naamini Asingevamia Ukraine

WAZIRI MKUU wa Uingereza Boris Johnson ameibuka na kusema kuwa kama Rais wa Urusi Vladimir Putin angekuwa mwanamke basi asingeweza...

READ MORE

Wakimbizi 46 Waripotiwa Kufariki Ndani ya Lori Lililotelekezwa Jijini Texas Marekani

JUMLA ya wakimbizi 46 wamekutwa wamefariki ndani ya Lori ambalo lilikuwa limetelekezwa nje kidogo ya jiji la Texas Marekani huku...

READ MORE

China Yagundua Kifaa Maalum cha Kutambua Wanaotazama Picha za Ngono

WATAFITI nchini China wamegundua kifaa maalum ambacho kitakuwa na uwezo wa kusoma akili, mawimbi ya ubongo au mvurugo wa kimihemko...

READ MORE

Mwimbaji Ekwueme Azikwa Baada ya Miezi 2, Mumewe Asusia Mazishi

OSINACHI Nwachukwu; ni aliyekuwa mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Nigeria ambaye hatimaye jana amezikwa baada ya miezi miwili tangu...

READ MORE

Putin Kufanya Ziara ya Kwanza Nje ya Urusi Tangu Avamie Ukraine

RAIS wa Urusi Vladimir Putin anatarajiwa kufanya ziara yake ya kwanza nje ya Urusi tangu Taifa lake lifanye uvamizi kwa...

READ MORE

Gavana wa Ukraine Atoa Amri Majeshi ya Nchi Hiyo Kuondoka Severodonetsk

GAVANA wa Jimbo la Luhansk Serhiy Haidai amesema majeshi ya Ukraine hayana budi kutimka katika eneo la Severodonetsk kutokana na...

READ MORE

Korea Kaskazini Yajipanga Kutumia Zana za Nyuklia Kwenye Uwanja wa Vita

RAIS wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameagiza maafisa wa jeshi la nchi hiyo kuandaa mipango ya kuimarisha vikosi vya...

READ MORE

Nigeria Yapiga Marufuku Digrii za Mitandaoni, Yataka Wanafunzi Kufuata Utaratibu

KATIKA tangazo lililozua mshtuko, Baraza la Matibabu na Meno la Nigeria limesema halitatambua shahada kutoka vyuo vikuu vya Ukraine zilizopatikana...

READ MORE

Bunge la Ulaya Laipigia Kura Ukraine na Moldova Kujiunga na EU

UMOJA wa Ulaya EU leo umeipigia kura nchi ya Ukraine pamoja na Moldova kuzipatia hadhi ya ugombea wa kujiunga na...

READ MORE

Urusi Yaripotiwa Kumuua Mwandishi wa Habari Raia wa Ukraine

MWANDISHI wa habari raia wa Ukraine anayefahamika kwa jina la Maks Levin ameripotiwa kuuawa na vikosi vya Urusi katika msitu...

READ MORE

Ikulu ya Marekani Yapanga Kupunguza Nikotini kwenye Sigara

IKULU ya Marekani White House imetangaza mipango ya kupunguza kiwango cha malighafi ya Nikotini kwenye sigara hatua inayosemekana kuwa inaweza...

READ MORE

Mume wa Osinachi Alijificha Kwenye Kivuli cha Uinjilisti

MAMA wa aliyekuwa mwimbaji wa Injili nchini Nigeria, Osinachi Nwachukwu ameiambia Mahakama kile kilichotokea kwa binti yake wakati wa maisha...

READ MORE

Watu Zaidi ya 920 Wafariki Dunia Kutokana na Kimbunga Nchini Afghanistan

ZAIDI ya watu 920 wanasadikiwa kufariki katika nchi ya Afghanistan nje kidogo ya Kusini Mashariki mwa mji uliokaribu na mpaka...

READ MORE

Mtoto wa Elon Musk Amshikati Baba Yake Mahakamani, Atangaza Kubadili Jina la Ukoo

  MTOTO wa tajiri namba moja duniani Bilionea Elon Musk ametangaza kufungua keshi mahakamani ili kubadili jina la ukoo la...

READ MORE

Urusi Yamhukumu Jela Miaka 14 Raia wa Marekani Kwa Kosa la Kukamatwa na Bangi

RAIA wa mmoja wa Marekani anayefahamika kwa jina la Marc Fogel amehukumiwa kwenda jela miaka 14 nchini Urusi kwa kosa...

READ MORE

Ukraine Yakaribia Kujiunga na Umoja wa Ulaya EU, Rais Abariki

Nchi ya Ukraine imepiga hatua nzuri katika jitihada zake za kujiunga na Umoja wan chi za Ulaya EU, hayo yamebainishwa...

READ MORE

Putin Aibuka Adai Vikwazo Ilivyowekewa Urusi Vinawakabili Wenyewe Walioviweka

RAIS wa Urusi Vladimir Putin amesema anayashangaa Mataifa ya Magharibi kwa kuweka vikwazo ambavyo vinawakabili wao wenyewe na vikwazo hivyo...

READ MORE

Mapigano Yaibuka Nchini India Kupinga Mfumo Mpya wa Vijana Kujiunga na Jeshi

POLISI Kaskazini mwa India wamelazimika kufyatua risasi kutawanya maandamano ya wananchi ambao walikuwa wanapinga mfumo mpya wa uandikishaji vijana wa...

READ MORE

Wanatakiwa Watu 456 Kushiriki ‘Squid Game’ Unaondoka na Bilioni 10

MTANDAO wa Netflix upo kwenye mchakato wa kuanza kutafuta washiriki wa kipindi cha TV ambacho maudhui yake yametokana na filamu...

READ MORE

Aliyeandika Kitabu ‘Jinsi Ya Kumuua Mumeo’ Ahukumiwa kwa Kumuua Mumewe

MWANDISHI wa kitabu chenye jina lisemalo ‘Jinsi ya kumuua mume wako’ kutoka nchini Marekani aitwaye Nancy Crampton Brophy, mwenye umri...

READ MORE

Kelly: Mwanamke Mwenye Ugonjwa wa Ajabu, Harufu ya Kutisha

KATIKA hali ya kusikitisha, mwanamama Kelly Fidoe-White (41) raia wa Uingereza amesema kila siku inamlazimu kuoga sio chini ya mara...

READ MORE

Papa Francis Aipongeza Ukraine, Agoma Kumuunga Mkono Putin

KIONGOZI Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ameipongeza nchi ya Ukraine kwa kupambana kutetea uhai wao dhidi ya uvamizi...

READ MORE

Watu 50 Wameuawa Nchini Burkina Faso Baada ya Kuvamiwa na Waasi

WATU wasiopungua 50 wamefariki katika shambulio kwenye kijiji kimoja Kaskazini mwa nchi ya Burkina Faso, taarifa hiyo imethibitishwa na Msemaji...

READ MORE

Sheria Mpya Nchini Japan, Ukimtukana Mtu Mtandaoni Jela Mwaka Mmoja

BUNGE la Japan limepitisha mswada wa sheria mpya ya kudhibiti matusi mitandaoni ambayo inatarajiwa kusainiwa na Rais wa nchi hiyo...

READ MORE

Wanaharakati wa Kiislam Nchini India Wavunjiwa Nyumba Zao

SERIKALI ya India imefikia maamuzi ya kuvunja nyumba za wanaharakati na waandamanaji wa Kiislam katika Jimbo la Utter Pradesh walioandamana...

READ MORE

Imefahamika Ukitaka Kuoa au Kutoa Talaka Sharti Ukate Kidole

ACHANA na stori za uongo kuhusu biashara ya vidole vya miguu nchini Zimbabwe, huko Papua Guinea kuna kabila linaitwa Dani...

READ MORE

Baada ya Shinikizo la Umoja wa Ulaya, Serbia Yagoma Kuiwekea Vikwazo Urusi

RAIS wa Serbia Aleksandar Vuvic amegoma wito kutoka kwa Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz kuhusu kuiwekea vikwazo Urusi kutokana na...

READ MORE

Kenya Yaweka Tozo Mpya kwa Mayai ya Kuku Kutoka Uganda

Wafanyabiashara wanaouza kuku na mayai wanatozwa shilingi 70 za Kenya sawa na shilingi 2,500 za Uganda, kupata idhini ya kuingiza...

READ MORE

Aliyeiba Kanisani Aomba Kutubu kwa Mchungaji Kabla ya Kupelekwa Jela

KIJANA mmoja aliyebainika kuiba vifaa vya muziki kwenye kanisa la Kenya Assemblies of God (KAG) mjini Eldoret nchini Kenya ameomba...

READ MORE

Zaidi ya Wanajeshi 1000 wa Ukraine Wamesafirishwa Kwenda Urusi

WANAJESHI zaidi ya 1000 kutoka katika Jimbo la Mariupol waliojisalimisha kwa majeshi ya Urusi watasafirishwa kwenda Urusi kwa ajli ya...

READ MORE

Benki ya Dunia Yatoa Nyongeza ya Msaada wa Dola Bilioni 1.5 Kwa Ukraine

BENKI KUU ya Dunia imeidhinisha kiasi cha Dola Bilioni 1.5 kama msaada kwa nchi ya Ukraine.   Hii ni sehemu...

READ MORE

‘Airport’ ya Istanbul Ndo Kiwanja Kikubwa Zaidi Duniani

UWANJA mpya wa ndege wa Instanbul nchini Uturuki, umezinduliwa rasmi Jumatatu wiki hii, lakini hautafanya kazi kikamilifu hadi mwishoni mwa...

READ MORE

Kocha Mpya Simba Akabidhiwa Kiungo, Viongozi Watia Neno

WAKATI Simba SC ikiwa kwenye mchakato wa kumsaka kocha mpya atakayerithi mikoba ya Pablo Franco, imeelezwa kwamba, ataanza na suala...

READ MORE

Bilionea Elon Musk Atishia Kusitisha Mkataba Wake na Twitter, Ataja Sababu

BILIONEA Elon Musk ametishia kujiondoka katika mkataba wa dola bilioni 44 wa Twitter, akishutumu kampuni hiyo ya mitandao ya kijamii...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson Anusurika Kung’olewa Madarakani

WAZIRI MKUU wa Uingereza Boris Johnson ameshinda matokeo ya kura ya kutokuwa na imani naye baada ya kupata kura 211...

READ MORE

Marekani Yatoa Onyo Kali kwa Korea Kaskazini Kuhusu Jaribio la Nyuklia

SERIKALI ya Marekani kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu wa Ikulu ya White House Wendy Sherman imeionya Pyongyang kuhusu jaribio lake...

READ MORE

Mwandishi wa Habari Raia wa Uingereza Apotea Kwenye Msitu wa Amazon

MWANDISHI wa Habari mkongwe raia wa Uingereza Don Philips akiwa pamoja na mwenyeji wake Bruno Araujo Pereira ambaye ni mtaalam...

READ MORE